HD VIDEO: BANDARI YA DSM YAVUNJA REKODI, MELI YENYE MAGARI 4,041 YATIA NANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024
  • Bandari ya Dar es salaam imeweka rekodi mpya ya kupokea meli kubwa yenye urefu wa mita 189.45 ikiwa na shehena ya magari 4,041 ikitoka Japan ambapo magari 2,936 yanakwenda nje ya nchi huku 1105 yakibaki Tanzania.
    Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania amesema Erick Hamis amesema haya ni matunda ya maboresho waliyofanya.
    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameagiza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuanza kutumia Bandari za Nchi Kavu (ICD) zinazokidhi vigezo ili kupunguza msongamano wa magari bandarini.

КОМЕНТАРІ • 142

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 2 роки тому +12

    Tutakukumbuka daima mwamba wetu ulituheshimisha wa tz lakini nyota yako ilizima gafla bado tunalia Mungu akuweke pema Ameen

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 2 роки тому +6

    Salute kwa Magufuli mzee baba mungu akupunguzie adhab apo ulipo

  • @olenyghosho7008
    @olenyghosho7008 2 роки тому +13

    pumbavu sana,yeye ndiye kaijenga,au mnapa sifa za kipumbavu, RIP jpm

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 2 роки тому +11

    Rip the visionary father. Kazi iendelee. Congr. Our active minister.. harakisheni kukamilisha sgr na bwawa la JNHP mtaona makubwa zaidi.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 2 роки тому +12

    Rest in peace JPM. Maono yako kwenye nchi hii yataishi miaka na miaka.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 2 роки тому

      Tulipoteza kiongozi wa kipekee sana. WAPIGA dili sasa wanashindana kumtukana, kumkashifu Magufuli. Rest In Peace my beloved JPM

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 роки тому

    Mashaallah allah ibariki tanzania 🙏🙏🤲🤲

  • @chidigangati7946
    @chidigangati7946 2 роки тому +3

    Pongezi kwa jpm,mwamba wa afrika alieamua kupanua bandari

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 2 роки тому +6

    Kufariki Kwa JPM Ni pigo Sana kwasababu bado tungeyaona mengi Ambayo Hayapo Tanzania Yetu

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 2 роки тому +4

    Viongoz watanzania cjui wana nn vuchwan mwao kunamtu kaupiga mwingi kama Mzee magu hakuna na wala cjaona xaxa bado sana ckatai she us trying but not better then Magu mzee I salute you mzee

  • @archnidquasar7314
    @archnidquasar7314 2 роки тому

    Kazi ya mzee Baba kongore kwake aisee alikuwa na maono mapana 👍🏼

  • @patricialpatrick9927
    @patricialpatrick9927 2 роки тому +8

    RIP mpendwa wetu hayati MAGUFURI na msemo wako wa hapa kazitu uliweza kutanua babdari ya Dsm hayo ndo manufaaa na kaz iendeleeee

  • @adamyasin4089
    @adamyasin4089 2 роки тому +7

    Kusema kweli kufariki kwa JPM dah tumekosa mengi NI sawa unaangalia movie mpya nzuri umeme unakata na hauna matumani ya kurudi ndo kilichotokea mpaka Leo umeme haujarudi

    • @andrewmanaku
      @andrewmanaku 2 роки тому +2

      Kweli kabisa Wala ujakosea aiseee

  • @williamsville3493
    @williamsville3493 2 роки тому +20

    Pongezi ni kwa JPM kwanza ambaye ndo alipambana hadi kufikia hapo

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 2 роки тому +5

    Anko Magufuli hakika umetengeneza msingi mwema kwa watanzania R.I.P

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 роки тому +4

    Baba umenena nafikiri wachumi wanakuelewa👏🏾👏🏾

  • @gilbertidi9682
    @gilbertidi9682 2 роки тому +2

    MAGUFULI, oyeeeeeee

  • @isaacmapunda2261
    @isaacmapunda2261 2 роки тому +5

    Nashangaa kuona hakuna namna tunaweza kukagua hayo magari kwa haraka!!!. Boresheni miundo mbinu. JPM also aliona hiyo fulsa ya kipato na ajira. Mnaipoteza tena.

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 2 роки тому +3

    Hayo magari mya kague vizuri yasije yakawa na mabom ya uqren

  • @zenj1986
    @zenj1986 2 роки тому +19

    Kodi inayolipwa bado haitoshi, makato ya simu, basi punguzeni ushuru na kodi za mafuta ili wananchi wasiumie. Manake mwisho wa siku anayeumia ni mnyonge tu. Bakhressa, Mo, GSM, mawaziri, wabunge na wengine hawana hata habari ya kupanda kwa bei manake wanapata buree

    • @natual7572
      @natual7572 2 роки тому +1

      Kweli kabisa

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 2 роки тому

      Mwambie spika ambaye amezuia hoja binafsi ya mbunge aliyetaka bunge lijadili mfumuko wa bei alafu spika kadai si jambo la dharura hilo.

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 2 роки тому +1

    Mjomba jpm namkumbuka sana

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 2 роки тому +1

    Congratulations

  • @kaozyahighschool8436
    @kaozyahighschool8436 2 роки тому +2

    Nice

  • @officialtiptipp2420
    @officialtiptipp2420 2 роки тому +3

    Hiyo bandar ajajenga bib tozo sawa kajenga baba yetu magufuli sasa kwann hamtaki kumpa heshima yake

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 2 роки тому

      Alijenga aka weka matofali wa china wame jenga

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 роки тому

    Hongereni san

  • @jescarjulius6028
    @jescarjulius6028 2 роки тому +1

    Naomba kujua jina la hii meli

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 2 роки тому +2

    Nchi ya ajabu sana,

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 роки тому +2

    Is good things

  • @fikiriselemani100
    @fikiriselemani100 2 роки тому +4

    Lakin ckwaugumu huu wa maisha.

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 2 роки тому +1

    Tupeni kazi basi,vjana tupo huku nje mnatoa masharti ya ajabu ajabu!

  • @vickhongole6611
    @vickhongole6611 2 роки тому +1

    Vunjeni record kwa mapato acheni utoto😏

  • @kenedyndunguru9068
    @kenedyndunguru9068 2 роки тому +3

    millard uyu rais anapongezwa kwann? awa viongoz wanafki mnoo wapongez upumbavu

  • @sitaralaurent5810
    @sitaralaurent5810 2 роки тому

    Big shai

  • @wanzakleruu
    @wanzakleruu 2 роки тому +5

    Cut the bullshit Millard ur doing the great job. I love the drone view my brother

  • @sabbob574
    @sabbob574 2 роки тому +3

    RIP JPM 🙏

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 2 роки тому

      PIP JPM ndo nini ...huyo kasha kufa achana nae baadhi ya watu mnamuona kama vile akuwa binadamu kama sisi mambo ya ajabu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 роки тому +1

      @@hamzaswaibu9470 RIP JPM CHUMA...ENDELEENI KUOGOPA!!!

  • @newking6497
    @newking6497 2 роки тому +3

    Mbona kama naiona meli ndogo kuliko idadi ya magari

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 роки тому

      Nenda kaione live hii ni camera mweuh wewe

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 2 роки тому

    Container kulikua na how many moves? na General cargo mulikua na how many Tons?

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 роки тому +2

    Yaani jumla ya magari yote hayo hamna gari lenye bei kubwa 🤣🙌

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 2 роки тому

    Sasa mnaposema eti asante Sana Raisi Kwa nini hamsemi Asante Sana Raisi JPM??? Mbona mwatuchananya???

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 роки тому +4

    Ona sasa hata nafasi ya kupokelea mizigo mingine hakuna tena. Badala mlete meli ya mafuta ya mboga mnatuletea ujinga tupu. Sasa hayo magar yanamsaidia nini mwananchi wa chini.

  • @hemedykayonko4109
    @hemedykayonko4109 2 роки тому +2

    Video yenyewe mbona inaonhezewa2 dakika

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 2 роки тому +7

    Bila JPM kupanua hiyo bandari hiyo Meli isinge kuja. Hata mkikwepa semeni tu ukweli. Tunahitaji ujasiri wa kufanya miradi mikubwa!

    • @dahero160
      @dahero160 2 роки тому

      Jielewe wwe

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 роки тому

      @@dahero160 RIP CHUMA...DAIMA TUTAKUKUMBUKA....HATA KAMA WEWE HUTAKI HUO NDIO UKWELI

  • @brightonsospeter5100
    @brightonsospeter5100 2 роки тому +1

    Ningekuwa bibi wa tozo ningeomba talaka siwezi kuishi namme asie nipenda nalazimisha tu

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 2 роки тому

    Viva ...

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 2 роки тому +5

    Yaani Tanzania bwnaa , hii Meli ilivyokuja hivi kila mlaji hapo ataka ale 🍺 mpk wanakuja kuondoka hayo mavikwazo watakayo kutana nayo hawo jamaa hawawezi rudi tena na meli Yao.
    Yaani historia itaandikwa na itajifuta sekunde , hii nchi hii aiseee !! Nyie tazameni.

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 2 роки тому

      Hata awatoi makadilio ya kodi watakayo kusanya wao wamekomalia imevunja lekodi

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mafisi camp

  • @Rams660
    @Rams660 2 роки тому +10

    Sawa mama anaupiga ndio lakini kwa sehemu ambazo Jpm alipambania muwe mnasema nyie, mbona yeye jpm alikua anasifia waliopita na kufamya vizuri?? Sisi waelewa tunajua kua asilimia 80% ya mnayofurahia nchini ni kwa sababu ya Hayati Jpm, fanyeni siasa za kisasa kumbukeni watanzania kwa sasa tunatambua kila kitu,,

    • @abdulmvungi9609
      @abdulmvungi9609 2 роки тому +1

      Wewe kila kitu JPM kila kitu JPM

    • @andrewmanaku
      @andrewmanaku 2 роки тому +2

      JPM ametueshimisha mpaka Sasa na hatotokea Kama yeye

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 роки тому +1

      @@andrewmanaku maoni ya hovyo mno hayo.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 роки тому +1

      @@abdulmvungi9609 Yaani hawa watu usiwalaumu... JPM alizuia media zisiseme chochote zaidi ya kumsifia. Haya ndio matokeo ya sifa miaka 6 alioongoza. Sijui angekaa miaka 10 ingekuaje? Hiyo 6 tu wakaanza kumtukuza eti mungu. Achana na hao vipofu. Tanzania haitarudia tena huo ujinga... Wagombea Urais lazima wawe veted kiuhakika ili kuepuka makosa Kama hayo yasijirudie tena.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 2 роки тому

      @@malopemaliyamungu5243 Mgombea Uraisi yupi unayesema awe VETED? Mafisadi wa Bagamoyo na magange Yao ndiyo yawe VETED. Mpuuzi bendable na upuuzi wako!!!

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 2 роки тому

    Magal au viberid ivyo uber izoooo

  • @oswaldtemba2097
    @oswaldtemba2097 2 роки тому +1

    TUMEVUNJA REKODI.
    Eti kwa kushusha magari mengi. Tuambieni hali ya mapato ikoje.Ni kweli bandari iko bize sana haijawahitokea.bidhaa zinashuka nyingi sana .Ufisadi umerudi kama zamani.bandari bubu za kiupigaji zilizofungwa na JPM,leo zinaoperati kimyakimya.wizi mkubwa unapitia kule.nobody is speaking.
    Wanatufool.viini macho hivi.nchi imepata nini?

  • @seifmohamed836
    @seifmohamed836 2 роки тому

    Magar mengi lakn barabara hamna na mnashindwa kujenga barabara zajuu

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 2 роки тому

    Bandari yetu bado kuna urasim mnajisifia lakini tatizo bado lipo , bado wateja wengi wanakimbiria mombasa, mjitathimini

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 2 роки тому +1

    Sijaelewa tunasheherekea meli kubwa kuja tz,nafikiri tungeelekeza nguvu kubwa kwa walala hoi .

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 2 роки тому +2

    Duh

  • @djtwinstar254
    @djtwinstar254 2 роки тому +2

    Fikeni kwangu pia washikaji 🙏

  • @kingibwengo9949
    @kingibwengo9949 2 роки тому

    Hayo magari sio yawizi? Kutoka Ukraine ?

  • @ceciliaonyango5367
    @ceciliaonyango5367 2 роки тому

    Mmmmm watatuletea mabomu nyie furahieni kwa kuwasaidia kukagua hao sio wazuri mbona hatujifunzi?

  • @titobudodimadata
    @titobudodimadata 10 місяців тому

    0:51 je kodi inalipwa

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 2 роки тому

    Hongera mama

  • @automotivetz1275
    @automotivetz1275 2 роки тому +1

    Ya singapore ndo myakague kabisaaa

  • @othamankaboss1734
    @othamankaboss1734 2 роки тому +3

    Acheni kumpa sifa uyo mwanamke kazi imefanywa n mwengine ww musimpe sifa z bule

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 роки тому

      "Musimpe"😀😀😀. Ama kweli tusomeshe watoto

    • @ndekemwaifyusi8499
      @ndekemwaifyusi8499 2 роки тому

      @@sahimm4767 Ubongo anao tatizo namna ya kuutumia. Yaani ana ona husda kusifiwa Alie hai.

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 2 роки тому

      @@sahimm4767 Kwani anachokisema ni uongo mkuu

    • @williamsville3493
      @williamsville3493 2 роки тому

      @@hellendaniel3809 Kwani ni kipi alichokosea hapo 🤣🤣🤣🤣

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 роки тому

      @@williamsville3493 hampendi mpaka amekosea kuandika.
      Kwani wenzetu mnapochukia watu huwa mnapata faida gani?

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 2 роки тому

    Sijui langu lipo hapo

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 роки тому +1

    Na langu lipo humo😉

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 2 роки тому

    Pangua wafanyakazi wote wa hapo bandarini maana wanajua wanachokifanya, Wanapiga hela tu hapo

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 2 роки тому +1

    Lakwangu litakuja watakapo anza kukagua Japan.

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 2 роки тому +4

    Inalipa mapato hiyo mizigo... Lakin pia mjenzi wa hiyo gati ni JPM

    • @othamankaboss1734
      @othamankaboss1734 2 роки тому

      Umeona mzee uyo mama ana anachofanya ye anazunguka n ndege tu ana mpango wowote

    • @ototek8037
      @ototek8037 2 роки тому

      @@sahimm4767 unataka sifa za nyerere apewe kikwete? We ndo huna akili mwambie mamaako afanye jambo litakaloacha alama ili nayeye asifiwe..kuendeleza miradi iliyokwisha pangwa sio ubunifu

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 роки тому

      Wa Tanzania akili zetu fyatu Sana..Kikwete Alisemaga Tunaanza Sie watamalizia Wengine Watasifiwa Wao Ila Letu Wote moja sasa Kwa Sababu tu hamumpemdi.MTU Mnasahau Angeamua kuweka kapuni unafikiri ingeisha Hiyo..Tambua Uongozi ni Mnyororo..Nikukumbushe Terminal.3,Mwendokasi alianza Kikwete ila Alimalizia JPM alisifiwa Yeye na Hakuna Kikicho harbika Mambo.yamesongaa mbele..Treni ya Mwenndo Kasi mipango ypte Ilikuwa kwa Kikwete JPM akaja akamaliza.Barbara ya Arusha-Singida-Mwanza Ilikuwa Enzi za Mkapa Alimalizia JK shida...

    • @ototek8037
      @ototek8037 2 роки тому

      @@aronatv47 achana na story za kisiasa..serikali kuhamia Dodoma ni mipango ya myaka ya 80, kujenga bwawa la umeme ni ndoto za nyerere..anasifiwa mtu mwenye kufanya maamuzi na kuyasimamia sio porojo kama kikwete.
      Watanzania wanaakili wachache kama wewe ndo mnasababisha wote tuonekae hatuna akili.

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 роки тому +1

      @@ototek8037 Sasa Nilichosema Na Hicho Unachosema wwe ni Kipiii..ni kilel kile labda kama Lugha imekuwa ngumu..Ila Uongozi ni Mnyororo ndio Hayo unayosema Sasa Aliwaza Mwingine Mwingine akafanya Kipi ni kipi Sasa..Yaani kwenye Project alie waza na Alietekeleza wote ni wa.moja tu bila Wazo utafanyaje Sasa..?

  • @othamankaboss1734
    @othamankaboss1734 2 роки тому +1

    Na wasipongezane tu tunataka kodi zipatikane n zilete matokeo chanya kw kuijenga nchi

    • @evelinemsaki2057
      @evelinemsaki2057 2 роки тому

      Yaani huyu mama anakusanya Kodi lakini wanatukamua tuu

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 роки тому +1

    Acheni ujinga JPM ndo kafanikisha yote ayo

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 2 роки тому +1

    Wana nchi wanakufa kwanjaa nyie mnaleta magari nani atanunua gari kulayake inamshinda

    • @tonnyojambo1731
      @tonnyojambo1731 2 роки тому

      Hayo magari si yakuuzwa hapa, yanapita njia tu, kwenda Congo, Burundi, Rwanda na Uganda. Nchi hizo hazina Bandari wanatumia Badari yetu

    • @tonnymwanjota8211
      @tonnymwanjota8211 2 роки тому

      Pia hayo magar ni ya watu binafsi ndo wameleta na mengine ni ya watu wa nje ya nchi.

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 2 роки тому +1

    Unaweza kuta wamevunja lekodi ya kupitisha mizigo bila kulipia kodi iinchi MUNGU yupo ipo siku yenu

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 роки тому

      @Petro Yohana jielimishe kwanza

    • @peterjohn1969
      @peterjohn1969 2 роки тому

      Sawa wewe ulie elimika nausijue ujinga ndio ulio kufikisha apo ulipo ongera

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 роки тому

      @@peterjohn1969 Jielimishe kuhusu Kodi bandarini.. ukitaka utapata takwimu.

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 2 роки тому

    Mwamba jpm

  • @yunusabdulwallace3801
    @yunusabdulwallace3801 2 роки тому +2

    Badala ya ku import machines kwa wingi tunaingiz magari ya kutembelea.poor africans

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 2 роки тому

    La kwangu lipo hukohuko

  • @djtwinstar254
    @djtwinstar254 2 роки тому +4

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 роки тому

      We Chikenya ukome kabisaa just mind your Chikenya pumbaaavuuuu we we hate you

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 2 роки тому

      @@shinipapaya846 Wewe Shini huyo mkenya kakukosea nini?? Acha upuuzi

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 роки тому

      @mimi raia usafishe......kisha nakuja na shanga

  • @elishapaulo9749
    @elishapaulo9749 2 роки тому

    Tatizo n mafuta oi

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 2 роки тому +2

    Bado mnaendelea na ujinga huu wanmsongamano, Bandari kavu ya Kwara mlijenga ya Nini hasa msitufanye sisi wajinga,

  • @ramanyige8106
    @ramanyige8106 2 роки тому +1

    Tuliapa kutunza siri, tunazitangaza.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 2 роки тому

    Unashukuru mweshiwa rais kwani kajenga yeye wakati kawezesha jambo hili Jpm au umekua kipofu...

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 роки тому

    Macorona Yaliwafanya Watu Waje Kufanya Biashara Uku Sasa Magali Wakulima Wa Vijijini Awana Balabala Wanafaidika Nanini Au Tz Kama Daraja2

  • @rashidbakari616
    @rashidbakari616 2 роки тому

    Uchafu wa ulaya huo

  • @ROMTV5
    @ROMTV5 2 роки тому

    Mh

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 2 роки тому

    Kwa mwananchi wakawaida hali ni mbaya sana mafuta ya kula ndoo ndogo tsh70elfu vitu vyote bei juu mitozo kodi mlima na sasaivi usafiri umepanda bei sana coz petrol na disel ni balaa

  • @Silyvesta
    @Silyvesta 2 роки тому

    Haha dump ya magali taka, zingatieni viwango vya magali.

  • @miketzee806
    @miketzee806 2 роки тому +1

    Africa viongozi wetu sijui niseme kama wamerongwa ama ndio kuficha mianya ili wapige hela ndefu, yaani tokea tupate uhuru, Rais magufuli ndio kaja kafanya makubwa kuliko viongozi wote. Na vitu vya muhimu vinaamuliamuliwa na yeye, sijui viongozi wengine wanafanya kazi gani, Kuna mambo mengi sana ya kufanya, mfano mbunge fulani katoa maoni itengenezwe maghala ya mafuta ya taifa, na kuna mambo mengi sana ya muhimu kuliko kwenda kununua ndege halafu tuzipaki pale airport.

  • @angelajoseph235
    @angelajoseph235 2 роки тому

    B

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 роки тому

    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
    m.ua-cam.com/video/ic27SZTY_fs/v-deo.html

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 2 роки тому

    ICD hapo nyuma zilitumika kukwepa kodi

  • @mufidaabdul5387
    @mufidaabdul5387 2 роки тому

    Kwanin nyie hamukai mukpanga 👩‍⚖️👉tulizen akili zenu kabla ya maamuzi yenu🤔 maeneo yenu mumeyabana halfu munabeba mizigo mikubwa na nakuyashindilia na kuwasumbua wateja👋ingawa nivinzur Tanzania kubeba mzigo mkubwa ila mujipange👩‍⚖️

  • @videozachupi1751
    @videozachupi1751 2 роки тому

    Iyo recod ilio vunjwa ni Record ya wapi sasa mbona uja tuambia ni record ya Dunia au ya Africa

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 роки тому

    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
    m.ua-cam.com/video/ic27SZTY_fs/v-deo.html