Wafafanulie vzur wengine watakuwa wazaruraji maana Mungu ndo kila kitu na hakuna sehemu isiyokuwa na fursa sema uwezo wa kupembua mambo ndo unatutia umasikini vijana wakitanzania
Usimchukie shekhe,akileta baya lichukie,akileta la kheri lipokee,ukweli ni kwamba hata kufanya da'wa sharti uchumi uwe thabiti,kwani utakuwa ombaomba tena kwa unaowalingania? Tusiweke siasa isipofaa.
Sheikh kufa maskini ni sawa tu na kufa tajiri.Kwani ukifa tajiri utazikwa nao huo utajiri kwenda nao akhera?Bora shauri tu watu wabadilike isiwe hoja kufa maskini.Na wangapi wamejitahidi na hata kuhama makwao lakini hawakufanikiwa.
@@ZainabuBakari-yb4vj elewa kwanza kuwa fahari ni mama wa ujinga.Lakini hata kama yuoko sawa bado niukweli kuwa maskini na tsjiribmwisjo wao ni mmoja.,hakina ataezikwa na mali zake.
@@ramadhanwilbard8196 hakuna anaepinga hilo ila amri ya kuhama sio kwenda kutafuta utajiri,bali ni kupata nafasi ya kumuabudu Mungu bila kukwazwa.Haihusu kufa tajiri au maskini.
Kuanza nakuombia dua udumu daima milele mungu akulinde kua na maisha mema duniani, na akhera niko pamoja na wewe hadi kifo
Mashallahu❤❤ chisaa hatari baba
Maashaallaah ALLAAH akujaalie kheri hapaduniani na aakhera
Mashaallah,, allah akulipe shekhe wetu,,
Axante Sheikh umetugusa sana wanatunduma 👏👏👏👏
As-salam Alaykum warahmatullah wabarakat ,, vipenz vya Allah Tabarak Rahman 🤲 tupo
mashaallah
Subhana Allah 😭😭 laa illah haillah 😭 ni kisa Cha kujifunza wallah Yarrab 🤲 atupe subra
Hakika Dr shule,upo sawa
Umesema kweli shekhe Allah akuhifadhi
Swadaka Dr sulle
Wafafanulie vzur wengine watakuwa wazaruraji maana Mungu ndo kila kitu na hakuna sehemu isiyokuwa na fursa sema uwezo wa kupembua mambo ndo unatutia umasikini vijana wakitanzania
Nimekuelewa aallaa akuzijishie elimu
Kweli
Tuliayafaidi vuzili mawidha yako hapa tunduma mwaenyezi mungu akuifadhi
geniuses
Huyo ndio mwamposa wetu,
Ndo maana ww ulibadilika ukawa ndugu wa majini😂😂😂😂
Utatoa hayo maneno Yako mbele ya Allah siku yamwiso utamuonyeshea Allah hayo makini unayoyasema akonayo
Dunia imemkamata,
Usimchukie shekhe,akileta baya lichukie,akileta la kheri lipokee,ukweli ni kwamba hata kufanya da'wa sharti uchumi uwe thabiti,kwani utakuwa ombaomba tena kwa unaowalingania? Tusiweke siasa isipofaa.
Yaani huyu jamaa mawaidha yake ni kuwa tajiri.
Badala ya kuusia nafsi kumcha Allah wewe unang'ang'ania utajiri.
Kama unaona umasikini ni fahari,bas wewe unashida,dini gani unaona umasikini ni faida
Sheikh kufa maskini ni sawa tu na kufa tajiri.Kwani ukifa tajiri utazikwa nao huo utajiri kwenda nao akhera?Bora shauri tu watu wabadilike isiwe hoja kufa maskini.Na wangapi wamejitahidi na hata kuhama makwao lakini hawakufanikiwa.
Mwenyezi Mungu ndiye katutaka tuhame pale mambo yetu yanapogoma sio maneno ya SULE,hata Mitume wa Mungu wengi walihama!
kijana mwenyezi mungu katwambia inapo kwicha salah tawanyikeni katika ardh kutafuta
Elewa,hakuna ufahari wa umasikini,shekh yupo sawa
@@ZainabuBakari-yb4vj elewa kwanza kuwa fahari ni mama wa ujinga.Lakini hata kama yuoko sawa bado niukweli kuwa maskini na tsjiribmwisjo wao ni mmoja.,hakina ataezikwa na mali zake.
@@ramadhanwilbard8196 hakuna anaepinga hilo ila amri ya kuhama sio kwenda kutafuta utajiri,bali ni kupata nafasi ya kumuabudu Mungu bila kukwazwa.Haihusu kufa tajiri au maskini.
Ndo maana ww ulibadilika ukawa ndugu wa majini😂😂😂😂
Hayo unayoyasema ni madhaifu yake lakini katika jambo la kuhama sio uhongo ni anaongea ukweli hata Mitume walihama!