HUU HAPA UTENZI WA WAWI NI AINA YAKE JINSI ULIVOSOMWA
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2020
- Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
Wallahi huu sio utenzi tu,bali ujumbe kwa watu wenye aqili.
Yeyot alioko serikalini haya Ni mawaidha kwake.
Allah amzishie kila la kheri mtunzi wa utenzi huu!🤲
Allah atawafanyia wepesi watatoa kwa salama na amani waje kuungana na familia pamoja na jamii nzima
Kwakweli kijana wetu mzuri na anastahili sifa zauongozi. Jisi anavouongoza utezi Ana maana kubwa sana amina. Yaraab
Moza hujambo?
Jamaa mashaallwah, yupo vizuri
Asante sana utenzi murwa unanidai bahshishi Insha Allah ✋✋✋💜💜💜
Masha'Allah TabarakaAllah
Utenzi mzuri sana
utenz mzur mashaa allah umewagusa watu wa ccm watake wasitake watatoa tuu mara hii inshaa allah
Alhamdullilah umefikisha Allah atupe taufiq in shaallah
Kwa uwezo wa Allah atajaalia kila heri inshaallah
Utenzi Hanna ishu ,ishu kungowa cm madarakani Cheni Kurejea hayo kilasiku hatujaona jipya lakutolewa Ccm Madarakani Watoweni madarakani Tuone jipya
Mabrook
Kumuita muislamu mwenzaka maluuni hiyo si sawa.ba we maalumu safu upo hpo wasikiza tuu.lkb ujue ipo na cku yko.tangazeni sera nawala sikutukanana.hyo haki kweli itapatikana kwa kutusiana?
Sub han Allah
Hapana chezeaaaa ACT
Uko vizur
Subhanallah nataka nicheke lkn naogopa jamman Dunia Ina vituko hii CCM mambwa Hawa lkn inshallah Mola atawafedhehesha iwe mfano na funzo kwa wngn ccm حسبي الله ونعم الوكيل
Unaapiza muislamu mwenzako kisha unafrahia?hi dini musichanganye na siasa binafsi
Mambo yanaiva ishaalla heri
Mola awape marazi mabaya wenye nia mbaya nauchaguz ujao
Mtihani. Mwaka huu
Masha' allah
Upo vzr
Utenzi wote act huyu ndio kiboko yao
MASHAALLAH TABARALLAH TAALA
WEWE NOMA MAANA HUU SIO UTENZI NI UJUMBE MZURI
mashallah
Mashaallwah maashaaallwah maashaallwah maaashaallwah maashaallwah maashaallwah
Weweeeeeeeeee
me nashanga iyo shida ikija kwa kila mtu tena awo ccm ndio kuzidi lkn hawasomi half maisha magumu. but kwa mungu hakuna kubwa wajuwe walikuwa wengi wenye kujinadi leo wako wapi. km shida na maish magumu kila mtu
Utenzi hasa mwenyewe alikua saidi utenzi almarhum yule mzee we wacha tu
Said Hamad alifariki Allah amlaze mahala pema PEPONI AAMIIN alikuwa akisoma vizuri sana
UMEONA YULE MMM MUNGU ALIPA SAUTY MUNGU AMFANYIE WEPES😢😢😢
CHADEMA NA ACT WAZALENDO TOENI TAARIFA MAPEMA UNITED NATION MAMBO MNAYOFANYIWA NA TUME ZA UCHAGUZI, CCM NA POLISI.
مشا الله تبارك الله الله
Amima amina amina yarabbiy
Nalia kwauchungu yarabbiy tujaalie salama umma wako ulinde na shar ya makafir hawa ccm
🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
HUYU MSOMAJI KANIKUMBUSHA MSOMAJI ALOFARIKI SAID HAMADI MUNGU AFANYIE WEPES KTK MAISHA YA AKHERA 😢
Mash,mash,mash,ya Habib ana kulu maalum ziada.
Kutoka Oman pamoja sana
Hujambo
@@AliRaza-wq3sp nashkuru Alhamdulillah
Sadakta utenzi maneno kumtu
Umepangika maneno yatawagusa
@@hidayabakar7026 Allah atufanyie wepesi
Allah karm
Mmmmmmmmmh
Lanatulla. Mungu hatosimama naoishaalla
🤣🤣🤣🤣
Na nyie mmeuwa ivoivo askari mmemkata kichwa km kuku au mmesahau mmeuwa wengi tu c wa kusema nyie mnyamaze tu
Hahahahahahahahaaaaa ukweli unaumàaaa
@@farhatsalum1871 ndokwanza ujue km ukweli unauma naona umejichomoza kwa kupewa ukweli kumbe mnaumia ee utacheka sana hata bado na mwisho utalia
@@rukiasalum631 nitacheka sana kweli atanikilia nitalia kwa furaha
@@farhatsalum1871 utalia kwa huzuni hutolia kwa furaha ilo nakwambia
Hata nikilia nitalia duniani sijui nyie mtakaoloa akhera
Askari hapigi raia burebure nyinyi ndo mnoanza fujo sasa wakuachieni tu tulieni msifanye fujo muone kama watakuguseni
Hao askari hmn akili km ww
@@mussaseifabdullwahid341 ww ndohuna akili unopelekeshwa na sefu ufanye fujo mkishikwa na askari mlalamike yy katulia kwake nyinyi mnapata tabu zindukeni nyinyi
@@rukiasalum631 Mm hunambii chochote wala hunidanganyi khs aakari maana nna rfk zangu wengi askari na nnawambia wasitumike vby na wanasema kweli leo wapo kzn kesho hwp wp uraiani.Kwanza kubambikia kesi watu funguka ww mwanamke au kwakuwa hayajakufika au ndo nyie mnogawa uchi mkaachiwa?
@@mussaseifabdullwahid341 Nawala hayatonifika mana nimetulia kwangu sina fujo na mtu na sifkirii askari akakufata nyumbani kukupiga km hujafanya fujo wanaakili zao wakikufata umehusika na fujo
@@rukiasalum631 Omba Mungu tu yasikufike wangapi washachukuliwa majumbani mwao