Unasema wa izraeli na palestina hawezi kuisha ipo mioyoni kwa vijana walionusurika ambao mama na baba zao waliuliwa kikatili pamoja na nduguzao na kuharibiwa kwa mali na maisha yao
Israel bila Marekani hamna kitu. Israel wa Sasa ni Mashoga ni mailluminant.Israel wa Sasa ni zao la Zionism ideology ni mashetani wanabebwa na christian Zionists.
Izraele anaweza tu kuimaliza hii vita kwa makubaliano na kuyaheshimu hayo makubaliano kwamaana sikuzote izraeli ndie wakwanza kuvunja mikataba ya makubaliano kwa kuwakandamiza wenzao
Namuona wako hawajaingia kwenye vita , kamili , Israël wameshindwa kwenye mapambano, ndomana wanauwa viongozi wajuu wahamasi , ilikuaminisha dunia kua wananguvu zaidi lakini sikweli 😂😂😂😂😂
Wewe dogo unaechambua huvijui vile vita ni vya zamani sana hata kabla hujazaliwa atakaekuja kuamua ni Yesu kwanza waislam mlijenga msikiti wenu palipokuwa na hekalu la wayahudi wenzenu wanawasubiri tu mkianzza vita mnafukuzwa wote hapo akina yasela ararat wamefurukuta wapi
Huyu mtangazaji na Mchambuzi Mungu awabariki mko vizuri sanaaa
Inshallah Allah wasaidie iran
❤❤❤❤🎉🎉Safi sanaaaa, Iran na mikakati yake.
Ngoja tuone mwisho wavita ya mashariki yakati
Watapigwa kama kuku hao IRAN
Nakukubari Baruwani Mhuza.
Ruhby uko vizuri sana kw kweli❤❤❤
Nakukubali kiaka unatisha hupepesi unanyooka vizuri sn
Mkn mko njema
Irani inabaki is kukupa kisas kwasababu amepigiwa ndani ya ardhi yake
Mungu awape nguvu awauwe wote hao ni laana wakubwa
Iran wamemuua haniye
Sii kweli ni lawama na izraeli na marekani
Unasema wa izraeli na palestina hawezi kuisha ipo mioyoni kwa vijana walionusurika ambao mama na baba zao waliuliwa kikatili pamoja na nduguzao na kuharibiwa kwa mali na maisha yao
Hamas wameanza kulipa kisasi wanajeshi 21 wa Israel wamelamba mchanga
Waongo
Israeli Mungu atawalinda kuweni na Amani Waana wa Mungu Dunia inawaombea❤❤❤
Wenzako washajazana airport huko wanatafuta ndege za kusepa mbele wanusurike kifo ww muafrica unaleta drama 😅
Hamas haina nguvu ingemaliza hao maizalrail wa mchongo
AWADH HEMU NIUNGE KATIKA GROUP LA WHATSAP
iran ni mnafiki namba moja na ndie aliyemuuwa ismael haniyeh
Nikweli inakuwaje auuliwe ndani ya Iran na kwanini asiuliwe kiongozi wa Iran
mm nakuunga mkono kiongozi iran ni mnaafiki sana na huyu kamuua yeye anajaribu kudanga watu kua atalipiza kisas lakini sio kweli ni mnaafik tu
Wanalipuliwa Kila siku
Hakuna mwarabu atasimama mbele ya israeli watabigwa hadi wawe watumwa
Israel ni noma jamani hata Bible hamsomi? They Shall rise like the lion of Judah
Noma kwa wajinga wachache kama wewe
Izlaeli ya MUNGU ililindwa na MUNGU mwenyewe. Sio ya Leo inalindwa kwa mabomu
Hujielewi
Israel bila Marekani hamna kitu. Israel wa Sasa ni Mashoga ni mailluminant.Israel wa Sasa ni zao la Zionism ideology ni mashetani wanabebwa na christian Zionists.
@@jofreykilangila4118 UPEO WAKO MDODO MNOO
Izraele anaweza tu kuimaliza hii vita kwa makubaliano na kuyaheshimu hayo makubaliano kwamaana sikuzote izraeli ndie wakwanza kuvunja mikataba ya makubaliano kwa kuwakandamiza wenzao
Israel anasaidiwa kama unaakili ya kuelewa Israel Hana pawa
Waarabu unganeni muwe kitu kimoja mpige hao maadui
Israeli is trongr
Kuishinda Israeli ni saw na kubomoa mlima Kilimanjaro
Namuona wako hawajaingia kwenye vita , kamili , Israël wameshindwa kwenye mapambano, ndomana wanauwa viongozi wajuu wahamasi , ilikuaminisha dunia kua wananguvu zaidi lakini sikweli 😂😂😂😂😂
Sahihi kabisa, kama wananguvu mbona wameshindwa kuwakomboa wao 😂@@uwimana6533
Hakuna kuwonewa karne hii ww huelewi dunia inaendaje
Isreel waoga hawana lolote Kama wananguvu kwanini wanavizia
HUO ni ugomvi hautakwisha
Acha Israeli iwa uwe wote
Israel hawafai wanaweza kumuua ht huyu rais mpya wa iran
Kabisa watamzima kama mshumaa 😂
Nchi nyingi za kiislamu hazina wanasayansi kama wayahudi
Iran ,saudia na UAE na Russia hao wote wanawatumia sana wanasayansi WA Israel.
Iran zaif
Sana yaani mgeni wako anauliwa kwako
Ndio kisasi cha kinafki alicho lipa huyo iran
Niko pamoja na ww ni unafiki tu wa Iran
Kila siku mnasema Israel haiko peke yake tangu enzi za mabbaba zenu hapo kipigo tu na kamwe hamuwezi
Ndo ume ongea nn sasa ww bubuja ujui Israel Israel ina ishi kwa misaada yawa shilika wake unacho pinga nn
ANAE TAFUTWA. NI IRAN. NA. AMESHA. INGIA. KWENYE. MTEGO. KAMA. SADAM
Niunge na Mimi jaman
Iran ina feli wadau
Wanao changia wote niwatoto
Irani imefika mwisho wake ngoja wajichanganye
Israel NI watu waoga ndio maana wanauwa viogozi kma wagekua NI mashujaa wasingeua viogozi
Wangemuuwa nani
Hakuna Israel 🇮🇱 ni DUNIA Hamas inapigana DUNIA Israel wapo na dunia Hamas wapo MUNGU....
Wamarekan wanfki tu hawana kuzuia
Naomba niunge na group lako Awadh
Siyo Iran huyo aliyemuua Ismail haneyh ni mmarekani sema anamsukumia Izrael ndyo anawonekana muuaji
Huyu jamaa wa kulia anatafsiri Sauti ya serter wa golden boy.
Kwa nini dunia ipigane .na mgambo 150 mwaka sasa
Iran Hana kisasi ni mnafiki km msoudia
Hahahaha Kiongozi wa Iran tunasubiri nayeye apewe kitu hawa jamaa wayaudi siyo wakukebei😅
Wewe dogo unaechambua huvijui vile vita ni vya zamani sana hata kabla hujazaliwa atakaekuja kuamua ni Yesu kwanza waislam mlijenga msikiti wenu palipokuwa na hekalu la wayahudi wenzenu wanawasubiri tu mkianzza vita mnafukuzwa wote hapo akina yasela ararat wamefurukuta wapi
Ukianza kuhuwa viongozi inahonyesha unashindwa vita izraeli akuna nguvu 😂😂😂😂
.
HAMAAS WANASEMA WASHAANZA KULIPA KISASI. WANAJESHI 21 WA IZRAELI WASHALAMBA MCHANGA SAIZ😂😂😂.
Sasa super power ni YEMEN 🇾🇪 hata. Mrusi na China Korea Hawawezi kuipiga manuwari ya marekani YEMEN 🇾🇪 kuipiga....
Very biased comments from analyst
Namimi naomba group la whatsapp