HD VIDEO: BANDARI YA DSM YAVUNJA REKODI, MELI YENYE MAGARI 4,041 YATIA NANGA
Вставка
- Опубліковано 21 жов 2024
- Bandari ya Dar es salaam imeweka rekodi mpya ya kupokea meli kubwa yenye urefu wa mita 189.45 ikiwa na shehena ya magari 4,041 ikitoka Japan ambapo magari 2,936 yanakwenda nje ya nchi huku 1105 yakibaki Tanzania.
Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania amesema Erick Hamis amesema haya ni matunda ya maboresho waliyofanya.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameagiza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuanza kutumia Bandari za Nchi Kavu (ICD) zinazokidhi vigezo ili kupunguza msongamano wa magari bandarini.
Tutakukumbuka daima mwamba wetu ulituheshimisha wa tz lakini nyota yako ilizima gafla bado tunalia Mungu akuweke pema Ameen
Salute kwa Magufuli mzee baba mungu akupunguzie adhab apo ulipo
pumbavu sana,yeye ndiye kaijenga,au mnapa sifa za kipumbavu, RIP jpm
Rip the visionary father. Kazi iendelee. Congr. Our active minister.. harakisheni kukamilisha sgr na bwawa la JNHP mtaona makubwa zaidi.
Rest in peace JPM. Maono yako kwenye nchi hii yataishi miaka na miaka.
Tulipoteza kiongozi wa kipekee sana. WAPIGA dili sasa wanashindana kumtukana, kumkashifu Magufuli. Rest In Peace my beloved JPM
Mashaallah allah ibariki tanzania 🙏🙏🤲🤲
Pongezi kwa jpm,mwamba wa afrika alieamua kupanua bandari
Kufariki Kwa JPM Ni pigo Sana kwasababu bado tungeyaona mengi Ambayo Hayapo Tanzania Yetu
Viongoz watanzania cjui wana nn vuchwan mwao kunamtu kaupiga mwingi kama Mzee magu hakuna na wala cjaona xaxa bado sana ckatai she us trying but not better then Magu mzee I salute you mzee
Kazi ya mzee Baba kongore kwake aisee alikuwa na maono mapana 👍🏼
RIP mpendwa wetu hayati MAGUFURI na msemo wako wa hapa kazitu uliweza kutanua babdari ya Dsm hayo ndo manufaaa na kaz iendeleeee
Kusema kweli kufariki kwa JPM dah tumekosa mengi NI sawa unaangalia movie mpya nzuri umeme unakata na hauna matumani ya kurudi ndo kilichotokea mpaka Leo umeme haujarudi
Kweli kabisa Wala ujakosea aiseee
Pongezi ni kwa JPM kwanza ambaye ndo alipambana hadi kufikia hapo
Alipambana nn?
@@malopemaliyamungu5243 kuma wewe ujui
@@ethanethan4437 Daah! Haya na wendawazimu nao mpo. Mkikatwa vidole msiweze kuchat itakuwa sawasawa pia.
@@ethanethan4437 Duu 🤣🤣🤣
@@malopemaliyamungu5243 Si mchezo
Anko Magufuli hakika umetengeneza msingi mwema kwa watanzania R.I.P
Baba umenena nafikiri wachumi wanakuelewa👏🏾👏🏾
MAGUFULI, oyeeeeeee
Nashangaa kuona hakuna namna tunaweza kukagua hayo magari kwa haraka!!!. Boresheni miundo mbinu. JPM also aliona hiyo fulsa ya kipato na ajira. Mnaipoteza tena.
Hayo magari mya kague vizuri yasije yakawa na mabom ya uqren
Kodi inayolipwa bado haitoshi, makato ya simu, basi punguzeni ushuru na kodi za mafuta ili wananchi wasiumie. Manake mwisho wa siku anayeumia ni mnyonge tu. Bakhressa, Mo, GSM, mawaziri, wabunge na wengine hawana hata habari ya kupanda kwa bei manake wanapata buree
Kweli kabisa
Mwambie spika ambaye amezuia hoja binafsi ya mbunge aliyetaka bunge lijadili mfumuko wa bei alafu spika kadai si jambo la dharura hilo.
Mjomba jpm namkumbuka sana
Congratulations
Nice
Hiyo bandar ajajenga bib tozo sawa kajenga baba yetu magufuli sasa kwann hamtaki kumpa heshima yake
Alijenga aka weka matofali wa china wame jenga
Hongereni san
Naomba kujua jina la hii meli
Nchi ya ajabu sana,
Is good things
Lakin ckwaugumu huu wa maisha.
Tupeni kazi basi,vjana tupo huku nje mnatoa masharti ya ajabu ajabu!
Vunjeni record kwa mapato acheni utoto😏
millard uyu rais anapongezwa kwann? awa viongoz wanafki mnoo wapongez upumbavu
Big shai
Cut the bullshit Millard ur doing the great job. I love the drone view my brother
RIP JPM 🙏
PIP JPM ndo nini ...huyo kasha kufa achana nae baadhi ya watu mnamuona kama vile akuwa binadamu kama sisi mambo ya ajabu
@@hamzaswaibu9470 RIP JPM CHUMA...ENDELEENI KUOGOPA!!!
Mbona kama naiona meli ndogo kuliko idadi ya magari
Nenda kaione live hii ni camera mweuh wewe
Container kulikua na how many moves? na General cargo mulikua na how many Tons?
Yaani jumla ya magari yote hayo hamna gari lenye bei kubwa 🤣🙌
Sasa mnaposema eti asante Sana Raisi Kwa nini hamsemi Asante Sana Raisi JPM??? Mbona mwatuchananya???
Ona sasa hata nafasi ya kupokelea mizigo mingine hakuna tena. Badala mlete meli ya mafuta ya mboga mnatuletea ujinga tupu. Sasa hayo magar yanamsaidia nini mwananchi wa chini.
Mpe maskini haki yake.... kwa kweli. 🤔
Video yenyewe mbona inaonhezewa2 dakika
Bila JPM kupanua hiyo bandari hiyo Meli isinge kuja. Hata mkikwepa semeni tu ukweli. Tunahitaji ujasiri wa kufanya miradi mikubwa!
Jielewe wwe
@@dahero160 RIP CHUMA...DAIMA TUTAKUKUMBUKA....HATA KAMA WEWE HUTAKI HUO NDIO UKWELI
Ningekuwa bibi wa tozo ningeomba talaka siwezi kuishi namme asie nipenda nalazimisha tu
Viva ...
Yaani Tanzania bwnaa , hii Meli ilivyokuja hivi kila mlaji hapo ataka ale 🍺 mpk wanakuja kuondoka hayo mavikwazo watakayo kutana nayo hawo jamaa hawawezi rudi tena na meli Yao.
Yaani historia itaandikwa na itajifuta sekunde , hii nchi hii aiseee !! Nyie tazameni.
Hata awatoi makadilio ya kodi watakayo kusanya wao wamekomalia imevunja lekodi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mafisi camp
Sawa mama anaupiga ndio lakini kwa sehemu ambazo Jpm alipambania muwe mnasema nyie, mbona yeye jpm alikua anasifia waliopita na kufamya vizuri?? Sisi waelewa tunajua kua asilimia 80% ya mnayofurahia nchini ni kwa sababu ya Hayati Jpm, fanyeni siasa za kisasa kumbukeni watanzania kwa sasa tunatambua kila kitu,,
Wewe kila kitu JPM kila kitu JPM
JPM ametueshimisha mpaka Sasa na hatotokea Kama yeye
@@andrewmanaku maoni ya hovyo mno hayo.
@@abdulmvungi9609 Yaani hawa watu usiwalaumu... JPM alizuia media zisiseme chochote zaidi ya kumsifia. Haya ndio matokeo ya sifa miaka 6 alioongoza. Sijui angekaa miaka 10 ingekuaje? Hiyo 6 tu wakaanza kumtukuza eti mungu. Achana na hao vipofu. Tanzania haitarudia tena huo ujinga... Wagombea Urais lazima wawe veted kiuhakika ili kuepuka makosa Kama hayo yasijirudie tena.
@@malopemaliyamungu5243 Mgombea Uraisi yupi unayesema awe VETED? Mafisadi wa Bagamoyo na magange Yao ndiyo yawe VETED. Mpuuzi bendable na upuuzi wako!!!
Magal au viberid ivyo uber izoooo
TUMEVUNJA REKODI.
Eti kwa kushusha magari mengi. Tuambieni hali ya mapato ikoje.Ni kweli bandari iko bize sana haijawahitokea.bidhaa zinashuka nyingi sana .Ufisadi umerudi kama zamani.bandari bubu za kiupigaji zilizofungwa na JPM,leo zinaoperati kimyakimya.wizi mkubwa unapitia kule.nobody is speaking.
Wanatufool.viini macho hivi.nchi imepata nini?
Magar mengi lakn barabara hamna na mnashindwa kujenga barabara zajuu
Bandari yetu bado kuna urasim mnajisifia lakini tatizo bado lipo , bado wateja wengi wanakimbiria mombasa, mjitathimini
Sijaelewa tunasheherekea meli kubwa kuja tz,nafikiri tungeelekeza nguvu kubwa kwa walala hoi .
Duh
Fikeni kwangu pia washikaji 🙏
Hayo magari sio yawizi? Kutoka Ukraine ?
Mmmmm watatuletea mabomu nyie furahieni kwa kuwasaidia kukagua hao sio wazuri mbona hatujifunzi?
0:51 je kodi inalipwa
Hongera mama
Ya singapore ndo myakague kabisaaa
Acheni kumpa sifa uyo mwanamke kazi imefanywa n mwengine ww musimpe sifa z bule
"Musimpe"😀😀😀. Ama kweli tusomeshe watoto
@@sahimm4767 Ubongo anao tatizo namna ya kuutumia. Yaani ana ona husda kusifiwa Alie hai.
@@sahimm4767 Kwani anachokisema ni uongo mkuu
@@hellendaniel3809 Kwani ni kipi alichokosea hapo 🤣🤣🤣🤣
@@williamsville3493 hampendi mpaka amekosea kuandika.
Kwani wenzetu mnapochukia watu huwa mnapata faida gani?
Sijui langu lipo hapo
Na langu lipo humo😉
Pangua wafanyakazi wote wa hapo bandarini maana wanajua wanachokifanya, Wanapiga hela tu hapo
Lakwangu litakuja watakapo anza kukagua Japan.
Inalipa mapato hiyo mizigo... Lakin pia mjenzi wa hiyo gati ni JPM
Umeona mzee uyo mama ana anachofanya ye anazunguka n ndege tu ana mpango wowote
@@sahimm4767 unataka sifa za nyerere apewe kikwete? We ndo huna akili mwambie mamaako afanye jambo litakaloacha alama ili nayeye asifiwe..kuendeleza miradi iliyokwisha pangwa sio ubunifu
Wa Tanzania akili zetu fyatu Sana..Kikwete Alisemaga Tunaanza Sie watamalizia Wengine Watasifiwa Wao Ila Letu Wote moja sasa Kwa Sababu tu hamumpemdi.MTU Mnasahau Angeamua kuweka kapuni unafikiri ingeisha Hiyo..Tambua Uongozi ni Mnyororo..Nikukumbushe Terminal.3,Mwendokasi alianza Kikwete ila Alimalizia JPM alisifiwa Yeye na Hakuna Kikicho harbika Mambo.yamesongaa mbele..Treni ya Mwenndo Kasi mipango ypte Ilikuwa kwa Kikwete JPM akaja akamaliza.Barbara ya Arusha-Singida-Mwanza Ilikuwa Enzi za Mkapa Alimalizia JK shida...
@@aronatv47 achana na story za kisiasa..serikali kuhamia Dodoma ni mipango ya myaka ya 80, kujenga bwawa la umeme ni ndoto za nyerere..anasifiwa mtu mwenye kufanya maamuzi na kuyasimamia sio porojo kama kikwete.
Watanzania wanaakili wachache kama wewe ndo mnasababisha wote tuonekae hatuna akili.
@@ototek8037 Sasa Nilichosema Na Hicho Unachosema wwe ni Kipiii..ni kilel kile labda kama Lugha imekuwa ngumu..Ila Uongozi ni Mnyororo ndio Hayo unayosema Sasa Aliwaza Mwingine Mwingine akafanya Kipi ni kipi Sasa..Yaani kwenye Project alie waza na Alietekeleza wote ni wa.moja tu bila Wazo utafanyaje Sasa..?
Na wasipongezane tu tunataka kodi zipatikane n zilete matokeo chanya kw kuijenga nchi
Yaani huyu mama anakusanya Kodi lakini wanatukamua tuu
Acheni ujinga JPM ndo kafanikisha yote ayo
Wana nchi wanakufa kwanjaa nyie mnaleta magari nani atanunua gari kulayake inamshinda
Hayo magari si yakuuzwa hapa, yanapita njia tu, kwenda Congo, Burundi, Rwanda na Uganda. Nchi hizo hazina Bandari wanatumia Badari yetu
Pia hayo magar ni ya watu binafsi ndo wameleta na mengine ni ya watu wa nje ya nchi.
Unaweza kuta wamevunja lekodi ya kupitisha mizigo bila kulipia kodi iinchi MUNGU yupo ipo siku yenu
@Petro Yohana jielimishe kwanza
Sawa wewe ulie elimika nausijue ujinga ndio ulio kufikisha apo ulipo ongera
@@peterjohn1969 Jielimishe kuhusu Kodi bandarini.. ukitaka utapata takwimu.
Mwamba jpm
Badala ya ku import machines kwa wingi tunaingiz magari ya kutembelea.poor africans
Hilo nalo wazo kama🤝🤝
La kwangu lipo hukohuko
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
We Chikenya ukome kabisaa just mind your Chikenya pumbaaavuuuu we we hate you
@@shinipapaya846 Wewe Shini huyo mkenya kakukosea nini?? Acha upuuzi
@mimi raia usafishe......kisha nakuja na shanga
Tatizo n mafuta oi
Bado mnaendelea na ujinga huu wanmsongamano, Bandari kavu ya Kwara mlijenga ya Nini hasa msitufanye sisi wajinga,
Tuliapa kutunza siri, tunazitangaza.
Unashukuru mweshiwa rais kwani kajenga yeye wakati kawezesha jambo hili Jpm au umekua kipofu...
Macorona Yaliwafanya Watu Waje Kufanya Biashara Uku Sasa Magali Wakulima Wa Vijijini Awana Balabala Wanafaidika Nanini Au Tz Kama Daraja2
Uchafu wa ulaya huo
Mh
Kwa mwananchi wakawaida hali ni mbaya sana mafuta ya kula ndoo ndogo tsh70elfu vitu vyote bei juu mitozo kodi mlima na sasaivi usafiri umepanda bei sana coz petrol na disel ni balaa
Haha dump ya magali taka, zingatieni viwango vya magali.
Africa viongozi wetu sijui niseme kama wamerongwa ama ndio kuficha mianya ili wapige hela ndefu, yaani tokea tupate uhuru, Rais magufuli ndio kaja kafanya makubwa kuliko viongozi wote. Na vitu vya muhimu vinaamuliamuliwa na yeye, sijui viongozi wengine wanafanya kazi gani, Kuna mambo mengi sana ya kufanya, mfano mbunge fulani katoa maoni itengenezwe maghala ya mafuta ya taifa, na kuna mambo mengi sana ya muhimu kuliko kwenda kununua ndege halafu tuzipaki pale airport.
B
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
m.ua-cam.com/video/ic27SZTY_fs/v-deo.html
ICD hapo nyuma zilitumika kukwepa kodi
Kwanin nyie hamukai mukpanga 👩⚖️👉tulizen akili zenu kabla ya maamuzi yenu🤔 maeneo yenu mumeyabana halfu munabeba mizigo mikubwa na nakuyashindilia na kuwasumbua wateja👋ingawa nivinzur Tanzania kubeba mzigo mkubwa ila mujipange👩⚖️
Iyo recod ilio vunjwa ni Record ya wapi sasa mbona uja tuambia ni record ya Dunia au ya Africa
Nitumie namba yako
MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
m.ua-cam.com/video/ic27SZTY_fs/v-deo.html