Aaah! Mtumishi hizo fafanuzi zako za sadaka ya mnyama na maelezo ya agano jipya ni tofauti sana. Unachanganya mtumishi na unapotea taratibu sana. Jaribu kumwomba Mungu akusaidie ili usipotoshe tafsiri za agano jipya.
Sadaka, ni mpaka mungu akuelekeze, wapi pa kupeleka na utoe nini.kwa sababu hata shetani anapokea kafara. Sadaka ili ipokelewe inatakiwa iendane na ucha kitabia.Mungu kwa kanuni ya Kimungu. Ila kwa shetani sadaka inajibu ata kama wewe ni jambazi au mchawi mwovu.hivyo tunapofundisha tufafanue vizuri kuondoa mkanganyiko.
Uokovu sio kuhusu mafanikio,injili ya kweli ni Imani inayo kupatia kushida thambi.wakolosai 2:23 Mafundisho ya kishetani hayo. Tembea Kenya uone matajiri wasio kuwa na haja na mungu,utawahubiria nini? kupata utajiri.
Sadaka ya mnyama, shetani amepofusha ufahamu ktk eneo hili. Sadaka ya mnyama haijawahi futwa, na Yesu hakuja kutangua torati. Mimi binafsi, nimeona nguvu ya sadaka hii kuliko sadaka ya fedha ya karatasi. Ipo tofauti ya sadaka Tshs. 100,000 na sadaka ya mnyama wa thamani ya Tshs. 100,000. IPM yuko sahihi ktk sadaka ya mnyama.
Stand ya Kibaha ,wachina walichinja Kondoo,IPM unaongea ukweli
Damu ya Yesu, ndio kafara safi mbele za Mungu kwa sasa.
Aaah! Mtumishi hizo fafanuzi zako za sadaka ya mnyama na maelezo ya agano jipya ni tofauti sana. Unachanganya mtumishi na unapotea taratibu sana. Jaribu kumwomba Mungu akusaidie ili usipotoshe tafsiri za agano jipya.
Huyu Muislam anahamishia Imani ya kiislam kwa wakristo hapa hamna mtu
@@isaacmligo9187 tumevamiwa Mungu ingilia kati,,amesema damu ya Yesu aitoshi!!kweli shetani hajifichi
Nime kuelewa Sanaa 😂😂 ila kuku elewa wewe mpaka mtu awe na akili timamu❤ mungu akutunze❤
Sadaka, ni mpaka mungu akuelekeze, wapi pa kupeleka na utoe nini.kwa sababu hata shetani anapokea kafara. Sadaka ili ipokelewe inatakiwa iendane na ucha kitabia.Mungu kwa kanuni ya Kimungu. Ila kwa shetani sadaka inajibu ata kama wewe ni jambazi au mchawi mwovu.hivyo tunapofundisha tufafanue vizuri kuondoa mkanganyiko.
Uokovu sio kuhusu mafanikio,injili ya kweli ni Imani inayo kupatia kushida thambi.wakolosai 2:23
Mafundisho ya kishetani hayo.
Tembea Kenya uone matajiri wasio kuwa na haja na mungu,utawahubiria nini? kupata utajiri.
Usiwajibu mtumishi nimekuelewa!
Dusaidiy number zake
wa kwanza leo kutoka simiyu naombeni hizo mnazo ombaga
Mimi naogopa kitu kimoja tu. Siku ikionekana sadaka za wanyama hazitoshi au hazifai, wasianze kutoa watu kafara 🏃🏃🏃🙀
Sadaka ya mnyama, shetani amepofusha ufahamu ktk eneo hili. Sadaka ya mnyama haijawahi futwa, na Yesu hakuja kutangua torati. Mimi binafsi, nimeona nguvu ya sadaka hii kuliko sadaka ya fedha ya karatasi. Ipo tofauti ya sadaka Tshs. 100,000 na sadaka ya mnyama wa thamani ya Tshs. 100,000.
IPM yuko sahihi ktk sadaka ya mnyama.
Kaza buti mzee wataelewa tu
Ni kweli baba hata Mimi napitia changamoto
Sisi watu wenye tupombali tuchije wanyama nan atatusomea Dua saidia hapo
Wewe nitapeli waimani ila mwisho wako utakuwa sawasawa na kazi yako.
sio taperi anaongea ukweli
Sasa tutoe sh ngapi ili tuwe Tahiri maana tunaraka mafanikio
Hizi nyama watu wanaenda kuchukua serikali ya mtaa wakati wa sikukuu za Idd ni makafara ya watu😢watu tuamke acheni vya bure😊
Ipm achana na jambo hilo ni ujinga uliopitwa na wakati achana na Habari hiyo unapotea sana
Mwamposa tapeli tu?
Kuna maskini unamsaidia alaf unamkuta crabu anakunywa kinywaji kinazid Cha kwako
unaongea ukweli
Damu ya Yesu aitoshi???
KAMA DAMU YA YESU INATOSHA USIENDE SHULE WALA USIFANYE KAZI HALAFU HIYO DAMU IKUPE MAENDELEO, MJINGA NA ENDELEA KUKAA UJINGA WAKO, AMKA