GOBA SDA CHOIR-KAZI IENDELEE official video4k
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- Wimbo huu umeimbwa na kwaya ya waadventista wa Sabato Goba.
Wimbo huu unawatia moyo watumishi wa Mungu na watenda kazi shambani mwa Bwana kusonga mbele katika kufanya kazi ya Mungu.
Kazi ya Mungu haiwezi kusimama itaendelea mbele mpaka yesu atakaporudi kuwachukua watu wake.
Pia waimbaji hawa hawakusita kutukumbusha juu ya thawabu inayopatikana katika kufanya kazi ya Mungu
Barikiwa.
Nomaaaaa
💥💥💥🙌
Asanteni sana wana Goba tulibarikiwa jana katika makambi za Bahati asanteni sana na mkuwe na safari njema ,Kazi lazima iendelee
Mungu awabariki sana, Wimbo huu ulinigusa sana mlipokuwa mnauimba katika Makambi katila kanisa la Bahati SDA church Kenya.
Hakika mnajua ujumbe mzuri
Amen, asante sana Mussa
Goba mnajua sanaa Mungu awabariki
Amina,asante sana,barikiwa pia
Nice project welcome...USA
Thanks sister Rachel, we will in God's timing
Beautiful and my favourite song❤❤❤....kazi iendelee Amina
Mubarikiwe sana nafurahiya nyimbo zenu
Blessings ❤ blessings ❤
Kazi nzuri mno wimbo mzri sauti zimeja
Nice
Thanks
Nilikua nauxhbr xanaaa huu wimboo mko vzr
Mnapendeza. Zidi kumtumikia Mola!! Makambi mtaa wa Bahati ni baraka tele!!
Mbarikiwe Wapendwa.
Aminaa! Karibuni CTF "Hakuna Kulia"
Alooo gobaa mje kenyaa jamni
Asante kwa ukaribisho barikiwa sana
Mbarikiwe mnooo
Amina!!!
Mbarikiwe jamn tunatamani mje nyegezi huku kwenye makambi mtubariki
Amen dada Lucy
Jamani Mungu akubaliki 🙏🙏,,San mnapo mtukuza kwa njiya ya uimbaji Mungu akubaliki San tena san💐💐💐🌷🌹🌷🌹🌷🥀
Mzigo mkali
❤️🙏🙏🙏
Karibuni ZANZIBAR
Amina tuko tayari kwa kazi dada Amina
Mbarikiwe Gobasasa kwaya kubwa
Asante sana,barikiwa pia
Kazi nzuri sana
Asante sana
Video kali sanaaa ndugu zangu wa Goba karibuni Kigali Rwanda
Asante sana dada Rose tutafika kwa neema ya Mungu
Nomaaaaaaa sanaaa
Mzigo wa mkali hii gobaa noma sana Barikiwa mwenyekit magesa Biyan
Alooooooooo ni kitu
Tunasibiri
Mungu awabariki sana watumwa wa Bwana wa mabwana. 🙏🙏
Songeni mbele Goba Choir . Kazi lazima iendelee hata Yesu ajapo
Kazi njemaa
Hongereni sana wimbo mzur.
Kazi lazima iendelee GOBA CHURCH.......MBARIKIWE SANA
Amina
Safi sanaaa Goba SDA Choir
Mungu awabariki sana
Goba on fireee
Mbarikiwee mnoooo 🤗🤗🤗
Wao
Tunataka coming soon ya nyumbo nyingine jamani
Amen.. mbarikiwe sana
Amina,asante sana
Safi sana Goba.,🔥🔥🔥
Kazi iendelee.....Injili isonge mbele
Amen
Kaz iendelee ndio wito wetu. Kazi nzuri, mbarikiwe 👏👏
Nice project
Nice work 💖💖💕
Thanks
Nomaaaaaaa
❤❤❤❤❤❤❤
Nice