Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mm sio tajir hata kdgo lkn namshukuru mungu napata kula yangu japo kua kwa shidaaa😂😂😂
Mashaallah ALLAH amzidishie kila la kheri
Sawa namim naenda marekan nikashindane na akina musk, billgate, nk.😂😂😂😂😂😂
From china love all Tanzania
Mimi ni billionaire ajaye 100% kwa UTUKUFU wa +MUNGU+ JOSHUA 1:9🙌
Hahahahahahaha raha sana. Lkn usisahau hii Luka 6:23-24
Fanya kaziiii
bilionea wa nyokwe😂😂
Anashindana na Diamond Platnumz 👍
😂😂 daaah mondi anashindana na Elon musk afungue space
Subutu hata 1/100 diamond hana
Hahaahaha😂😂😂😂😂😂
Acha niangalie tu mmi n elon musk wa bongo
Pumbav kabsa ww 😂😂
Hawa matajiri wa michongo matajiri wa kweli wapo warabuni wametulia
Elon is funny always😂
Yan apo mwishon elon musk anavocheza na kuruka ruka 😅😅watu wanashangilia....kosa hela alaf cheza ivo mbele za watu🎉😂😂watasema unakichaa😢😅🎉
Tajili akijichetua anaonekana anatania lakin masikin akifanya hivyo hivyo anaonekana kichaaa 😂😂😂😂
😂😂😂
Duuuuuuuh
Sema elon jau sana 😂😂😂😂
Elimu ndo kila kitu,Africa tukiwa tunaponda elimu kuwa wasomi hawana kitu hatuji endelea.Tunatakiwa tubadilishe mifumo ya elimu mtoto asomee fani fulani tangu akiwa mdogo eg computer,mechanical engineering etc.
Mushi 🔥🔥🔥
waarabu walijaribu kuuwa kampuni ya tesla kwa kuripoti magari mengi kuungua lkn mwamba katoboa maguezi ya matumizi ya petrol yatabadilisha sana dunia
Waarabu na wachina wanaongoza kwa utajiri kuliko mataifa mengine. Ila hao watu hatasema ukweli huo kwa kua wanataka waonekane wao ni zaidi.
@@Kiganjasasa c waseme wenyewe kwan adi mtu awasemee😂😂😂
Diamond ajipange😂😂😂😂
Huyo sio kitu sisi tuna diamond anaetarajiwa kuwa xrionea wa kwanza dumiani sio tirionea xtrionea elewa neno xrionea
😂😂😂😂
ELON FT DIAMOND
Diamond should mention his company's in NYSE AND LSE
Angeanza na DSE 😂
@@hkaniugu of coz
Diamond soon ana mpita😂
Mmmmh noma sana
Mondi utamuacha wapi😂
Jamani waaru wanamiliki visima vyamafuta ila hawana thamani
Halafu Diamond yupo zake Tandale anaongea usenge.
😂😂😂. Afu kuna kenge inasema inataka kua bilionea
Tunamsubiri diamonds awe tajiri
Tayari ameshakuwa Tajiri zaidi duniani
Wa kwanza😂
Where is Diamond plutnumz 😂😂😂❤❤❤?
vip kuhusu simba la masimba
Diamond atampita tu huyo tajiri wenu
Nimecheka
😂😂😂😂😂 njoo tule Nyumbn wameivisha naona upo na njaa
@@Jaysantans😂😂😂😂😂
Nilikuwa naitafuta hii comment 😂😂😂😂
Ngoja nimroge huyu😈
😂
Jitahidini kumlipoti mwenetu diamond
Yote haya kayasababisha diamond 😅
😂😂😂 pumbav nyinyi mtasababisha watu tupaliwe
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k😅
@@FerdinandCharles-ko7de😅
Mwambieni Hakuna bilionea alieishia form 4 feria then akawa msaniio na mkumbuke sio mwanamuziki ni msanii 😂😂😂 elewa neno usanii a.k.a uzugaji
DIAMOND PLANTNUMZ yuko wapi??
Sawa namimi naenda kuwa bilioneya
Mtu tajiri ata akihangaikahangaika tu watu wanapiga makofi na kusema anacheza vizuri ila apo angekuwa maskini angeambiwa anaanza kuugua wazimu
Namimi naenda kuwa mamilionea
Diamond nitajiri wa madaso
Ila mna uhakika kwamba huyo Elon Musk ni mtu wa kawaida?
Ngoja nicheze mchezo wa ndege, nimpiku Elon kwenye kubeti
Diamond sasa itakuaje?😂
Atampita uyo
Wale zilionea wenzangu shusha like hapa😂
Yaani saiz ukiwa unadeal na mitadaoni yaani internet
Unakuaje
@@Don.26Alien😂😂😂😂😅😅
@@brownsebastianmwibi5647 😁
Huu ndio muda ambao MUNGU anatufunulia kufanya kazi kwa bidii tz.
Diamond sio mchezo wewe. Tunampata 10 mbele atakuwa hashikiki
😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa
Hahahaha😂😂😂😂😂
😁😁😁🤣 labda ageuke upepo
Wangapi tunajuwa kama alone mask ata alale miaka 10000000 mondi awezi kufika? 😂
😂😂😂 niko apaKwanz kwa Bakhresa tu mtiti
𝐖𝐚𝐩𝐢 𝐜𝐡𝐢𝐞𝐟 𝐠𝐨𝐝𝐥𝐨𝐯𝐞
𝐖𝐚𝐥𝐞 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐨𝐤𝐨 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐨𝐧𝐞𝐚 𝐥𝐢𝐤𝐞𝐬 𝐡𝐚𝐩𝐚
Bukuonea😁
Mm sio tajir hata kdgo lkn namshukuru mungu napata kula yangu japo kua kwa shidaaa😂😂😂
Mashaallah ALLAH amzidishie kila la kheri
Sawa namim naenda marekan nikashindane na akina musk, billgate, nk.😂😂😂😂😂😂
From china love all Tanzania
Mimi ni billionaire ajaye 100% kwa UTUKUFU wa +MUNGU+ JOSHUA 1:9🙌
Hahahahahahaha raha sana. Lkn usisahau hii Luka 6:23-24
Fanya kaziiii
bilionea wa nyokwe😂😂
Anashindana na Diamond Platnumz 👍
😂😂 daaah mondi anashindana na Elon musk afungue space
Subutu hata 1/100 diamond hana
Hahaahaha😂😂😂😂😂😂
Acha niangalie tu mmi n elon musk wa bongo
Pumbav kabsa ww 😂😂
Hawa matajiri wa michongo matajiri wa kweli wapo warabuni wametulia
Elon is funny always😂
Yan apo mwishon elon musk anavocheza na kuruka ruka 😅😅watu wanashangilia....kosa hela alaf cheza ivo mbele za watu🎉😂😂watasema unakichaa😢😅🎉
Tajili akijichetua anaonekana anatania lakin masikin akifanya hivyo hivyo anaonekana kichaaa 😂😂😂😂
😂😂😂
Duuuuuuuh
Sema elon jau sana 😂😂😂😂
Elimu ndo kila kitu,Africa tukiwa tunaponda elimu kuwa wasomi hawana kitu hatuji endelea.Tunatakiwa tubadilishe mifumo ya elimu mtoto asomee fani fulani tangu akiwa mdogo eg computer,mechanical engineering etc.
Mushi 🔥🔥🔥
waarabu walijaribu kuuwa kampuni ya tesla kwa kuripoti magari mengi kuungua lkn mwamba katoboa maguezi ya matumizi ya petrol yatabadilisha sana dunia
Waarabu na wachina wanaongoza kwa utajiri kuliko mataifa mengine. Ila hao watu hatasema ukweli huo kwa kua wanataka waonekane wao ni zaidi.
@@Kiganjasasa c waseme wenyewe kwan adi mtu awasemee😂😂😂
Diamond ajipange😂😂😂😂
Huyo sio kitu sisi tuna diamond anaetarajiwa kuwa xrionea wa kwanza dumiani sio tirionea xtrionea elewa neno xrionea
😂😂😂😂
ELON FT DIAMOND
Diamond should mention his company's in NYSE AND LSE
Angeanza na DSE 😂
@@hkaniugu of coz
Diamond soon ana mpita😂
Mmmmh noma sana
Mondi utamuacha wapi😂
Jamani waaru wanamiliki visima vyamafuta ila hawana thamani
Halafu Diamond yupo zake Tandale anaongea usenge.
😂😂😂. Afu kuna kenge inasema inataka kua bilionea
Tunamsubiri diamonds awe tajiri
Tayari ameshakuwa Tajiri zaidi duniani
Wa kwanza😂
Where is Diamond plutnumz 😂😂😂❤❤❤?
vip kuhusu simba la masimba
Diamond atampita tu huyo tajiri wenu
Nimecheka
😂😂😂😂😂 njoo tule Nyumbn wameivisha naona upo na njaa
@@Jaysantans😂😂😂😂😂
Nilikuwa naitafuta hii comment 😂😂😂😂
Ngoja nimroge huyu😈
😂
Jitahidini kumlipoti mwenetu diamond
Yote haya kayasababisha diamond 😅
😂😂😂😂
😂😂😂 pumbav nyinyi mtasababisha watu tupaliwe
@@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k😅
@@FerdinandCharles-ko7de😅
Mwambieni Hakuna bilionea alieishia form 4 feria then akawa msaniio na mkumbuke sio mwanamuziki ni msanii 😂😂😂 elewa neno usanii a.k.a uzugaji
DIAMOND PLANTNUMZ yuko wapi??
Sawa namimi naenda kuwa bilioneya
Mtu tajiri ata akihangaikahangaika tu watu wanapiga makofi na kusema anacheza vizuri ila apo angekuwa maskini angeambiwa anaanza kuugua wazimu
Namimi naenda kuwa mamilionea
Diamond nitajiri wa madaso
Ila mna uhakika kwamba huyo Elon Musk ni mtu wa kawaida?
Ngoja nicheze mchezo wa ndege, nimpiku Elon kwenye kubeti
Diamond sasa itakuaje?😂
Atampita uyo
Wale zilionea wenzangu shusha like hapa😂
Yaani saiz ukiwa unadeal na mitadaoni yaani internet
Unakuaje
@@Don.26Alien😂😂😂😂😅😅
@@brownsebastianmwibi5647 😁
Huu ndio muda ambao MUNGU anatufunulia kufanya kazi kwa bidii tz.
Diamond sio mchezo wewe. Tunampata 10 mbele atakuwa hashikiki
😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa
Hahahaha😂😂😂😂😂
😁😁😁🤣 labda ageuke upepo
Wangapi tunajuwa kama alone mask ata alale miaka 10000000 mondi awezi kufika? 😂
😂😂😂 niko apa
Kwanz kwa Bakhresa tu mtiti
𝐖𝐚𝐩𝐢 𝐜𝐡𝐢𝐞𝐟 𝐠𝐨𝐝𝐥𝐨𝐯𝐞
𝐖𝐚𝐥𝐞 𝐭𝐮𝐥𝐢𝐨𝐤𝐨 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐨𝐧𝐞𝐚 𝐥𝐢𝐤𝐞𝐬 𝐡𝐚𝐩𝐚
Bukuonea😁