Ole Sendeka Aingia Na Mafaili Kuhusu Maeneo ya Wananchi Kufanywa Hifadhi, Waziri Azungumza

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 чер 2024
  • Bunge la Kumi na Mbili Mkutano wa 15 Kikao cha 36, Juni 3, 2024

КОМЕНТАРІ • 9

  • @user-xn1nw5cm1h
    @user-xn1nw5cm1h Місяць тому

    Wew ni hewa unasifia na mnahamishwa

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Місяць тому

    Wabunge wanao poteza mda kwakusifia ili chama kimuone

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Місяць тому

    Huyu Bwana anachanganya mafail kichwani, anaendelea kuomba mgao kutoka Tanapa na hili litapelekea wao wamasai kuondolewa karibu na hifadhi za Taifa,
    Ona sasahivi anavyofanyiwa mpaka ananyan'ganywa taarifa zake.
    Serikali inasema maeneo yale ni mapori tengefu tokea nchi inapata uhuru.

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x Місяць тому

    Mim Niko simanjiro lakin mwshadema kweli Kwa moyon

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Місяць тому

    Bora wangekuua tu wewe yaan nyie KilA sku nikumsifia Samia kwa kip hcho aisee,ndo maana Mungu anawahukumu hapahapa dunian

  • @williamuaza7541
    @williamuaza7541 Місяць тому

    Punguza kusifia au wabunge wengi mnapitishwa na Rais wasifie waliokupigia kura ukaingia bungeni bwege ww

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Місяць тому

    Mbona sikuelewi kama unaguswa na wamaasai wanaofukuzwa ktk ardhi zao jiuzuru ubunge

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg Місяць тому

      Mpumbavu wewe akijuuzuru nani atawatetea?