Nipo kwenye Remote working na upande wa Crypto pia na kuna projects nimefanya nazo kazi za nchi tofauti. Ushauri wangu ni kwamba, Idea ni nzuri lakini kutokana na idadi ya watu wenye uelewa hata basic ni mdogo. Kungekua na FREE contents za kuwapa watu awareness kwanza kujua unazungumzia nini. Hii ya kulipa direct utapata watu walewale wenye uelewa basic tayari, lakini kundi kubwa ambalo halina uelewa wa hili, itakua ngumu sana kulifikia. Ni ushauri wangu kwa DIENA. Otherwise wanafanya kazi poa sana👌
Serikali yetu haijui watu wanateseka kiasi gani siku hizi. Ninawasikitikia walemavu ambao hawapati usaidizi wanaostahili. Asante CARITA BURIS, fikiria kuwekeza $1000 na kupokea $4000 ndani ya siku 3.
Sio utapeli coz unafanya mwenyewe...hakuna kuweka mtu wala nini...soma kwa umakini sana,na fanya mazoezi mengi then weka mtaji wako anza kufanya biashara basiiii!!!
Nyie mafala kweli, yaani mnaingiza pesa kwa kufundisha CRYPTO🤣🤣🤣🤣 Si mkawekeze wenyewe mpate Mabilion kama mnadhan ni rahisi😅😅😅 Wabongo wajinga sana , wataliwa mpaka wapate akili vzr😅😅😅😅
Nipo kwenye Remote working na upande wa Crypto pia na kuna projects nimefanya nazo kazi za nchi tofauti. Ushauri wangu ni kwamba, Idea ni nzuri lakini kutokana na idadi ya watu wenye uelewa hata basic ni mdogo. Kungekua na FREE contents za kuwapa watu awareness kwanza kujua unazungumzia nini.
Hii ya kulipa direct utapata watu walewale wenye uelewa basic tayari, lakini kundi kubwa ambalo halina uelewa wa hili, itakua ngumu sana kulifikia.
Ni ushauri wangu kwa DIENA. Otherwise wanafanya kazi poa sana👌
Trizy fact ni knowleg ila wasiokuwa na elimu na walowahi kuingia bila ya elimu na wakaibiwa ndo wasema utapeli
Haya wazeee wa save nikusave chuo tyr icho mjiunge na kozi sio mnaingia kwenye inbox za watu tu
Sky chapisha matisheti na mashati ya sns nadhan umenielewa
Elimu ni kitu cha msing sanaa watz weng hatupend kuelewa jambo kabla la kulfanyaa
Ndio
Nice content
Serikali yetu haijui watu wanateseka kiasi gani siku hizi. Ninawasikitikia walemavu ambao hawapati usaidizi wanaostahili. Asante CARITA BURIS, fikiria kuwekeza $1000 na kupokea $4000 ndani ya siku 3.
Hii inasaidia sana kwa hali yangu! asante kijana nitajaribu nijulishe ni kiasi gani ni sawa kuanza
Unaweza kumtumia ujumbe
ⓣⓔⓛⓔⓖⓡⓐⓜ
facebook
CARITABURS
Naomba jina la channel ya you tube ya antony
Bonge la platform hio mzee
Build your successful on digital business via DIANA
Bonge la platform
Please naomba number zake za sim
Uyo jamaa Miya yusho kujua kwingi ila watu forex 90 wame change maisha Yao,
Alituliza huyu acha kabisa
Hiyo ya insurance ni nzuri sana naona itasaidia kuondoa usumbufu kama uliopo kwa sasa.
very true
Huyo mwamba anajua mnooo yuko competent mpk raha haya madini kw ambaye hajawahi soma hizo course za Blockchain & Cryptocurrency hawezi elewa hapo 😂..
Weee huyu Tonny alituingizaga mkenge na Biticoin yake akiwa na rafiki yake Beka😂😂😂😂. Akatukimbia kumbe ameingia FX kuja kugundua ushaliaaaa
🎉
Ngoja niweke tu binance
Trizy🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Apo ninarafik yangu joy anachezaga Sana iyo mambo ya forex yupo naijeria ivi ayo mambo siyo ya utapeli kwer?naomba mnijibu,,awo siyo mambo yautapeli?
Sio utapeli coz unafanya mwenyewe...hakuna kuweka mtu wala nini...soma kwa umakini sana,na fanya mazoezi mengi then weka mtaji wako anza kufanya biashara basiiii!!!
Sio utapeli ndgu wengi wanakutana na watu wasio sahihi wanaishia kutapeliwa tafuta maarifa sahihi kwanza
Nyie mafala kweli, yaani mnaingiza pesa kwa kufundisha CRYPTO🤣🤣🤣🤣
Si mkawekeze wenyewe mpate Mabilion kama mnadhan ni rahisi😅😅😅
Wabongo wajinga sana , wataliwa mpaka wapate akili vzr😅😅😅😅
Fact ni nn ? Issue sio kweli au kuisomesha crypt ni utapeli
Pole
Wajinga ndo waliwao
Pole