Yanga 1-1 Al Hilal | Highlights | CAF Champions League 08/10/2022

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2022
  • Fiston Mayele amefunga tena kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika, Yanga ikitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Al Hilal Oumdurman ya Sudan, kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Goli la Al Hilal kwenye mchezo huu limepatikana kutoka kwa Mohamed Yousif ikiwa ni takriban dakika 15 baada ya Yanga kutangulia dakika ya 51.
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 466

  • @mwaulambo
    @mwaulambo Рік тому +8

    Tupo vzr Yanga Bahati haikua yetu. Uwezo wa kushinda 2nd leg tunao. Daima Mbele 💚💚💛💛

  • @weely007
    @weely007 Рік тому +7

    For Yanga fans you have very good team greeting from sudan hilal fan 👏

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Рік тому +8

    Jamani wana yanga tuwe na shukran wachezaji wame jitahidi haki👏👏👏

  • @joebiggs3311
    @joebiggs3311 Рік тому +4

    7 new players for Alhilal mashaaAllah , they only played together 4 games and 4 friendly games , so by next year when they play with eachother well and understands eachother better , and all the players come back from injuries man Alhilal will be a great team InshaaAllah.

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 Рік тому +9

    Ushabiki tuweke pembeni yanga wako vizuri sana what a nice team

    • @khadijasobo4088
      @khadijasobo4088 Рік тому

      Ukiumwa na choo hata kama kigumu utajikakamua kitoke ili ukae kwa amani nazani umenielewa

  • @mohamedboko1973
    @mohamedboko1973 Рік тому +12

    Yanga wameupiga mwingi sana bahati haikuwa yao. Naona wakipata matokeo mazuri Sudan

  • @ahmedboosha4364
    @ahmedboosha4364 Рік тому +8

    Young is a good team, but Simba is better, more organized, solid in defence We faced Simba amonth ago Friendly in the cemetery (Al Hilal Stadium) and we won with difficulty with a single goal.... Greetings, appreciation and respect to all Simba fans who supported us and we will make you more happy in the cemetery match☠️💙💪🏻

    • @superwarema2309
      @superwarema2309 Рік тому

      You gonna lose on your home ground unless you plan to play rogue.

    • @ahmedboosha4364
      @ahmedboosha4364 Рік тому +1

      @@superwarema2309
      😂😂😂😂😂😂😂😂😂
      you are dreaming
      Why we don't lose on ur land and in the midst of ur audience!!! Did you know despite the positive result, but in Sudan we consider that Al Hilal lost!! B,c the match was easy for us.
      Believe me, you don't realize the strength of Al Hilal, nor even the ferocity of our fans inside the cemetery (Al Hilal Stadium) ur team is good at the you local level only, but you have given up to the great African teams....
      We are waiting you in the cemetery☠️💪🏻

  • @user-ei9ht6jd4k
    @user-ei9ht6jd4k Рік тому +1

    Asante Sana from Sudan 🇸🇩 I love Tanzania ❤

  • @gemandorobo1536
    @gemandorobo1536 Рік тому +6

    Yanga wamecheza vzuri sana,ndo hivyo bahati haikuwa yetu

  • @robertmboya7842
    @robertmboya7842 Рік тому +5

    Yanga ipo vizuri sioni cha kulaumu hapo haikua tuu bahat kwetu

  • @zakariaathman9019
    @zakariaathman9019 Рік тому +10

    Mchezo ulikua mgumu ila mtamu wamejitaidi wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @mosama8301
    @mosama8301 Рік тому +8

    Yanga survived a big defeat. Alhilal played a perfect tactical game.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому +14

    Morison anahaki ya kusifiwa leo, amefanya kazi kubwa sana ya kutafuta magoli na kuwapasia wenzie. what a player!

    • @nadrahassan5241
      @nadrahassan5241 Рік тому +1

      Sana👏👏👏 maskin nakaumia 😢💔

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 Рік тому +1

      Mm kiukweli mm ni simba damu ila kwangu morrison mmoja ni aziz ki watatu without any doubt

  • @Tomorrow32
    @Tomorrow32 Рік тому +3

    El-Hilal is a big team.
    They should've won that game.
    Young Africans are out.

  • @lightnesschrispine2446
    @lightnesschrispine2446 Рік тому +7

    Na kocha alikosea Sana kucheza na kibwana hadi mwisho. Upande wake ndiko walikuwa wanapitia sana

  • @mussahamisi1191
    @mussahamisi1191 Рік тому +7

    Morisoni ni hatari sana ila Yanga haikua bahati kwao wamejitahidi sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +2

    Yanga mnajisahau kumuwekq mbele mungu ktk maneno yenu baadhi ya uongozi mungu ndo kila kitu lazima mseme mungu akitujaliya tutashinda mechi sio kusema iwe mvuwa iwe juwa lazima hii sio kauli njema

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 Рік тому +5

    Fei acheze juu tu,aziz atokee pembeni,fei anatoa option ya kushoot nje ya box accurately

  • @pastorphil4124
    @pastorphil4124 Рік тому +4

    Yanga big up,you have done great ni muda tu mtafanya vizuri

  • @belvineisutsa3667
    @belvineisutsa3667 Рік тому +2

    Nice one mayele😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @aliadlan121
    @aliadlan121 Рік тому +2

    A positive result for Al Hilal Club, there is another round that needs a lot of work

  • @salihharoun5586
    @salihharoun5586 Рік тому +3

    I'm Sudanese I respect Tanz people a lot I was in touch with them specially the Tanz army which was in Darfur for peace keeping they are very hospital and noble I used to have good relation with their respectable officer and the way they treat Sudanese and give help.Hope prosperity and development for their country.
    But when it comes to football frankly Simba is famous and known here.For Yanga coming match in Sudan guys you will suffer ..Al hilal is a destroyer.

    • @shaksay5591
      @shaksay5591 Рік тому +1

      You are so fun bro...😂😂🤣 Waiting...🤭 you'll regret your words... 🚫 Young Africans is champion always is champion...💪 Knows that Unbeaten team from now...⚡keep it in your mind...🧐 YOU'LL REMEMBER ME...😋

    • @charles5633
      @charles5633 Рік тому

      Tusikate tamaa wananchi bado uwezo wakuwapiga Kamangoma tunayo kwani kilasababu yakufanya hivyo tunayo emungu ibariki yanga 🇹🇿

    • @shaksay5591
      @shaksay5591 Рік тому

      @@charles5633 Aaaamiiin

    • @salihharoun5586
      @salihharoun5586 Рік тому

      @@charles5633 ما عارف انت كاتب شنو لكن الشباب حياخذ 3/0

    • @salihharoun5586
      @salihharoun5586 Рік тому

      @@shaksay5591 in champion league Yanga is not known its a domestic team u will see hell on 16thin the cemetery where Yang'a will be buried a live

  • @charles5633
    @charles5633 Рік тому +7

    Tuombee timuyetu yanga wachezaji wetu watatuonyesha maajabu jamani

  • @yasinsalih592
    @yasinsalih592 Рік тому +4

    As an Alhilal fan I can say it was a good game and I really enjoyed watching it. We’ll see you in The graveyard where the lions bury their victims.

    • @kelvinmtavangu7701
      @kelvinmtavangu7701 Рік тому

      As a Young African Fan, yes we enjoyed a Good Game. However, Yanga can overton the table, the unbeaten for 43 strong matches. The next 44th to be witnessed by fans at Sudan. Katibu sana.

    • @salihharoun5586
      @salihharoun5586 Рік тому

      Yanga outside Tanzania is very weak team they play only in front of their fans

    • @lewismpangala927
      @lewismpangala927 Рік тому

      You depends on things out of the pitch, harassment to opponent is not sportsmanship

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 Рік тому +5

    Tukiangalia mchezo ki ujumla, kipindi cha kwanza al hilal, walikuwa wanazuia sana, kuliko kushambulia,kipindi cha pili walianza kufunguka,ila ukweli kuna wachezaji walikosa ubunifu,mfano aziz ki,hakuwa na movements zozote za hatare kwa wapizani,wachezaji wetu hawakuwa aggressive wakati tuna shambulia,eneo la kiungo,aucho kacheza vizuri sana ametimiza majukumu yake,back line yetu haikuwa vizuri ilikuwa na makosa mengi sana, ni kukosa umakini tu wa wachezaji wa al hilal, tungeweza kufungwa goli zaidi ya mbili,.Mpira bado haujaisha kuna dakika nyingine za kucheza away,japo kama back line yetu haitabadilika tunaweza kufungwa goli nyingi zaidi,

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 Рік тому

      yanga walikosa goal ngapi?

    • @najytv2294
      @najytv2294 Рік тому +1

      @@shafiismaily9223 Swali zuri sana hili, Watu wanashindwa kuangalia pande zote, kwa mchezo ulivyokua mimi nimeona ni mungu tu hakutaka tupate ushindi mnono lakini mchezo ulikua wa kiushindani sana, Kila mtu amefanya kutokana na nafasi yake, Amemzungumzia Azizi Ki, Swali la kujiuliza Aziz Ki amepiga mipira mingapi kipa amecheza, Ukiondoa yeye ni nani mwingine alipiga mipira kama hiyo?, Kama Al- Hilal kwao wataenda kucheza mpira kama huu, Kswao wanaenda kupasuka

  • @officiallcoolest_khid3223
    @officiallcoolest_khid3223 Рік тому +7

    NEVER GIVE UP YOUNG AFRICANS 💪

    • @ahmedboosha4364
      @ahmedboosha4364 Рік тому +1

      Hhhhhhhhh
      Ok commmm on
      We will waiting for you💪🏻💙
      Big thank to simba fans❤️❤️❤️❤️

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      UTAONGEA LUGHA ZOTE LAKINI KWISHA HABARI YENU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      @@ahmedboosha4364 YA ZOOL NIKHUM NIKHUM 5 SUFUR 🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍👍👍👍👍

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 Рік тому +6

    Bado,tuna 75% yakushinda tukienda kwao,amini ninachokuambia, wachezaji wetu wamejitahidi sana,

    • @mbesinghabi1994
      @mbesinghabi1994 Рік тому

      Al Hilal wapo objective wanacheza kikubwa
      Shot on target
      Yanga 3
      Al Hilal 6

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 Рік тому

      Al hilal wana asilia ngap 😂

  • @shaibrahramadhan1434
    @shaibrahramadhan1434 Рік тому +3

    Yanga wamecheza vizur bahati tuuu

  • @suzancharles1639
    @suzancharles1639 Рік тому +8

    Nilikuwa nmechukia ila mpira umechezwa bwana hongera yanga mmejitahidi sana

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 Рік тому

      Safi sana mpira tunaujua bwana mapungufu ni machache

    • @leylaedward1785
      @leylaedward1785 Рік тому

      @@suzancharles1639 pkkkkkkkppp

    • @leylaedward1785
      @leylaedward1785 Рік тому

      @@suzancharles1639 mm

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      @@suzancharles1639 KWISHA HABARI YENU OUT 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      @@leylaedward1785 MCHOKOZI WEWE UNA BALAA WEWE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @asfiwemkumbwa5520
    @asfiwemkumbwa5520 Рік тому +3

    Mimi binafsi naona wamejitahid sana muda huu huenda tungepigwa 4 bila kuna improvement ya team yetu tuendelee kuwapa muda na kuwapa iman zaidi wataweza tu we sitll love u 💚💚💚💚💚💚💚

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      KWISHA HABARI YENU OUT 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husseinkhaji895
    @husseinkhaji895 Рік тому +2

    Yanga tumeshaaga mashindano haya labda itendeke miujiza ya Mungu

  • @yousifmohamed1388
    @yousifmohamed1388 Рік тому +1

    Al-Hilal decided the game and sent the youth to the Confederation, good luck

  • @mathiasulaiti5665
    @mathiasulaiti5665 Рік тому +10

    BINAFSI NAONA NAFASI YA KUSONGA KWETU NI KUBWA KULIKO INAVYOZUNGUMZWA

    • @robertnoel5232
      @robertnoel5232 Рік тому

      Sasa hivi mnaongelea uwezekano , mwanzoni mlituambia Al Hilal timu ndogo

    • @JovinusJoseph1992
      @JovinusJoseph1992 Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Рік тому +3

    Forever young 💚💛

  • @jakwarsudan1959
    @jakwarsudan1959 Рік тому +2

    Welcome in omdurman welcome in grave champions am waiting you yangs

  • @chockmaumba676
    @chockmaumba676 Рік тому +5

    Tunapiga kwao

  • @mwajumaabdallah3254
    @mwajumaabdallah3254 Рік тому +5

    Wamecheza vizuri yanga,bahati mbaya tu.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      POLE KWISHA HABARI YENU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Рік тому +5

    Yanga bado ana nafasi ya kushinda khartoum japo ni ndogo.. Kikubwa ni kua hawa al hilal wanafika sana golini kwa uto. Nabi akiangalia namna ya kuzuia hio mbona wanafungika hawa

  • @ouattaraadama238
    @ouattaraadama238 Рік тому +2

    Aziz ki 🇧🇫🇧🇫❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @yesutuatosha1460
    @yesutuatosha1460 Рік тому +11

    Umecheza vzr mtani sema Bahati haikuwa upande wako, punguza papara tulia ugenini kacheze kwa kujilinda vzr, alhila hawana maajabu uwezo wa kusonga mbele mwananchi upo. Wachezaji wamefanya Kazi kubwa sana.

  • @bnttv8955
    @bnttv8955 Рік тому +4

    Tunatobolea kwao bila shaka

  • @gabshawi
    @gabshawi Рік тому +2

    Greetings to Simba fans for their support for Al Hilal team 😍
    Al-Shabab Club was lucky with this result

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 Рік тому +7

    The problem that facing Young Africans (wananchi) is lack of International Friend Matches, by having many various games they got experiences, tactics, etc

    • @abdulwaheedmzury351
      @abdulwaheedmzury351 Рік тому

      Usijiongeleshe kizungu ili waarabu na wazungu wasome ili wawaonee huruma waone kua nyie ni team kubwa Sema Hamna experience na mechy zakimataifa we acha kujitetea mbona simba tulipitia msoto kaza braza😂😂😂

  • @hidayamakuka7876
    @hidayamakuka7876 Рік тому +1

    Matumaini Bado yapo pamoja nanyinyi yanga .Mungu yupo nasisi

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Рік тому +5

    Hiyo offside ya Mayele ingekuwa bongo angeweka Kati Ila jamaa wako makini

  • @rhodaephraim8606
    @rhodaephraim8606 Рік тому +5

    Yanga wamecheza boli nyiee anaebeza ni mchawi😅

  • @rajabuathumani1586
    @rajabuathumani1586 Рік тому +3

    Tatizo mayele gol moja unashabikia Kama ndio umemaliza gem

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 Рік тому +8

    Yanga timu tunayo, tumekosa magoli matatu au ma nne ya wazi kabisa

  • @decodesttz
    @decodesttz Рік тому +5

    hawa tukifika kwao nikujilipua tuh wao watalinda kwasabab wana goal laugenin kwahyo n moto tuh hawa wala hawatup presha

    • @tungaraza7794
      @tungaraza7794 Рік тому

      hata wasipolinda ni kwenda mbele tu hakuna cha kupoteza

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Рік тому

      Unajilipua kwa wings hizo zenye mapafu ya mbwa ndani ya dakika 15 Yanga itakuwa imehakula 2-0

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Рік тому

      Hao sio mtibwa ndugu

  • @user-mq1zq7kb7n
    @user-mq1zq7kb7n 10 місяців тому +2

    Nataka tena kiona makabi lilepo

  • @charleschagu7818
    @charleschagu7818 Рік тому +6

    Tuko pamoja na yanga mpaka watolewe

  • @bobrona9765
    @bobrona9765 Рік тому +2

    yanga bahati sio yetu

    • @suzangregory6431
      @suzangregory6431 Рік тому

      Asilimia 75 tutashinda kwao

    • @bobrona9765
      @bobrona9765 Рік тому +2

      @@suzangregory6431 kocha akiweka kikosi cha ushindi mapema na wachezaji wa wakipewa motisha na wakitulia kwenye maamuzi yao,,tukiongeza na fitna zaidi za nje ya uwanja ushindi upo asilimia mia kipindi cha kwanza tunatakiwa tushambulie hari na mali,wataogopa..

    • @suzangregory6431
      @suzangregory6431 Рік тому

      @@bobrona9765 mungu atuone 2

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Рік тому +3

    Wazee wasifa tim linapenda kusifiwa kama mtoto wa kike ukitaka kugombana na utopolo kosoa tim lao. Ukiwaambia tim yao namba moja barani Africa wanakubali wanafurahia walivyo mazuzu ndio maana yule kocha alisema Mashabiki wa yanga wapo kama manyani tu .

  • @lightnesschrispine2446
    @lightnesschrispine2446 Рік тому +3

    Bado nafas tunayo, ni bahati tu haikuwa yetu ila Kama ni mpira tumecheza kwa kiwango Cha Hali ya juu Tena ukiangalia na timu yenyew si ya kitoto

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Рік тому +3

    Morison hakutaka kushangilia alitaka waende kati chap

  • @paulmasilu1325
    @paulmasilu1325 Рік тому +4

    Wana yanga tutulie lazima apigwe mtu kwake 2 bila💪💪

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 Рік тому +11

    Jamani acheni uongo yanga imejitahidi ila beki hatuna

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Рік тому +3

    Mayele apunguze uchoyo, sio lazima yeye tu ndio afunge🥺

  • @christinaalloyce5316
    @christinaalloyce5316 Рік тому +1

    Yanga mamae hakuna bahasha hapo nikupambana nimependa matokeo hayo safiiii.

  • @mellanieekuwam3448
    @mellanieekuwam3448 Рік тому +1

    Haikua rizki yetu Wana yanga ila sisi ni Bora sisi ni yanga Africa

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Рік тому +2

    Yanga wamezingua sana

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Рік тому +1

      Sanaa nimeumia yani huku Qatar wasudan wanitukana sana sina raha

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      @@jumakassim8718 SI UNATAKA SIFA KWANI LAZIMA UWAMBIE WEWE NI UTOPOLO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @worldstartz
    @worldstartz Рік тому +9

    wamecheza vizuri yanga sema bahati na beki ya kati kunashida kidogo tu

  • @martialartsskillsaroundwor3571

    Yanga wanawazaga Derby tu Hakuna kitu ikicheza kimataifa

  • @happyathanas2454
    @happyathanas2454 Рік тому +7

    Udambwi unafanya mchezo uwe poa lakini isikupe kusema umeweza next time udambwi utoke nyavu zichakazeni morison katengeneza chance nyingi sana

  • @ahmedboosha4364
    @ahmedboosha4364 Рік тому +4

    Don't underestimate the again 😏🤫⁦✋🏻⁩Your team is good, but learn to respect your opponents, b,c you really don't realize the ferocity of Al Hilal when provoked... Even Al-Ahly of Egypt knows that well

    • @emmanuelmtunda1668
      @emmanuelmtunda1668 Рік тому

      Nikweli Simba ni wabovu Ila ndiyo wanao ongoza ligi kuu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      @@emmanuelmtunda1668 ALIEKWAMBIA SIMBA WABOVU NI NANI??? ASHURA CHEUPE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Рік тому +3

    Mgen on taget 6 mwenyej on taget 3 duh~~~SASA NANI ALIKUWA ANAWIITAJI WA GAME HAPO

  • @happyathanas2454
    @happyathanas2454 Рік тому +12

    Chance yanga wanajua kutengeneza sasa wapate namna yakutengeneza concetration kwenye box area watapata magoli mengi kwasababu kona walipata nyingi na faulo za mbele ya lango timu kubwa hua zina pambania sana

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 Рік тому +3

    jamani hii timu ni ngumu sana yanga wajipange kosa ni kutowafunga kipindi cha kwanza na baada ya kupata Bao la kusawazisha wakaona kumbe hata ushindintunaweza majamaa haya marefu yana mbio
    kosa jingine la yanga pale mbele ni uchoyo wa pasi mayele siyo kila wakati funge yeye aone morrison anavyotoa pasi mpenyezo

  • @WasomiOnline
    @WasomiOnline Рік тому +2

    Hizo ni hasara za ushindi wa bahasha.

  • @faustinemabula82
    @faustinemabula82 Рік тому +2

    Molson unaujua mpia,lakin fanyen maelewano dhabiti hapo mbele mnaonekana kutoelewana nyema mnakua na ulafi kwa kila mmoja

  • @ansifridmkongoja3337
    @ansifridmkongoja3337 Рік тому +2

    Mapungufu madogo tu kwenye beki line hasa wakati wa counta ila tuko vizur

  • @sophiakipesile7719
    @sophiakipesile7719 Рік тому +4

    Kilichotokea kimeshatokea na kinaweza kutokea kwa timu yoyote kufunga si ubora wa mchezaji bali ni idhini yake Mola kumruhusu kufunga na ndio maana hata jana Chama alikua afunge akaishia kushangaana kupiga mpira goti likewise zimbwe junior aliunawa mpira kana kwamba ni kipa akawapa fursa wapinzani huu ni mchezo tu kama yanga ina nia lazima njia itapatikana kwa idhini yake Mola na kila kilichotokea ni kwa idhini yake Mola hamna jipya hapo timu kuba yenye uwezo wa vijana bado haileti matokeo sio jambo la kushangaza kikubwa ni kuwapa support wachezaji panapostahili nae Mungu muweza ataamua yake kumlaumu coach wachezaji kuhuzunika haisaidiii bali ni kujirekebisha palipokosewa na kusonga mbele kumtanguliza Mungu Penye nia Pana njia tu hata iweje

    • @athumanimgumia7209
      @athumanimgumia7209 Рік тому

      Naaam hapo umenena, Maana tumeshambulia, na tumewakosa magoli ya wazi na possesion yetu ilikua 62.

    • @geraldlaurent6750
      @geraldlaurent6750 Рік тому

      🙏👍

    • @robertnoel5232
      @robertnoel5232 Рік тому

      Naona mmeiacha kauli yenu kufur "Iwe Jua iwe Mvua"

    • @sophiakipesile7719
      @sophiakipesile7719 Рік тому

      @@robertnoel5232 kauli itabaki kua kauli kwani ni jinsi ya kujipa confidence nakumbuka so far mlikuwa na kauli za kufuru kipindi cha nyuma kidogo ila hamkuona kuwa ni kufuru

  • @inocentgalinoma9544
    @inocentgalinoma9544 Рік тому +2

    Mashabik wa Yanga washamba kwer...sasa chupa za maji za nn....uwanjan....

  • @omarkibwanabaluna2410
    @omarkibwanabaluna2410 Рік тому +5

    mpira ulikua kwa yanga but haikua rizki

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Рік тому +4

    Mayale kakosa mbao nyingi sn

  • @YFM-rq9td
    @YFM-rq9td Рік тому +3

    Mayele Kagonga Goal qalii,,,ila tatizo Yanga Kipindi Cha Pili baada Ya Kuongoza Kama Walipoteana Safu ya Ulinzi Hususa Upande wa Kushoto,,,,ata Mkitoka bado mna nafasi Shirikisho watani

    • @fabrisiowissa692
      @fabrisiowissa692 Рік тому

      sidhani Kama uchambuzi wako upo sawa,nadhani uchambuzi ni taaluma unaonaje Kama unaipenda ukaitafute?

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Рік тому +3

    Morison kipenzi cha washabiki wote simba na yanga

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +1

    Waskilizeni simba mungu kwanza ndo mana wanafanikiwa

    • @decodesttz
      @decodesttz Рік тому

      😃😃we kwel ndez nakule yale mapaka ndomungu dah

  • @clevertwotz7910
    @clevertwotz7910 Рік тому +2

    Yanga inaumiza mashabiki zao atali

  • @hulilodonard5524
    @hulilodonard5524 Рік тому +5

    Mtani kajitahidi

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 Рік тому +1

      Tatizo mashabiki wengine wana lawama sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      @@jumakassim8718 KWA NINI WASILALAMIKE NA MMESHATOLEWA????

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Рік тому

    Hens vizuri sana

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Рік тому +16

    Ibenge alikuwa kila akija anafikia YANGA Sasa Leo uchawi na mbinu alizofundishwa na YANGA anazitumia dhidi ya YANGA hiyo hiyo! Uchawi upo!😂😂

    • @Emedroadtocanada
      @Emedroadtocanada Рік тому +2

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @kassimsaid3452
      @kassimsaid3452 Рік тому

      Una

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Рік тому

      Hakuna tim lenye tabia za kijinga kama tim hili mara wapokee wageni mara wamchanie shabiki jezi mara wampe mbinu ibenge Kama tim ya visheta haya endeleeni kumpa mbinu huyo ibenge si alikua Rafiki yenu au sio ? Viongozi na Mashabiki akili zinawiyana. Pia endeleeni kuipamba na kuisifia tim kubwa barani Africa namba moja barani Africa kachukua ubingwa wa Africa mara 9 hoo imewekeza kuliko tim zote Duniani vuneni sifa mlizopewa haaaahaahaaaa wazee wa mdomo mrefu kama chupa.

    • @saluximperialeagleofficialrdc
      @saluximperialeagleofficialrdc Рік тому

      Amna kk ibenge Africa 🌍 apa mfahi labda ulaya tu

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Рік тому +2

    Goal keeper wa alhilal

  • @amashakigelulye7632
    @amashakigelulye7632 Рік тому +1

    Michezo mzuri but draw ya 1-1ni mbaya kwa yanga kuliko draw ya kutokufungana

  • @Mykiss22
    @Mykiss22 Рік тому +6

    MM NI SHABIK WA SIMBA, LAKIN IBENGE BADO AJAMUWEZA NABI MCHEZO UNAJIONESHA WENYEW, YANGA NI TIMU NZURI, UYO MAYELE, AZIZ NA MORISON NI HATARI, NINAAMIN WATAPATA MATOKEO KWAO, YANGA WAMEUPIGA MWINGI SANA APA

    • @kelvinmtavangu7701
      @kelvinmtavangu7701 Рік тому +1

      UPO SAHIHI SANA,!! Kwanza Yanga walitaka kumajili Ibeenge. Akatumia Fursa hiyo kuwasoma. Leo amekuwa adui. Tuwaombee Simba pale Angola.

  • @elizabethizack5297
    @elizabethizack5297 Рік тому +1

    Kila siku sio sikuuuuuu poleni

  • @ouattaraadama238
    @ouattaraadama238 Рік тому +3

    Mayele ❤️ Aziz ki ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 10 місяців тому

    Daaaaa mayeleee kaondokaaa kweliiii

  • @placidiatibanywana7144
    @placidiatibanywana7144 Рік тому

    Aiseee,

  • @richardmakene7780
    @richardmakene7780 Рік тому +2

    Iwe mvua ama juaaa jamn kwa kweli tnachekeshaaaaaaaaa

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 Рік тому +7

    Daima mbele nyuma mwiko kila kitu kina wezekana sina uwoga na Yanga tuta vuka tu kwa nguvu ya Mungu

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 Рік тому +3

    Bado ipo shida kwenyw beki ya yanga

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 Рік тому +2

    Leo naona hakuna Yale wamekutana na vibondeee

  • @husseinkhaji895
    @husseinkhaji895 Рік тому +1

    Nakupa taarifa mwamnyeto hakucheza tatizo kubwa nafasi hawazitumii wanazotengeneza

  • @ahmedboosha4364
    @ahmedboosha4364 Рік тому +6

    maybe you have realized the meaning of team wrestling with the strength of Al-Hilal, but you will be sure of that inside the cemetery (Al-Hilal Stadium), b,c you don't know anything about (the cemetery☠️☠️) and the Al-Hilal fans... You should not have mocked us. We are waiting for you 💪🏻✌🏻

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Рік тому +2

      We love you

    • @ahmedboosha4364
      @ahmedboosha4364 Рік тому +2

      @@rithadonatus8110
      We too💙💙💙
      And all thank and repect to simba fans❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @fabrisiowissa692
      @fabrisiowissa692 Рік тому +1

      Yes with your cemetery that's why you are the whole time African champion

    • @ahmedboosha4364
      @ahmedboosha4364 Рік тому

      @@fabrisiowissa692
      😂😂😂😂😂😂😂
      am not the champion of Africa ، But the African champions always suffer in Al Hilal Stadium, so the North African media called Al Hilal Stadium (the cemetery of champions). Yaung is good team but not a champion opponent and is not compared to North African teams....

    • @fabrisiowissa692
      @fabrisiowissa692 Рік тому +1

      @@ahmedboosha4364 according to you,the ones who always suffered are the African champions but we are not,so you are going to be our stepping stone,just wait and see

  • @asyashariffu7717
    @asyashariffu7717 Рік тому +7

    Mpira mkubwa san kutoka kwa yanga ila wamezidiw kimaarifa sn....gemu inayokuj wajitahd wacheze mpra mkubw na maarfa yakutosh...yaan mpra ukiambatan na akili ..WATASHINDA

    • @omaryhajji1393
      @omaryhajji1393 Рік тому

      Kaka kila mtu akifika kwake akili zinaongezeka wale al hilal wanajua haya mashindano ukifika uwanjani kwa mwenzako unatakiwa utafute suluhu tu ushindi ni kitu cha ziada ngja yanga wafike ule uwanja wao wataona maana al hilal kushinda goli hata moja uwanjani kwao sio rahisi ww fatilia mechi zake

    • @erickulomi2105
      @erickulomi2105 Рік тому

      @@omaryhajji1393 Time will tell

    • @mozaally7447
      @mozaally7447 Рік тому

      Nyie ..vp kuhusu Ile karatas ya Nabi. Badala kumpa mchezaji anaenda yy! Hahahha

  • @yussufmashaka8895
    @yussufmashaka8895 Рік тому +1

    Nice

  • @shalifmbalale2906
    @shalifmbalale2906 Рік тому +3

    Aah kumbe na huku Kuna mzamiru yahsin??😎😋

  • @samwellmweta6928
    @samwellmweta6928 Рік тому +1

    Msijali tutawa generari m Phiri akawasaidie huko sudani coz wafunfaji hamna mtani

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 Рік тому +1

    Mushaumia mabingwa wa nchi