KUMBE CHIMBUKO LA KANISA LA EAGT NI HILI, MKE WA MUASISI WA KANISA AELEZA SIRI NZITO, TULILALA NJAA
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- #habarimpya #ccm #braekingnews #ikulumawasiliano #live #majaliwa #newsupdate #news #newsupdatemedia #nature #bakwatamwanza #bakwatataifa #tamisemi #tcra #trending #tiktok #tec #technology #tech #globo #gaming #globalnews #enjoy #eagt #mkatabawabandari #viongoziwadini #mahubiri #mchungajimoseskulola #kanisakatoliki #kanisalaeagttanzania
Amina
Wadada igeni huyu mama wala hasuki hajapaka rangi amefaa nguo zakusitiri asante bibi Mungu akubariki
Mungu amtangulie sana huyu mama
Kazi ya Mungu si rahisi tunashukuru Mungu kwaajili yenu mama maana kazi mmeinya
Mungu ni mwema tutafika mbali Kwa uweza wa Mungu Eagt yetu ,kanisa langu ,habari njema Kwa wote
❤🙌🏼🙌🏼Mungu azidi kuwabariki
Amen mama
Amen mama mwambieni kuhusu mapambo bila ivo mbingu sio zake
Unamaanisha Nini weye
Usikaririshwe neno lijue neno na maneno Yako watu watakielewa
Tunaelewa sana kuwa, kanisa la EAGT ni zao la ugovi wa mapato kati ya Razaro na Moses(wote wakiwa ni wale wanaojiita walokole, Wamembinafsisha Mungu wakiaminisha kuwa Roho mtakatifu anawasikiliza na kuwashukia wao zaidi ya wengine.
Vipi hawana tofauti kiimani?
Pole Sana Jitahidi kumtafuta MUNGU utaelewa Tu
Sijui unaongea nini omba ufahamu waki Mungu