PROPHET IPM KUHUSU AFUNDISHA KAFARA YA MNYAMA INAVYOKUPA UTAJIRI WA MALI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • HUYU HAPA PROPHET IPM AKIONGEA KUHUSU UFUNUO WAKE WA KUCHINJA MBUZI AU KONDOO KWAAJILI YA KUTOA SADAKA ILI UFANIKIWE KATIKA MAMBO YAKO

КОМЕНТАРІ • 52

  • @emmanueljohn7
    @emmanueljohn7 2 місяці тому +4

    Ufunuo wa Yohana (Rev) 5:12 wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-Kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka. Saying with a loud voice, Worthy is the Lamb that was slain to receive power, and riches, and wisdom, and strength, and honour, and glory, and blessing.
    ACHA ACHA ACHA KUSEMA DAMU YA YESU HAINA UWEZO WA KUTAJIRISHA SOMA UFUNUO 5:12
    Nilichokuja kuamini Huyu nabii bado ana mashaka na Uweza uliopo katika Damu ya Yesu
    Kanuni ya Kufanikiwa Kiroho lazima uanzie Rohoni.

  • @michaelluziga2709
    @michaelluziga2709 3 місяці тому +2

    Damu ya Yesu, ndio kafara safi mbele za Mungu kwa sasa.

    • @WilondjaPelesa
      @WilondjaPelesa 2 місяці тому +1

      @@michaelluziga2709 bada ya apo ikawaje waumini munafundishwa utopolo kule kanisani ndomana umesema ivyo

  • @aishakopose26
    @aishakopose26 6 місяців тому +3

    Nime kuelewa Sanaa 😂😂 ila kuku elewa wewe mpaka mtu awe na akili timamu❤ mungu akutunze❤

  • @franciswaititu8197
    @franciswaititu8197 6 місяців тому +5

    Uokovu sio kuhusu mafanikio,injili ya kweli ni Imani inayo kupatia kushida thambi.wakolosai 2:23
    Mafundisho ya kishetani hayo.
    Tembea Kenya uone matajiri wasio kuwa na haja na mungu,utawahubiria nini? kupata utajiri.

  • @Jayefatta3792
    @Jayefatta3792 Місяць тому +2

    Huyu Prophet ni Mtapeli kabisa. Gharama ya juu, na matokeo hakuna.

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo9187 6 місяців тому +6

    Huyu Muislam anahamishia Imani ya kiislam kwa wakristo hapa hamna mtu

    • @194summer
      @194summer 6 місяців тому

      @@isaacmligo9187 tumevamiwa Mungu ingilia kati,,amesema damu ya Yesu aitoshi!!kweli shetani hajifichi

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 26 днів тому +1

      @@isaacmligo9187 kwa kweli yani namshangaa

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 6 місяців тому +6

    Stand ya Kibaha ,wachina walichinja Kondoo,IPM unaongea ukweli

  • @michaelluziga2709
    @michaelluziga2709 3 місяці тому +2

    Sadaka, ni mpaka mungu akuelekeze, wapi pa kupeleka na utoe nini.kwa sababu hata shetani anapokea kafara. Sadaka ili ipokelewe inatakiwa iendane na ucha kitabia.Mungu kwa kanuni ya Kimungu. Ila kwa shetani sadaka inajibu ata kama wewe ni jambazi au mchawi mwovu.hivyo tunapofundisha tufafanue vizuri kuondoa mkanganyiko.

  • @JaneMujuni-je8wv
    @JaneMujuni-je8wv 4 дні тому

    Baki huko kwa wachinjaji wenzio, Sisi YESU wetu anatutosha,sisi ni uzao wa Ibrahim kwa njia ya kumwamini Bwana YESU KRISTO,

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 5 місяців тому +1

    Usiwajibu mtumishi nimekuelewa!

  • @danielnyella5964
    @danielnyella5964 25 днів тому +1

    KAMA DAMU YA NG'OMBE AU KUKU INA NGUVU KULIKO YA YESU BASI YESU ALIFELI. ILA NAJUA YESU HAKUFELI NA DAMU YAKE INA NGUVU NA NDIYO PEKEE KILA MWANADAMU ANAHITAJI

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 6 місяців тому +2

    Aaah! Mtumishi hizo fafanuzi zako za sadaka ya mnyama na maelezo ya agano jipya ni tofauti sana. Unachanganya mtumishi na unapotea taratibu sana. Jaribu kumwomba Mungu akusaidie ili usipotoshe tafsiri za agano jipya.

    • @MinzaKazungu
      @MinzaKazungu 3 місяці тому

      @@ramseyngwejela499 mpaka uwe na akili nyuma ya kichogo ndo uweze be kumwelewa ipm

    • @muyomastudio4167
      @muyomastudio4167 2 місяці тому

      Jamaa anaongea fact zaidi huwezi kumwelewa usipokuwa na D2 kwenye ubongo mm namwelewa sana

    • @JamaRamadhan
      @JamaRamadhan 20 днів тому

      @@MinzaKazungu fala sana wew kumbe soma ebrania 7:27 na 1korintho 5:7 yesu alijitoa msalabani kuwa kafara mara moja "TU" juu ya ukomboz wa mambo yote . Sasa ukihitaj kuaminishwa Jenga hoja Kwa msingi wa maandiko ninyi ndo wale wakristo fuata upepo

    • @andrewmulwa9664
      @andrewmulwa9664 День тому

      @@ramseyngwejela499 alafu mwisho wa mwezi unapelekea pastor wako fungu la kumi na liko agano la kale kwanini?

    • @ramseyngwejela499
      @ramseyngwejela499 День тому

      @andrewmulwa9664 fungu la kumi lilianza kwa imani au kwa sheria? Sifa za kuhani mkuu wa Mungu aliye juu sana melkizedeck na kristo kuhani mkuu wa Mungu zikoje? Kabla ya sheria fungu la kumi lilitolewa. Sisi ni watoto wa Ibrahim ktk imani na matendo yake. Yesu alisema kama ninyi Ibrahim ni baba yenu basi mtatenda matendo ya Ibrahim.

  • @KayBishop-n8q
    @KayBishop-n8q 2 місяці тому +1

    Na ayubu alikuwa Tajili uyu ni mganga wa kienyeji

  • @JoashJohnston
    @JoashJohnston 5 місяців тому

    Mimi naogopa kitu kimoja tu. Siku ikionekana sadaka za wanyama hazitoshi au hazifai, wasianze kutoa watu kafara 🏃🏃🏃🙀

  • @agwandacharles995
    @agwandacharles995 Місяць тому

    You have to be very wise to understand this man

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728 5 місяців тому

    Sadaka ya mnyama, shetani amepofusha ufahamu ktk eneo hili. Sadaka ya mnyama haijawahi futwa, na Yesu hakuja kutangua torati. Mimi binafsi, nimeona nguvu ya sadaka hii kuliko sadaka ya fedha ya karatasi. Ipo tofauti ya sadaka Tshs. 100,000 na sadaka ya mnyama wa thamani ya Tshs. 100,000.
    IPM yuko sahihi ktk sadaka ya mnyama.

  • @emmanueljohn7
    @emmanueljohn7 2 місяці тому

    Mithali (Pro) 1:29 Kwa kuwa walichukia maarifa, Wala hawakuchagua kumcha BWANA. For that they hated knowledge, and did not choose the fear of the LORD:
    Mithali (Pro) 1:32 Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.
    For the turning away of the simple shall slay them, and the prosperity of fools shall destroy them.
    Mafanikio si tu ku possess bali kujiungamanisha na Mungu kumjua Mungu
    Kufanikiwa Kila mtu anaweza fanikiwa mwenye akili na Mpumbavu
    Acha kusema Damu ya Yesu haiwezi kufanikisha WATU huo ni Uongo

  • @JaneMujuni-je8wv
    @JaneMujuni-je8wv 4 дні тому

    We umetumwa kuharibu Ukristo lakini UMESHINDWA utapotea na hao wànaokusapot

  • @ZaituniMnyumanga
    @ZaituniMnyumanga 3 місяці тому

    Baba nifundiishe kwa mana Mimi nimoja wapo natafuta sifanikiwi nafanya kazi Mika mingi na nimependa ukunakule kansa na kanisa lakini bado nipo hapahapa baba niombe naminiwe wakuelewa

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 5 місяців тому

    Hizi nyama watu wanaenda kuchukua serikali ya mtaa wakati wa sikukuu za Idd ni makafara ya watu😢watu tuamke acheni vya bure😊

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 місяці тому

    Watanzania tusome maandiko matakatifu tuyaelewe
    Huu uongo huu bila kuwa na ujuzi wa kweli wa Neno la Kristo unakwenda na maji

  • @BonifaceMarashi
    @BonifaceMarashi 10 днів тому

    Nikweli ata mim nili pata ufunuo

  • @SamwelGibaka-uc7cb
    @SamwelGibaka-uc7cb 4 місяці тому

    Kaza buti mzee wataelewa tu

  • @ConfusedHusky-hk4ii
    @ConfusedHusky-hk4ii 6 місяців тому +1

    Sisi watu wenye tupombali tuchije wanyama nan atatusomea Dua saidia hapo

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 6 місяців тому +1

    Sasa tutoe sh ngapi ili tuwe Tahiri maana tunaraka mafanikio

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 6 місяців тому +3

    Wewe nitapeli waimani ila mwisho wako utakuwa sawasawa na kazi yako.

  • @abbyn.mwamba
    @abbyn.mwamba 4 місяці тому +1

    unaongea ukweli

  • @Nshimirimana-g9n
    @Nshimirimana-g9n 3 місяці тому

    Dusaidiy number zake

  • @EstonKing-xn7ni
    @EstonKing-xn7ni 4 місяці тому

    Kuna maskini unamsaidia alaf unamkuta crabu anakunywa kinywaji kinazid Cha kwako

  • @BenardSyengo
    @BenardSyengo Місяць тому

    Muchungaji nauliza hivi wakati mtu amechinja dam avaa apeleke wapi??

  • @info-w4l
    @info-w4l 3 місяці тому

    Ipm achana na jambo hilo ni ujinga uliopitwa na wakati achana na Habari hiyo unapotea sana

  • @MANYANYA-w8q
    @MANYANYA-w8q 6 місяців тому +3

    wa kwanza leo kutoka simiyu naombeni hizo mnazo ombaga

  • @TafutaPesa-b9k
    @TafutaPesa-b9k 5 місяців тому

    Ni kweli baba hata Mimi napitia changamoto

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 6 місяців тому +1

    Mwamposa tapeli tu?

  • @charlesgeradi1899
    @charlesgeradi1899 Місяць тому

    Ipm uko sahihi kabisa hapa mwenye hakili iliyokomaa ndo atakueleewa

  • @194summer
    @194summer 6 місяців тому +1

    Damu ya Yesu aitoshi???

    • @MohamedNgaula-zn7rp
      @MohamedNgaula-zn7rp 3 місяці тому

      KAMA DAMU YA YESU INATOSHA USIENDE SHULE WALA USIFANYE KAZI HALAFU HIYO DAMU IKUPE MAENDELEO, MJINGA NA ENDELEA KUKAA UJINGA WAKO, AMKA

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 3 місяці тому

      ​@@MohamedNgaula-zn7rp
      Yaani wewe ndio mjinga sababu maandiko matakatifu huyaelewi kisha wajiona mwelevu
      Biblia takatifu huijui
      Ndiyo maana anacho ongea huyo unakiona kweli.
      Kumbe ni uongo mtupu

    • @JamaRamadhan
      @JamaRamadhan 20 днів тому

      ​@@zebedayokatamaduni9676 ebrania 7:27 na 1korintho 5:7 usipo elewa ndio bas Tena wew tu uende utapeliwe vizur tu , isaya 8:20