Taifa linahitaji viongoz kama gwajima zaidi ya kumi wanao weza kuwasemea walio wengi cyo machawa wanao tukana viongoz wetu mungu ibariki 🇹🇿 wabariki na viongoz wetu wote nawale wanao penda matumbo yao piya uwakumbushe kula kwa jasho 🙏
well said & appreciated mr GWAJIMA🖊️no matter am not Tzanian, but l do like ur Speach in protecting Ppl of God in defending the Truth ever🖊️Stay blessed Sir🤝🏾
Sad to say but this Gwajima knows what he’s talking but the government does not follow the steps and that brings us down to the drain, keep up the good work Mhe Gwajima keep up the good work
Week ina siku 7... Tuwe wawazi... Wewe ipewe siku moja ... Unaweza kutunza familia .. na kuendesha maisha ya Siku 7 Kwa siku moja... (Be transparent.... Apostle... Raisi Kama angeona sivyo alivyoagiza angekataza Mara 1,.. Silent Ni Yes )
Haiwezekani. Ni yale yale ya mwenye shibe..... Na yote hayo ni kutotafakari cha kuongea zaidi ya kutafuta mitaji ya kisiasa isiyo rasmi. Sifikiri mbunge kutetea uchafuzi wa mazingira then athari zinapotokea aenze tena kuibebesha lawama serikali na kuilaumu kuwa haijali wakati kumbe yeye ndiyo alikuwa kinara wa uporoshaji kwa kutafuta sifa huku ndan ya nafsi akiuficha ukweli. Na huo ndiyo ubaya wa kutotambua kuwa siasa ni huduma na kuchukulia kuwa ni ajira daima mtapigania mioyo yenu inayovyoona kuwa mtadumisha kupata kula yenu.
Wengi Kwa sasa wanalala njaa sababu bidhaa zao zimefungwa ndan na hakuna wateja naowatafta sahv hakuna maana ya kuwepo uongozi nchii hii sababu wanaongoza watu ambao hawana uhuru
Kuimba kupokezana wamepiga hela sana na Bado wanapiga hela wenye maduka walikuwa awafanyi kazi kabisa machinga Kila Kona ulicho na Cho dukani machinga kaweka mbele ya duka lako hii Ni haki kweli. nyinyi mnajiongelesha tu lakini watu wengi biashara zimekufa kwa ajili yao
@@magengekovu2947 machinga kukaa mbele ya duka haimanish kua mwenyeduka hufany biashala maana machinga ananunua dukan ndio anaweka mbele kiufup akiuza machinga na mwenye duka kauza maana machinga haagiz mzigo inje ya nnch
Waisilam gani waliokaa mpaka? Km hufatilii watu walikua wakipiga kelele kila siku kwa jambo hilo. Huyo unaemsifia hakuwahi kusemea masheikh hata siku moja kipindi cha Magufuli mpaka alipomuona kafa. Atawafumba macho msiofatilia lkn tunaofatilia tunamuona mnafik tu.
Wewe si upo kwenye utawala, kumbe unatafuta kura na SI usahihi ktk ujenzi wa mfumo wa kujipatia kipato Kwa jamii na mapato ya taifa, , Hongera Rais wetu taifa lazima lewe na mfumo sahihi, kiongozi apate kura za utendaji wake na SI tofauti
Bahati yenu mm sio Mungu hakika ningekuwa Mungu ningelipa titifor tat ningetangaz msiba wa vigogo na rais mwingine Tanzania tungebaki yatima na wajane na wagane pia
Na ni vizuli kilewekea mpango mzima maana mliyo ya fanya hayatufurahisha Sasa sisi watoka vijijini tutaishije. Na kingine maisha yetu nikutafuta Kila sku kla mda Ila Mambo mlo yafany hayato imlsh maish yt hp mjn maan tuspo fany hutuwez kul tuna LL njaa😭😭😭😭😭😭😭
Tena hao watendaji ndo wamevuruga masoko na ndo wamemwaribia Samia sifa tena tumewachukia mno tena mno jinsi tulivyovurugwa , labda waje na lugha laini ,tumevurugwa saaaana yaani machinga tumekuwa Kama wakimbizi
Wengine tumekuwa masikini hatujui kesho yetu ni nini! Kwenye hili Raisi alikosea sana tena ukizingatia na yeye alikuwa kiongozi mkuu kati ya wakuu serekali iliyopita. Naumia sana kila nikikumbuka nilipotoka na nilipo sasa hata hela ya kula hakuna. Sijui tunakokwenda na hii nchi.
Kama dhana yake haikuwa inamaanisha klilichofanyika sasa watekelezaji waliopotosha wakati wa implementaion kwanini hajawachukulia hatua au kukaripia hata.
gwajima kichwani uko vzr, ila yale mambo ya zaman ya kuwarudisha misukule achana nayo itakuondolea uamunifu maana ile inatumika kujitangaza tu ww tayar unajulikana
Nenda kwenye masoko mapya mojawapo ununio kajioneeni wandishi wa habari mabanda tumejenga lakini hata choo hamna mbaka leo tunasubiri ,tukafanyie biashara wapi?
Hivi kwa nini wakati mwingine mbunge anapochangia vitu vinavyowagusa wananchi asipewe mda zaidi? Kuna wakati nilikuwa nasikia mh spika akisema "nakuongezea dk 3 kwa point zako"
Lakini gwajima ukipanga siku eiza iwe moja au siku mbili kwa week hizo siku nyingine ambazo alizozoea kuuza na kupata kipato atakula nini sasa ?? Kuna mtu serikalini alisema eti wataanza kukamata na watu wanaonunua vitu kwa wamachinga sasa unajiuliza huyu kiongozi anajua kweli maana ya wamachinga au,? Au anaongea utopolo
Nashangaa sanaaa Kama Dodoma machinga wamejaaa mpaka bungeni wamepanga bara barani sielewi hiii nchi Ina tenda kazi kwa kuangalia maeneo kwani dodoma Ina nini mpaka machinga hawaondolewi
Sasa ngwajima kama alisema wapangwe kwani huyo laisi kama alisema wapangwe mbona wanavo pigwa anaona nahaogei Acha kumtete huyo msalit hana lolote mana angesema wapangwe hata wanavo pigwa bac angeongea ila mpka amekaa kimya inamana anapenda
In a month street vendors will only work four days a month? How much are they going to earn in those four days? How are they going to pay the expenses of their families. Acheni niwaambieni, hamna watu wanakula jasho la watu kama wabunge, na mawaziri.
Hilo swala lakusema et mama hakusema wawafukuze machinga.wawa pange sio Kweli.kama alisema wawapange mbona mpka sasa hatuoni hizo sehemu walizo pangwa.hamna kumtete hapo uyo mama yenu ndio alietoa maagizo ya kuwatoa .
Gwajima ndan yako unahekima sana hongera kwa kulisemea taifa mungu akubariki ww na uzawo wako pia tetea na boda boda
Sisi vijana wamachinga 2025 tuna jambo letu kwa machozi jasho na damu shaidi mwenyezi Mungu mmetualibia maisha yetu na sisi tutawavuruga 2025
Taifa linahitaji viongoz kama gwajima zaidi ya kumi wanao weza kuwasemea walio wengi cyo machawa wanao tukana viongoz wetu mungu ibariki 🇹🇿 wabariki na viongoz wetu wote nawale wanao penda matumbo yao piya uwakumbushe kula kwa jasho 🙏
Mungu aendelee kukuweka gwajima👏
Hongera ngwajima.. 👍
Gwajima ungalikua raisi nahisi ungalifuata muenendo wa magufuli tunamlilia😭😭😭
Mh Gwajima you are the hope of the masses of this nation
well said & appreciated mr GWAJIMA🖊️no matter am not Tzanian, but l do like ur Speach in protecting Ppl of God in defending the Truth ever🖊️Stay blessed Sir🤝🏾
Sad to say but this Gwajima knows what he’s talking but the government does not follow the steps and that brings us down to the drain, keep up the good work Mhe Gwajima keep up the good work
These are same politicians knows what they are doing
SAFI SANA GWAJIMA.
gwaji boy Mungu anakuona na akubariki
Kweli kabisa machinga wanateseks mna poteza kula bila kujua kuwen na roho ya huruma
True mchungaji hari ww umetuonaa vile wanatutesa sana thanks u
Mweshimiwa gwajima mungu aendelee kukupatia hekima na busala Ivo ivo
big pont sana Gwajima hongera kwa kuwatolea uvivi hawo mambwa mwitu wasio tambua nini maana ya machinga
Mzee ngwajima mungu akubariki sana kwenye luga yetu ya kirundi tunasema imana iguhezagire baday uweje kuwa president watanzania
Mungu aendelee kukutumia gwajima kichwa Cha🇹🇿🇹🇿
Week ina siku 7... Tuwe wawazi... Wewe ipewe siku moja ... Unaweza kutunza familia .. na kuendesha maisha ya Siku 7 Kwa siku moja...
(Be transparent.... Apostle... Raisi Kama angeona sivyo alivyoagiza angekataza Mara 1,.. Silent Ni Yes )
Kasema kama mfano tu, maana ya utaratibu. Hakuna ambae hajui ugum wa mazingira yetu kibiashara.
Haiwezekani. Ni yale yale ya mwenye shibe..... Na yote hayo ni kutotafakari cha kuongea zaidi ya kutafuta mitaji ya kisiasa isiyo rasmi. Sifikiri mbunge kutetea uchafuzi wa mazingira then athari zinapotokea aenze tena kuibebesha lawama serikali na kuilaumu kuwa haijali wakati kumbe yeye ndiyo alikuwa kinara wa uporoshaji kwa kutafuta sifa huku ndan ya nafsi akiuficha ukweli. Na huo ndiyo ubaya wa kutotambua kuwa siasa ni huduma na kuchukulia kuwa ni ajira daima mtapigania mioyo yenu inayovyoona kuwa mtadumisha kupata kula yenu.
Gwaji unajisumbua kuelekeza ao watu ni zana yao kuonea wanyonge Ni mfumo wa selikali, Ila sema tu, mungu akulinde
Hongera Sana mkuu wangu
Naku admire Sana askofu endelea full of wise and wisdom.
Hivyo walivyofanya watendaji ndivyo Rais alivyotaka, ndiyo maana alinyamazia. Angeona wamefanya tofauti na alivyoagiza angewazuia.
Si kuwazuia tu hata kuwawajibisha.
Kipindi hiki si cha fact ni siasa tu. Kutafsiri mambo yasiyo ya kweli.
Gwaji boy ana akili wewe anatumia mafumbo 😂
@@bjzee1981 Ahaaa...na wewe unaakili sana kuling'amua hilo fumbo
Jaman machinga poleni sana mungu yupo pamoja na nyie 2025 cyo mbari itafika
Gwajima Mungu akubariki Sana
Hongera sana Gwajima
Uko vizuri sana
Huy ngwajima mungu akubariki Kwa hekma zako
Mgambo wamekuja kwa nguvu na wananenepa kwa vyakula vya watu,wamerudia mambo Yale ya zamani wanachukua vyakula wanagawana
Kama unamkumbuka zamani mama lishe walikuwa wanakaa na sumu ya panya.wakija tu wanachanganya
Ina maana hao mgambo wakila tu ndio kwisha? hao mama ntilie walikuwa wana akili sana nawaomba wainunue tena hiyo SUMU YA PANYA 🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃
Wengi Kwa sasa wanalala njaa sababu bidhaa zao zimefungwa ndan na hakuna wateja naowatafta sahv hakuna maana ya kuwepo uongozi nchii hii sababu wanaongoza watu ambao hawana uhuru
Gwajima unajitahidi lakini serikali hii ni tofauti na iliyopita mambo yamebadilika
Daaaaa safi sana gwajima kwa maombi yako na watu wa tofaut na din yako
Kwa kweli
napenda sana kuona Tanzania ikiwa naviongozi kama Hawa mkirisito kumtetea muisiram na muisiram kumtetea mkirisito nashukull mno
Umewaza Kama ninavyowaza Bwana rajabu
baba wataifa katureta pamoja Sana udini ukabira kwenu hamna nijambo rakushukull
Mmewapa mgambo maisha, wananenepa na familia zao.
Kuimba kupokezana wamepiga hela sana na Bado wanapiga hela wenye maduka walikuwa awafanyi kazi kabisa machinga Kila Kona ulicho na Cho dukani machinga kaweka mbele ya duka lako hii Ni haki kweli. nyinyi mnajiongelesha tu lakini watu wengi biashara zimekufa kwa ajili yao
@@magengekovu2947 siku ukiwa na akili utafaham unachokisema
@@magengekovu2947 hao machinga wengine walikuwa. Ni wao wenye maduka wanawapa vijana
@@magengekovu2947 Haaaaaaaa!!!!! Kweli alieshiba hamjui mwenye njaa
@@magengekovu2947 machinga kukaa mbele ya duka haimanish kua mwenyeduka hufany biashala maana machinga ananunua dukan ndio anaweka mbele kiufup akiuza machinga na mwenye duka kauza maana machinga haagiz mzigo inje ya nnch
Gwajima nakukubali sana mungu akulinde sana
Yani waisilamu sisi tumekaa mpk anaetuzungumzia. Ni mkristo lkn ss hapana gwajima Allah akuongoze
Waisilam gani waliokaa mpaka? Km hufatilii watu walikua wakipiga kelele kila siku kwa jambo hilo. Huyo unaemsifia hakuwahi kusemea masheikh hata siku moja kipindi cha Magufuli mpaka alipomuona kafa. Atawafumba macho msiofatilia lkn tunaofatilia tunamuona mnafik tu.
@@alhamdulillah5796 huna shukrani kabisa.
@@alhamdulillah5796 mbwa ww
Hapo bungeni upo peke yako unae watetea wanyonge gwajima fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ni kweli baba
Wewe si upo kwenye utawala, kumbe unatafuta kura na SI usahihi ktk ujenzi wa mfumo wa kujipatia kipato Kwa jamii na mapato ya taifa, , Hongera Rais wetu taifa lazima lewe na mfumo sahihi, kiongozi apate kura za utendaji wake na SI tofauti
Gwaji boy love you..........
Nakukubaliiii Mr Tanzania, wwe ndiye rais wetu after mama Samia
Itatimia ,
Masikini saivi tumeshikwa Koo kila mala mahitaji yote muhimu ya kila sku yamepanda Bei yaani wanataka umaskini utuive vizur
That true
Thank you Gwajima.
Wasukuma Bwana yaani wafanye kazi cku moja halafu cku zingine wataishi vp
Acha ukabira
@@pascmedia1713 Sawa nimeacha lakini VP kuhusu kufanya kazi tuu watu wataishi vp
Keep it my brother Gwajima
You don’t choose color on your dealing 👍🏿
Keep it up
Well done
Big Mind.
👊👊👊👏👏👏👏.akili nyingi.
Bahati yenu mm sio Mungu hakika ningekuwa Mungu ningelipa titifor tat ningetangaz msiba wa vigogo na rais mwingine Tanzania tungebaki yatima na wajane na wagane pia
Machinga kufanya huduma kwenye maeneo kwa muda jioni yanafanyika Bunda nimipango kuwa mizuri niwapi wawe n'a wakati gani
Na ni vizuli kilewekea mpango mzima maana mliyo ya fanya hayatufurahisha Sasa sisi watoka vijijini tutaishije.
Na kingine maisha yetu nikutafuta Kila sku kla mda Ila Mambo mlo yafany hayato imlsh maish yt hp mjn maan tuspo fany hutuwez kul tuna LL njaa😭😭😭😭😭😭😭
Hongela San mweshimiwa kwakusema ukwel nakupongeza
Saf sana ngosha
Mashaallah ako sawa kabisa watu wameumia vyaktosha😢😢😢
Safi
Kiukweli Mungu ana sababu kukuweka bungeni.
Umeongea fact Sana gwajima
Kama haikuwa maana ya samia kuwafukuza na yote waliyo tendewa machinga ni kiongozi gani aliye wajibishwa?
Eti yeye sio simba wa yuda.
Huyu mama anaboa.
Amewaacha watu wajifanyie wanavyotaka
Msianglie bodaboda tu Manisha ya watanzania wa hali ya chino ni magumu Sana tumekata tamaa
Kariakoo juzi machinga kapewa kichapo na wagambo
Naongea mkono hoja 100%👍
Tena hao watendaji ndo wamevuruga masoko na ndo wamemwaribia Samia sifa tena tumewachukia mno tena mno jinsi tulivyovurugwa , labda waje na lugha laini ,tumevurugwa saaaana yaani machinga tumekuwa Kama wakimbizi
Wengine tumekuwa masikini hatujui kesho yetu ni nini!
Kwenye hili Raisi alikosea sana tena ukizingatia na yeye alikuwa kiongozi mkuu kati ya wakuu serekali iliyopita.
Naumia sana kila nikikumbuka nilipotoka na nilipo sasa hata hela ya kula hakuna.
Sijui tunakokwenda na hii nchi.
pole kaka
Thanks
Pole kaka tuzidi kumlilia Mungu atatufuta machozi
Mungu anawaona watoto. Wanalala na njaa wao wanashiba lnshaallh
Saf Sana gwajima!
Uyu mama chizi Hana kazi ya kufanya anaitesa nchi
Kama dhana yake haikuwa inamaanisha klilichofanyika sasa watekelezaji waliopotosha wakati wa implementaion kwanini hajawachukulia hatua au kukaripia hata.
gwajima kichwani uko vzr, ila yale mambo ya zaman ya kuwarudisha misukule achana nayo itakuondolea uamunifu maana ile inatumika kujitangaza tu ww tayar unajulikana
Achana na kusikiliza taarifa za mtaani fatilia ukweli halisi
kwa dunia yasasa kiongoz wa dini ni bora angejikita kwenye kufundisha watu wamjue MUNGU kuliko kuwafanyia usanii wa miujiza
Hili ni jitu kutoka KANDA YA ZIWA Kanda ya ZIWA kunavichwa zaidi kuliko pande zote TZ
Umeupiga mwingi Sana ndg
Muwe mnsoma msg vizur nirvyo muelewa gwajima siku zote unafanya bishara unavyo juwa ila siku moja hiyo ndo unaenda kuza barabarani
Gwaji boy
Serikali ya sasa siyo ya kuwatumikia wanyonge
Kwa nini zanzibar vitu vyote bei ni rahisi alafu mnatuambia nchi ni moja why?
Nenda kwenye masoko mapya mojawapo ununio kajioneeni wandishi wa habari mabanda tumejenga lakini hata choo hamna mbaka leo tunasubiri ,tukafanyie biashara wapi?
Hivi kwa nini wakati mwingine mbunge anapochangia vitu vinavyowagusa wananchi asipewe mda zaidi? Kuna wakati nilikuwa nasikia mh spika akisema "nakuongezea dk 3 kwa point zako"
Tena huku kwetu mkuu wa wilaya aliungana na watendaji na migambo walivuruga saaaana watu
Wewe ni bora umewambia hao hawajui
Gwaj boy
Lakini gwajima ukipanga siku eiza iwe moja au siku mbili kwa week hizo siku nyingine ambazo alizozoea kuuza na kupata kipato atakula nini sasa ?? Kuna mtu serikalini alisema eti wataanza kukamata na watu wanaonunua vitu kwa wamachinga sasa unajiuliza huyu kiongozi anajua kweli maana ya wamachinga au,? Au anaongea utopolo
Pumbavu hujaenda shule we're
Ametoa mfano na si kwamba amesema wafanye biashara siku moja.
@@thomasisdory1531 tuambie wewe ulienda shule
Yaan hapa nimaonevu tu kila siku huyu mama
Nashangaa sanaaa Kama Dodoma machinga wamejaaa mpaka bungeni wamepanga bara barani sielewi hiii nchi Ina tenda kazi kwa kuangalia maeneo kwani dodoma Ina nini mpaka machinga hawaondolewi
Wanaondolewa hata wao kuna sehemu inajengwa wahamie uko ilibidi tangu tarehe 1apr waondoke naona bado hawajamaliza ujenzi wa sehemu usiku
✌🏿
Kweli kabsa machinga wanateseka aseeeh
Hatuwachagui
Maana mnatuvuruga
Naona unamwekea mhe raise maneno kinywani,rais amesema wapangwe maeneo maalum na sio wapangwe barabarani
Yaani selikari yasasa inawatukuza wenyehela kupita kawaida aise😩😩
Tunawasubr kwenye kura
Sasa ngwajima kama alisema wapangwe kwani huyo laisi kama alisema wapangwe mbona wanavo pigwa anaona nahaogei Acha kumtete huyo msalit hana lolote mana angesema wapangwe hata wanavo pigwa bac angeongea ila mpka amekaa kimya inamana anapenda
Noooo!
In a month street vendors will only work four days a month? How much are they going to earn in those four days? How are they going to pay the expenses of their families. Acheni niwaambieni, hamna watu wanakula jasho la watu kama wabunge, na mawaziri.
Gwajima ndio alivyotaka
Mm acha nikae kimya tu
Tutavurugika kweli kweli
Hilo swala lakusema et mama hakusema wawafukuze machinga.wawa pange sio Kweli.kama alisema wawapange mbona mpka sasa hatuoni hizo sehemu walizo pangwa.hamna kumtete hapo uyo mama yenu ndio alietoa maagizo ya kuwatoa .
Gwajima una hekima saana,,kuna kitu kizur MUNGU ameweka kwako ndymaana unaangalia haki ya mtu
Watachemka sbb bila wajisilihamali watakosa kula
Sna comment ispokua mko juu
Wamachinga wawe na sehemu malum. Ya kufanya biashara. Kuliko barabarani. Mji uliaribika biashara mpaka barabarani.
Tambua maana halisi sio machinga Bali n (Marching guys) biashara ya kutembea
Nikiwa mdogo niliusikia wimbo wa Marehemu Justin Kalikawe unaitwa WAMACHINGA ila hadi Leo niko mkubwa bado tatizo halijakoma Hii ndo Bongo
Miaka 18 gerezani duh. Unatoka unakuta watoto wako washa zeeka.
Rais mwenyewe yuko kimya tu!
Hii ni Hayati Sana. Hili kundi siyo la kuchezea. Kuna kitu hapa