Neno la Mungu linatuonya kuwa, " Usitamani Mali ya jirani yako" Mungu alijua Kuna mambo kama haya...Bora uombe Mungu akupe vyakwako Kwa njia zake mwenyewe sio Kwa njia ya tamaa.
Kuna mzito yanaendelea hata bongo kuliko hapo ya Didy sema propaganda inamtafuna jamaa kila mtu anamuona kama shetani lakin hapa hapa bongo kuna sehem chafu kuliko hata huko
Kijana mwenzangu,tufanye kazi halali kwa bidii ili tuwe huru katika matumizi sahihi yanayoleta heshima katika maisha yetu kulingana na mila na tamaduni zetu za kiafrika na Tanzania pia.Tamaa ni mbaya sana sana,hasa ikikupatia matokeo chanya ya muda mfupi na mwisho inakufedhehesha katika jamii yako.TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Kuna Mambo yanataka kuchunga Sana, Kia's kwamba istokee hata shutuma ya kuyafanya, maana ikitokezea japo shutma TU, basi shida INAKUWA KUBWA na ndo kinachotokea, inawezekqna ukajikataza kuamini yasemwayo ila lazma Kuna asilimia flani hivi una Anza kubadilisha fikra kwa ajili ya shutma TU. Tumuombe Sana M/mungu atulinde sisi na vizazi vyetu.
True dat huwez kudum na jambo km ilo kwa mda wote huo afu astokee ata raia 1 akalalamika na istoshe gvt 🌎 nyngi za mambele zinasapot huo ushuz sa inakuaje wamkamate kipind hiki na huyo ni Diddy mtu maaruf tujiulize kuna ma DIDDY wangp wanaendleza hilo game!??
Dah vijana wanadhalilika hivi kisa pesa ni huzuni kwa vitu ambavyo unkufa dakika moja unaviacha Allah nipe moyo wa kuridhika n nnachokipata kwa jasho langu inshaallah
@@ce-08 watu wengi bongo wanapenda kauli za kuwa chini yani kama vile Mungu anatuambia eti tubaki chini hapana, Mungu kakupa uwezo wa kufanya kazi na kutumia akili ni wewe maamuzi Yako ukiwa mvivu utakimbilia kwenye kauli kama hizo za kuridhika
ILLUMINATI wameamua kumfedhehesha Diddy kwa mtindo huu.Hao wengine walichofanyiwa wasimlaumu mtu bali wenyewe na viherehere vyao vya kutaka 'ukubwa wa mapito'.
1. Pombe inasababisha maovu 2. Uzinzi unasababisha magonjwa 3. Uwizi ni dhulma kwa wengne na husababisha chuki 4. Uchawi na matumizi ya nguvu za giza ni kukosa imani kwa Mungu. Husababisha mauaji, kutesa wengne na kuwanyanyasa 5. Uongozi wa tamaa husababisha uchumi kuzorota Uislamu ni dini inayokemea maovu na kuwaita watu kumuamini Mungu Mmoja na kuwahakikishia waumini wake kuwa maisha ya dunia ni mapito tu kuelekea katika uwanja wa hukumu ya yote tunayoyatenda duniani. Mwishowe ni moto au pepo.
Kuna dini mbili duniani ya Mungu na Shetani. Na dini ya Mungu tunaipata kupitia manabii na mitume wa Mungu. Na mitume wa Mungu hawapingani,ktk amri kumi, angalia amri ya nne kweny Quran,je ni sawa na ya Musa kweny torati? Basi jua lolote linaweza kuwa kinyume na Mungu na mwanadamu asitambue Kwa maana shetani anaingiza matendo ya YESU
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam raahaa sana alhaamdulilaah uislam ni njiaa iliyoo nyookaa alhaamdulilaah wakristo ni msibaa mkubwa inaaa lilaahiii wainaaa ilaahi raaajuhn poleni sana wakristo msiokua na akili mkiambiwa ukweli mnatapatapa huo ni msibaa mkubwa hayo ni malipo hapa hapa duniani mwafrica akiwa Na pesa hiyo ndiyo kibry alhaamdulilaah najivunia kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam mambo kama hayo unamuogopa mungu alhaamdulilaah
Mwanzo naanza kusoma coment Yako nilijua nasoma coment ya mtu ambaye yupo smart kichwani mwishoni nikajilaum kumbe nipo nasoma coment ya kichaa sasa hapo ukristo umehusika vipi acha tu nikwambie usijidanganye kitakachokusaidia wewe ni amali zako ulizofanya hapa duniani na sio dini tena wewe mwenyewe hapo ulishamkosea mungu wewe ni nani mpka uhukum wenzako anyway mjinga mpe cheo hongera kuwa mwislam na uislam utakupeleka mbinguni mfyuuu wewe
Mwanzo naanza kusoma coment Yako nilijua nasoma coment ya mtu ambaye yupo smart kichwani mwishoni nikajilaum kumbe nipo nasoma coment ya kichaa sasa hapo ukristo umehusika vipi acha tu nikwambie usijidanganye kitakachokusaidia wewe ni amali zako ulizofanya hapa duniani na sio dini tena wewe mwenyewe hapo ulishamkosea mungu wewe ni nani mpka uhukum wenzako anyway mjinga mpe cheo hongera kuwa mwislam na uislam utakupeleka mbinguni mfyuuu wewe
😂😂😂 yaani huyu alikuwa na pepo ya peke yake hapa duniani. Ila Haya maisha,ukijaaliwa kupata pesa nyingi. Basi omba sana m/Mungu Skype hekima na busara,ukivikosa hivyo lazimauje kutenda mambo ya ufuska. Kwa sababu starehe zote umezifanya ,Sasa inakuwa unatafuta starehe ambayo no aghalabu kuipata.
Ao waliofanyiwa na p.didy wametaka wenyewe kwa tamaa zao za maisha na hao wote waliofanyana ni wafuasi wanao abudu shetani ni chama kimoja.huo mtandao mkubwa sasa mbona wanaofanya filamu za ngono porn video na kuna wasichana wadogo wanafanywa na zipo za makhanithi na wasagaji sasa mbona hawachukuliwi hatua z za azubu.hao wazungu wanalengo lao ubaguzi wa rangi
Mmhhh,,, akyamungu tunamkosea sanh mungu.baba wa mbinguni tunakuudhi kwa mengi lkn sisi wanakondoo wako hatukusikii basi kwa niaba tusamehe sanh baba wa mbinguni
Nitakua tofauti kdg na wadau waliokoment....hii stry ipo based on speculations not fact yn hakuna uhalisia wowote zidi ya fununu na ku link yanayoendelea...uyo msichana kulala kuekewa matunda kwenye party hakumaanishi yanayozungumzwa juu ya pdid pia justin bieber hajadisclose chochote juuu ya hzo ishu za pdid...nadhani wabongo tutulie tuna hype sana hz strys na hatuna tulijuwalo
Wanamuone tu waondio walioluhusu mapenzi ya jinsia moja mapaka mkuu wa makanisa yote dunia alibaki wasichokijua Nini kunakitu kimejificha nyumayake na wale waliofungandoa kanisani mbonakimya
Kunakitu nyuma ya ya ii kesi kunamengi masi ayo yakulawiti wanaume mn wazungu wanapenda sana ivi vitu nakusema ni haki yabinadam sasa iweje dd iwe ivi kunakitu kingine dd
Na bado vijana mtafirwa sana kwa tamaa zenu za kipumbavu. Na msemo wenu wa kijinga eti tafuta hera. Kwa kujiona nyie ndio mnajua sana kutafuta hera kuliko wengine nyoooko
Na hofu juu ya wasaanii weusi waliopo malekani.......Kuna mangamizi zito linalo endelea juu ya awa ma top .artist ..cause from Michele Jackson, cobsy , R Kelly ..things went like what is happening to Diddy 😂😂😂 nani Kali sahau Sakata la mike Tyson it almost the same😂😂😂
Mbona mnapenda kuPost Ujinga ujinga tu, kwamba #Ayo na @Ayo Tv mmekosa vitu vya maana vya kupost vya nchi yetu, kuna Barabara za vumbi uko Kigoma zinahitajika kupostiwa ila mmefocus kweny mambo yasiyosaidia kitu kwenye maendeleo ya 🇹🇿 Tanzania
nadhani watu wanatoka kwenye msingi wa maada, coz didy anashtakiwa na tatizo gani, sidhani kama kufanya part its an issue issue to sticky kwenye makosa anayoshtakiwa nayo, kingine tusiforce sheria za tanzania kuwa sheria za marekani and visa versa kivip ushoga marekani sio kosa ila kwetu sisi waafrika ni issue na sio jambo jema so tusimtuhumu sana kwa ushoga wake anaoufanya huko marekani coz ushogaa huko ni poa kabisa hao watu wangekuwa wameforciwa kufanya ushoga hapo kweli ni tatizo sasa hao wa kina bieber wametaka wenyewe kufanyiwa ushogaa alafu unamlaumu huyo didy tatizo hilo
Kijana mwenzangu,, Ridhika na uhai inatosha,
Mungu ataleta sawasawa na atakavyo yeye,,
Matajiri wengi wanaishi kwa shida sana
👍👍👍
Vijana haya maisha bila Yesu ni uharibifu
❤❤❤Amina
Amen tena hofu ya MUNGU ni muhimu sna mioyon mwetu
Hakika
Amen
Kwa mnaaminishwa kuabudu mtu na Warumi? Yaani ninyi na Diddy akili ni sawa.
Usitamani pesa au mafanikio ya mtu kwenye dunia hii.
Number ndo ile ile
Kweli kabisa
Na ukute yapo mengi zaidi ya sirini doh
Ni kwel mafanikio c kitu rahic MUNGU atupe kwa njia ya halali inshallah
Kabisa 😢
Jamani tumrudie muumba wetu bado hatujachelewa😢😢
Hakika
Kwakweli
Ppppp
👍👍👍
Jamani tumuogope Allah kunakufa sikuzinazidi kwenda lakiniwatunowanazama baadaya kushtuka Allah atuongoze kwenyenjiayake aaaaamiyn
Neno la Mungu linatuonya kuwa, " Usitamani Mali ya jirani yako" Mungu alijua Kuna mambo kama haya...Bora uombe Mungu akupe vyakwako Kwa njia zake mwenyewe sio Kwa njia ya tamaa.
True
Yesu Kristo ndiye njia ya Kweli na Uzima
Hawo wote wana muabudu yesu wenu HIYO UNAITANGAZA NDO DINI YA DIDI uslamu ndo DINI ILOKATAZA VIKALI AYO MAMBO MABAYA
@@Drsilo-v5k😂😂😂😂😂
@@Drsilo-v5knawapo waislam wanaofanya ivo pia so I don’t even know why you’re shouting about.
@@florarose1626tofautisha kati ya waislamu na uislamu,uislamu umekataza muislam akifanya ni uovu wake mwenyewe
@@florarose1626 wapo wengi sanaa ila ww shda hujui njama na malengo ya dini yako
Ila ushajua na mbele apo utajua kwnn ukaazishwa ukiristo
Itakufaaa nini ukiupwta huu ulimwengu wote ,ukakosa uzima wa milele.Yesu Kristo ni njia ya kweli na uzima
Mafanikio ya mtu ni siri 😢😢😢😢😢 tuache tamaaaa😢😢😢
Sura na matendo aviendani silious vijana tukazane kusali na tuwe n hofu ya Mungu atujachelewa kabisa
Hana matendo yeyote mabaya. Ni figisu za wazungu wanatupa kwa watu weusi nanyi mnakua wachochez zaidi wa weusi wenzenu.
Hello mzm ww
Vp
@@NaftalMungure are you sure?
Kabisa watu wamrudilie Mungu bado mapema
Mungu nikomboe Mimi kwenye njia za shetani dunia imefika mwisho
MUNGU atusaidie
Maisha bila Mungu alie hai nimbaya mno 😢
Diddy sura ka mbuzi
Swekaaa ndan kbsaaaa kenge blue hyooo😢😢😢😢kaniharbia Justin barber wangu❤
Pole xn
😂😂
@@JeannetteManirambona-o6mnackia dg ana run mental tu saiv
Mtoto kautakaaaa😅😅😅
@@KemmyPrince-r4l😂😂😂😂
Satan alikuja kuua, kuiba na kudestroy, tumkubali Yesu kama mwokozi wa maisha yetu.
Sure Bro!.
Amina
Yohana 10:10
Kweli kabisa
Amen
Kuna mzito yanaendelea hata bongo kuliko hapo ya Didy sema propaganda inamtafuna jamaa kila mtu anamuona kama shetani lakin hapa hapa bongo kuna sehem chafu kuliko hata huko
Nakwambia
Bangi iyo kijana
Exactly ✅
Ikiwa Mungu akisema kuwa woteeee dhambi zetu ziwekwe wazi 😅😅😅hataaa huyo Diddy tungemtoa kinywani Mungu atujaalie mwisho mwema
Sehemu ipi hio mkuu?
Maisha ya sasa bila yesu hakika ni buree ,Mungu tulindie vizazi vyetu 😢😢😢
Wasani ni wajumbe wa Shetani Duniani hilo tunalijua ndo maana hatuwezi shanga kuwaona wakifanya maajabu
Eeee Mungu tulindie alikiba wetu
R kelly😆😆
Kw kwl
Hapana kwakweli jamani pesa hizi duh usitamani pesa za haraka 😮😮😮😮
Ila milard unaweka vitu vizur sana noma🤝💯
Unamkut mwanaume tajir tu kumbe p Diddy kashafanya yke😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
@@PhilipoLeonard-q5w p Diddy bwan 🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu ndiye anapeana vyote
Usitaman Cha mtuu katika Kila mafanikio ya mtu Kuna painfull story
Kweli
Kabisa
Kijana mwenzangu,tufanye kazi halali kwa bidii ili tuwe huru katika matumizi sahihi yanayoleta heshima katika maisha yetu kulingana na mila na tamaduni zetu za kiafrika na Tanzania pia.Tamaa ni mbaya sana sana,hasa ikikupatia matokeo chanya ya muda mfupi na mwisho inakufedhehesha katika jamii yako.TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Kuna Mambo yanataka kuchunga Sana, Kia's kwamba istokee hata shutuma ya kuyafanya, maana ikitokezea japo shutma TU, basi shida INAKUWA KUBWA na ndo kinachotokea, inawezekqna ukajikataza kuamini yasemwayo ila lazma Kuna asilimia flani hivi una Anza kubadilisha fikra kwa ajili ya shutma TU.
Tumuombe Sana M/mungu atulinde sisi na vizazi vyetu.
Ukiona hivi,p Diddy ameamua kumurudia mwenyezi Mungu,ndiposa anapigwa vita na nguvi za giza,, Glory to God Almighty 🙏
Mh! Ushahidi upo? Au na wewe unajiongelesha tu
Huyu naona mkataba wake na shetani umefika mwisho maana ameyafanya haya miaka mingi je hayakujulikana?ni mtihani
Alafu wote hao waclalqmke au hata kujdhuru kwel 😢
True dat huwez kudum na jambo km ilo kwa mda wote huo afu astokee ata raia 1 akalalamika na istoshe gvt 🌎 nyngi za mambele zinasapot huo ushuz sa inakuaje wamkamate kipind hiki na huyo ni Diddy mtu maaruf tujiulize kuna ma DIDDY wangp wanaendleza hilo game!??
Kabisa yan kaanza muda mrefu sana mungu amemchoka
Iko ivo
Inawezekan
Dah vijana wanadhalilika hivi kisa pesa ni huzuni kwa vitu ambavyo unkufa dakika moja unaviacha Allah nipe moyo wa kuridhika n nnachokipata kwa jasho langu inshaallah
Mungu tusaidie mana unatamani kuwa maarufu impact ndo hizi
Jmn kuwen makin mcje mkauponza kama mond😮
Jamaa anatrend dunia nzima kudadeki😂😂😂😂p diddy😂😂
Mhhh
Pesa
Sanaaa😂😂
@@VeronicaAdam-lx8yd hatar
Na wew unatak kutrend
Hapa kwenye sayari ya Dunia Maisha bila Imani ya kiroho ya kumjua Allah ni Ucheza Tu..
Mm wa kwaza Leo kukoment like❤
JAMANI WALE WA WASAFI MEDIA MBONA HAWAJZUNGUMZIA kiukweli Millard Ayo your the best
So sad media zinatulea issue ambazo hatuna kinachotuhusu,kuna mambo ya utekaji but hawazingatii kamaa huu upuuzi
Media zinashabikia upumbavu yaani
@@davidsika5292 wabongo ni wanafiki sana hayo mambo si ya kuyapa kipaumbele ki ivyo!!
Nyie mnatosha mkileta
Naweza nikawa tofauti na dunia ila ndani ya hiii Case there is a lot of issues I can't judge anyone in here 😓😓😓
Dah huyu jamaa noma huwa sishuliki na trend za wassnii ila hii kiboko😢😂😂😂
😂😂😂😂 imekupig uson ee
Huyu zaidi ya kiboko
@@faidhamyovela179 sana😢😭😂
@@kakundejackson8666 wamfichia siri sana huyu jamaa
Duuuh noma sana
Kwani hayo si mambo wanayo yapenda wazungu sasa mbona imewaumiza tena nawao kila siku wanataka wanaume waowane vipi tena
iyo sio kesi inayomkabili didy kesi inayomkabili n kunyanyasa wanawake na mengineyo
Hata mm nimejiuliza kitu hiki kwann wamvalie njuga wakat wao wanaruhus mambo haya
Ata mm nashangaa Hawa wazungu wanasema nihaki ya binadam Sasa iweje Leo dd wawatu wamsumbue ivy wa haki za binadamu wako wapi
Inalilah wainalilah rajiun Allah atusamehe wasanii sio kioo cha jamii tena
Tujifunze kuridhika na kumshukuru Mungu. Kwa kila anachokiruhusu tukipate.
Duniani hutakiwi kuridhika, hicho ni chanzo cha umasikini kwa watu weusi wengi hasa waafrika, kinachotakiwa ni kupambania kombe kihalali mbaka mwisho
Sasa tukiridhika unahis tutatafuta kweli sema tutafute kwa njia ambazo znampendez Mungu kwa wenye Iman za dini zao na njia zinazofata utu
@@ce-08 watu wengi bongo wanapenda kauli za kuwa chini yani kama vile Mungu anatuambia eti tubaki chini hapana, Mungu kakupa uwezo wa kufanya kazi na kutumia akili ni wewe maamuzi Yako ukiwa mvivu utakimbilia kwenye kauli kama hizo za kuridhika
Hakika
❤@@Oldskulgemini9991
Mungu amlani zaidi
ILLUMINATI wameamua kumfedhehesha Diddy kwa mtindo huu.Hao wengine walichofanyiwa wasimlaumu mtu bali wenyewe na viherehere vyao vya kutaka 'ukubwa wa mapito'.
Umewaza kama mm
Mature person
Ukiona hvo weshamaliza matumizi na yy au yy ameanza kukataa mashart yao
@@fettiemaganza1484 Haswaaa!! Kama walivyomuondoa Michael Jackson na Bob Marley
This thing wameplan tu kuupromote mapenzi ya jinsia moja but wametumia njia hiyo kucreat awareness kwa dunia brothers
Subhana llah 😢😢😢😢
Mko bize na kina didy wakati hatujui kesi ya kinanondo imeishia wapi
Wame hukumiwa miaka30 jela km sijakosea
SIO KWERI
@@ireneshao7950
Ata wewe ukifuatilia inatosha, kwan habari zote za leo wewe umefuatilia
We kama unataka c ukasikilize DW
hiyo inakuhusu wewe na akina nondo bwana usitupangie maisha
kumeanza kuchangamka sasa wakuuu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
1. Pombe inasababisha maovu
2. Uzinzi unasababisha magonjwa
3. Uwizi ni dhulma kwa wengne na husababisha chuki
4. Uchawi na matumizi ya nguvu za giza ni kukosa imani kwa Mungu. Husababisha mauaji, kutesa wengne na kuwanyanyasa
5. Uongozi wa tamaa husababisha uchumi kuzorota
Uislamu ni dini inayokemea maovu na kuwaita watu kumuamini Mungu Mmoja na kuwahakikishia waumini wake kuwa maisha ya dunia ni mapito tu kuelekea katika uwanja wa hukumu ya yote tunayoyatenda duniani. Mwishowe ni moto au pepo.
Kuna dini mbili duniani ya Mungu na Shetani.
Na dini ya Mungu tunaipata kupitia manabii na mitume wa Mungu.
Na mitume wa Mungu hawapingani,ktk amri kumi, angalia amri ya nne kweny Quran,je ni sawa na ya Musa kweny torati? Basi jua lolote linaweza kuwa kinyume na Mungu na mwanadamu asitambue Kwa maana shetani anaingiza matendo ya YESU
Pesa n kitu kibaya wenzangu na mtu hyo anafaa kufungwa maisha
😥😥😥
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam raahaa sana alhaamdulilaah uislam ni njiaa iliyoo nyookaa alhaamdulilaah wakristo ni msibaa mkubwa inaaa lilaahiii wainaaa ilaahi raaajuhn poleni sana wakristo msiokua na akili mkiambiwa ukweli mnatapatapa huo ni msibaa mkubwa hayo ni malipo hapa hapa duniani mwafrica akiwa
Na pesa hiyo ndiyo kibry alhaamdulilaah najivunia kuwa mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam mambo kama hayo unamuogopa mungu alhaamdulilaah
Alhamdulilah
Mwanzo naanza kusoma coment Yako nilijua nasoma coment ya mtu ambaye yupo smart kichwani mwishoni nikajilaum kumbe nipo nasoma coment ya kichaa sasa hapo ukristo umehusika vipi acha tu nikwambie usijidanganye kitakachokusaidia wewe ni amali zako ulizofanya hapa duniani na sio dini tena wewe mwenyewe hapo ulishamkosea mungu wewe ni nani mpka uhukum wenzako anyway mjinga mpe cheo hongera kuwa mwislam na uislam utakupeleka mbinguni mfyuuu wewe
Mwanzo naanza kusoma coment Yako nilijua nasoma coment ya mtu ambaye yupo smart kichwani mwishoni nikajilaum kumbe nipo nasoma coment ya kichaa sasa hapo ukristo umehusika vipi acha tu nikwambie usijidanganye kitakachokusaidia wewe ni amali zako ulizofanya hapa duniani na sio dini tena wewe mwenyewe hapo ulishamkosea mungu wewe ni nani mpka uhukum wenzako anyway mjinga mpe cheo hongera kuwa mwislam na uislam utakupeleka mbinguni mfyuuu wewe
Kwamba waislamu hawafanyi mambo mabaya acha kutudanganya bhn afu acha kuleta dini ambako hapahusiki. Tumia akili.
Kwamba nyie wakamilifu huyo mondi ni mkristo au
Jamani tumuogopeni huyu mungu..matendo hayo hayampendezi mungu kabisa..Dunia hii inaelekea wapi
Mmh huyu jamaa alikuwa anakula maisha
😂😂😂 yaani huyu alikuwa na pepo ya peke yake hapa duniani. Ila Haya maisha,ukijaaliwa kupata pesa nyingi. Basi omba sana m/Mungu Skype hekima na busara,ukivikosa hivyo lazimauje kutenda mambo ya ufuska. Kwa sababu starehe zote umezifanya ,Sasa inakuwa unatafuta starehe ambayo no aghalabu kuipata.
Dunia imefika mwisho tumurudie mungu wetu.
Aje bongo kwanza tumwone
Isijee kuwa chief God love kapitia Huku😂😂😂😂😂
Did anaumbuka pengine anahitajika kutoa kafara kagoma😂 akitoa Tu hizi story watu tutasahau
😂😂😂😂😂😂😂 jamani
Obvious, inaonekana jamaa wanamtaka yule kijana wake pendwa😂
Jamn 😂😂😂 🎉🎉 mond mke wa p didy tufanyie moja shelehe ya kidin kma hiy😂
Tumechoka na habali za did midia mnapoteza mvuto
Sema umechoka wewe, usiweke wingi kwenye hamna 😂😂😂
Uovu lazima ukemewe na uwekwe wazi, Mwisho wa ubaya ni aibu..... ache aaibike
Atujachokaaa
😢😮😮😮😮😮hiy akil mnemb kaz hiy mbon ni saut ya bieber
sema hiyo ngoma ya Bieber ni kali
Mwenyezi mungu amupiganiye Ddy
Wale watu waliokuwa wanasikika wakisema ule msemo wao Tafuta hela, 😂 naona wamepotea kabisa mtandaoni
Ndio tafuta hela kijana usipotafuta basi utatafutiwa ila itakubidi ugharamike kishundu icho
Pesa siyo kigezo cha kuuza utu wako kijana, Acha tamaa ridhika na ulichonacho@@OmerSuley-gl7go
😂😂
@@OmerSuley-gl7go😂😂😂😂 enhe umenishinda tabia
Bieber amekula fudu la Diddy😅😂😂 Duh inasikitisha kwa kwel😢😢😢😢😅
Ao waliofanyiwa na p.didy wametaka wenyewe kwa tamaa zao za maisha na hao wote waliofanyana ni wafuasi wanao abudu shetani ni chama kimoja.huo mtandao mkubwa sasa mbona wanaofanya filamu za ngono porn video na kuna wasichana wadogo wanafanywa na zipo za makhanithi na wasagaji sasa mbona hawachukuliwi hatua z za azubu.hao wazungu wanalengo lao ubaguzi wa rangi
Ila kwenye azubu apo sasa😂
Hapana sio wote wametaka wenyewe kama justine alipelekwa na usher kwa diddy akiwa na miaka 13 akafanyiwa vitu vya ajabu
Inasemekana wengi walikuwa wakinyeshwa madawa kwenye vinywaji vya sherehe katika nyumba ya p diddy..so ni kusema kuungiliwa bila idhini yao
Hapa Khloe alikuwa ana date na French Montana
Dunia imeshamkataa jamaa
Kwa kweli
Mshahara wa dhambi ni mauti
Tumwambie Mungu atusaidie sana kuepuka kufanya mambo ambayo ni machafu maana wakati umewadia wakuja mwana wa Mungu
Nlichogundua ddy kaunganishiwa kesi zisizo zake japo ualifu upo ila sokwakias kinachozungumziwa
P DIDY KAFAIDI SANA❤❤
Watu wamefirwa jamn. Dah.
Davido ndo mwamba pekee alikataa tuzo zake za kisenge ukiwa na ela huwezi firwa ki kuma kuma bana
😂😂😂nakubali
Mmhhh,,, akyamungu tunamkosea sanh mungu.baba wa mbinguni tunakuudhi kwa mengi lkn sisi wanakondoo wako hatukusikii basi kwa niaba tusamehe sanh baba wa mbinguni
Mond kaliwa
Nahc hata ingekuwa mtanzania yoyote angekuwa na pesa nkuwez kualikwa part hizo tungefungwa wengi sana😢😢
Hawa ni freemason
Iko wazi
Illuminati
Mason no tawi la illuminati
Hizi picha 2003/2004 zilikua zikichapushwa kwenye magazeti ya KIU na Ijumaa pamoja na Uwazi ila nlikuwa hamzingatii
Mi naogopa nyinyi
We are living in the end times surely everything will come back to light😢😢
Waoh waoh waoh Hongera kwa ufaham huo, and this is the time of light
UWONGO, UBAGUZI WA RANGI NA EDITING TU HIZO WAAFRICA MSIPOKEE KILA MNACHOLETEWA NA HAWA MAJAMBAZI WEUPE
picha ni kweli sasa wewe kwa nini amekamatwa
tupe ukwel basi
Nitakua tofauti kdg na wadau waliokoment....hii stry ipo based on speculations not fact yn hakuna uhalisia wowote zidi ya fununu na ku link yanayoendelea...uyo msichana kulala kuekewa matunda kwenye party hakumaanishi yanayozungumzwa juu ya pdid pia justin bieber hajadisclose chochote juuu ya hzo ishu za pdid...nadhani wabongo tutulie tuna hype sana hz strys na hatuna tulijuwalo
Wanamuone tu waondio walioluhusu mapenzi ya jinsia moja mapaka mkuu wa makanisa yote dunia alibaki wasichokijua Nini kunakitu kimejificha nyumayake na wale waliofungandoa kanisani mbonakimya
Waliomruhusu sio waliomluhusu
Kunakitu nyuma ya ya ii kesi kunamengi masi ayo yakulawiti wanaume mn wazungu wanapenda sana ivi vitu nakusema ni haki yabinadam sasa iweje dd iwe ivi kunakitu kingine dd
Na bado vijana mtafirwa sana kwa tamaa zenu za kipumbavu. Na msemo wenu wa kijinga eti tafuta hera. Kwa kujiona nyie ndio mnajua sana kutafuta hera kuliko wengine nyoooko
Hela sio hera
Na hofu juu ya wasaanii weusi waliopo malekani.......Kuna mangamizi zito linalo endelea juu ya awa ma top .artist ..cause from Michele Jackson, cobsy , R Kelly ..things went like what is happening to Diddy 😂😂😂 nani Kali sahau Sakata la mike Tyson it almost the same😂😂😂
Huu wimbo umetengenezwa AI
Yap nilijua itakuwa AI- Artificial intelligence 😅😅😅😅😅
Polen sana walio fanyiwa mambo hayo
D-diomond pltnmz
Alaf na ww unajiona mwanaume Yan unakuwa km jike huna uhakika unaropoka nyinyi ndyo wanaume km mabint
Ayo 🔥🔥🔥
Kwel bro
Watu wametombwa ovyo ovyo
😂😂😂😂😂🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
We kike ndo ana**@@+ na ni haki yke na km jamaa angedeel na wanawake hii isingekua habr....hapa ni mtu kamng'ata mbwa sio mbwa kamng'ata mtu
Wanapenda sana maisha ya alaka vijana
KUENEA NA KUTUMIA SHERIA ZA KISLAM DUNIANI HAYA MAMBO YASENGETOKEA
karibun kweny DINI ya haki
Ingekuwa dini ya haki Bob risk asingekuwa shoga maaarufu na ni muislamu pureee
@@shangwefisima54 SHERIA YA KIISLAM HAIJA SIMAMA INGESIMAMA HATA WW UNGENYOKA
@@Drsilo-v5k😂😂😂😂😂😂😂
@@shangwefisima54 sheria ya kislam co kuwa muislam sheria yenyewe ifuatwe uyo bob wahukumiwe kiislam asengetokea bob mwengine
Mbona mnapenda kuPost Ujinga ujinga tu, kwamba #Ayo na @Ayo Tv mmekosa vitu vya maana vya kupost vya nchi yetu, kuna Barabara za vumbi uko Kigoma zinahitajika kupostiwa ila mmefocus kweny mambo yasiyosaidia kitu kwenye maendeleo ya 🇹🇿 Tanzania
Mungu tuhurumie
KAMA UNAAMINI MUNGU BADO ANAKUPENDA ANDIKA AMEN🙏 😢
Amen
Yaani! Wanakutuma ufanye kama moja ya masharti alafu ukivunja masharti wanatumia hayo mambo kama ushahidi ili kukuangamiza😢
Tumwachie mungu😭😭
nadhani watu wanatoka kwenye msingi wa maada, coz didy anashtakiwa na tatizo gani, sidhani kama kufanya part its an issue issue to sticky kwenye makosa anayoshtakiwa nayo, kingine tusiforce sheria za tanzania kuwa sheria za marekani and visa versa kivip ushoga marekani sio kosa ila kwetu sisi waafrika ni issue na sio jambo jema so tusimtuhumu sana kwa ushoga wake anaoufanya huko marekani coz ushogaa huko ni poa kabisa hao watu wangekuwa wameforciwa kufanya ushoga hapo kweli ni tatizo sasa hao wa kina bieber wametaka wenyewe kufanyiwa ushogaa alafu unamlaumu huyo didy tatizo hilo
Tatzo Ni kuwafanyia Bila ridhaa,na walikua watoto imagine Bieber alikua 15 na kufanyiwa hvyo na usher Raymond alikua 13 mm ndo nimefkiria hvy
Noma sana
😅😅😅😅😅😅 ujamaa nimtu waajabu sanaaa