Wapo wanaume wengi zaidi ya wanawake wanaokufa kutokana na wanawake kwa kupata presha ila ni vile wanaume hawana kusemasema ovyo. Na kwa hizi sheria zisipoangalia kizazi kijacho wanaume watawakimbia wanawake.
Wanawake acheni kuvumilia upumbavu wa aina yoyote. Beba begi lako sepa na kijiji..its 2024 huna faida na mume,umepewa maisha yafaidi acha kujinyima furaha ya kuenjoy maisha sbb unavumilia ujinga. Tatizo mmefanya ndoa mitaji hamna mwelekeo inabidi mkae ili mpate ugali. Women lets love ourselves and be self reliant..ukiwa na pesa yako utaelewa hujawahi penda ata mara moja,ilkw njaa tu
Wewe ndo wale wale,unajua kama kuna wanaume wako na trauma wanapiga wanawake bila sababu,je unajua unaweza ukawa mpole na ukamuuliza jambo mwanaume au mtu yeyote mwenye trauma na akaibua hasira kutokana na majanga aliyopitia huko,sasa mwanaume wa hivi hata apate mwanamke malaika atamuabuse tu. Vingine msiongee tu sababu mnataka kuongea.....
Ni 2024 wanawake fungukeni akili,kwanza ndoa haina faida yoyote kwa mwanamke karne hii ...faida ni ya mwanaume tu..anaishi kama mfalme wewe kama mtumwa na bado umstareheshe. .ila kwakuwa wanawake tunahis ndoa ndo purpose yao watafika wamechoka sana. Ushawah skia mume kamvumulia mwanamke kwa kosa lolote?wao wanajiweka kwanza,sasa wewe baki apo umevumilia ujinga ...unamskiliza huyu baba asiyejua alisemalo amezaliwa mwaka 1800 amejaa mfumo dume ..ni yeye ndo hana akili
Asante sana kwa somo. Tafadhali tunaomba utuwekee muendelezo wa somo🙏🏾🙏🏾
Dada Lillian hongera dadangu, law upendo wako,ila Kweeli mimi ninatafuta no zako niwasiliane tu kidogo na wewe.God BLESS you much
Wapo wanaume wengi zaidi ya wanawake wanaokufa kutokana na wanawake kwa kupata presha ila ni vile wanaume hawana kusemasema ovyo. Na kwa hizi sheria zisipoangalia kizazi kijacho wanaume watawakimbia wanawake.
Kaka uko makini mungu akubariki
Dr. Ellie , ubarikiwe Sana ! Unaishi vile unavyoamini, Amini kuwa ndoa ni tamu❤
Da lili asnte sn .
Kweli wanawake Mungu anatulinda .
Da lili naomba no zako pls.🙏
Asnte sana dada lilian mfumo wa wanaume unatumalize
Wanawake tuzidi kujitokeza katika semina
Tena wanawake wanauwawa sanaaaa ndani ya ndoa
Mmmmh aiseee,Mungu tufunulie haya tuweze kuelewa na kuyaishi
Shukran sana funzo nutrition sana aliokuwa na mashikio atafaidika ❤❤❤❤
Asante sana Mungu awabaliki
Bali pasipokuzaliwa mara ya pili kwa yaaani kuongoka kwa wanandoa wote hamuwezipata amani, upendo ni tunda la Roho!
Be blessed Mpendwa Lillian
ubarikiwe sana Dr 🎉
Wanawake acheni kuvumilia upumbavu wa aina yoyote.
Beba begi lako sepa na kijiji..its 2024 huna faida na mume,umepewa maisha yafaidi acha kujinyima furaha ya kuenjoy maisha sbb unavumilia ujinga.
Tatizo mmefanya ndoa mitaji hamna mwelekeo inabidi mkae ili mpate ugali.
Women lets love ourselves and be self reliant..ukiwa na pesa yako utaelewa hujawahi penda ata mara moja,ilkw njaa tu
DOCTOR MIE NAOGOPA 🤦♀️🤦♀️
Love you Liliani mwasha, kwa upendo wako
Lilian mungu akulinde na vizazi vyako❤❤❤
Aisee. Hii Shule imeshiba Sana
Huyo mama mwenye wigi mpeni godoro jamani 😂😂
Da Liliane ubarikie kwaswali hilo mana wanawake twa teseka sana
Ahsante sana
Huyo mwanamke hapo tangu mwanzo wa seminar analala hadi anaboa
❤❤❤❤❤❤❤
Msizitumainie akili zene wenyewe,bali muongozwe na Roho mtakatifu!
Njaa hufanya chakula kiwe na utamu.
Mwanamke mnyenyekevu kamwe hawezi pigwa na mume...,
Hujui unachoongea wewe
Wewe ndo wale wale,unajua kama kuna wanaume wako na trauma wanapiga wanawake bila sababu,je unajua unaweza ukawa mpole na ukamuuliza jambo mwanaume au mtu yeyote mwenye trauma na akaibua hasira kutokana na majanga aliyopitia huko,sasa mwanaume wa hivi hata apate mwanamke malaika atamuabuse tu. Vingine msiongee tu sababu mnataka kuongea.....
Ni 2024 wanawake fungukeni akili,kwanza ndoa haina faida yoyote kwa mwanamke karne hii ...faida ni ya mwanaume tu..anaishi kama mfalme wewe kama mtumwa na bado umstareheshe. .ila kwakuwa wanawake tunahis ndoa ndo purpose yao watafika wamechoka sana.
Ushawah skia mume kamvumulia mwanamke kwa kosa lolote?wao wanajiweka kwanza,sasa wewe baki apo umevumilia ujinga ...unamskiliza huyu baba asiyejua alisemalo amezaliwa mwaka 1800 amejaa mfumo dume ..ni yeye ndo hana akili
kwahyo watoke ili wakazini au achakupotosha watu
Wewe ni nani unaepingana na Mwenyezi Mungu? Maana Ndoa ni maagizo ya mwenyezi Mungu wewe kama nani unasema ndoa haina maana?
Lilian samahani hii haijakamilika kama kipo kipande kimebakia tueke tafadhali
Uongo we nae dini zote zina bifu iyo vipi labda dini yenu
😮
P