UTENZI WA UZINDUZI PEMBA TIBIRINZI
Вставка
- Опубліковано 14 вер 2020
- Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
Wapemba munavipaji mashallah. Mungu awazidishie ishallah...
Sio lugha nzur ndugu yangu kuita Wapemba au waunguja hiyo ni chanzo cha ubaguzi 🙏🙏🙏
Utenzi mzuri sana
Very nice, ujumbe umefika
Utenzi upo vizuri hongera
Mashallah utenzi nzuri sana
Hongera sana, unaweza ila mazowez ni muhimu ili kujenga pumzi
Kk waweza tuko pamoja
Masha'Allah utenzi mzuri
Jaribuni muone kitakachotokezeesa waweza wee bunju da Amina
Mashaalla
mashaa allah ulipo tupo baba sefu
Good jobs my.brothe salam zangu kutoka USA marekani
Big up brother
Napenda sn utenz bela
Kwl siyasa mchezo mchafu
ماشاءاللہ
Mashaallah
Mara hii tupo tayari sirro upo
MashaAllah
Mwaka huu isiwe kama 2015 bora tuumizane tu huu uhanithi
Rahaaaaa kamazoteeeèeeee
Nilikua naumeusubiri kwa hamu
mashaaallah
Yaani utenzi mzurii umepangika .aneno
👌👌👌👌👌✌️🏋️💯
Hongera
👍👍
Màrhabaa
Vitu vitanu kama hivi mbona mbavichekewesha @RVS
Jaribunimuoneee kitachotokokezeaaa
Kitokezee tu kwa wema kila nafs itaonja umaut kama waogopa kufa bas waogopa ww kwa maovu yako 😏😏😏😏😏😏
Hakuna lolote tumeumbwa tutakufa
Kam nan we
Mmm boranigune mmeshindwa cuf mtaweza ect mumeazakujigawa wenyewe kwawenyewe
Ww nawe kuawashwa huachi 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Unaguna umetiwa mboo
@@yunussothman7422 🙄🙄🙄😂😂😂😂😂🦁🦁🦁Ww wacha kumwambia ivyo
Tafuta yako we dada
Ss mnatukana nyinyi ss nduguzanguni ktk imani tumiyeni hekma na busara Allah ndiyo anajuwa ni nani atashinda Kati ya CCM HOSEIN mwinyi au ACT maalim seif UZALENDO Allah ndiyo anajuwa ss wanaadamu wallah yaalam maana hatuijuw kesho yetu ss mnatumiya maneno km haya makali unazani ni kitu gani kitatokeya hapo sii ni kutiwa ndani baadhi ya watu Allah awafanyiyeni wepesi ktk uchaguzi huwo pasifemtu na pasiingizwe mtu ndani maana majonzi makubwa sana mashekhe wapo ndani mpaka leo na tatizo ndiyo hilo hilo
ua-cam.com/video/ZRLUOkogYgM/v-deo.html bongo fleva ya act wazalendo
We fatma khimis nani kakwambia kama siasa ni mambo ya kidunia kasome vizur utaona tumeambiwa tuchague kiongozi pasipo na kiongozi anakaa shetani wewe huna lolote
Kweli siasa pasua kichwa ila tunawakumbusha Mungu hakuumba siasa siasa ni chezo wadunia tu hivo jitahidini kwenye kuchunga mipaka yakuvunja amani amani ya Tanzania ndio hazina yetu jitahidini idumu
Kwn wanawake wa kusoma utenzi hawapo au?????????
Hayakuhusu kwani wanaume hawasomi utenzi au
Kwani nilazima wana wake mara zote tokeya cuf wasoma wanaume tunajiamini
Wanawake tume wachia wawasomee ccm
@@zuhuramuhanga5400 🤣🤣🤣🤣🤣. Mwambie uyo mjinga asotaka kujifunza
😅😅😅😅huku kwa wenzetu balaa
Sasa mbona hutuba hutuletei unaleta utenzi tu
fuatilia rvs online tv unapata hutuba
Kunawatu wengine wajinga kweli ivi mumeona mwanamke pekeyake ndie pekeee tu kusoma utezi mbona ww mjinga ...!
Maneno tu hayooooooi
Maneno tu hayooooooo
@@khamishajji9796 aghui hujaelewa swali langu alielewa ameshajibu nimehoji kuhusu hotuba ya maalim pemba
Mashaallah.
Mashaallah