Okwi alishawai kuwa ndoto kuchezea yanga, likini alipoenda yanga walipokutana na simba hkuna alichokifanya, ila aliporudi simba tena aliwakanda yanga goli.😂😂 Chama nyota yake ipo Simba. Chama nje ya simba ni galasha tu si mulimuona berkane na timu ya taifa ya zambia. Shika maneno haya mtakuja kusema 🎉
aende zake huko walipita wazuri wengiii wakaenda timu itabaki wachezaji wanapita mashabiki tutaendelea na timu kama kawaida
Huyu ntombanzokiza huyu😅😅😅😅😂😂😂jamaniii😅😅😅
Maduka yote safishaa mwanzoo mpyaa Simba nguvu mojaa
Okwi alishawai kuwa ndoto kuchezea yanga, likini alipoenda yanga walipokutana na simba hkuna alichokifanya, ila aliporudi simba tena aliwakanda yanga goli.😂😂
Chama nyota yake ipo Simba.
Chama nje ya simba ni galasha tu si mulimuona berkane na timu ya taifa ya zambia.
Shika maneno haya mtakuja kusema 🎉
😂😂😂 Amis Joseline Tambwe ..... Alifanya watu wang'oe viti uwanjaniii 😂😂😂 unakumbuka
Aende zake wala atukuwa nashidae chama ndomaana atukumuongozea mkataba
Mbona mlikuwa mnamsema leo mnamkumbuka
Joshua mutale is better 💯 kulko cl❌
Kabisa umri unaruhusu
😂😂😂😂 hata jobe mlisema ni far batter than jean Otto's Baleke