UWANJANI SDA CHOIR - HEZEKIA (Official video )6K

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 173

  • @evalyneomire4543
    @evalyneomire4543 7 місяців тому +1

    ninaweza kusikiliza huu wimbo hadi asubuhi bila kuchoka,ahsanteni sana

  • @mugishaedwin5424
    @mugishaedwin5424 3 місяці тому +1

    WIMBO MZURII SANAAA

  • @JutoNyagawa
    @JutoNyagawa 8 місяців тому +4

    Wimbo wenu wa Hezekiah unanibarikinsanaa wapendwa MUNGU aendelee kuwapandisha viwango vya juu zaidi nawapenda sanaaaa, barikiweni mnoooo.

  • @AngelKiria
    @AngelKiria 5 місяців тому +1

    Nawapenda

  • @georgenyangi3685
    @georgenyangi3685 Рік тому +1

    Mungu awabariki zaidi Wana wa Nuru tuzidi kutengeneza mambo ya nyumba zetu hakika nabarikiwa sasna na ujumbe huu

  • @EsterLameck-g4g
    @EsterLameck-g4g 11 місяців тому +1

    Mungu awabariki sana wimbo umenibariki sana.tutengeneze njia zetu kama hezekia

  • @joanbwire1932
    @joanbwire1932 Рік тому +1

    Sauti Tam video kariii ❤❤

  • @villamrema7246
    @villamrema7246 10 місяців тому +1

    Hongereni sana kwa wimbo mzuri...Mungu awabariki🙏

  • @chiefnorbertkangalu1403
    @chiefnorbertkangalu1403 Рік тому +1

    big up 2023 for u

  • @LaylatChanga-xc2bo
    @LaylatChanga-xc2bo Рік тому +1

    Nawapenda by isopo

  • @siaerick6483
    @siaerick6483 10 місяців тому +1

    Hongereni sana

  • @EmmanuelBurton-kt1wk
    @EmmanuelBurton-kt1wk 3 місяці тому

    Mimi siyo msabato, ila huu wimbo wenu ndio napokelea nikipigiwa. Watoto wangu wameukalili wote🙌🙌

  • @CharlesMarko-qs1ym
    @CharlesMarko-qs1ym Рік тому +1

    Mungu awabariki ktk utumishi wenu nyimbo zenu hasa huu wa HEZEKIA umegusa mioyo ya wengi Unanibariki sana sana Mungu awe nanyi

  • @doricyaudax7288
    @doricyaudax7288 Рік тому +1

    Hongereni sana.. colors ni wow!! 🎉

  • @corretatz6335
    @corretatz6335 10 місяців тому +1

    Hallelujah, Ameen Ameen, jamani mbarikiwe sana, kuna watu wanaimba jamani daah ❤

  • @EstherMayenga-oh9wg
    @EstherMayenga-oh9wg Рік тому +1

    Wakati wa kutengeneza ni sasa.mue kioo na mfano kwa jamii wamshuhudie Mungu kwenye maisha yenu.Mungu awtusaidie.mkaimbe mbinguni pia

  • @philipogabriel6056
    @philipogabriel6056 Рік тому +3

    Yaan kwa ufupi Mungu wa mbinguni awabariki sana mmefanya kazi KUBWA SANA

  • @ZuenaMbwilo-mk6jl
    @ZuenaMbwilo-mk6jl 8 місяців тому +1

    Mbarikiwe sanaa kwa Kazi zuri

  • @stevusaria
    @stevusaria 11 місяців тому +2

    Hongereni sana, mnaimba vizuri sana. Huu wimbo huku kenya kila siku asubuhi kwenye makambi yetu lazima upigwe. Mungu awabariki

  • @GodianNestory
    @GodianNestory 2 місяці тому

    Mnanibariki sanaaaaaa songeni mbelee uwanjani kwaya yangu nawapenda sanaaaa

  • @GraceSalum
    @GraceSalum 8 місяців тому

    Wimbo mzuri sana ujumbe ni mkubwa mno na watoa ujumbe mmependeza sana.

  • @tufikemnyone3182
    @tufikemnyone3182 Рік тому +1

    HAMJAWAHI KUFANYA VIBAYA NAWAOMBEA MEMA YOTE SONGENI MBELE MTANGULIZENI MUNGU NYENYEKEENI MKONONI MWA MUNGU BARIKIWENI

  • @ErickThomas-xx8zq
    @ErickThomas-xx8zq 5 місяців тому

    Barikiweni Mungu akawe pamoja nanyiiiiii siku zote

  • @nyamariarori5777
    @nyamariarori5777 2 місяці тому

    Kwa hakika nimekabarikiwa na tungo zenu.Barikiwa

  • @pinkad2867
    @pinkad2867 4 місяці тому

    Asanteni Kwa wimbl mzuri watu wa Mungu naendelea kubarikiwa nao Kila siku

  • @evalyneomire4543
    @evalyneomire4543 7 місяців тому +1

    tengeneza mambo ya nyumba yako kwa maana si mbali utakufa

  • @TumainiJohn-n7c
    @TumainiJohn-n7c Рік тому +1

    Hongereni San Uwanjani sda choir,Mungu awabariki San kwa Ujumbe Mzur San Hakika mfikee Mbali 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ivanbusumbiro6429
    @ivanbusumbiro6429 Рік тому +1

    Amina

  • @ZakiaSeleman-z6x
    @ZakiaSeleman-z6x Рік тому +1

    Nawapenda sana mbarikiwe kwa wimbo mzuri👉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️

  • @eunicepaul3157
    @eunicepaul3157 Рік тому

    Sijui lini nitakufa tengeneza Mambo yangu kama.Ezekia..Barikiwa sana uwanjani

  • @GraynessNkyason
    @GraynessNkyason 4 місяці тому

    Wimbo went wa Ezekiel unanibariki

  • @JoyceBayo-de6sq
    @JoyceBayo-de6sq Рік тому

    Mbarikiwe nawapenda sanaaa songeni mbele zaidi mfike mbinguni nawaombea sana

  • @andrewomari6053
    @andrewomari6053 11 місяців тому

    Amina watumishi,hebu na mzidi kumsifu Mungu.

  • @AziziMrisho-f3u
    @AziziMrisho-f3u Рік тому +1

    Wimbooo mzur sanaa aisee,Mungu awabarikii sanaaa❤❤❤

  • @zawadigeorge531
    @zawadigeorge531 Рік тому +1

    Hongereni Sana nawapenda Sana Mungu azidi kuwainua viwango vya juuu. Joy ngigwa

  • @IbrahimKibona-i1m
    @IbrahimKibona-i1m 11 місяців тому

    Hezekiah is the song of year

  • @benjaminbhokeye7885
    @benjaminbhokeye7885 3 місяці тому

    Mungu awabariki sana. Wimbo huu umenibariki sana

  • @luckiusmajanja8876
    @luckiusmajanja8876 6 місяців тому

    Hongeren sana kwa utumishi,mmetubariki wengi sana

  • @salomeshadrack-rv4in
    @salomeshadrack-rv4in Рік тому +1

    Jamani wimbo mzuri nabarikiwa sana

  • @AnnaLimbe-g9l
    @AnnaLimbe-g9l 3 місяці тому

    Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri

  • @tunenebamyava6167
    @tunenebamyava6167 10 місяців тому

    Nabarikiwa na sana na wimbo huu wa Tengeneza

  • @SagasagaSagasaga-k3d
    @SagasagaSagasaga-k3d Рік тому

    Hakikaa wimbooo in mzur sanaaa❤❤❤❤❤❤❤

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu Рік тому

    ❤❤❤❤ Wimbo mzuri sana umenibariki 🙏🙏

  • @ahazimtindo345
    @ahazimtindo345 8 місяців тому

    Hongereni sana ,wimbo mzuri

  • @wemaelimsuya
    @wemaelimsuya Рік тому +1

    Nimeupenda sana wimbo huuu mungu azidi kuwabariki Sanaa nasi tuzidi kumtegemea munguuu

  • @IbrahimDenis-j4f
    @IbrahimDenis-j4f Рік тому +2

    Yaan binafsii sichoki kuwasikilizaa walaa kuwatazamaa maan mnanibarikii sanaaa UWANJANII CHOIR hakikaa nyiny ni wa kimataifaa💪♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @GeofreyMosi
    @GeofreyMosi 6 місяців тому

    Hongereni sana kwaya kazi ni nzuri

  • @YOMYSTUDIOS
    @YOMYSTUDIOS Рік тому +1

    Tengeneza mambo ya Nyumbani yako... mbarikiwe sana ❤

  • @petermsafiri3145
    @petermsafiri3145 Рік тому +1

    Ujumbe Uniqueness saan,, hakika mtunzi wa wimbo huu na waimbaji be blessed

  • @KaserjniuorKasera
    @KaserjniuorKasera 2 місяці тому

    Amen 🙏🙏🙏

  • @georgemaneno1780
    @georgemaneno1780 2 місяці тому

    God bless you for your good work.

  • @edaamos1479
    @edaamos1479 11 місяців тому

    Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri

  • @KajenoBarabungwa-yi8ri
    @KajenoBarabungwa-yi8ri Рік тому

    Huu wimbo naupenda sanaaaaaa

  • @maotolalumbe2411
    @maotolalumbe2411 Рік тому

    Ameeni wimbo mkali saana

  • @petermwita7291
    @petermwita7291 9 місяців тому

    Hongereni sana kwa ujumbe mzito. Bwana awabariki kwa wimbo mzuri. Mmetisha sana watu wa Mungu

  • @faustinechegeni1454
    @faustinechegeni1454 10 місяців тому

    Ameen, Wimbo wa Unabii..

  • @rajinkalisia1730
    @rajinkalisia1730 Рік тому

    Amen and Amen

  • @KajenoBarabungwa-yi8ri
    @KajenoBarabungwa-yi8ri Рік тому

    Mfike mbali watumishi wa Baba

  • @georgenyangi3685
    @georgenyangi3685 Рік тому

    God bless you 🙏 all CHOIR you touch me

  • @RehaniZabroni
    @RehaniZabroni 3 місяці тому

    Barikiweni sana

  • @rozaaofficial187
    @rozaaofficial187 Рік тому

    Hongereni sana wimbo mzuri mno

  • @PastorBobRobert
    @PastorBobRobert 2 місяці тому

    Mungu awabariki sana

  • @rodneyrichen9421
    @rodneyrichen9421 Рік тому

    Wimbo mtamu kweli.Pokeeni salamu kutoka Tassia Central.Bado twawakumbuka

  • @KajenoBarabungwa-yi8ri
    @KajenoBarabungwa-yi8ri Рік тому

    Mbarikiwe watumishi wa Baba

  • @edaamos1479
    @edaamos1479 Рік тому +1

    Nabarikiwa sana ❤❤❤❤safi sana Mungu awabariki kwa kazi nzuri sana akawatimizie mahitaji ya mioyo yenu

  • @JoyceMsuya-zh1do
    @JoyceMsuya-zh1do Рік тому

    Mungu was mbinguni awabariki sana

  • @happymkeni2010
    @happymkeni2010 Рік тому +1

    Tumuombe MNGU msiwe na kiburi maana dah mkojuu sanaa

  • @SaleheAmiri-qx1dl
    @SaleheAmiri-qx1dl Рік тому

    Barikiwen

  • @MatildaAbel-k1y
    @MatildaAbel-k1y Рік тому

    MUNGU wetu wa mbinguni azidi kuwatumia zaidi,, Wimbo mzuri Sana

  • @johnhenry8929
    @johnhenry8929 Рік тому

    Amina 🙏💖

  • @jamesalfred2020
    @jamesalfred2020 Рік тому

    Mungu awabariki Sanaa nawamisi pia

  • @babyjanezablon8823
    @babyjanezablon8823 Рік тому

    My family sichoki kuwatazama muende mbali ujumbe unanigusa sanaaa tutengeneze mambo ya nyumba zetu 🙏

  • @ayubudancan4434
    @ayubudancan4434 Рік тому

    MUNGU ni mwemaaa sanaaa kwetu hvyo tutengeneze mambo ya nyumba zetu hakika hatujui ni liniii....., pia marafiki wa uwanjani tunaomba sanaa maombi yenu ili tusijiinue na tuzdi kunyenyekea chini ya mkono wa MUNGU ulio hodari, barikiweni sanaaa

  • @KajenoBarabungwa-yi8ri
    @KajenoBarabungwa-yi8ri Рік тому

    Kwa hakika ninabarikiwa

  • @mrmhezi2653
    @mrmhezi2653 Рік тому +1

    Hii ni moto saana.. Mungu azidi kuwatumia vyema kwa kazi yake

  • @PendoChoro
    @PendoChoro Рік тому +1

    Ameen 🙏🙏 ujumbe mzuri Sana Bwana awabariki

  • @ruthyjohns
    @ruthyjohns Рік тому

    Aminaa ❤

  • @KASAHUNGASDACHOIR
    @KASAHUNGASDACHOIR Рік тому

    Bwana awabariki sana

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 6 місяців тому

    Amen

  • @amos1234ful
    @amos1234ful Рік тому +1

    MUNGU AWABARIKI SANA ❤

  • @rodgerjames1028
    @rodgerjames1028 Рік тому

    amen Mungu awabariki sana

  • @ngassapeter
    @ngassapeter Рік тому

    Mungu awapeleke mbali.

  • @devancpoul5524
    @devancpoul5524 Рік тому

    Kazi nzuri Kama king’ongo sda choir nice

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Рік тому

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah aameeeeeni

  • @jamesmbwambo5378
    @jamesmbwambo5378 Рік тому +1

    Safi kazi nzuri saana wimbo wenye ujumbe mzuri sauti zuri zilozo pangika vizuuri maneno yamtamkwa vizuri yaan Bwana awabariki Sana Sana

  • @diackomwansu660
    @diackomwansu660 Рік тому

    Nice 👍

  • @EsterKimori-lc1oi
    @EsterKimori-lc1oi Рік тому

    Mbarikiwe sana

  • @vedaidahisaya2505
    @vedaidahisaya2505 Рік тому

    Kwaya yangu pendwa mbarikiwe sana mfike mbaliiiiiiiiiiiiii

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Рік тому +2

    Wimbo umenitoa machozi, Mungu tusaidie! Amen

    • @uwanjanisdachoir
      @uwanjanisdachoir  Рік тому +2

      Pole sana tengeneza mambo ya nyumba yako je umesubscribe ili kupata mazuri zaidii

    • @MdumaSekiete
      @MdumaSekiete Рік тому

      Mbona haina quality audio and video

  • @BenjaminKisakali-iq4sb
    @BenjaminKisakali-iq4sb Рік тому +1

    Rererujah wimbo mzur,,mbarikiwe San ❤❤

  • @LaylatChanga-xc2bo
    @LaylatChanga-xc2bo Рік тому

    Mbarikiwe

  • @ImanuelMsifuni
    @ImanuelMsifuni Рік тому

    Namuomba mungu azidi kutukrimia pumz na sauti nzuri zakumtukuz yy

  • @AsakiMalamla
    @AsakiMalamla 6 місяців тому

    ❤❤❤

  • @saidismailally
    @saidismailally Рік тому +1

    Safi sana uwanjan Mungu wambinguni awabariki

  • @lovenessgeorge3172
    @lovenessgeorge3172 Рік тому +1

    Ameenni mda wa kutengeneza mambo ya nyumba zetu Mungu awabariki sanaa ❤❤

  • @WardaKasian
    @WardaKasian Рік тому

    Mbarikiwe Sana kwa Wimbo mzuri Hakika mmenibariki❤

  • @elisifasanka4818
    @elisifasanka4818 Рік тому +1

    Wooow tutengeneze mambo ya nyumba zetu ...Mungu awatunze

  • @drwilliammmbugu838
    @drwilliammmbugu838 Рік тому

    Mungu awainue

  • @immaimmanuelmcdoublei3760
    @immaimmanuelmcdoublei3760 Рік тому

    Big up sana wakuu KAZI NZURI

  • @frankmadumba7243
    @frankmadumba7243 Рік тому +1