Askofu Asumwisye Mwaisabila Amvaa Askofu Mwaipesile Wa EAGT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • #busokelotv #eagt, #mwanzo
    Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Evangelical Assemblies Of God Tanzania EAGT Asumwisye Mwaisabila, ameungana na wachungaji wengine zaidi ya elfu moja wa kanisa hilo, kuhama EAGT na kuanzisha kanisa lingine, ikiwa ni suluhu ya kumaliza mgogoro wa kugombea kiti cha Uaskofu ndani ya kanisa hilo ,mgogoro ambao umedumu kwa muda miaka sita
    KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI
    Email: busokelotv@gmail.com
    Simu: 0762684745 au 0674217445
    Karibu sana

КОМЕНТАРІ • 192

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Рік тому +6

    Baba yetu mwaisab ,umezeeka baba pumzika waachie wengine kazi yako ninjema acha unaichafua kazi ulioianza njema

  • @rodgersabraham9837
    @rodgersabraham9837 Рік тому

    yan hawa wachungaji wa mshahara , wasashida sana, masilahi yao binafsi , yan kwasababu ya vitu mpaka umwagaji wa damu unatajwa na wachungaji,Mungu saidia na ikiwezekana hawa watumishi wa matumbo waondoe shambani mwako

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 роки тому +1

    Mungu awabariki Sana na kuwatetea,
    Bishop Mwaisabira Mungu akutunze Baba.

  • @danielmwampeta3338
    @danielmwampeta3338 2 роки тому +11

    Wokovu unajengwa kwa mtu binafsi,kwa mtu yeyote wokovu haupo kwenye majengo na mali za kanisa,kelele hizo zisikufanye uache wokovu TAFUTA SEHEMU NYINGINE UTAKAYO MFANYIA MUNGU IBADA UWE ASKOFU,MCH AU MSHIRIKA:
    "JITAHADHARI SANA KWANI KUUPOTEZA WOKOVU NI RAHISI SANA ILA KUUPATA NI SHIDA SAAANA NIZAIDI YA KUITUMIA PESA NI RAHISI SANA ILA KUIPATA...,
    Mungu akusaidie

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 2 роки тому +1

      Ameeen, ujumbe wako nimeupenda Sana shujaa. Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema. 😭😭

  • @johnhongoli8956
    @johnhongoli8956 2 роки тому +3

    Kila mtu abebe kilicho chake aendelee na wito wake tusichokozane tushindanie Imani tukutane palemawinguni kwenye sherehe ya mwanakondoo ,wanaokubaliana washikamane hakuna jipya yalikwelo tangu mwanzo.

  • @angelmarycharleslcharles9690
    @angelmarycharleslcharles9690 2 роки тому +3

    Duh! Mungu atusaidie wachungaji mnatuchanganya washirika, dalili yamvua mawingu huu mpasuka wa makanisa unaashiria Jambo Fulani baya mbeleni

  • @kitasyajohn8435
    @kitasyajohn8435 2 роки тому +2

    Mlimnyanyasa sana mwansasu amekufa kama mkimbizi wa Imani eagt nawachukia sana ,,

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y 3 місяці тому

      Kwan ukiwachukia wanatakufa au awatafanikiwa 😂😂😂watu wengne bna

    • @hassanyohna6121
      @hassanyohna6121 Місяць тому

      ​@@user-pg6db8jl2yyamekuwa hayo tena duh

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 роки тому +5

    Viongozi au wachungaji wa makanisa mnatuvuruga waumini mna Cha kujibu mbele za Mungu

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 роки тому

      Wala wasikuvuruge hao wanaangalia masilahi yao ndugu Yangu kwahyo usiache kuomba kusifu na kufunga maana shetani ameona atumie mbinu ya kupambana na viongozi ili kuhakikisha waumini wanakata tamaa

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 День тому

      Hakuna mtu kukata tamaa
      Sisi ni kanisa la Mungu sisi siyo kanisa la maaskofu au viongozi, viongozi wakijichanganya ni wao
      Masilahi tu vyeo ,
      Yaani watu wanadhani akiwa askofu au mchungaji ni mkubwa kuliko asiye mchungaji wewe! Mtaona siku hiyo mbele ya mwana wa Adam

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 місяці тому

    Pesa bira Mungu halisi ni shida, ugomvi wote huu ni sababu ya pesa tu, baada ya kulola kufariki shida ikaanza, pesa itapeleka wengi kuzimu.

  • @mosesmwakalibule2715
    @mosesmwakalibule2715 Рік тому +1

    Namkumbuka Sana Bishop E.R.Mwansasu alinyanyaswa sana na eagt

    • @estamasanja393
      @estamasanja393 Рік тому +1

      Kivipi mtumishi sielewi kabisa naomba kufaham

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 2 роки тому +3

    MUNGU WETU NI WA AMANI NA MTAKATIFU MNO.TUMPENDE YEYE NA KUMCHA.TUWAPENDE WENGINE KAMA NAFASI ZETU.MBINGUNI NI PATAKATIFU SANA.WAEBRANIA 12:14-15.TAFUTA KWA BIDII KUWA NA AMANI NA WATU WOTE.BILA HUO UTAKATIFU HAKUNA ATAKAYEMWONA MUNGU.MUNGU HAKAI PENYE MACHAFUKO.TAFADHALI JMN.🙏🇹🇿

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 роки тому +1

    Wekeni bibilia katikati iwe mwamzi wa haki iamue kwa haki maana nano la mungu linatosha kutoa majibu pasipokuleta migogolo mkiliacha neno hakuna amani popote msajili hawezi kuwa mwamzi wa migogolo ya watumishi wa mungu ludini kwenye neno

  • @helenamandele6711
    @helenamandele6711 2 роки тому +3

    Lililo la Mungu litadumu, Mungu ndiye mwamzi wa haki,

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Рік тому +1

    Mungu wa mbinguni atusaidie sana,tuabudu Mungu jamani

  • @amosbenard6657
    @amosbenard6657 2 роки тому +3

    Mungu atakuwa mwamuzi wa yote Kwa vita hii

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 роки тому +4

    Yaani wanyakyusa mnatia aibu wanetoka mwaikali na Mwambola Sasa Ni mwakioesile na mwaisabila!Mungu awaponye

    • @monerexshowz5200
      @monerexshowz5200 2 роки тому +1

      Mwaikali na mwakihaba

    • @williamhalinga3584
      @williamhalinga3584 2 роки тому

      Sio Mwaikali na mwambora bali mwaikali na mwakahaba

    • @boscojulius532
      @boscojulius532 2 роки тому

      Wanapenda madaraka na sifa . Mwenye kusifiwa ni Mungu pekee .

    • @jifunzekuhusuwewe7475
      @jifunzekuhusuwewe7475 2 роки тому

      Wanyakyusa ni tatizo Wana Mazoea na Mungu,Mzee Mwaisabula Pumzika ,Usipotelee mwisho Baabu , Majira huwa yanabadilika sema hukujiandaa na mabadiliko ,Wanyakyusa wanapenda ugomvi

  • @ulimbaga5784
    @ulimbaga5784 2 роки тому +2

    Roho ya kutengana itawaandama mpaka Yesu arudi, Mlijitenga na TAG . Mungu awatetee.

    • @ndavadumayai4250
      @ndavadumayai4250 2 роки тому

      Hujui historia ya Tag wewe, TAG yenyewe ndio imetulia sasa

    • @elietaabraham5494
      @elietaabraham5494 2 роки тому

      Sikiliza sauti ya MUNGU BABA

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 3 місяці тому

      ​@@ndavadumayai4250Kuanzia lini hadi lini lilikuwa halijatulia?

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 2 роки тому +3

    Mnatia aibu saaana wanyakyusa wenzangu,mnapenda saana madaraka, hii dhambi mbaya sana

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 2 роки тому

      Kila mara wanazozana.Hamfuati katiba ya Mungu ni amani tupu.

  • @Prophetess_JB
    @Prophetess_JB 2 роки тому +1

    Niko tayari kuja from KE Kwa hiyo shughuli. Ombi la toba na mama Kulola anunuliwe gari basi Amani itarudi. Niko tayari na mchango wangu.

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 2 роки тому +2

    Mwaisabila ni baba wa imani sana na mwenye hekima sana Mungu akusimamie

  • @heritier5119
    @heritier5119 Рік тому +1

    Pana askofu mmoja mleta mgogoro ni member wa freemason. Alitumika Ili kusambaratisha huduma ya Moses Kulola, Kulola kampa Sana hasara shetani so bado ana hasira nae sana, freemason wapo nyuma ya migogoro hii.

  • @johnwilson5106
    @johnwilson5106 2 роки тому +1

    Mwakipesile ameamua kulichafua Kanisa hivi haoni aibu Bwana Yesu akemee robo ya kiburi na machafuko ndani ya mtu huyo na watu wote waseme Amina

  • @amosbenard6657
    @amosbenard6657 2 роки тому +3

    Mgogoro umeanzishwa Tena Kwa Siri Bishop uwe makini Sanaa kuisimamia Katiba yetu maana imesajiliwa kisheria

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 2 роки тому +2

    Huyu Mwakipesile hana skills za Uongozi.Tangu awe askofu EAGT imebomoka na anaona sawa tu..

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 2 роки тому

      Huu mgogoro hata mtu aliyeishia darasa la pili angeweza kuumaliza Ila busara na hekima imekosekana kwa viongozi

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 2 роки тому

      @@davidsimbeye1548 kweli kabisa..ilikuwa wawe na maridhiano kumaliza tofauti tu lakini udikteta wa viongozi ndio umetufikisha hapo..

    • @iuem5792
      @iuem5792 2 роки тому

      Hekima tu kwa Askofu iikosekana,Kulola alimaliza mambo kwa hekima,wanaingia wengine wanafukua yaiyopita matokeo yake ni haya.Tubuni tu

  • @ardonjoyo3506
    @ardonjoyo3506 2 роки тому +2

    Siku za mwisho watu watamwacha Mungu na kutaka madalaka

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 2 роки тому +2

    Tatizo lenu wanyaki sijui mnamuona Mungu mjomba enu au

  • @jeremiahmashinji1986
    @jeremiahmashinji1986 2 роки тому +2

    Mungu asimame juu ya hili jmn

  • @Prophetess_JB
    @Prophetess_JB 2 роки тому +1

    Mpaka siku yenye Kanisa litatambua Mama Kulola hakutakuwa Amani popote. Daniel Kulola ataongoza ombi la toba na kutakuwa salama. Bishop Daniel Moses Kulola alichaguliwa na Moses coz Hana tamaa ya pesa.

  • @Gwest2012
    @Gwest2012 Рік тому

    Bora baba katangulia salama..hawa wengine kila mmoja achumie tumbo lake wanatuletea vita zao za unyakyusani hapa

  • @ignaswangwe4568
    @ignaswangwe4568 2 роки тому +2

    Jamani wapendwa hamtumikii mwanadamu Bali Mungu

  • @gwakisasimon14
    @gwakisasimon14 7 місяців тому

    baba ishi katika ualisia wa mungu mtumikie mungu using'ang'anie mwache mungu wa rehema afanye kazi yake usije kuhalibu mkia uliobakia mbele za yesu ishi kwenye kusudi la mungu kuwatafuta wale waliopungukiwa na neno la mungu basi ilo ndilo kusudi la mungu uaskofu sio vazi la kukupeleka mbinguni jitahidi kumjua mungu wachie wale waipendao dunia shika neno la mungu tu maana akuna binadamu anayeweza kuzema huyu mungu amemkataa na ni yesu pekee anajuwa walio wake mungu akujalie simama kumtetea yesu achana na uwaskofu usije kupoteza taji siku zako za mwisho mungu akupe nguvu katika kuimaliza kazi yake

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 місяці тому

    Mwaisabila kumzika baba, unaheshima kubwa sana ya kanisa la EAGT.

  • @isaacmwakosya5493
    @isaacmwakosya5493 2 роки тому +3

    Watumishi wa Mungu mnatuweka nhia panda saana. Ila si Askofu Mwakipesile ni halali

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 2 роки тому +1

    Jamani naomba amani naumia kuona makanisa yetu yanafikia hapa

  • @VoH-Official
    @VoH-Official 2 роки тому +1

    Future will judge us dear Pastors!!!

  • @Prophetess_JB
    @Prophetess_JB 2 роки тому +3

    Only Bishop Daniel Kulola and Mama Kulola will restore peace.

    • @gwakisasimon14
      @gwakisasimon14 7 місяців тому

      ishi kwenye wito wako na mungu usitangulize akili za kibinadamu mwambie mungu atakuba majibu ila wandishi wa habari watasababisha uchonganishi kwa sababu shetani anafwatilia hayo mambo hayupo mbali ogopeni hasira ya mungu na pia wewe huwezi kutetea yule kama ndiye mungu wa kweli ataliweka sawa jambo hili tusije kutoka kwenye protoko ya mwenyezi mungu.mwachie mungu mzee wetu 9:24

  • @gwamakamwakila7085
    @gwamakamwakila7085 2 роки тому +2

    Umwagaji wa damu kivp ,na wasiwasi na wokovu wenu..kubari kukaa chini ya maongozi...jifunze kwa mfalme daudi na Sauli.

  • @lwitikomwakalinga3798
    @lwitikomwakalinga3798 2 роки тому +2

    Kusema kanisa Lina mgogoro Tena kwenye vyombo vya habari,,,kupeleka matatizo Kama haya serikalini,,,mliangalia nn!! sadaka au Roho za mnao waongoza

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 2 роки тому +1

    Wewe mzee acha tamaa kama unataka uongozi si usubiri uchaguzi ufike

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Рік тому +1

    Mmm,ninacho kijua Hilo kanisa ni ,EGT nanyie wengine wenye jina tofauti mmmm mungu awaponye

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 2 роки тому +2

    Msigombane,wanaotaka mwakipesile haya,wanaotaka mwaisabila haya

  • @emmyabsalom4237
    @emmyabsalom4237 2 роки тому +3

    Shetani ni mwelevu, amewafanya watu wajishughulishe na mambo ya migogoro wasahau kuwa YESU anarudi muda wowote, wako busy na migogoro! Hapo tutapata muda wa kumtafuta MUNGU kweli?! MUNGU atusaidie tuko kwenye Kipindi cha hatari.

  • @josephkomu987
    @josephkomu987 2 роки тому +2

    Mkatoliki daima

  • @azdamadege8972
    @azdamadege8972 2 роки тому +2

    WALA HAKUNA UMWAGAJI WA DAMU MWAKIPESILE NI ASKOFU WA AMANI SANA NYIE MNA MAMBO YENU

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 2 роки тому +3

    Baada ya kufa mzee kulola2 EAGT yakaingia maharamia.RIP Moses Kulola😭😭😭

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 2 роки тому +1

      Huo ndiyo ukweli wenyewe

    • @heritier5119
      @heritier5119 Рік тому

      Upo ushuhuda wa aliyekuwa wakala wa kuzimu anaelezea jinsi walivyopanda mafarakano kupitia mmoja wa askofu ambae ni mtu wao Ili kanisa liwe chini ya shetani.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 День тому

    Watu wengi wanatamani uongozi ili wachume pesa tu
    Ndiyo maana wengi wao hawana biashara zao binafsi
    Mnataka pesa tu

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 2 роки тому +2

    Mungu aepushie hili jamani Yesu anarudi,shetani anawavuruga ili kuwachanganya msiwe na nguvu ya kumtafuta Mungu

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko7088 2 роки тому +1

    Mimi niko hapa Musumbiji.Ila ninachokiona kama mumeamuwa kutoka chini ya uongozi wa Kanisa la eagt mutoke mukajenge majengo mengine muanze upya musimusumbuwe B.Mwakipesile;muache kila kitu mulichonacho hapo kanisani.Muende na vipawa visivyo onekana.Atakaye baki hapo atabaki kinyume na hapo Mungu wa Moses atawahukumu kwa kuwa mumekoseya

    • @nyellasuwedisanga6929
      @nyellasuwedisanga6929 2 роки тому

      Wa jamaa mwakipesile inawezekana mwaisabila ndo alimkalibisha kanisani sasa inawezekaneje mwasisi atoke amwachie mwakipesile kanisa mwakipesile yeye asisumbue wachungaji aendelee na hao wachungaji wanao mkubali yeye mzee amwache asisumbue kabisa mwakipesile anashida amegomba mwizalubi tena anamia kwa mzee uo ni ukolofi tumwombee ana roho mtaka fujo

    • @manoahmahuna6426
      @manoahmahuna6426 Рік тому

      @@nyellasuwedisanga6929 hv ukiambiwa utoe huo ushahid kwamba mwakipesile kagombana na mwinzarubi unaweza kuleta

  • @simonrevelian8372
    @simonrevelian8372 2 роки тому +2

    Katiba ya EAGT inasema Ibara ya ix. Mtumishi aachapo utumishi wake ndani ya EAGT ataondoka yeye mwenyewe na kuwaacha washirika na Mali zote. Kumbuka majengo ya makanisa yenu, vyombo mbalimbali mlivyonavyo ni asili ya EAGT, huwezi kujenga msingi mpya juu ya mwingine, bomoa huo msingi wa zaman muanze na Moja,

    • @Werema3760
      @Werema3760 2 роки тому

      Hizo katiba zimekaa kiuporaji zaid(kimwili)

    • @simonrevelian8372
      @simonrevelian8372 2 роки тому +1

      @@Werema3760 naamin mpendwa kabla mtu hajafungua kanisa anapitia katiba ya dhehebu analotaka kutumika Nako, na Jao wanaopinga waliridhia kabla. Shida amevamiwa na roho ya kupenda vyeo ndo maana wslishapeana vyeo hata kabla ya tamko la serikali, pia Mzee mahene aliyeshawishiwa na hao kuishtaki EAGT Mungu alimuonya akarudi na kutubu, nao wasitumiwe na shetani, warudi watubu na kutii mamlaka iliyopo maana biblia ndo inavyosema, warumi 13:1, hapa Hanna siasa ila neno la Mungu lisimame tu.

  • @enockniko9270
    @enockniko9270 Рік тому +1

    Kwani mzee kustaafu uongozi kunashida gani ukawa mchungaji tu
    Mbona taji yako ipo tu

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 2 роки тому +3

    Heee jamani...Mungu tusaidie

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 2 роки тому +1

    Aliyefanya kazi ngumu Alisha tangulia mbele za na huyo ndy alikuwa na uchungu na Eagt Eemungu simia Hilo

  • @mwakhabogokarani1019
    @mwakhabogokarani1019 2 роки тому +3

    wanyakyusa mnashida gani lkn mnachafua kabila lenu magomvi mengi chanzo nyie akina mwanani tunakoelekea hatuta wapa madaraka iwe kanisani or serikalini

  • @a.j.m9740
    @a.j.m9740 2 роки тому +4

    Mnachogombania ni tonge kuweka kinywani alfu eti tunasema tumeokoka.

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 2 роки тому

      Wewe umetoa sh ngapi ili wapate tonge?

    • @jupitersolomon8427
      @jupitersolomon8427 2 роки тому

      Kabisa Yan hapo ni tonge tu kwanza hivi tunaenda mbingu ya Nan kiongozi wa dini mnapeana vijembe Tena mtandaoni YESU akirudi Leo itakuwaje naipenda Sana EAGT ya mwakipesile sio hii ya kutaka tonge

  • @benjaminkabebo6581
    @benjaminkabebo6581 2 роки тому +3

    Achaneni na mambo mnampa shetani nafasi eneza injili ya wokovu achana na hayo
    2wako2:11

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 роки тому +3

    BABU ASKOFU MWAISABILA. KWANI MKIBAKI EAGT MTAPUNGUKIWA NINI?
    HALAFU HUYO WA BUGANDO ANATAKAJE KUONDOKA NA KANISA LA EAGT BUGANDO?

  • @gwakisasimon14
    @gwakisasimon14 7 місяців тому

    mungu sio mapenzi yake hayo muyafanyayo hakika kazi yenu muliyoitiwa ni kukusanya kondoo tu mungu hayajui hayo munayoyagombania anahudhunika mnatawanya kondoo wake hakika mtalijibu hili tumkumbuke baba yetu kulole alivyoenenda kwa kuwa na ofu na mungu akuruhusu ubinadamu umtatawale uaskofu hautawapeleka mbinguni kwa umri wako mzee wangu mwaisabila unatakiwa umwangalie yesu achana na mambo ya anasa hayo mungu anajuwa kweli ya kila mmoja wetu na hakuna binadamu anayeweza kusema huyu mungu amemkataa hilo ni kosa kubwa hujui siri ya mungu na kiumbe wake kaa kwenye wito wako kuwahubiria watu waache dhambi na kumkimbilia bwana yesu hayo.mengine sio yako yeye aliye juu mtakatifu anajuwa atayatengeneza namna gani lakini moyo wako usizame huko vyote uvionavyo ni mali ya bwana yetu.nawaomba mungu awatangulie kwa hili fungeni na kuomba maana mwisho unakalibia

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 роки тому +3

    Nyie hamkwenda kwenye UCHAGUZI. Na hata Sasa UCHAGUZI ukiitishwa mwakipesile anashinda Tena

  • @elizajohn8728
    @elizajohn8728 2 роки тому +2

    Mnaidhalilisha injili kwa uchu wa madaraka mpone kwa jina laYESU

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 8 місяців тому

    Hii dhambi ya mafarakano inaendelea kulitafuna Kanisa la Mungu. Eee Mwenyezi Mungu ingilia kati kuna roho ya kuzimu imeingilia kanisa lako hasa roho ya kupenda mali kuliko kukupenda wewe. CPCT mbona mko kimya mpo kwa ajili a kazi gani? Ni pamoja na kusuluhisha masuala kama haya ili watu wa Mungu wasipelekane kwa Pilato. Msipoliangalia hili kwa makini litainajisi CPCT mbele za Mungu. Mungu atawadai huduma yake kuharibika na ninyi mnaangalia tu. Ajuaye kutenda mema asiyatende ni dhambi kwake.

  • @adeliphinamussa3085
    @adeliphinamussa3085 Рік тому +1

    HV mnajisikiaje mnavojieleza hivo km watu mliookoka, Mungu wenu yuk wap

  • @monerexshowz5200
    @monerexshowz5200 2 роки тому +4

    Yaan inafanana na KKKT pole wanyakyusa wenzangu lakini mnavurugwa

  • @gideons5265
    @gideons5265 2 роки тому +2

    Kuna mtu mwenye pesa amewashinda. Hili mzee kulola alilijua na akamuandaa kijana wake Daniel kulola ila ndio hivyo.

  • @JERUSALEM169
    @JERUSALEM169 2 роки тому +1

    Huyo mzee ANATAKA AMALIZE VIBAYA

  • @mazimaaugustine7259
    @mazimaaugustine7259 2 роки тому +1

    Enyi waamini msijinajisi kwa yale mnayo sikia mitandaoni ogopeni kutoa maamuzi kwa jambo usilolijua

  • @amosichacha5022
    @amosichacha5022 2 роки тому +3

    hakuna Mungu wa kweli kati yenu, yeye siyo wa michafuko.

  • @faustinemwamlima2334
    @faustinemwamlima2334 2 роки тому +1

    Hakuna Mungu hapo

  • @jamesndondolendondole7152
    @jamesndondolendondole7152 2 роки тому +5

    Migogoro uchu wa madaraka!

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 2 роки тому +4

    Martin Luther alijito Roman kwa sababu za kiimani lkn leo viongozi wanagawanya kondoo kwa maslahi Yao binafsi Mungu awasimamie

    • @diti4899
      @diti4899 2 роки тому +1

      Warudi tu Roma maana malalamiko ya Martin Luther waroma walishayarekebisha

    • @NathanKayuni
      @NathanKayuni Рік тому

      Rohoyavita inawatafuna

    • @NathanKayuni
      @NathanKayuni Рік тому

      Vitavyatikawap kamasikatikamiliyenu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Рік тому +1

    Nimefungua peji hii ili niunganishe na ushuhuda alioutoa mtu mmoja alikuwa mchawi. Na aliugusia mgogoro huu

  • @esteraidani5275
    @esteraidani5275 2 роки тому +2

    Mungu simama mwenyewe,vita niyako,

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 2 роки тому +2

    Sisi waumin Wala hatuna migogoro wakae wakijua tunahamia popote tunapotaka

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 2 роки тому +2

    Eagt wanyakyusa ndo mnaivuruga vyeo mnapenda mno.

    • @mosesmwailenge5192
      @mosesmwailenge5192 2 роки тому

      Kwaiyo shetani nae ni mnya kyusa maana ndyo mwanzilishi wakupenda vyeo mpaka mungu aka mtimua mbinguni 👹👹👹

    • @jifunzekuhusuwewe7475
      @jifunzekuhusuwewe7475 2 роки тому

      Wanyaki ni tatizo sana Ukanda huu wa mbeya - Kusini kuna tatizo sanaaa wanyaki ndio chanzo

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 2 роки тому +1

    Nimejifunza kitu ktk mgogoro huu kiini ni UZINZI lakin kimepelekea vita iendelee mpka leo.
    Askofu Mahene alishatubu na anaendelea na Safari ya kwenda mbinguni.
    Ila vita bado inaendelea🙄🙄🙄🙄

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 2 роки тому +2

    YESU ANARUDI

  • @jonathantave848
    @jonathantave848 2 роки тому +2

    Hii ni Roho gani inayo ibuka mwee umwe??? Wito ni Jambo la Muhimu sana kuliko kusomea somea haya ndo madharq ya kusomea Neno la Mungu

  • @damianmwalyego7870
    @damianmwalyego7870 2 роки тому +1

    Baba kwasasa ungeturia na Mungu uache mambo hayo ya kutaka madaraka

  • @mwebraniaonline7001
    @mwebraniaonline7001 2 роки тому +2

    Kuazisha taasisi yako hakuhusiani na kuondoka na Mali za EAGT,KATIBA SIIPO WAZI ukitaka kutoka uache Mali zilivyotafutwa chini ya EAGT

    • @musabarnabas7628
      @musabarnabas7628 Рік тому

      Ili kufikia maridhiano latiba huwekwa pembeni. Hata EAGT ilipoundwa iliondoka na majengo ya TAG na mgogoro uliisha. EAGT haitakufa kwa kuwaachia waasi majengo kama wao walivyoachiwa walipoasi TAG.

  • @heritier5119
    @heritier5119 Рік тому +1

    Shetani upanda roho kupitia mawakala zake Ili alisambaratishe kanisa

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r 5 місяців тому

    Kwaio managombania mjengo au waumini au sadaka mnachekesha kwaeli

  • @annanaiman9321
    @annanaiman9321 5 місяців тому

    EAGT mnatia aibu kwakweli

  • @alexnyasangakahela
    @alexnyasangakahela 2 роки тому +4

    Wanyakyusa tunamatatizo gan kwenye imani

  • @isackchalamila9160
    @isackchalamila9160 2 роки тому +2

    huyu askofu ana mstatizo makubwa tena anavuruga kanisa kama hana kibali kwanini ang'ang'anie madaraka mwakipesile pumzika tuu babangu utapoteza heshima yako jifunze sana

    • @isackchalamila9160
      @isackchalamila9160 2 роки тому

      Mimi binafsi namshangaa sana sana huyu Askofu mwakipesile kashajua hapendwi bado anataka madaraka yanini? na kama ameona hapendwi kwanini ang'ang'anie? tukumbuke hawa ni wachungaji na wanaongozwa na Mungu kwanini anakuwa kama mwanasiasa? mm binafsi kwa kweli wacha Mungu awe mwamuz kwa maana anaaibisha kanisa sana kwa uzee wake anamaliza vibaya sana Kwakweli mtu unakuwa mtata mpaka ameharibu kanisa sana mambo ya Mungu so yakung'ang'ania EAGT tuna sauli mkubwa anaesumbua kanisa kwa wachungaji baba zangu wa kiroho hampsswi kupaniki tumwombe Mungu atarudisha maskani ya Daudi iliyobomoka

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 роки тому +2

    kazi ipo 🤔

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 2 роки тому +2

    Ki haki mzee ulistahili kuwa Askofu maana mmeanzisha Eagt katika mazingira magumu nakumbuka miaka ya 80 mlihubiri na mzee kulola kwa shida ila ninacho waomba yasitokee Kama ya mzee kulola na mzee Lazaro mpaka mzee kulola kupewa sumu lkn yote hayo ni madaraka Lkn kinacho takiwa ni kumuhubiri kristo

    • @kapesaemmanuel2422
      @kapesaemmanuel2422 2 роки тому

      Hakuna watu wa Mungu humo wala Roho ya Mungu hakuna humo ni maslahi ya sadaka

    • @poweroftonguetv2604
      @poweroftonguetv2604 2 роки тому

      Ukiona we ni mtumish wa Mungu na unarudshwa nyuma kwa sababu ya madaraka jtathmini mara 2

  • @gracewilfred7276
    @gracewilfred7276 2 роки тому +1

    Mungu awahurumie watumishi jamani, mnaelekea wapi??

  • @alfredamwankotwaministries1472
    @alfredamwankotwaministries1472 2 роки тому +2

    Mimi Niko Zambia baba Niko na wewe huku ninakanisa nataka niliunganishe na hilo ulilosajili

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Рік тому

    Madaraka,fedha,,ni tatizo ,,pia mfumo wa kanisa katiba na miongozo,,,

  • @nyellasuwedisanga6929
    @nyellasuwedisanga6929 2 роки тому +1

    Mimi nnacho fahamu .mwasabila ndo mwasisi wa kanisa. eagt wachunganji wengi walipita uku mby mwasabila ni baba yao wa kiroho na ana wajukuu wengi na hili nafikili msajili halijui mimi kwangu nafikili mwakipesile hapaswi kumfanyia. hivi huyu baba na maoni yangu wakristo tunatakiwa kuomba kwa ajili ya kanisa na sio kulaumu badala ya kusema wakyusa wanapenda madaraka mala tamaa za fedha, fahamu kazi ya shetani ni kuchinja kuua na kuhalibu,

    • @meshakinelisoni1176
      @meshakinelisoni1176 2 роки тому

      .kiongozi wa kiloo apatikani kwauasisi bari kwaekima ya mungu

    • @josephkaveya4284
      @josephkaveya4284 Рік тому

      Kwani mzee mtumishi wa mungu bishop mwakipesile umesahau nini mbona mzee Moses kulola aliondoka na majengo ya tag mfano bugando wewe umesahau nini?

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 2 роки тому +2

    Itamfaidia nini mtu kuupata ulimwengu wote kisha akaukosa ufalme wa mbinguni

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 2 роки тому +2

    Mwakipesile hana Shida ,Nyie mna shida yenu

  • @stevenmhina7915
    @stevenmhina7915 2 роки тому +2

    Yaani kwa hiyo Mwa ndio kila kitu kwenye Makanisa nchi hii.

  • @WinifledyMbugi-ur1hq
    @WinifledyMbugi-ur1hq 5 місяців тому

    Mwaisabila atamia watoto wako wasipote kulola alikuachia

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana4610 Рік тому

    Tatizo ni chakula tu, mkitaka ,mpone katiba yenu iwe kama ya fpct, migogoro itapungua.Mchungaji awe analipwa kama wanavyofanya makanisa mengine, na iwe inawezekana mchungaji akiharibu awe anahamishwa kwenda sehemu nyingine, kama hakuna uwazi wa mapato tatizo litaendelea kuwatafuna viongozi. Washirika hawana shida, shida ni viongozi, mnataka kushibisha matumbo yenu bila kujali umisionari mnaotakiwa kuuhubiri.

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 2 роки тому +2

    MUNGU tusaidie wana wako,

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 роки тому

    Tobaaaaa siku za mwisho au

  • @shedykivike7576
    @shedykivike7576 2 роки тому +2

    Mwakipesile ndo tunamtambua

  • @evdidaskatumbo6533
    @evdidaskatumbo6533 2 роки тому +3

    Vita yatoka wapi jamani mbona virus vingi anamaliza yote.
    Kwani yasifanyike maombi badala ya vita ya nyama

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 8 місяців тому

    Kuna upande mmoja usiokubali suluhu ni wa kishetani. Shetani anataka kuharibu kazi ya Mungu isiendelee. Ninyi EAGT mlipojitenga na TAG mbona hamkufanyiwa vurugu? Nafahamu makanisa kadhaa yaliyojengwa chini ya TAG yalikwenda EAGT. Hivi huyu Mwakipesile ni Mtumishi wa Mungu kweli au ni Mtumishi wa Mali? Yesu si alisema akuchukuliaye koti lako mwachie na joho pia. Hilo linatufundisha nini?

  • @busholaseseko4905
    @busholaseseko4905 День тому

    Mhhh