Brothers mnaendelea kunifungua macho coz naisha sweden and west countries sina tudanganya sana since i startad kuangalia GPS naweza kubishana na hawa wazungu nabisha nao kwa Fact
Thanks sns.for conversation.but.but you as their leader. try to arrange good formation from one to another in discation.they are interfering themself befor in talking.every has a righty tolk.no one up to other brother scary.try to see that can damage our kipandi.
Hongereni isipokuwa msitengeneze upande ninyi ila watu waamue upande wenyewe ninyi mjikite kwenye kuweka mambo wazi kupitia mantiki na usahihi mambo,kwa sababu jambo ya Venezuela hamjalidadafua kwa kina bali ni ushabiki wenu msikisie mambo (fact and logic)
Guy's don't make a mistake, USA is not a democratic country, is a republic. Soma katiba yao from pre amble mpk page ya mwisho hkn sehemu neno democracy limetajwa. Vilevile hata katiba za states zote 50 hkn sehemu wameandika ni democratic. Wao kujifanya wao ni walimu wa demokrasia ni illusions tu kuhadaa wananchi wake. Pia, wao wana interest na Venezuela sababu ya mafuta yao hakuna lingine
MARECANI NI KIKWAZO CHA AMANI DUNIANI. NASHANGAA WALIMWENGU HATUYAONI YALIYOFANYWA NA AMERICA LIBIYA URAQ, AMBAKO WANANCHI WANATAMANI VIONGOZIHAO WAFUFUKE.
Kinacho fanya africa isiendelee ni ubinafsi tulio tengenezewa kua ivi sio katika maisha ya kawaida tu ata kwenye dini maswara ya imani ubinafsi mtupu watu rangi ni moja kila kitu tuna fanana ila shida ni moja tu SIASA NA DINI ndo Tatizo mpaka tuna teseka ivi sio kuteseka kimwili tu bali ata kiroho tuna teseka japokua utumwa wa kiroho watu wengi wa afrika wana uchukulia kama hutashi kumbe ni mifumo tu asanteni sana SNS
Napendekeza mijadala yenu muwapelekee viongozi maalum wa serikali yetu wayafanyie kazi na ikibidi kuwashawishi wawashawishi viongozi wa nchi zingine kuitisha eidha kongamano la wazi au la kisirisiri ili kuamshana ktk kukuza chumi za nchi zetu jwa kutumia rasilimali zetu wenyewe kwa wenyewe.
Hiyo siyo mara ya kwanza kwa Marekani na vibaraka wake kumkataa Maduro, na kumpongeza mpinzani. Walijaribu kumpindua Maduro 2018 wakashindwa Wanajisumbua tu, Maduro hatishiki na Marekani wala hawaogopi.
Tuko nanyi kwa kila habari mpaka wababe wadunia watakapo shikana mashati na kila mtu kukimbia na kipande chake cha dunia tufe sote walizike kulanina zao
Jamani tusikate tamaa kwa kigezo cha kusema waafrica tunasalitiana wenyewe, inaweza ikawa ni kweli iko ivyo kwasababu ya matukio mengi ya usaliti ya kiafrica. Lakini pia hata wazungu wanasalitiana wenyewe pia mfano yule jamaa wa wikileaks hakuwa mwafrica watu kama mshindani wa maduro sio mwafrica watu kama wanaotaka kumuua trump na maraisi wengine wengi waliouawa sio waafrica. Usaliti upo kila sehemu kwasababu kila mtu huangalia maslahi yake binafsi. So hii isiwe point ya msingi bali ni namna gani ya kupunguza au kuondoa usaliti usilete madhara hili ndio suala la msingi, ikumbukwe waafrica sisi wengi ni masikini so kila mtu anatamani nafasi ya kisiasa ili aweze kujikwamua kiuchumi so ni rahisi kushawishika mkipewa option mbili kifo au pesa.
Kwahiyo sioni pia tatizo la Mmarekani hapo sababu kila big fish anataka msosi wake. Kimsingi China, Russia, Cuba etc mataifa yote hayo yana interest na Venezuela. Kwahiyo hakuna Mmarekani yupo sahihi kama ambavyo wengine wenye maslahi yao binafsi wanavyong'ang'ania kumsapot huyo wampendae . Sema ninachoendelea kujifunza kupitia siasa za kimataifa ni kwamba kila mmoja ameamua kuchagua upande wake lkn wote wapo kimaslahi
Hata ww unapotongoza nakwenda kufanya mapenz em acha kudanganya unaenda kuomba kaz ili iweje au kunafanya biashara ili iweje(au uko kumfaidisha boss na campuni yake hapo nikutegemeana mzee baba ....nakama hiyo kaz au campuni unayotumikia hauna maslah nayo utaendelea kufanya kaz au utaacha....??
Ali umeongea adi simesisimka viongozi wetu wa Afrika ni vibaraka na pia wanachangia umaskini Afrika wanatamaa ma greedy politicians alafu hatupendani wenyewe kwa wenyewe
Ali subi nimejrb kusoma comment nyng za wan Gps wanaomba uondke mna unaboa waskiliza kw unachikufanya kusem ukwel htupenzw na mazungumzo yko pale na cjuii kwnni ukltwa katika Kila kipnd uboa sna m2 we2 jtfkar
Ngoja nikupe maarifa kidogo ubishi wa Ali masubi kwa upande mwengine ni mzuri kwa sababu unawafanya ao wengine kuzungumza mamb mengi na kwa upana zaid lazima mmoja awe kama ivo kidg awe mtata ili watu wadadavue vzr na matirio mengi ikiwa wote waje waongee urusi good bila ya chalenj kipindi kitadorora wambie na wenzio kua ni kama ivo asnte si kwa ubaya lakn
Ww acha uongo wako watajuta kwa lipi.Hivi ww unaona wananchi wa venezuela wanavyoishi kwa mateso.Huyo dikteta maduro akiondoka wananchi ndio wataifurahia nchi yao.Wananchi takribani milioni tatu wameikumbia nchi yao.
@@barakashaban9698 juzi tu mmeenda kopa kwao na hata huu mtandao unaoringa na kutamba nao ni wa hao hao US.Au ww mwenzetu umezoea kufirwa na ndio maana any time unawaza mambo hayo.
siyo kweli walijaribu 2018 wakachemka dunia imebadilika watu wanataka multipolar world free dunia siyo ya enzi zile zilizotokea Libya, Iraq etc@@christinewomanoffaith5479
@@christinewomanoffaith5479 dhubutu wanauwa pale ambako mataifa ya brics hayapati rasilimali ila mataifa mengi yenye nguvu yanachuma wese😊,alafu et uguse wee hata wao wanajua
China,urusi na cuba ni tatizo.Hawawaonei huruma wananchi wa nchi hiyo wanavyoishi kwa dhiki kubwa.Maduro hajashinda uchaguzi huo,bali mwanasiasa wa upinzani ndio kashinda.
@@sosbrayantbenjamin9701 Uwe na kumbukumbu nzuri basi.Waliosababisha maandamano yale ni waarabu wenyewe na sio Marekani wala nchi za Ulaya.Gadaf alipoanza kuwaua wananchi wake kwa kuwa ulaya na marekani walikuwa washakuwa maadui na Gadaf muda mrefu ndio wakatumia mwanya huo kumwadhibu Gadaf.
Uyu jamaa ana SHORT TEMPER .....SKY muweke kijana chini.... ana .... MASUBI ANA SHORT TEMPER amabyo inakua visible wakati wote Sasa hiii inakua sio poa
@@thefactbook...1607 .you no nothing concerning these guys.....ni uelewa finyu sana .unaweza kutumikia na kuitapret na kuja na aidia ozo kama hyo uliyoitoa... You got it in wrong way...which way is wrong ???.....I'm advise sns founder this is for matured and not milked toddler
@@BuhetySharia buheti sharia a great african name lakini reaction yako its dissapointing.no one insulted you as you do calling others toddler.any way perhaps thats your scope.so have it your way.
@@thefactbook...1607Mkuu watu hawaelewi aisee wanataka uongee wanachokipenda wao na sio uhalisia, piga kazi ndugu wenye C 3 tushakuelewa....Sema daah DJ-SMA usimkamie sana anakuwa inferior complexity, japo tunafahamu ni kipindi tu.Ila by the way asanteni kwa uchambuzi mzuri.
Mabibo ni ile inakaa kwenye korosho chini ndio inaitwa Mabibo kama hujui kwanza unajua korosho ww naweza nikakuelekeza kumbe hata korosho hujui 😂 @@AFRICA_D669
Kiherehere au ndio the Truth? mbona nanyie mnakuwa Bias? hebu kuweni na akili basi muache hizo Bias za kuichukia Marekani hata kama inasema kweli. US ni Moja ya Nchi yenye technologia ya juu sana na diplomasia kubwa kwa hiyo its very likely wanachokifanya ni sahihi huko Venezuela.
Yan nikipindi best ever...ila Kwa mungu uko kutawaka moto Kwa izi dhurma za hapa duniani...kikubwa mungu atupe mwisho mwema
mungu atupe mwisho mwema
THIS IS THE BEST PODCAST APA SNS
Vikwazo vinaathiri sana maisha ya watu wasiokuwa na hatia. Wananchi wanaamua kuichukua serikali yao.
Nyie jamaa Mwenyezi Mungu Awaweke aisee. Tunafaidika sana juu ya midahalo na mijadala yenu.
Asanteni sana kwa kweli ishu ya dangote imeniuma sana
Naikubali sana SNS. Nipo hapa Moz
Kazi juu ya kazi hatupoi sns 🔥🔥🔥
Ila Henry anajua sana.Kongole kwako ndugu Henry.
Yeah Mwana Anafungua Sanaaaa......
Anajua haswaa
Henery Maduro.
Smaa Lukashenko.
Bundala FaKrazde.
Sudi Ayatoula. Alhkaminei .
Kiherehere cha hali ya juu sana
Asanteni sana watanzania wenzetu! Mwenyezi Mungu awajaalie maarifa zaidi.
Sns hoyeeeeeee
Nakubali sana kazi yenu imenyooka na mnaanza kushauri ili kuleta maendeleo ya nchi yetu big up kwenu
Nawapata vizur kabisa ,akili zenu ni zaidi ya vijana,BIG UP
Nawafatilia kutokea south africa..uchambuzi wenu ni mzuri sana
Samahani naomba achambuzi wa Marekani na kiongomzi mmoja Panama Noriega taf GPS.
Ufalme wa Mungu usimame.
Amin
Kazi nzuri sana, ila mkifanya gps kama hii ni vyema kuwaalika na viongozi japo wakuu wa mikoa, maana ni kazi nzuri sna,
Waje wafanye nn?🤔
@@kevicristian2738 atuambie vizuri waje kufanya nin😂😂
@@kevicristian2738 hahahahahaha kufanya conversation ya maendeleo katika kila sekta
Wakute TBC hapa si mahali pao…hapa ni kwa hisani ya wananchi
Sns ibarikiwe inatoa uelewa muhimu katika jamii
Hawa vijana Seeikali ingeli wawezesha katika shughuli zao wakawa independent THINK TANK.
Hongera sana sky naona Leo wote wapo FBI, CIA na FSO
Nani FBI na nani CIA na nani FSO😅
Washamba nyinyi kwan uliambiwa wanashindana kuchambua,huu ni mjadala wa kielim mpuuzi
Kweli kabisa, na musichelewe kuifanya.
Sns mnaupiga mwingi aiseeeeee
Wamerekani bhana
Nawafatilia nikiwa tanga hongereni kwa update
Mrusi rafiki wetu africa wazazi walisoma urusi bila mikataba yeyote
Wazee wa GPS tunawakubali sana hapa USA
uku kenya pia iko hiyo gongo twaita changaa ni pombe haramu ni mvuke wa mahindi ikiwa steam
Nakubali sana gps
Lazima elimu utembee kuanzia kwenye familia zetu
#juwa unaishi kwa ajili ya mama Afrika
Massubi ana vitu vingi sana shida uwasilishaji anaachia vitu njiani anadakia kingine ila yuko vizuri .
NAWAKUBAL SN WANAAAA
GPS /
Mimi. Binafisi. Alipo, urusi , nipo, namunga ,mkono, nikolasi, Maduro, vivan. Venezuela
😂😂😂😂😂
Kumamake
@@JamesJastin-bg1rx kajininginize 😂
@@IshipalemyPasko 😂😂jamaa hataki uonevu viongozi hata wakipanda farasi ye atakimbia hta kwa mguu ilatu yuko nao kila sehem
GPS for wisdom
Masubi nakuzoom, GpS noma sana😂
Nimesikiliza VEMA hili njopo liko vizuri sana
Hawa jamaa ni kama Shedrack ,Meshark na Bernego
Maduro keshspita imeisha hiyoo zilizobaki ni kelele za chura
Ndio siasa za wamarekani
Huku kenya tunamtambua maduro
Brothers mnaendelea kunifungua macho coz naisha sweden and west countries sina tudanganya sana since i startad kuangalia GPS naweza kubishana na hawa wazungu nabisha nao kwa Fact
Thanks sns.for conversation.but.but you as their leader. try to arrange good formation from one to another in discation.they are interfering themself befor in talking.every has a righty tolk.no one up to other brother scary.try to see that can damage our kipandi.
Hongereni isipokuwa msitengeneze upande ninyi ila watu waamue upande wenyewe ninyi mjikite kwenye kuweka mambo wazi kupitia mantiki na usahihi mambo,kwa sababu jambo ya Venezuela hamjalidadafua kwa kina bali ni ushabiki wenu msikisie mambo (fact and logic)
Huyo dogo anaingilia sana ebu mlizingatie ilo
Kuna muda ally anaboa sana
❤❤
Guy's don't make a mistake, USA is not a democratic country, is a republic. Soma katiba yao from pre amble mpk page ya mwisho hkn sehemu neno democracy limetajwa. Vilevile hata katiba za states zote 50 hkn sehemu wameandika ni democratic. Wao kujifanya wao ni walimu wa demokrasia ni illusions tu kuhadaa wananchi wake. Pia, wao wana interest na Venezuela sababu ya mafuta yao hakuna lingine
GPS kipindi bora kila cku topic bora hazchoshi
MARECANI NI KIKWAZO CHA AMANI DUNIANI. NASHANGAA WALIMWENGU HATUYAONI YALIYOFANYWA NA AMERICA LIBIYA URAQ, AMBAKO WANANCHI WANATAMANI VIONGOZIHAO WAFUFUKE.
Wala Marekani si kikwazo ila ni nchini inayosimamia haki,utu na maadili.ww unaunga mkono dhulima.
@@MathewNathan-yb2bzww huna akili
Big up brothers😂
Hii rangi nyeusi ina usinitch sana... ni hatari sana
Kinacho fanya africa isiendelee ni ubinafsi tulio tengenezewa kua ivi sio katika maisha ya kawaida tu ata kwenye dini maswara ya imani ubinafsi mtupu watu rangi ni moja kila kitu tuna fanana ila shida ni moja tu SIASA NA DINI ndo Tatizo mpaka tuna teseka ivi sio kuteseka kimwili tu bali ata kiroho tuna teseka japokua utumwa wa kiroho watu wengi wa afrika wana uchukulia kama hutashi kumbe ni mifumo tu asanteni sana SNS
Muwaite na watalamu wanao dili na hizo ishu
Lakini musichukiye Amerika ikosawa.
Media ambao iko black and white ni Firstpost by mtangazaji Palki Sharma.
Kwani kura walipiga wamarekani?
Napendekeza mijadala yenu muwapelekee viongozi maalum wa serikali yetu wayafanyie kazi na ikibidi kuwashawishi wawashawishi viongozi wa nchi zingine kuitisha eidha kongamano la wazi au la kisirisiri ili kuamshana ktk kukuza chumi za nchi zetu jwa kutumia rasilimali zetu wenyewe kwa wenyewe.
Ali alikua na point nyingi sana kwenye mafuta mmemnyima muda wake
Hiyo siyo mara ya kwanza kwa Marekani na vibaraka wake kumkataa Maduro, na kumpongeza mpinzani. Walijaribu kumpindua Maduro 2018 wakashindwa Wanajisumbua tu, Maduro hatishiki na Marekani wala hawaogopi.
Ww nawe mbona unaunga mkono dhulima .Maduro hakushinda bali mwanasiasa wa upinzani ndio kashinda.
Sky mbona hautuletei habari za maandamano UK,...Nigel Farage, Dj Sma alifurahi sana alipomtetea Putin na Russia amekinukisha 🙂
napenda mnavyobisha 😂😂😂
Mnachambuwa hadi gongo tena 😂😂
Gongo sio petroleum bwanaa
How old is Masubi Msee Ako na mafilings Sana
28
Wanafilwa kwer nmeamin wakimkataa wao ndiyo. Nn
Tuko nanyi kwa kila habari mpaka wababe wadunia watakapo shikana mashati na kila mtu kukimbia na kipande chake cha dunia tufe sote walizike kulanina zao
Maduro ni dikteta na mlafi wa madaraka.Anapigania tumbo lake na kuacha wananchi wake wakiangamia.
Huyu cheupe kipara kila kitu anakosoa yeye marekani islaeli ukleen lazima akosoe ata kiwe cha ukweli
Sns tuleteeni full story ya Bangladesh
Kwanini waapangie wezao wanaroho mbaya hao ea
Africa kitu kidogo chakutumia akili wanasema tumuachie mungu
Marekani anajipa uungu wa dunia.mimi binafsi siipendi marekani . kitu ambacho kinachonifanya kuto ipenda ni wanyonyaji
Kunatarifa zinani changanya mnasema ayedom inatungua mabomu ya karibu banestiki je? Mtuambie 2 juwe.
Nawaza kwa uwezo wangu kwanini na wao wasitumie uyo mfumo kwa marekan na wao wanatak kuingia kwenye uchaguzi
Jamani tusikate tamaa kwa kigezo cha kusema waafrica tunasalitiana wenyewe, inaweza ikawa ni kweli iko ivyo kwasababu ya matukio mengi ya usaliti ya kiafrica. Lakini pia hata wazungu wanasalitiana wenyewe pia mfano yule jamaa wa wikileaks hakuwa mwafrica watu kama mshindani wa maduro sio mwafrica watu kama wanaotaka kumuua trump na maraisi wengine wengi waliouawa sio waafrica. Usaliti upo kila sehemu kwasababu kila mtu huangalia maslahi yake binafsi. So hii isiwe point ya msingi bali ni namna gani ya kupunguza au kuondoa usaliti usilete madhara hili ndio suala la msingi, ikumbukwe waafrica sisi wengi ni masikini so kila mtu anatamani nafasi ya kisiasa ili aweze kujikwamua kiuchumi so ni rahisi kushawishika mkipewa option mbili kifo au pesa.
Kwahiyo sioni pia tatizo la Mmarekani hapo sababu kila big fish anataka msosi wake. Kimsingi China, Russia, Cuba etc mataifa yote hayo yana interest na Venezuela. Kwahiyo hakuna Mmarekani yupo sahihi kama ambavyo wengine wenye maslahi yao binafsi wanavyong'ang'ania kumsapot huyo wampendae . Sema ninachoendelea kujifunza kupitia siasa za kimataifa ni kwamba kila mmoja ameamua kuchagua upande wake lkn wote wapo kimaslahi
Hata ww unapotongoza nakwenda kufanya mapenz em acha kudanganya unaenda kuomba kaz ili iweje au kunafanya biashara ili iweje(au uko kumfaidisha boss na campuni yake hapo nikutegemeana mzee baba ....nakama hiyo kaz au campuni unayotumikia hauna maslah nayo utaendelea kufanya kaz au utaacha....??
Ali umeongea adi simesisimka viongozi wetu wa Afrika ni vibaraka na pia wanachangia umaskini Afrika wanatamaa ma greedy politicians alafu hatupendani wenyewe kwa wenyewe
nikw raixi lazima muwe katka serkli yang in xha Allah
😅😅
Mpinzani aende blinken akamuoe
Akaolewe na bulenken zero marekani kihelehre Hadi kiongozi wake
Nyie manao ongea mna ushahidi gani? Nanacho wa shangaa nyie nannyi mna ingia katika kosasa lile lile. Wacheni kudanganya tafuteni ukweli halisi kabla ya kuchua upande.
Mimi ninacho jua wanzania kuhusu mawazo yenu yamaandalizi kuhusu mafuta watasema tumuachie mungu
Marekani ndo changamoto ktk dunia hii
Sky 😂 kihereele gani
Vibaraka wana shida sana shetani mkuu USA akisema kitu vibaraka wanamfuata hawana kitu kabisa hao 😂😂😂mwisho umefika
Saudi ndo anaongoza Venezuela wa pili apo
Nikweli viongozi wanawalimoti
SKY umeonesha chuki dhidi ya USA
Marekani wana double standard hapa kwetu tanzania kuna udictotor
Venezuela 🇻🇪 pale mafutaa kibao
Watu watakuja kujua ukwel ya USA ila nchi ikisawaidiwa lazima mntaanza kusuport LGBTQ
Ndgu yetu huyo hajui vzur anachoongea, marekani kila kitu detailed sio km Venezuela kaka , hapo kakosea km ndio mchambuzi wako
Aisee itabidi uwasiliane na sky Ili uwe unatuchambulia wewe hope tutajifunza mengi
Ali subi nimejrb kusoma comment nyng za wan Gps wanaomba uondke mna unaboa waskiliza kw unachikufanya kusem ukwel htupenzw na mazungumzo yko pale na cjuii kwnni ukltwa katika Kila kipnd uboa sna m2 we2 jtfkar
Ngoja nikupe maarifa kidogo ubishi wa Ali masubi kwa upande mwengine ni mzuri kwa sababu unawafanya ao wengine kuzungumza mamb mengi na kwa upana zaid lazima mmoja awe kama ivo kidg awe mtata ili watu wadadavue vzr na matirio mengi ikiwa wote waje waongee urusi good bila ya chalenj kipindi kitadorora wambie na wenzio kua ni kama ivo asnte si kwa ubaya lakn
SNS CHAMA LA WANA MPO JUU KAMA AIR DRONE ZA MRUSI 🫶🏿🫶🏿🫶🏿🔥🔥
Hapa Venezuela wakimuondoa Maduro watajuta...ukimuona USA hawamtaki Rais wa nchi yenu mjue kuna kitu wanataka kukiiba lakini wameshindwa
Ww acha uongo wako watajuta kwa lipi.Hivi ww unaona wananchi wa venezuela wanavyoishi kwa mateso.Huyo dikteta maduro akiondoka wananchi ndio wataifurahia nchi yao.Wananchi takribani milioni tatu wameikumbia nchi yao.
@@MathewNathan-yb2bzww Kibaraka nini??
@@MathewNathan-yb2bzivi ww punga hao US wanakupelekea moto nini
@@barakashaban9698 sasa matusi ya nini ndugu.Haya ni maoni tu.unateseka ukiwa wapi.ina maana ww una uchungu zaidi ya wanavenezuela waliopiga kura.
@@barakashaban9698 juzi tu mmeenda kopa kwao na hata huu mtandao unaoringa na kutamba nao ni wa hao hao US.Au ww mwenzetu umezoea kufirwa na ndio maana any time unawaza mambo hayo.
Sasa marekani hata akimtambua mpinzani wakati tume imeshamtangaza Maduro hiyo imeisha.
Nguvu ya us SI unaijua?
Hawakawii kufanya Yao maana uwezo wanao
siyo kweli walijaribu 2018 wakachemka dunia imebadilika watu wanataka multipolar world free dunia siyo ya enzi zile zilizotokea Libya, Iraq etc@@christinewomanoffaith5479
@@christinewomanoffaith5479 dhubutu wanauwa pale ambako mataifa ya brics hayapati rasilimali ila mataifa mengi yenye nguvu yanachuma wese😊,alafu et uguse wee hata wao wanajua
China,urusi na cuba ni tatizo.Hawawaonei huruma wananchi wa nchi hiyo wanavyoishi kwa dhiki kubwa.Maduro hajashinda uchaguzi huo,bali mwanasiasa wa upinzani ndio kashinda.
Kama huelewi acha usicoment
Machafuko meng Dunian anasababisha nan ? Gadaf aliuawa na watu gan ? Thomas Sankara aliuawa na nan ? Fungua akil
@@sosbrayantbenjamin9701 Uwe na kumbukumbu nzuri basi.Waliosababisha maandamano yale ni waarabu wenyewe na sio Marekani wala nchi za Ulaya.Gadaf alipoanza kuwaua wananchi wake kwa kuwa ulaya na marekani walikuwa washakuwa maadui na Gadaf muda mrefu ndio wakatumia mwanya huo kumwadhibu Gadaf.
@@MathewNathan-yb2bz kafatilie vzur mapinduz ya nchi za kiarabu uzur makala yake humu yapo wamechambua vzur tu
@@MathewNathan-yb2bz kafanye research kwanza ya machafuko yaliyo tokea nchi za kiarabu naona hata hujui 🤣
Vijana kama hawaa huoni hata wakialikwa kwenye dhifa muhimu, ila kunavijana wahovyo kama Mwijako na machawa wenzie wako endorsed. trashy tuu
Uyu jamaa ana SHORT TEMPER .....SKY muweke kijana chini....
ana .... MASUBI ANA SHORT TEMPER amabyo inakua visible wakati wote
Sasa hiii inakua sio poa
Short temper maana yake ni kuwa na hasira za karibu i think you got it the wrong way. Hasira za nini sasa ..?. Just for a conversation..?.
@@thefactbook...1607 .you no nothing concerning these guys.....ni uelewa finyu sana .unaweza kutumikia na kuitapret na kuja na aidia ozo kama hyo uliyoitoa...
You got it in wrong way...which way is wrong ???.....I'm advise sns founder this is for matured and not milked toddler
@@BuhetySharia buheti sharia a great african name lakini reaction yako its dissapointing.no one insulted you as you do calling others toddler.any way perhaps thats your scope.so have it your way.
@@BuhetySharia by the way u de one who didn't know who you were talking with.but ur advice if it was. Its noted.
@@thefactbook...1607Mkuu watu hawaelewi aisee wanataka uongee wanachokipenda wao na sio uhalisia, piga kazi ndugu wenye C 3 tushakuelewa....Sema daah DJ-SMA usimkamie sana anakuwa inferior complexity, japo tunafahamu ni kipindi tu.Ila by the way asanteni kwa uchambuzi mzuri.
U.S Maneno yao ni uchochezi mtupu.
Brenkeni zero benizwela sjyo marekani
Ivi marekani ni wajinga magharibi hawana haki ya kuingia nchi nyingini mareka zero zero zero zero zero
Habiyera
ILI UPATE GONGO INAITAGI UWE NA MABIBO AU MUA🇲🇿🇲🇿
😂😂😂mabibo ndio nin
Mabibo ni ile inakaa kwenye korosho chini ndio inaitwa Mabibo kama hujui kwanza unajua korosho ww naweza nikakuelekeza kumbe hata korosho hujui 😂 @@AFRICA_D669
China na urusi zinaunga mkono dhuluma,hazifai.
Ukapimwe mkojo ww.
Mwalim hapa sipamachoko ktfte kwengine
We kongoro
@@AbuJuhaifah-c8j uwe na adabu na uheshimu maoni ya mtu
@@kassimrajabu7805 itafuteni HAKI.Hivi ww kwa akili yako unaamini Maduro kashinda?
😂
Toka lini marekani wamemkubali moduro😂
@@amirinestory maduro nae jina Lake limekaa kidcteta pia kiafrica flani, ile mijamaa ikiamua kukuchafua bhana wee 😂
@@AFRICA_D669 tunashukuru kwa kutuhabalisha...uhuru wa fikra ni bora sana kwetu waafrika...one day we will be free from hands of U.s.a in sha Allah
Kiherehere au ndio the Truth? mbona nanyie mnakuwa Bias? hebu kuweni na akili basi muache hizo Bias za kuichukia Marekani hata kama inasema kweli. US ni Moja ya Nchi yenye technologia ya juu sana na diplomasia kubwa kwa hiyo its very likely wanachokifanya ni sahihi huko Venezuela.
Kweli wewe ni shoga
@@IshipalemyPaskotena shoga kubuhu
Tatizo sio teknolojia , tatizo. Kufanya. Wanadamu wote. Kuwa. Mafara. Hasa cc wafrica. Nalichukia. Bc , tatizo. Tumeaminishwa. Marekani. Ndo Kila kitu
Hatakama tutaichukia marekani ww inakuuma Nini?
Ona ng'ombe hii..
Sky kumbe wewe ni comunista!