Asante sana Apostle Chief wa watu, mengi yananihusu kwa njia moja au nyingine, nimepita mapito mengi....neema ya Mungu imenitosha. Sasa hivi ata wanigalagaze kwenye tope nimeshazoea, halinisumbui, nimebadilika sana sana namshukuru Mungu kwa kuruhusu nipite...it was for my own good... nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa,kushiba na kuona njaa, kupendwa na kukataliwa, kuwa na afya na kuwa dhaifu ... kwa yote Mungu amebaki kuwa Mungu. Nimejifunza kumshukuru Mungu kwa kila Hali.... glory be to God in the Highest
Asante sana Chief Mungu akulinde ,akutunze wewe na familia yako na chochote cha kwako Ufunuo uliokuwa nao Mungu akuongeze tena na tena Nikimalizaga kukusikiliza natafakari nasema nasema sas atafundisha nini tena Unakuja na lingine muhimu zaid
Apostle hubiri na somo la mavazi Baba,yaani wanaume wapo vizuri Sana kimavazi,wanawake jamani hasa wanakwaya kweli hizo suruali sehemu yote ya siri inajichora😭😭mbona sehemu nyingine ofisi za serikali ukivaa hivyo unarudishwa je si zaidi Kwa Baba yetu wa Mbinguni?
kwa kweli pasta huyu amenibariki maisha yangu. ningekuwa Tanzanie kama hili ndilo kanisa langu. sifa kwa bwana mtandao umenifanya mumoja wa kanisa hili. watanzania mumebarikiwa...Samuel from Goma DRC
Masomo yako yananifundisha sana lkn Mimi nikiwa kwenye matatizo au mtu akinikwaza siwezi Tena KUOMBA siyo simwamini MUNGU ni kwamba nawaza naombaje WAKAti nimekwazika naomba lkn siyo kama nikiwa Sina shida nikikaa sawa namtukuza BWANA je hapo ni sawa apostle
My spiritual dingi nakupata vizuri sana Masasi,,, zaidi ya kubarikiwa,,
Powerful apostle
Amina
Wasukuma tupoooo apostle tunakuelewa hakika nabarikiwa mno namafundisho yako Mungu wambinguni akubariki sana
Chief Apostle ubarikiwe sana,nafurahia mafundisho yako sana
Asante sana Apostle Chief wa watu, mengi yananihusu kwa njia moja au nyingine, nimepita mapito mengi....neema ya Mungu imenitosha. Sasa hivi ata wanigalagaze kwenye tope nimeshazoea, halinisumbui, nimebadilika sana sana namshukuru Mungu kwa kuruhusu nipite...it was for my own good... nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa,kushiba na kuona njaa, kupendwa na kukataliwa, kuwa na afya na kuwa dhaifu ... kwa yote Mungu amebaki kuwa Mungu. Nimejifunza kumshukuru Mungu kwa kila Hali.... glory be to God in the Highest
Asante Apostle kwa hii message yenye matumaini
Amen
Ameen ubarikiwe
Asanteeeee kwa mafundisho mazuri baba🙏
🤣🤣🤣🤣🤣nakuelewa sana Apostle ubarikiwe
Nabarikiwa sana mtumishi,,,mtumishi wa MUNGU "ANOINTED MTALEMWA TV "tuwe tunaona LIVE
Mungu akuongezee nguvu na mafuta
Amen well
Ameni
Hakika Apostle umepiga msumari mzito kwetu Wakristo. Mungu atusaidie Kwa kweli
Asante sana Chief Mungu akulinde ,akutunze wewe na familia yako na chochote cha kwako
Ufunuo uliokuwa nao Mungu akuongeze tena na tena
Nikimalizaga kukusikiliza natafakari nasema nasema sas atafundisha nini tena
Unakuja na lingine muhimu zaid
kila wakati ninapo sikiza mahubiri ya apostle huyu lazima nipate ujumbe wakunijenga mungu aendelee kukutumia kama chombo be blessed
Amen my chief apostle thank you🙏
Thank you apostle
Sema cheaf tumeisha penda . Shukrani kwa Mungu kukitumiya utu towe upumavi na ujinga. Impendeze Mungu kuku zodishiya. Be blessed
ameen dady neema ya MUNGU itufunike tuwe waelewa
😅😅nalia yoote
Amen! Imenisaidia kujua haswaa niko upande gani ktk kutembea na Mungu wangu. Neema iendelee kunisaidia. Asante, Chief Mtumishi wa Mungu.
Apostle hubiri na somo la mavazi Baba,yaani wanaume wapo vizuri Sana kimavazi,wanawake jamani hasa wanakwaya kweli hizo suruali sehemu yote ya siri inajichora😭😭mbona sehemu nyingine ofisi za serikali ukivaa hivyo unarudishwa je si zaidi Kwa Baba yetu wa Mbinguni?
Hallelujah ubarikiwe na bwana ameeen
Ameen baba Neema ya Mungu itusaidie kuelewa haya
Ameen Asante sana Daddy
kwa kweli pasta huyu amenibariki maisha yangu. ningekuwa Tanzanie kama hili ndilo kanisa langu. sifa kwa bwana mtandao umenifanya mumoja wa kanisa hili. watanzania mumebarikiwa...Samuel from Goma DRC
Amen 🙏 amen 🙏 glory to Jesus
😂😂😂, ameeeen Pst
AMINA baba
Ufunuo ju ya ufunuo.
Masomo yako yananifundisha sana lkn Mimi nikiwa kwenye matatizo au mtu akinikwaza siwezi Tena KUOMBA siyo simwamini MUNGU ni kwamba nawaza naombaje WAKAti nimekwazika naomba lkn siyo kama nikiwa Sina shida nikikaa sawa namtukuza BWANA je hapo ni sawa apostle
2 COR 12:10🔥🔥🔥👈GOD IS TALKING TO ME🤲🤲UR GRACE IS ENOUGH/SUFFICIENT TO SUSTAIN ME🙏🙏🙏
My figure print not same to my twin brother.
100%
Amen