PROPHET IPM KUHUSU AFUNDISHA KAFARA YA MNYAMA INAVYOKUPA UTAJIRI WA MALI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 26

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 2 місяці тому +4

    Stand ya Kibaha ,wachina walichinja Kondoo,IPM unaongea ukweli

  • @michaelluziga2709
    @michaelluziga2709 13 днів тому

    Damu ya Yesu, ndio kafara safi mbele za Mungu kwa sasa.

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 2 місяці тому +2

    Aaah! Mtumishi hizo fafanuzi zako za sadaka ya mnyama na maelezo ya agano jipya ni tofauti sana. Unachanganya mtumishi na unapotea taratibu sana. Jaribu kumwomba Mungu akusaidie ili usipotoshe tafsiri za agano jipya.

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo9187 2 місяці тому +4

    Huyu Muislam anahamishia Imani ya kiislam kwa wakristo hapa hamna mtu

    • @194summer
      @194summer 2 місяці тому

      @@isaacmligo9187 tumevamiwa Mungu ingilia kati,,amesema damu ya Yesu aitoshi!!kweli shetani hajifichi

  • @aishakopose26
    @aishakopose26 2 місяці тому +2

    Nime kuelewa Sanaa 😂😂 ila kuku elewa wewe mpaka mtu awe na akili timamu❤ mungu akutunze❤

  • @michaelluziga2709
    @michaelluziga2709 13 днів тому +1

    Sadaka, ni mpaka mungu akuelekeze, wapi pa kupeleka na utoe nini.kwa sababu hata shetani anapokea kafara. Sadaka ili ipokelewe inatakiwa iendane na ucha kitabia.Mungu kwa kanuni ya Kimungu. Ila kwa shetani sadaka inajibu ata kama wewe ni jambazi au mchawi mwovu.hivyo tunapofundisha tufafanue vizuri kuondoa mkanganyiko.

  • @franciswaititu8197
    @franciswaititu8197 2 місяці тому +3

    Uokovu sio kuhusu mafanikio,injili ya kweli ni Imani inayo kupatia kushida thambi.wakolosai 2:23
    Mafundisho ya kishetani hayo.
    Tembea Kenya uone matajiri wasio kuwa na haja na mungu,utawahubiria nini? kupata utajiri.

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 2 місяці тому

    Usiwajibu mtumishi nimekuelewa!

  • @Nshimirimana-g9n
    @Nshimirimana-g9n 3 дні тому

    Dusaidiy number zake

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 2 місяці тому +3

    wa kwanza leo kutoka simiyu naombeni hizo mnazo ombaga

  • @JoashJohnston
    @JoashJohnston Місяць тому

    Mimi naogopa kitu kimoja tu. Siku ikionekana sadaka za wanyama hazitoshi au hazifai, wasianze kutoa watu kafara 🏃🏃🏃🙀

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728 2 місяці тому

    Sadaka ya mnyama, shetani amepofusha ufahamu ktk eneo hili. Sadaka ya mnyama haijawahi futwa, na Yesu hakuja kutangua torati. Mimi binafsi, nimeona nguvu ya sadaka hii kuliko sadaka ya fedha ya karatasi. Ipo tofauti ya sadaka Tshs. 100,000 na sadaka ya mnyama wa thamani ya Tshs. 100,000.
    IPM yuko sahihi ktk sadaka ya mnyama.

  • @SamwelGibaka-uc7cb
    @SamwelGibaka-uc7cb Місяць тому

    Kaza buti mzee wataelewa tu

  • @TafutaPesa-b9k
    @TafutaPesa-b9k 2 місяці тому

    Ni kweli baba hata Mimi napitia changamoto

  • @ConfusedHusky-hk4ii
    @ConfusedHusky-hk4ii 2 місяці тому +1

    Sisi watu wenye tupombali tuchije wanyama nan atatusomea Dua saidia hapo

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 2 місяці тому +2

    Wewe nitapeli waimani ila mwisho wako utakuwa sawasawa na kazi yako.

  • @emanuellyatuu731
    @emanuellyatuu731 2 місяці тому +1

    Sasa tutoe sh ngapi ili tuwe Tahiri maana tunaraka mafanikio

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 2 місяці тому

    Hizi nyama watu wanaenda kuchukua serikali ya mtaa wakati wa sikukuu za Idd ni makafara ya watu😢watu tuamke acheni vya bure😊

  • @info-w4l
    @info-w4l 2 дні тому

    Ipm achana na jambo hilo ni ujinga uliopitwa na wakati achana na Habari hiyo unapotea sana

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 місяці тому +1

    Mwamposa tapeli tu?

  • @EstonKing-xn7ni
    @EstonKing-xn7ni Місяць тому

    Kuna maskini unamsaidia alaf unamkuta crabu anakunywa kinywaji kinazid Cha kwako

  • @abbyn.mwamba
    @abbyn.mwamba 24 дні тому

    unaongea ukweli

  • @194summer
    @194summer 2 місяці тому +1

    Damu ya Yesu aitoshi???

    • @MohamedNgaula-zn7rp
      @MohamedNgaula-zn7rp 12 днів тому

      KAMA DAMU YA YESU INATOSHA USIENDE SHULE WALA USIFANYE KAZI HALAFU HIYO DAMU IKUPE MAENDELEO, MJINGA NA ENDELEA KUKAA UJINGA WAKO, AMKA