MAALIM SEIF:MKUTANO WA KAMPENI MAGOMENI 14-10-2020
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2020
- Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
Yaarab tunakuomba mjalie kheir mwalim seif Sharif na wale wote wanaomkubali nasiomkubali waonyeshe njiaaaaaaa
Asante maalim seif ulitetea taifa na ulidhamiria ila mungu kakupenda upumzike salama mungu akujaalie uko uko uliko pepoyako inshaallah na utuombee dua huk wananchi wako twateketea kwa njaa kutokana na uongozi mbovu wa ccm (wadhalimu) mungu atawalipa si mda mrefu inshaallah ila waelewe Allah hana haraka na viumbe alowaumba!
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD Kwa uwezo wa allah utapata URAIS INSHAALLAH AMEEN YARABB
Hongera sana maalim uskate tamaa tukopamoja nawe mzee shkamoooo
maalim seif ww ndiye raisi wa zanzibar na kwa uwezo wake ALLAH utakuwa raisi wa zanzibar
Ww ndio kiongozi tunaekukubali hongera baba ikulu iko wazi
Inshallah Mungu akikujaalia utaupata uraisi kwa uwezo wa Allah sio kwa uwezo wa kura za wananchi mana kwa kushinda kila siku unashinda lkn hawakupi sasa mi cha kukuombea ni Allah akujaalie upate
amiiin
Amiin
Ameen
Aamin
Amiin
Hampaswi kukata tamaa Allah atawasaidia
In shaa allah
Safi sana Rais ulobakia
maalim seif ndie kiongozi ninae mpenda mana namuona nimwema
Hongera rais wa zanzibar
Zanzibar zazibarau
Vibaraka wa CCM wametunyima raha ya nungwi lakini mwisho wao ni tarehe 27 /28 inshaallah kwa uwezo wake mwenyezimuungu mwalim seiff shariff hamad atatuongoza katika taifa hili la zanzibar inshaallah
Safi
Malim seifu nakuamini asilimia mia moja utaya badilisha maisha ya maskini wa ccm na maskini wa act n.k kua katika hali nzuri ya kimaisha
Inapendeza nduguzagu zanzibar
act oyeee
Oyeeeeeee
Hongera
Wasokupenda hawajui thamani yako wajue tu kuwa old is gold
Mbona RVS hamujatuma mkutano wote
tunakuamin mzeee ya kazi ww
Mungu akupe nguvu ishaalla maalim sef maoni yangu ni kura hazina shaka 🤙 sikuzote kutangazwa Ndio mtihani mkubwa
Hmm kuchi amewika yarabi salama
Kura zote kwako maalim seif raisi wa wazanzibar
Wanzanzibar wasijali chama wajali maslahi yao tu. shida Zao hazitatuliki kwa chama zinatatulika kwa uongozi mzuri .kila mmoja anahaki ya kuchagua chama anacho kipenda, kura kwa ACT
Mungu atupenguvu tuikomboe zanzibar
Aamin
Ammin ammin
Wazee wtu waliteswa na NYERERE. Na kizazi kipyai kinateswa na mchina mweusi jambazi magufuli
Hahahhahaha dah umetishaaaaaa mzee
Vipi leo hamuendi tumbatu
Malim atakama wamekufungiya lakini sie bado tutakuwepo
Maalim hongera tunakupenda mmungu akuweke akupe umry mrefu amina yarrabi. Wasokupenda hawajui thamani yako ni crazy.
Naku Bali nawe Maalim seif na Timu yako ya ushindii. Ww una hikmaa na system ya siasa
We are all together
Sawa
Yarabi t2nakuwomba kw uwez wako n ut2kufu wko marahii ccm uiyangushe chin kmmfano wa mti ukiangusha majani yke au mat2nda yke ardhin uwajaalie ccm uwatowe ngufu wawe wazaifu ck hiyo waiache serakali y zanzibar
Hakuna rais kama wewe
Wanafiki hao. Maalim usipate shida watu washaamka. Kilakitu anajuwa nini kiendeleyacho duniyani
Maalim rusha ni njaa tu ikiwa mishahara inatosheleza na kila wikibili unapokeya check yako kuna sababungani ya rushwa maalim wewe umekuja marekani je ulisikiya rushwa. Hiyo ni njaa tu
Ccm kwisha kabisaaa
Tatizo lako kesho unabadilisha msimamo wako ndio mama nikaamuwa kuachana na ww
Allah akufanyie wepes uingie ikulu bila mashaka
@@mayasalum9794 hahahaha
Sefu hunaishu
huu ni wizi ufisadi na rusha hawa kina srif ali iddi wanatakiwa wapelekwe mahakamani na wazitapike mali zote
Cc
ati babuali
La msingi tuingiye tu madarakani. Mambo yote yanawezekana.
Wambie vikosi wakipewa kura ambazo zishatiwa tiki ili watumbukize kisandukun wacizitumbukize had wazihari wachague wagombea wawili au watatu napita tu
Kaka ongea SERA BHANA SIO KUBEZA BHANA HILO TATIZO LAKO
Sera sisi tunazijua
Sera zishaongelwa sana na wazanzibari wote washasikia na wadhafanya maamuzi saivi ni kujibu mapigo
Kalale wee babu
Akalale na ww au sio
mjinga huyo
Adhan ww unahashuo.kwan rais anabeba zege
Adhan wewe sawa sawa na hao wajinga wenzio viongozi wako ujue tu kuwa old is gold
Mabunju ukiwambia hili ni jiwe wao wanakuambia mchanga hawajui kutofautisha mchanga najiwe
act oyeee