Konde Boy Harmonize akwea waya kama komandoo Siku ya Mwananchi
Вставка
- Опубліковано 29 сер 2020
- TUKIO ZIMA: Tazama jinsi #Harmonize alivyowa-surprise wananchi akishuka #MkapaStadium kikomandoo.
#AzamSportsHD
#WikiYaMwananchi #SikuYaMwananchi #WikiendiKubwa #TunaanzaMsimuMpya #TunaJamboLetu #YangaSC #TimuYaWananchi #SikuYaWananchi #AigleNoir #MkapaStadium
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Спорт
Hakuna kama YANGA TANZANIA hii, Wamefunika💛💚
Huyi konde walah ni sayari nyingine kabisa👏👏👏
@Rodrigo Brendan aaakhhkaaaaa
@Rodrigo Brendan 9aaa
Kwa mtu asiye namafunzo ya kijeshi harmonize kajitahidi sana good adea
Wanopenda kusema anaiga wako wapi
Kajitahidi sana aisee
Sana kajitaidi wao waosema ata kupita juu ya matofali hawezi
Kwer nijeshi 💂💂💂💂👮👮👮👮👮
JESHIIIII🐘🐘🐘🐘🐘🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Yangaaaaa konde boy jexhiiiii
Salut kwako konde boy mwenyewe
Ukiskia show ya kibabe ndio hiii... Shkamoo jeshiiiiiiiiiiii."#sihami_yanga
Penye ukweli tuseme ukweli tuache ushabiki watanzania ni wamoja ila dogo hamonaize kafunika mbaya nawapenda wote
Akika konde boy ninoma
kama hujuti kuwa konde gang mm like hapa tunjuane
sijuti na wala sitojuta ata wakimuweka wa 10 bora bado tutamsapot
Konde Boy oyooooo
Jeshi ni fayaaa!!! Kwa alichokifanya nampongeza sana mi boyfriend wangu hata kupanda tu juu ya stuli anaogopa!! Anakuwa na wenge hatar ndo mana staki anibebe najua atanibwaga tu!!!
Unamsema boyfriend wako mbele za watu?? Nitamwambia aiseewh Dada MARTHA
@@godfreymakubo3692 usimwambie plz ntakupa pipi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaweza sana konde
Achana nae uyo njo kwangu me
Likes zenu kwa kumpongeza Jeshi
Tanzania mpo mbele sana, Mungu awajali mengi 🙏🙏
Konde tz. Hakuna anayekuweza, younger love u so much.
Leo tena Kilele cha Wiki ya Mwananchi 29.8.2021 ahsante Mungu nimefika salama naiona tena Wananchi tuna jambo le2 💛💚🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Wapi likes ya Konde boy jeshi
Hey everyone I'm Congolese but I love so much the Tanzanians
Tanzania hakuna korona 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ,no mask, no social distance, no sanitanzer ...
Gonga like apa.
sema jeshi umetisha simba hana ata maajabu nakukubali sana harmonize simba mwenywe akiona lazma agune kwanza
the real meaning of creativity🙌🏾
Konde ume maliza mchezo uko akuna anae kuweza kwa sasa...salute Bro respect from +254
jeshi hatari sio simba hana maajabu
Konde gang forever from 254
Dah..! Uliua sana JESHI it was so amazing
One of the greatest shows....am watching it 2023💚💛
Daah hii show haichoshi kuangalia daah 2021 bado nipo naicheki👍
Me too😆😆🙌
me too 2022
You're amazing konde boy❤❤we ni jeshi nimekubali💯
Harmonize is a good artist, diamond a good entertainer but but alikiba is the best of all time trust me is the only king of bongo flavour.
Sure.
Kweli kabisa.....kikwete mwenyewwe kaliga makofi
Alafu kumbe ajadondoka kama ivo mnavoongea....jaman muacheni harmo
Nibonge la burudani, tena linakosha roho yaani dah
Salut kwako kond geng umetisha.
Saliluti kwa kudondoka au?
Bwana mm si shabiki,ila uwanja umejaa vibbaya mnooo kuliko Simba jamani tuseme ukweli hapo
Wasafi waonyeshe ubabe wao kama watamfikia kamandah jeshi amkeni akili sio kuimba nyimbo za watoto hazielimishi chochote big up jeshi
Hata hazina mauthui
Wameskia,,konde for life
Jeshiiiii
Wow naipenda sana yanga nawatakia mshinde jmn timu yangu msije mkaniangusha jmn yanga damu yangu
Akika naipenda yanga
President kikwete was a soldier. He knew whats going to happen to harmonize.. its not easy he need military training for that shit ....
Exactly
Kusinzia leo nahama timu wasafi rasmi ni konde boy
Umetisha baba
Waliozingua kulee juu wameiachia kamba bila kipimo
Ila konde kajitahidi sana hongera
KondeBoy
Baba ni baba tu simba 4life
Naipenda yanga pamoja jeshiiii 👏👏
Amin kwamba ww ni jeshi kweli
Nakumbuk mwak 2007 tulipoanzish umiseta kubaha secondary muhshmiw Jakay alikuw mgen rasm nilipata zawad lkn walimu sio wat wazr
Hongereni wana jagwani
Kwakweli ilipendezaaa
Kwakweli inapendezaaa
yanga juu
konde boy I call you you are number one 🎉
Hongel xan yanga
Yanga hoeeeeeeeeeee
Bifu ya nini ahahahahaha mtoto kushindana na baba yake 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Bigup sana kwa Jeshi konde gang
Nzuri ❤️ 💯 One love Africa
Konde boy jeshiiiiiiiiiiii
Jeshiii...from +254....i salute u konde boy ..🔥🔥🔥🔥🔥
Umetisha jeshiiii
KBisaaaa
Naipenda Sana Yanga
Unajua mpaka bax wananichi hatujutii kuwa na TEMBOOO TEMBOOO jeshii
jeshi hatri sio simba shoga kazi kuzunguka tu uwanja
Haijawahi kufeli
Konde boy nomber one africa na duniani
Asante sana kwa matangazo yenu tunawapata vizur sana.
Kode boy for life
Huyo ni jesh kwel jaman
Konde boy mjeda wa ukweliiii
konde unamkosea heshima baba ako mondi...bt big up bro! unaweza.
Safi sana konde umewashangaza wa2 kila mtu alitaka kujua utakyjaje
Nice
HERE AGAIN 2024
Hongera sana Rajabu
Umefanya kitu unique
Simba achen wivuuuu
Big up sana sana sana Harmonize Umeua broo
safi lkn alihatarisha maisha yake,tushukuru mungu tu haijawa noma
tena asirudie wallah
Ile kamba kuna watu wanamshusha sio kwamba anajishusha mwenyewe waliomshusha ndio wamezingua wamemshusha Kwa spidi...
konde boy jeshi saluti
Mm nipo Congo nakubal mziki wa konde boy
Jeshiii!!!!...
Pamoja
Salamu kwa wa Tanzania ,sisi twauona huku Mozambique
Mambo motto, yanga kuwapenda siachiii
Mi ni simba lakin niliinjoi uwepo wa konde 🎧🗿🗿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎆🎇🎇🎆🎆🎇🎇🎇🎆🎆🎇🎇🎇🎍🎍🎆🎍🎋🎋🎫🎖🏆🎉🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🎖🏆🏆🏆
Thanks
Kuna vijana hatuna kz mzee huyu hata salut nikitua hapo jasho njano litawashuka
Konde boy apo alitisha sana
Konde Boy Mnyama
tujifunze uzalendo tuache ushabiki wa kiboya mimi ni simba damu ila siwezi kubeza jitihada za za harmonize eti kwa sababu siku ya simba day ali perform diamond nataka niseme ya moyoni kwa alicho kifanya harmonize jana ni bonge moja ya surprise na habari kwamba alidondoka hayo ni maneno ya wakosaji rudia tena kutizama video jamani tusipende kusifia watu wakiwa wamekufa mtu akifanya vizuri mpe pongezi zake na wewe jipange siku nyingine fanya kitu kizuri zaidi yake na ndio maendeleo yenyewe wana simba tuliamini yanga hawatajaza uwanja na wamejaza maana yake walijipanga kujaza na wameweza hongereni mimi ni mpenda maendeleo ya kila anaefanya vizuri
Pamoja mtani wngu ww ndiye shabiki wa kweli
Mbon umepaniki
Umeongea ukweli ndugu yangu.
@@bashaabkari916 wa kupanic sijamwona
Daahh!! hongera sana ww ni shabiki na mwenye kujielewa sio wale shabiki bendera👍👍
watu waongo ety alidondoka wapi mbona sjaona
kazi nzuri konde boy
Hongeni wananchi
Dogo yuko vizur hongera sana
This is another level...super talented
#Oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo #jeeeeeeeshiiii
Tout rev Pam avan mwen mouri pou mw rankontre hamonizer ak Diamond tout rev Pam neg sa sevim egzanp mesi anpil pou love nou
Hiisiku ndo harmo alijipatia wafuasiwengi kwa show yakibabe
Atari sana
Jeshiii
Nimeipenda sana
Jesh
2021 wananchi 💚💛
Hongera umeuwa
Watani Kama mnatambika !!!!
Umenpa raha sana konde boy
Hainistui...team konde gang hapa
Safi
Jesshhhhhiiiiiiii🥊🥊
nani amestuka kama camera man anawachukua wadada wenye sura nzuri tu🤗
Hakuna aliyeshtuka😆😆
Jeshiiii konde boy jeshiiii tembo ni tembo
Kajitahidii big Konde boy
Konde king