King izz,,nahuyunae mbimbixhi mbonakama Nikki,,oyaa wajomba hamna mbaya kwangu asee,,fido vato panya 1000,tu ndomana haixhi kudis kundi na kumwandama joh makin kipenzi cha watu
Kikosi Kazi Hatari Sana Wameijibu Hii Kitu Jino Kwa Jino Mamaye . Hatari Sana . Hawa Weusi Hamna Kitu . Mambo Ni Ufundi Kama Wajina Wangu Robinoh Shenzi Unjuuu Hahahahaha
Ila Gnako 🔥🔥🔥🔥
Weusi mnatisha💯
G nako ni fundi
Nani Kaja Kuangalia Tena Baada Ya Kusikia Nyimbo Ya Kikosi Kazi
Hapa haujui ushike yupi uache yupi.Kila kundi lina uzani wake
Geoffrey Embasa Noma
Dah noma sana
Mimi
Niko hapa kabisa
Qali sana mkuu
Nani karudia mwezi huu wa 6/2023 kama me
Kikosi kazi kwa awa jamaa wakasome sana, weusi hiphop yao imetulia sana hata club inachezeka, music ni biashara sio unakaza huku unakufa njaa
Lord eyes Limepiga ma backup🙌
SIKUJUAGA KUWA KUNABONGE LA ATO HUKU WANENE HUKU KIKOSI KAZI HAYA NATAKA UGOMVI UENDELEE TUPATE FLEVA SISI
Wanakata kuwa awajamtaja mtu ila mistari yao ilikuwa izumuni kabisa kuwarenga kikosi kazi
Nouma sana
Wanangu like za lord eyes kumi tu zinatosha
Nn
Kauua sana akifatiwa na mnako 🙌🏽
nipo hapa
Ila mwamba wa kaskazini😂😂😂😂🔭
Asee hi ngoma sichok kuiskiza kila day lazma
Tisha Sana G broo
Wanaulizia ndoa papa zilowa
Ufiki wami mzee mwisho mkata
kikosi kazi ndio baba lao
Oya Nyie Vibonde Mnaleta Uwoga Wenu Wa Kidunya . Mnavua Nguo Hamsemi Mnaoga Au Mnakunya . Misuti Imewavaa Kama Mnakwenda Sabato
G.nako nomw amefunika asnt sana wajina g.
❤❤❤❤❤❤ Idol my king Bless u🎉🎉🎉
King izz,,nahuyunae mbimbixhi mbonakama Nikki,,oyaa wajomba hamna mbaya kwangu asee,,fido vato panya 1000,tu ndomana haixhi kudis kundi na kumwandama joh makin kipenzi cha watu
achaneni na beef ndogo na kikosi kazi...kujeni 254 mbeef muomoke chapchap
Lord iz we fundi bhnaaaa utumii nguvu nakuelewa
Nilicho kigindua Niki katesek kdg kuifikia maiki wote warefu yy mfupi na wameiweka usawa wao Ila fresh wote 💯 michano iko OG.
Weusi mmetisha wakalisheni Maboya wale
Kikos Kaz ni vichwa vitup
Nimekubali kaziyenu asee ninoma
Watoto wamepata adabu ,kaskazini upuzi tuu
Nikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii uwiiiiiiiiiiiiiiiii chagggga boyyy
Culture haiwezi kutunzwa nawatoto Michele Michele 😀😀😀😀
Kikosi kazi wamewasha moto
Weusi bigap sana bila nyieshey tauni bado
G Nako apa 🔥🔥🔥🔥
Hapa khalighrap Jones angeingiza mistari
Mr. + mistari.... Wote wakali
Kikosi kazi kweli ni kikosi kazi kazini ni motoooo
Nako 2 nako soldiers ni balaaaah
Nani anaangalia Kama Mimi 2021
Ukiona moja yako haikai umeikalia
Wape habar hao Kikos Kazi Tunawapiga msasa
Nouma sana g walawala
Nakubaliiiiiiiii
G nako weusi unaibeba mgongoni
Nyimbo nzuri sanà
Tanzania hiii ndoitabqkia kua brand mama Isio kufa WEUSI WAMBA KONKI
2023 Still 🔥
G umevunja saana humu big up
Kikosi kazi ninoma sana
Nawakubali Sana weusi hao sijui kikosi kazi nimambwa2 hayajui kulapu kwanza
Kenya represented
Mimi ni kikosi kazi kum support gnako
Noma sana
Mbona unajita surulu wakati Kuna nuru mturu surulu
Babkubwa!!!!!!
Kikosi kaz umeshawasikia
Ila Lord mungu anakuona eti uyu nae Kama Niki mbona mbish lord mtu m bad
Mnunulie nguo tutamvua akishavaa, ......., Endelea kuvimba ukipita kwa kitaa.
hiii Nomaaaa sanaaa bhanaaa
Mwamba Joh Makin
Nyimbo nzuri sana
For me Ithink nick 2 😢gotta kibamia
Mna weza npaka nainjy
Waneneee 🐐🐐
Lord eyes Unyama Sana😁
G nako,Nikki na joh💪
Et kikosi Kaz wadudu gan ume wasikia weusi au mna taka kiki
Mmetisha wakuu
G nako lord izeeeeeee
Mi namkubali lord eyes
Mambo Ni ufundi Kama Wajina Wangu Robinoh .Shenzi Unju
Weusi noma sana jamani.
Machali ni kwere
KIKOSI KAZI wamejibu
Eeeeya
faya washa moto NYEUSII
diss joint..safi sana
Yan kamoto nyie ni zima moto
Chama lang miaka buku❤❤❤❤❤❤❤weusi daima mbele Nyuma mwiko
Ukila na wakubwa sio kufakamia
Niatar hii kitu
Babu weusi n konyo
Ngoma nzur ila mume chokoza wahuni kule kikosi kazi sio watu wazur
Kiboss sana
Hz flow za Niki na lord hatar sana
Fimbo ya watanzania ni khaligraph wao wenyewe wanajua..
Lord eyes💯
MNA chana mbakamnakera pumbavu mimi
Kikosi Kazi Hatari Sana Wameijibu Hii Kitu Jino Kwa Jino Mamaye . Hatari Sana . Hawa Weusi Hamna Kitu . Mambo Ni Ufundi Kama Wajina Wangu Robinoh Shenzi Unjuuu Hahahahaha
Nawagaa kishosho
Woooooooooooo that's G Wara Wara
G nako best intro
Ukiona mwana anajisifu ana kibamia😀😁
Mnako lod ni nouma baba
Nyie ni weupe na wepesi kama mashairi yenu mna rap kama mashine ya kusaga
Alltym freestyle💥
Black!
Watu wa power bna hao
Flows Kaliiii 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kuna Kama weusi tena
Hao ndio makamanda kama kweli like