kweli kwasababu hakuwezi kutokea mfanya kazi wowote wa Wasafi tv na Radio na WCB lebo kusema kwamba mama Dangote kakosea kwasababu wote wana mtegemea Diamond Platnumz! Kila mtu anajuwa mama Dangote hakupaswa kusema vile kwenye Radio mbele ya umaa na watanzania wote
Kweli ela zinalewesha et mtu alikataa mimba na kamkataa toka yuko chekechea halafu tena Kamlea Diamond alimkataa vp wKat kamlea nanyie wa wtangzaji kwnn msioji hpapo tuskie
Huo uchizi tu, kama alikubali kulea mimba ilikuwa unasema hajamsaidia nasibu na wewe ulijua mlezi, unampatiaje jina mtoto la MTU asie kuwa baba yake. Mama mwenye kichaa naona kwa mara ya kwanza ndio unajitokeza duniani
Wanawake wanawake mapito wa allah unatusubiri katika mazambi yasosameheka na allah mazambi yakumdhurum mwanaume mtt ukampatia mwanaume mwengine hiyo zamani inatusubir siku ya hukum
hawa jamaa wanajua sana kuwafanyia drama watanzania wajinga wajinga wafatilia mitandao wale limbukeni lakin kwa watu tulipo nje za nchi huku akili pevu tunajua tu ni drama za kutafuta pesa😂😂
Usikonde mzee maisha
*Pole san muzee utapowa2☺☺😁*
Mungu atusitiri yaarabi nahaya yanaotokea duniani jamani 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu mzee anabusara sana ila roho inamuuma lkn anajikaza kikubwa Allah akusaidie mzee wang katika mitihani hii ulionayo.
Imeniuma Sana Sasa huo muda wote mbona hakusema watu waende DNA tu,,mama mjinga sana
Mungu atamlipia tu mama huyu hamuonei huluma babawawatu😭😭
Pumzi anatoa Mungu, maisha bado yanaendelea. Najaribu kufikiria tu Mzee uliyekataliwa angekuwa Mo au bakhresa sijui kma ayo yote yangekuwepo
Mmmmmmh.subuhanawa.mtihani unakuja mzigo.daaaah
Ilikuwa inasubir 2021 ,ndio ibain,lahaula wakuwata ila billah
Mzee Abdul agekuwa tajiri Sandra agetafuta juu mzee
Mungu anakuona wewe mama
Hii nchi ya viwanda
kweli kwasababu hakuwezi kutokea mfanya kazi wowote wa Wasafi tv na Radio na WCB lebo kusema kwamba mama Dangote kakosea kwasababu wote wana mtegemea Diamond Platnumz!
Kila mtu anajuwa mama Dangote hakupaswa kusema vile kwenye Radio mbele ya umaa na watanzania wote
🤣🤣🤣hapa mzee anajibu huyu interviewer vibaya aje
Ote amna akiri apo studio mnafuraia Mavi matupu kakaataa mimba mzee Abdul alafu baba mlezi kivipi ajamsaidia kitu kulea n mana yake yadunia tu tu ayo
Kweli ela zinalewesha et mtu alikataa mimba na kamkataa toka yuko chekechea halafu tena Kamlea Diamond alimkataa vp wKat kamlea nanyie wa wtangzaji kwnn msioji hpapo tuskie
joining this session,Stay connected.
Urefu wa Mondi=Mzee Abdul
Akili ya Mondi=Mzee Abdul
Kichwa Cha Mondi=Mzee Abdul
Twende DNA Sasa
Namuonea uluma uyu baba jamani kaaaa 😭😭
Dunia tunapita
Punguzen kumhoji mumezidi kumhoji na hamna msaada mnaompa
Sasa apo apo anakataa aliikataa mimba na kulea alikataa sasa iyo baba mlez inatoka wap tena????
Wambea chanel
Huyu mama laana tupu
Ila mondi na momo wamefanana pua
Mama anasema alikataa mimba ila ni baba mlezi 🙄
Wadangaji wotee
Diamond ni mtoto wa Mzee Abdul acheni drama jamani,,mnataka Kila siku msemwe nyinyi tu
mwandishi utakuja pigwa ngumi mbona usenge
Huyu anaehoji sijampenda hajui kuhoji
Watangazaji wengine hawako kikazi wako kidaku hata maswali muhimu ya kuuliza hawajui wao wanalizimisha ya kwako,acheni ujinga.
Ntakuja KUMROGA MTU Mimi
Mama unalana kwamungu utatafuta chakujibu
Huo uchizi tu, kama alikubali kulea mimba ilikuwa unasema hajamsaidia nasibu na wewe ulijua mlezi, unampatiaje jina mtoto la MTU asie kuwa baba yake. Mama mwenye kichaa naona kwa mara ya kwanza ndio unajitokeza duniani
Hivi mahakama haiwezi kusaidia ?hata kama si mzazi?
Hivi mahakama haiwezi kusaidia ?hata kama si mzazi?
Ana haki yake lakin si apewe?
Majuto ni mjukuu
Wanawake wanawake mapito wa allah unatusubiri katika mazambi yasosameheka na allah mazambi yakumdhurum mwanaume mtt ukampatia mwanaume mwengine hiyo zamani inatusubir siku ya hukum
Kuwa na msimamo
Hii wasaf wote watafuna mgokaa Bila taa watafuna makunyadze ujinga mtupu
Alisha mzika aagalie tena la nn ushaubuka mzee
Pepo Mtaiskia aise Uuuuwi Mnadhambi Kubwa
Kwa nini aseme leo duh dunia hii pepo ngumu kuipata
Uliweka masikio😬😬😬😬
Kwani Huyu Daimondi
Ni nani hahahahahaha
Ujinga Mtupuuuuuu
Uo ni ujinga siku zote unaxema baba mond leo unaxema xiyo uo unafiki af uxha kua lizee ww
Everything is planned,hii ilipangwa sikiliza vizuri utajua hakunq ukweli wowote hapa
hata ongea ya huyu mzee ni diamond tupu
Acha drama bi mkubwa ww, mbona hauelewek mara unasema baba mlez na hakumsaidia chochote diamond
Unalijua sidamu yake kumbe uyajua
Mzee una hasira akaonyeshe kaburi mbona wamesema alienda kwa maina wa baba yake, Aachen kutapatapa mzee
DNA iko
hawa jamaa wanajua sana kuwafanyia drama watanzania wajinga wajinga wafatilia mitandao wale limbukeni lakin kwa watu tulipo nje za nchi huku akili pevu tunajua tu ni drama za kutafuta pesa😂😂
Usifanye hasira babaangu ,kapime DNA muakikishe
Alafu mtangazaji ulimalizia hijra seminari