Simba kweli wametua mzigo kwani Chama kaisumbua Uongozi wa Simba kwa muda wa miaka 3 mfululizo. Halafu Chama ni wa kawaida tu. Uwanjani akikabwa tu na mtu, hatembei.
acha aende tu yeye na inonga ndo waliyouza mechi ile ya tano moja ,nandiyomana moo akasema hamtaki kwasababu umri ,nakingine yanga wanasajiri kwamihemko
Cmba ina wachezaji wazee mbona mnawachukua hamjambo yanga
Kikosi (B)alicho cheza nacho Mgunda tumekiona na namna walivyo jitoa hadi wengine wakifunga wanalia .HIKI KIKOSI (A) KATA WOTEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Safi sana ameondoka ,walete kijana eneo lake ❤
Na kweli chama analitaka kushujudiwa alikuwa anauza meche anacheza kama hataki kwa heli wasalimie
Simba inawachezaji wazee kumbe wanawataka.
Duka nalo limehamia kwao
Simba kweli wametua mzigo kwani Chama kaisumbua Uongozi wa Simba kwa muda wa miaka 3 mfululizo.
Halafu Chama ni wa kawaida tu. Uwanjani akikabwa tu na mtu, hatembei.
Chama alikuwa anauza mechi ,achana naye aende
Kwaanza wamemchelewesha,ilikuwa ufukuzwe kabiisa hyo
Aende tu kwani yeye ni nani?
Mwacheni akatafute malisho mengine, kama vile alivyokwenda tafuta malisho Fei.
acha aende tu yeye na inonga ndo waliyouza mechi ile ya tano moja ,nandiyomana moo akasema hamtaki kwasababu umri ,nakingine yanga wanasajiri kwamihemko