Wajuaji wa gharama za vifaa vya ujenzi wanajua kwamba hapo hakuna vifaa vya kufika. Bilioni moja vilivyotumika. Gorofa moja halafu si pana ndani iko ya kawaida sana tena vyumba vidogo vidogo
Ali kina nyumba yake tangu unanza kujenga naiyona na mama yake ndio alikuwa msimamizi tunashindwa nae na alikuwa anakaa saloon kwetu mafundi wanjenga mingi mpka linaisha mama yule ndio msimamizi
Mchawi maskini huyo atabaki hivyohivyo na wivu wake atabaki kuishi vichochoroni mwenzie yuko mbali awaonyeshe hati ili iweje. Kila mtu ana matumizi yake mwacheni wivu utawauwa.
Ghara ya gorofa inatokana na wingi wa ghorofa kwani nondo nyingi kokoto zege na milunda hutumika. Hiyo ghorofa moja halafu si pana hizo gharama kufika bilioni kwa vifaa gani vya ujenzi ,? Hapo kwa waliojenga na kujua gharama za vifaa vya ujenzi hata milioni mia tatu au mia NNE haifiki. Adanganye tu wasiojua na ndani haina thamani za masinki ya dhahabiu na vinginevyo. Hiyo nyumba ni ndogo tu
Jamen ni ameni INSPIRE na Sio EXPIRE😮Ungesema tu amekushawishi tungekuelewa zaid
MWIJAKU big up to you , 2024 uta trend sana , acha waongee ni baraka kwako, Niva mpongeze kakaako bro
Sio wivu yeyemwenyewe kulileta kwenye media lazima ajadiliwe kataka mwenyewe mwijaku
BONGO 24 BIG UP TO YOU , MNAJUA
Mwenye akili lazima.akatae siyo kweli Iko wazo kaka
Ukweli unauma kaongea aukwel acheni uongo wasani wengi niwaongo
Huyo aumizwa na kisokorokwinyo, tafuta pesa wacha chuki mwisho utakuwa mchawi
Wajuaji wa gharama za vifaa vya ujenzi wanajua kwamba hapo hakuna vifaa vya kufika. Bilioni moja vilivyotumika. Gorofa moja halafu si pana ndani iko ya kawaida sana tena vyumba vidogo vidogo
Huo ni unafiki2 mpongeze mtu kafanya vizuli2
Ali kina nyumba yake tangu unanza kujenga naiyona na mama yake ndio alikuwa msimamizi tunashindwa nae na alikuwa anakaa saloon kwetu mafundi wanjenga mingi mpka linaisha mama yule ndio msimamizi
Mario Wacha wivu,utaendelea kuishi vichochoroni
Mchawi maskini huyo atabaki hivyohivyo na wivu wake atabaki kuishi vichochoroni mwenzie yuko mbali awaonyeshe hati ili iweje. Kila mtu ana matumizi yake mwacheni wivu utawauwa.
Niva c kwa sugu hizo 😂😂😂
Eti vigizo basi umeamia uchawa
Niva pooz zako unafikili unakula cha Arusha
Kama ka left hivi
Kiba ananyumba bili
Kutoka Mombasa,wewe niva huna hata kibanda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ghara ya gorofa inatokana na wingi wa ghorofa kwani nondo nyingi kokoto zege na milunda hutumika. Hiyo ghorofa moja halafu si pana hizo gharama kufika bilioni kwa vifaa gani vya ujenzi ,? Hapo kwa waliojenga na kujua gharama za vifaa vya ujenzi hata milioni mia tatu au mia NNE haifiki. Adanganye tu wasiojua na ndani haina thamani za masinki ya dhahabiu na vinginevyo. Hiyo nyumba ni ndogo tu
Vijana tafuteni pesa sio blabla tu vijana wengi wamepanga
Wivu unakusumbumbua kijana nivà wewe shoga