Hiyo yote ni Vita dhidi ya puttin ila wakidhubutu kuingia kbabe Moscow hii sayari itapasuka vipande,"natamani kuwa kama puttin ila hiyo ndoto hata usiku siioti kabisa dadeq"
Iyo Russia ina uchumi kiyasigani ata top 5 ya inchi tajiri Russia ayupo sasa unataka mlinganisha na Marecani. Marecani ndo inchi peke duniani aijawahi kuomba msahada ila Russia kilakukicha puttin anazurula kutafuta msahada mara yuku North Korea ma Iran mpaka anatamani kupewa msahada na Tanzania mara apigwe picha na speaker wa bunge wa Tanzania mpaka leo 2 weeks Anashindwa kumtoa Aduwi inchini mwake
Wamemtuma Biden kapigwa chini, wanamtuma Kamala wanaona kama haiwezi nguvu ya Trump inabidi wajitokeze kugombea ugali wao, Obama ndiye anayeiongoza nchi Biden na Kamala ni machawa wao, na wakishindwa ni DT itakua loss ya Democrats wengi against one Republican. MAGA 2024 DT for the president.
Siku zote asili ya Macho ni uoga. Wanaokwenda harusini ndio wanaokwenda Msibani . Uwingi wa watu sio Ishara ya ushindi mana wasariti ni Wengi . Kila kitu ni Mungu tu Akishaandika basi hata mjazane dunia nzima . Amuwez pindua Neno Lake . Wee Uogopi
ushoga na utoaji mimba unaenda kushamiri, maana democrat ndo waanzilishi wa ujinga huu wakitumiwa na Shetani, wamarekani wakichagua hiking chama taifa limekwisha.
Wana crypto lazima tumpitishe trump ili soko lipae zaid kwasababu trump kafanya crypto ijulikane zaid ya ilivyokua awali kama wewe mwana crypto weka like❤
Hawa wawili nilikua ninawapenda sana,lakini baada ya ile cku ya mkutano Wa mwaka 2017 marais wote walipata bahasha hadharani kutoka kwa family ya watu wenye sifa mbaya duniani na matokeo ni haya tunayoyaona, Obama aliuza ucrain.
This is nonsense, watoke tu maana hawa ndio wanaosababisha dunia kuwa na uoga na machafuko. Things are happening in Ukraine, Palestine they are the main reason.
Kabisa USA na NATO ndo chanzo Cha vita duniani,me sio muislamu....ila sipendi jinsi waarabu hasa Palestine wanayopitia haipaswi kua vile...naona Kuna mtu amesema umeleta hisia za kislamu msamehe Bure tu....
@@karaniomoit5259Kwanza Mimi sio muislamu ila ungeuwa muelewa ungejua hili kabla ya kuandika. Nani kamuua Muamar Gadafi? Akina nani wamesababisha vurugu zote zinazoendelea duniani? Africa yenyewe washaigeuza kama taka hasa nchi ya DRC. Think before you speak on this matter.
@@missp1814Sina kinyongo na huu jamaa, ila chama cha kina Obama’s ndio chanzo cha vurugu zote zinazoendelea. Trump has no issue with all chaos that is happening around the world.
Yes ana asili ya black person ila sio an African coz baba yake n Jamaican ambaye yeye n mwanauchumi wa marekani na n proffesor wa chuo cha Stanford na mama yake alikuwa indian coz ameshafariki in 2009 na alikuwa scientist wa Biomedical
Naona Rais mwanamke marecan i can't wait ❤ Sns wekeni hii comment yangu kwa ukumbusho nasubiri zawadi yangu Sns Women's to the world ❤
Hawezi pita sio majira yake
Muda utafika Marekani kuongozwa na mwanamke but not now
Marekani ipo tayari, wewe ndio haupo tayari@@christinewomanoffaith5479
Ngoma imepata wachezaji trump kazi yako imeisha..Ila nakuombea Mungu akupitishe huu udhalimu huend ukapungua hasa vita
Obama alimuua Gadafi
Kamala Haris ni muhindi
Obama maongezi mengi ila hakuna alichofanya cha maana kwa wamarekani weusi, wamarekani na Dunia kwa ujumla.
USA, si wajinga kiasi hicho. Mtu mmoja anasumbua vichwa vyote hvyo. Trumpu juu juu zaidi. Mtasema yote
Wanatishia Nyau ..Mwamba Trump lazima awatandike
Obama shetani mweusi
Mr. President Donald Trump
Obama kibaraka
Hii vita bado ngumu yaani haieleweki nani atanyakua
Obama ni natural politician trump naona anaforce ila hana sifa ya kuwa kiongozi
Trump sio politician ni mfanyabiashara ambae ameweza kuiongoza nchi na ataongoza tena.
@@BigZhumbeyes yes na Yuko sr8 sio muongomuongo
😊😊mwendelezo WA filamu kawaida huwa mbaya zaidi
Hapa nihakili kubwa iko inatumika
Sasa campaign gani hii yakushambuliana hawa wauni kweli… trump anawapa tabu sana
Ukiona MTU mmoja unapambana na majeshi ujue wewe ni zaidi ya binadam😂😂😂 trump nilifubwasha flani likubwa linatazamwa na kutarajiwa na mataifa makubwa
Hiyo ndo campaign lazma mshambuliani na pia kwa tarifa yako hawa huwa ni wamoja sema kisiasa lazma wawe madui
Wote same tu ni MASHETANI 😢😢😢
Obama akili hana
Democrats wao wanawaza mauwaji
Trump yupo na kazi kubwa Huyu mwanamama anaweza kumburuza sana
@@edishaa3108 Huyo mama ni hatari na Obama Ana mpigia debe Sanaa na Obama Ana ushawishii mubwa katika America
Kwani Hilary Clinton ilikuwaje?😅
Hata huyu mama ajipange
Maraisi wanao pendwa marekani waone nikama mizimu, siunaona
Hiyo yote ni Vita dhidi ya puttin ila wakidhubutu kuingia kbabe Moscow hii sayari itapasuka vipande,"natamani kuwa kama puttin ila hiyo ndoto hata usiku siioti kabisa dadeq"
Iyo Russia ina uchumi kiyasigani ata top 5 ya inchi tajiri Russia ayupo sasa unataka mlinganisha na Marecani.
Marecani ndo inchi peke duniani aijawahi kuomba msahada ila Russia kilakukicha puttin anazurula kutafuta msahada mara yuku North Korea ma Iran mpaka anatamani kupewa msahada na Tanzania mara apigwe picha na speaker wa bunge wa Tanzania mpaka leo 2 weeks Anashindwa kumtoa Aduwi inchini mwake
Huna ukijuacho marehem wewe pole yako 😂😂😂@@DjskillsTboiyprincess
@@DjskillsTboiyprincess bro unaelewa maana ya umoja wa uraya
Wamemtuma Biden kapigwa chini, wanamtuma Kamala wanaona kama haiwezi nguvu ya Trump inabidi wajitokeze kugombea ugali wao, Obama ndiye anayeiongoza nchi Biden na Kamala ni machawa wao, na wakishindwa ni DT itakua loss ya Democrats wengi against one Republican. MAGA 2024 DT for the president.
Dunia IPO mbio nani kma mama historia inakwenda kubadili Dunia...Kamal Harris uar welcome 2 white house🎉🎉🎉🎉❤😂
Raisi ajae wa America ni Kamala Harris eka kumbukumbu ya text hii
Huy trump kichaa tu
Kichaa aliepaisha uchumi wa US
Huyu obama ni kama kikwete tu.😅
Bro as Australian and Tanzanian start hate this Chanel 😒
Hii channel imeanza kuwa ya kipumbavu kabisa.
Obama namkewe wote niwjinga Sana Hiyo myaka 4 wanayoisema ninani alikuwa madalakani?kwani ni Trump?Alafu wajinga wanashangilia😂😂😂😂😂😂 siasa ni ujinga
Wafrika wanajua kuongea
Siku zote asili ya Macho ni uoga. Wanaokwenda harusini ndio wanaokwenda Msibani . Uwingi wa watu sio Ishara ya ushindi mana wasariti ni Wengi . Kila kitu ni Mungu tu Akishaandika basi hata mjazane dunia nzima . Amuwez pindua Neno Lake . Wee Uogopi
Mwamba Trump lazima toboe kwa vyovyote hapo wanatishia nyau
ushoga na utoaji mimba unaenda kushamiri, maana democrat ndo waanzilishi wa ujinga huu wakitumiwa na Shetani, wamarekani wakichagua hiking chama taifa limekwisha.
Siku zote wajuzi wa kuongea hawanaga majabu, Obama with his 8 yrs hakuna alichofanya
Kamala my president
Wana crypto lazima tumpitishe trump ili soko lipae zaid kwasababu trump kafanya crypto ijulikane zaid ya ilivyokua awali kama wewe mwana crypto weka like❤
Wanaume wapigaji.
Hawa wawili nilikua ninawapenda sana,lakini baada ya ile cku ya mkutano Wa mwaka 2017 marais wote walipata bahasha hadharani kutoka kwa family ya watu wenye sifa mbaya duniani na matokeo ni haya tunayoyaona, Obama aliuza ucrain.
Ata wanjiunge wangampi kumpinga Trump Trump atapita kuwa Rais.😃😃😃
Trump anapelekewa moto😀😀😀😀
Si apumzike utajiri wote huo na mke kafa anataka naye afie madarakani?wkt Alistair?
Trump ni mtu anayependa amani
Kaka mkubwa ameingia kazini Trump kazi anayo hakika..
Hakuna lolote 😅
@@christinewomanoffaith5479 Trump Akichukua nchi Nina unsubscribe SNS
Ila SnS mna mambo.....imeshindwa kumrarua risasi itakua Obama na mkewe?!😅
Trump hatapita
@@rumdeesonsoa1811hakuna jipya hapa. 2016 wakati wa Hillary Clinton walisema hivyo hivyo na trump akakiburuza kimama kile 😀😀😀
@@rumdeesonsoa1811 Sawa mmarekani mpiga kura 😊
Mpaka hapa Trump kapoteza nafasi,maana upepo umegeukia kwa kamala
This is nonsense, watoke tu maana hawa ndio wanaosababisha dunia kuwa na uoga na machafuko. Things are happening in Ukraine, Palestine they are the main reason.
@arijuma wewe Toka hapa usitulete hisia zako za kisilam hapa nani kasema Americans ndo wanafa kutuliza ujinga wa Palestine? Acheni ushamba trump Hana Akili ya utulivu vote Kamala harris for president
Kabisa USA na NATO ndo chanzo Cha vita duniani,me sio muislamu....ila sipendi jinsi waarabu hasa Palestine wanayopitia haipaswi kua vile...naona Kuna mtu amesema umeleta hisia za kislamu msamehe Bure tu....
@@karaniomoit5259hahahahahaha vp mwanamke atatuongoza kweli? Ahhh sitaki bana
@@karaniomoit5259Kwanza Mimi sio muislamu ila ungeuwa muelewa ungejua hili kabla ya kuandika. Nani kamuua Muamar Gadafi? Akina nani wamesababisha vurugu zote zinazoendelea duniani? Africa yenyewe washaigeuza kama taka hasa nchi ya DRC. Think before you speak on this matter.
@@missp1814Sina kinyongo na huu jamaa, ila chama cha kina Obama’s ndio chanzo cha vurugu zote zinazoendelea. Trump has no issue with all chaos that is happening around the world.
Miaji mkubwa huyu amesahau watu wa Libya 🇱🇾 wamekosa fraa hadi leo si mtu mzuri huyu
Michelle Obama's speech was Lit ,, just chills ❤️❤️❤️🎉🎉🎉
Subilini mdahalo lazima mtatoa mlio tu
huyu ndo ali iweza marekani
Vp Trump wangu. ?
Bora tuongozwe na wanawake sasa.
Wanawake wana huruma.
Obama noma kama kikwete
Black Americans bravo
Langu jicho
Obama ❤
Kaka sky unafanya kazi nzuri sana
Wazee wa the Simpson tunajua kila kitu
No doubt.🖐️
Michelle kanajua kuongea Aka
Hatar sn
Ni bora wangejikita kuzungumzia utatuaji wa changamoto za wananchi wao wangeeleweka kuliko kua busy kumshambulia mpinzani wao
Bora mama apate tu awe rais wa dunia namuombea sanaa black mwenzangu jmn
Harris anaasili ya hindia sio Africa mkuu
@@AbelCharles-co6qb ni mtu mweusi tu juu watu wafata kwa baba
@@KassimKhalaid baba yake ni Jamaica na mama yake ni india
Yes ana asili ya black person ila sio an African coz baba yake n Jamaican ambaye yeye n mwanauchumi wa marekani na n proffesor wa chuo cha Stanford na mama yake alikuwa indian coz ameshafariki in 2009 na alikuwa scientist wa Biomedical
@@KassimKhalaidbaba yake pia siyo mweusi. Wala hana asili ya watu weusi.