Kwa ushauri wa bure ili na wewe uishi kwa amani na mungu akubariki usifanye chochote kibaya kitakutesa na wewe cha muhim pambana umlee mtoto wako huyo mtoto ni baraka tosha kwako muombe mungu akupe afya na rizki utafanikiwa Mie niliishi na mume tulizaa watoto wawili nilimsaidia biashara zake mpaka akasogea kimaisha mwisho wa ck alinifukuza kama hanijui niliondoka na watoto wangu sikudai chochote alhamdulillah nilimkabidhi mungu maisha yangu na wanangu sasa hivi ni mwaka wa kumi nalea watoto peke yangu na sjawahi kukosa rizki wala sjawahi kuteseka na wanangu na milango ya baraka ilifunguka kwangu sasa hivi yeye maisha aliyo nayo hanifikii hata robo wamechoka hadi huruma
Exactly my dear.... Kisasi ni cha Mungu! Aachane nae Mungu huwa amenyoooka shwaaaaaa, Ni Mungu wa haki! Pia hili ni somo, hebu kila mmoja abaki kwenye nafasi yake... Mwanamke azae kwa uchungu na mwanaume atafute kwa jasho atunze familia yake jamani! Zaidi MUNGU ATUEPUSHE NA ROHO YA UZINZI PIA ALINDE NDOA ZOTE SHETANI APITE MBALI!🤲🙏🙏🙏🙏🙏
Pole dada yamenikuta mimi niliolewa namumewangu tukawanafamilia watoto wa 3 wakike nilimkuta mwanaime hanachochte tulihangaika mpakatukatobowa kimaisha nilivumilia maisha magumu sana lakini tulivotobowa kimaisha nikiwanamimba yamtoto watatu nilifukuzwa namimb ya mwezi 5 mpaka leo naleawatotopekeyangu sikudaichochote katikamalitulivotafuta sasahivi kafilisika anamadeni mpakaanamkimbiahuyo mwanamke mwenyewe anajutasasa namimi maisha yangu alihamdulilah mungukanifungulia milango yarizk muache siyorixki yakodada allah atakupakilichochako
dada pambana na kutafuta maisha yako wewe binafsi na hao wazazi wako hawakua na kauli nzuri ila wacha tuache hayo yote kwasasa pambana kujitafutia maisha yako wewe kama wewe wanaume hawa .wana mwanzo mwema ila mwisho mwema hawana
Pole binti. Wasamehe wote. Hata wazazi wako watarudisha moyo. Wakikutataa naomba uwe mwanangu. Wala sitanii. Ila wewe samehe. Usiwapige kwa chochote. Mwachie mungu ahukumu
1 hamna akili una ziniwa una mwita mume 2 mnatoka kwenu mnaenda ishi na wanaume mna endelea kuziniwa mpaka mnazaa nje ya ndoa 3 hamjui kusema hapana zinaa hapana ndoa kwanza halafu yakiwakuta mnaanza hangaika hizo ndizo laana zenyewe mzibebe TU
My dear njoo oman utafute pesa zako me yarinikuta mbaka sasaiv nipo uku napambana na namshklu mungu alhamdulillah nimepga hatua namshklu mungu mtto wako usimuachie mama wa kambo please dunia ya sasaiv mtto wako rea mwenyewe
Mwanamke sio mgomv wko pamban na mwanamme mwanamke Hana kosa lolote usijipatishe dhambi bure Kwan mbon ss tumelelew bil y baba na tumekua n tumepitia maisha magum lea mtt dada
Pole sana dada angu lililo kukuta wewe sio wakwanza limewakuta wengi nmimi nikiwa mmojawapo ila nakushauri acha kuamini mambo ya uchawi wewe muamini mungu wa mbinguni ipo siku atakulipizia kisasi wewe usilipe kisasi mwachie mungu na utaona matokeo mazuri kwake mora wetu
Lakini mawifi wengine wanakaga kama majenti wa shetani vile Mimi Kuna vitu siwezi Fanyia mwanamke mwenzangu kwa sababu so vizuri nawewe dada usiloge mwenzio mbona sisi tunawacha na maisha inawapiga vizuri tu bila uchawi jamani wachana nao machozi yako tu inatosha😢
Pole sana my dear me yamenikuta hayo mzazi mwenzangu turianza maisha mbaka kufkia tunalalah sait kwenye maboksi na mbaka tukahaza kupanga basi sasa arivyo haza kushika pesa tu bas kabadrika na kuona wadda wa kawe ndio wazuri mmi nikawa sifai tena,,wanaume zetu wa tz ndio warivyo unamvumiria akipata tu hanakusarinti,, sasaiv sitaki kusikia kumvumiria mwanaume mwanaume haje na pesa zake kabsaa na mim nilee?
Pole kipenzi hayo yapo tu me mwenyewe yashawahi kunitokea,,tena mzazi mwenzangu alinionyesha sana kunipenda na ahadi za ndoa kila hatua alokua anaifanya ya ndoa alikua ananambia ila mwisho wa cku kaenda kumwoa mwanamke mwingne nikasema bahc namwachia Allah,nikwel waliishi ndani ya mwaka mmoja tu wakaachana na saiv kutwa ananisumbua turudiane
Dada pole sana hayo uliopitia hata mm nimepitia hayo hayo ila mm mwezako nilijikaza nikajiuliza kwaza nimezaa nje yandoa niwakwangu sikufich nimemlea mwanangu tangu miez 2 mpaka saiv nimwali tena na mtoto hamjui baba na mm nampa sumu namwambia mwanangu baba yako kakutupa hakutaki kwaiyo nakushaury mlee mwanao kwenyeshid kwenye raa ipo siku mungu atamlipia pole
Pol sn Dada hayo nd maisha Ila Lea mwanao Kwan hakuna mtt mbay mungu atakulipia na huy mwanaume asikushuhulishe San mung atakusimamia na asimchukie na hilo chozi lina mlipo pole snw
Pole sana Dada yang naona kimekukuta kilichonikuta mim Ila nikushahuli kama Dada yang ni hiki Wewe achana nao umuleye mwanao Maana Malipo nihapa Duniani usifanye kibaya kitakuludia wew tafuta maisha umuleye mwanako tu Na mzazi mwenzako usiache kumsemesha ili umuonyeshe kam amejikomoa
Iko ivi ktk vitabu vyote vya mungu hakuna dalili inayosibitisha kwamba kunandoa ya mtu na mzinifu wake wala mzazi mwenzie ktk dini yetu ya kiislam mungu ktk surratl maida anasema msiowi wanawake mmeoishawaingilia wala kuwaweka kinyumba ktk sunna mtume wetu muhammad swallahu alay wasalama anasema la nnikah baada sifah yaan hakuna ndoa baada ya kumuingilia ama kuingiwa kwahiyo ww ndugu yangu subiri utaolewa na mzinifu mwenzako ila nayeye asikuingilii kwanza kabla ya ndoa nahiyo ndio itakua ndoa yako umeolewa na mzinifu mwenzako ndoa hii ndio iliokubaliwa na ukiolewa na huyo bwana wako sijui mzazi mwenzako nyinyi mtakua hamna ndoa ila humaa zaaniyani mujtamaa yani niwazinifu wawili ambao mmejikusanya kwa pamoja hadi mtakapo achana ama akafa mmoja kat yenu ndio zinaa yenu itakua imeisha hapo ila tu fanya ibada zako muombe mungu atakuletea mungine mwenye kheri na ww kuliko huyo mzinifu amin
Ushaur wangu mtunze mtoto wako ipo siku huyo mzazi mwenzio atakuja kukupigia cm anakuja hali ya mtoto. Mawifi pia inaonyesha Ndiy wamechangia kumsapoti kaka yao.
KWANINI KATIKA UGOVI WA FAMILY UTAKUJA KUSIKIA KULAKULA TU NYUMA YA KUKU UBWABWA CHAKULA NDIO CHANYO KWANINI WAAFRICA WENGI BADO KULA NDIO TATIZO KUBWA????????😢😢😢😢
Usiwahukumu kwa uchawi ila chozilako ni uchawi mtaingia kwenyevita yakishilikina kwan yametukuta wengi kama ww tukajipa moyokwavile hajanicha nakilema chochote halafu ww shukuru unawa zaziwako shukuru mungu tafuta biasharaufanye achakumfilia wanawake sikuhizi tunajiamin
Mwishoni ndio umeamka dada hakuna mwanaume ambaye ukijilegeza, unaamkia kwake. unampa vitu kabla ya ndoa huo ni umalaya tu. Mwanaume atakuwa anakuambia vitu vinavyokufanya uwe malaya wake mwingine kwa sababu wewe sio wa kwanza. Wanawake mngejifunza kusikiliza wazazi wenu, funga ndoa sawasawa ina baraka zake. Kujirahisisha ni umalaya, hautaenda mbali utarudishwa kuwasumbua wazazi wako tena.
huyo mwanaume nimuuaji mkubwa ila huyo dada ane olewa ajiandae kwasababu mwenzio akinyolewa tia maji nywele zako wewe achana na hilo limwanaume lisilo jua dhamani ya mwanamke nikweli inauma sana lakini kwasasa wewe pambana tu na maisha yako
Haaa ati amfanyie uchawi umgejifanyia mwenyewe kwanza ukatulia nafsi yako zinaa imekatazwa uzini halafu upangiwe nyumba mtoto atizamwe ungetulia ukapitisha maghfira Allah akakutaqabalia lakini inaonekana kwamba wewe mwenyewe hujatulia Allah akuhidi na jamii ya Waislam na wasiikuwa Waislam kweli inauma lakini ungerudi kwa MMungu wako kwanza mtoto wa nje ya ndowa ni wako sio wala huarusiwi kubeba jina la baba ake tusomeni dini jamani tupate kuepukana na ujinga kama huo
Umechemka sana penzi lilikuwa la upande mmoja mwanaume alikuwa anakutapeli tu Watoto wetu muwe makini Ukiamua kuzaa jipange lolote linaweza kutokea Simama kwamiguu yako lea mtoto wako Unachofanya ni ujinga watu wanaachwa na mimba Hayo ndio uliyoyataka sasa pambana ulee mwanao hela usimalize kwa waganga Huyo umekutana nae ukubwana sio ndugu yako Kama umezaa Rais je unajuaje? Unadhani kuzaa ndio kupendwa? Huyo mtoto wa watu pia ana wazazi wake Ndio ujinga huo ukakope uende kuloga na unasema mtoto anaumwa looooo
Mie nilitorokwa mtu akafunga ndoa na mwingine mtoto akiwa na miez 11 niligundua baada ya mwez mwanamme akanismbia sina shida na mtoto nina shida na pesa kumbe mwanamke alieolewa hana kizaz yan kilitolewaga nikasamehe leo mwanangu ni profesa ananitunza babaake anaona aibu tuuu
Usujipe iman iyoo ayajakukuta mm ndoa na yamenikuta anasaminiwa awara anakuja adihome mm sijui kutwa ndani nikitika madras kumbe nilienda madras awara anakuja chumbani tena changu
Kwakweli dada binti kigoma pengine mdada hana simu kubwa tafadhal mpe simu na umfungulie hiz message asome meseji za watu akishaur na watanzania wenzake naona hapa kila mmoja anampa moyo asijidhalilishe mtoto mmoja hatashindwa kumlea mwanae ,ajipe moyo atamlea mwanae maon hapa wrngi usjaur mxur amuachie mungu kwa yote
Mm kama mwanamke cjampenda uyo dada alichomfanyie mwanaume wake cku ya ndoa, taratibu za kudai haki ya mtoto zipo nyingi ikishindikana angekubali tu kuwa single mother km tulivyo wanawake wengi tanzania lkn kufanya vulungu zile alikosea sana
Kwani we dada wewe ndio wakwanza kuachwa ukiwa na mtoto tena mtoto mwenyewe mmoja anakushinda kulea heti ukawaroge ukisha waroga unapata faida gani 😂😂😂 wengine tumeachwa tukiwa na watoto 3 mmoja miaka 3 mwingine 2 na wamwesho tuliachana ana miezi 3 na nilikubali matokeo watoto wangu nalea bila ya shilingi moja ya baba yao na yupo hai mpka leo watoto wamesha kua mabinti wakutosha emu pambana kutafuta kazi 😂😂😂 njoo oman 🇲🇬🇲🇬💸💸pesa ipo
Kwa ushauri wa bure ili na wewe uishi kwa amani na mungu akubariki usifanye chochote kibaya kitakutesa na wewe cha muhim pambana umlee mtoto wako huyo mtoto ni baraka tosha kwako muombe mungu akupe afya na rizki utafanikiwa
Mie niliishi na mume tulizaa watoto wawili nilimsaidia biashara zake mpaka akasogea kimaisha mwisho wa ck alinifukuza kama hanijui niliondoka na watoto wangu sikudai chochote alhamdulillah nilimkabidhi mungu maisha yangu na wanangu sasa hivi ni mwaka wa kumi nalea watoto peke yangu na sjawahi kukosa rizki wala sjawahi kuteseka na wanangu na milango ya baraka ilifunguka kwangu sasa hivi yeye maisha aliyo nayo hanifikii hata robo wamechoka hadi huruma
Hongera mwaya umelipiwa n Allah
Exactly my dear.... Kisasi ni cha Mungu! Aachane nae Mungu huwa amenyoooka shwaaaaaa, Ni Mungu wa haki! Pia hili ni somo, hebu kila mmoja abaki kwenye nafasi yake... Mwanamke azae kwa uchungu na mwanaume atafute kwa jasho atunze familia yake jamani! Zaidi MUNGU ATUEPUSHE NA ROHO YA UZINZI PIA ALINDE NDOA ZOTE SHETANI APITE MBALI!🤲🙏🙏🙏🙏🙏
@@annahulilo6719 sasa hivi %80 wanawake tunazaa Kwa uchungu na bado tunatafuta Kwa jasho Kwa sababu wanaume mnakimbia majukum yenu
Ushauri mzuri. Ata mm nimelea wakwangu sasa nimekuwa na maisha yangu yapo vizuri sana yy hana Ata pakulala😢 usende kwa mganga dada mtoto ni baraka
Pole sana kwakweli inauma, maisha yanaendeleya lewo kwako kesho kwake
Pole dada yamenikuta mimi niliolewa namumewangu tukawanafamilia watoto wa 3 wakike nilimkuta mwanaime hanachochte tulihangaika mpakatukatobowa kimaisha nilivumilia maisha magumu sana lakini tulivotobowa kimaisha nikiwanamimba yamtoto watatu nilifukuzwa namimb ya mwezi 5 mpaka leo naleawatotopekeyangu sikudaichochote katikamalitulivotafuta sasahivi kafilisika anamadeni mpakaanamkimbiahuyo mwanamke mwenyewe anajutasasa namimi maisha yangu alihamdulilah mungukanifungulia milango yarizk muache siyorixki yakodada allah atakupakilichochako
Baraka hazi hitaji kelele angemwacha tu aende zake
Pole sana😢
@@ndogolofadhila6203kwel
Pole sana ❤
Huyu dada mkorofi ndo maana kaachwa
Yn dada hyo baba usimfanye chochote fimbo ya mungu itafanya kaz yke malipo na hapahapa Dunian akhera kuhesabiwa
Imenikumbusha mbali sana wanaume bhana wakishajipata wanaona walioanza nao hawakuwa wa ndo to zao ndo wanatafuta wa ndoto zao😅😅😅 Mungu anawaona
nenda uwarabuni mwanangu kafanye kazi miyakayako miwili ukirudy utakuwa mtu tuu inshaallah
Akili yakijing uchawi nini mbon upo kwenye giza Wew tawakal Kwa ALLAH atakupa tu mbona
Auna lolote mweu wewe pambana na hali yako kuwachwa wakwanza wewe unautangaza uchawi watakuwai wewe nyoooo😅
dada pambana na kutafuta maisha yako wewe binafsi na hao wazazi wako hawakua na kauli nzuri ila wacha tuache hayo yote kwasasa pambana kujitafutia maisha yako wewe kama wewe wanaume hawa .wana mwanzo mwema ila mwisho mwema hawana
pole mwanangu uwezi kuwa star mbaka uzalilike inshaallah utapata mwingine aliye wako
Pole binti. Wasamehe wote. Hata wazazi wako watarudisha moyo. Wakikutataa naomba uwe mwanangu. Wala sitanii. Ila wewe samehe. Usiwapige kwa chochote. Mwachie mungu ahukumu
Ukiwa na magumu usiende kwa waganga wa dunia hii, muite Mfalme wa Amani Yeye anajibu maombi
Swadkta
Wanaume 👐 Tulioumizwa tujuane ❤anyway SINGLE mamaz tunapepo yetu🙏
1 hamna akili una ziniwa una mwita mume
2 mnatoka kwenu mnaenda ishi na wanaume mna endelea kuziniwa mpaka mnazaa nje ya ndoa
3 hamjui kusema hapana zinaa hapana ndoa kwanza halafu yakiwakuta mnaanza hangaika hizo ndizo laana zenyewe mzibebe TU
Kweli kabisa maneno yako
My dear njoo oman utafute pesa zako me yarinikuta mbaka sasaiv nipo uku napambana na namshklu mungu alhamdulillah nimepga hatua namshklu mungu mtto wako usimuachie mama wa kambo please dunia ya sasaiv mtto wako rea mwenyewe
Ahadi nzuri ni NDOA tu. ZINAA ni MAJUTO
Mwanamke sio mgomv wko pamban na mwanamme mwanamke Hana kosa lolote usijipatishe dhambi bure Kwan mbon ss tumelelew bil y baba na tumekua n tumepitia maisha magum lea mtt dada
Swadakta
Pole sana dada angu lililo kukuta wewe sio wakwanza limewakuta wengi nmimi nikiwa mmojawapo ila nakushauri acha kuamini mambo ya uchawi wewe muamini mungu wa mbinguni ipo siku atakulipizia kisasi wewe usilipe kisasi mwachie mungu na utaona matokeo mazuri kwake mora wetu
Kama ulijibweteka mila kufanya biashala ulikuwa unategemea kupewa sasa kimekulamba😅
Sio mwisho wa dunia.Mungu yupo!
Bint kgm Leo kavaa ushungi kapendeza kweli MA Sha Allah
Ila mi naona ukubl utulize nafc pambania maisha Yako na mwanao achana na uyo kwanza mshukr mungu kuoneshwa mapema
Lakini mawifi wengine wanakaga kama majenti wa shetani vile Mimi Kuna vitu siwezi Fanyia mwanamke mwenzangu kwa sababu so vizuri nawewe dada usiloge mwenzio mbona sisi tunawacha na maisha inawapiga vizuri tu bila uchawi jamani wachana nao machozi yako tu inatosha😢
Pole sana dada jitahidi fanya kazi na mungu atakupa mume bora usikate tamaa
Pole sana dad mungu atakubariki ndo mawifi walivo dad malipo ni apa apa duniani muachie mungu
Pole saana ndugu.ndio.mitihani.hiyo.yatapita.tuuu.biti.kigoma.leo.kapendeza.jamani.❤❤❤
Pole sana my dear me yamenikuta hayo mzazi mwenzangu turianza maisha mbaka kufkia tunalalah sait kwenye maboksi na mbaka tukahaza kupanga basi sasa arivyo haza kushika pesa tu bas kabadrika na kuona wadda wa kawe ndio wazuri mmi nikawa sifai tena,,wanaume zetu wa tz ndio warivyo unamvumiria akipata tu hanakusarinti,, sasaiv sitaki kusikia kumvumiria mwanaume mwanaume haje na pesa zake kabsaa na mim nilee?
Pole kipenzi hayo yapo tu me mwenyewe yashawahi kunitokea,,tena mzazi mwenzangu alinionyesha sana kunipenda na ahadi za ndoa kila hatua alokua anaifanya ya ndoa alikua ananambia ila mwisho wa cku kaenda kumwoa mwanamke mwingne nikasema bahc namwachia Allah,nikwel waliishi ndani ya mwaka mmoja tu wakaachana na saiv kutwa ananisumbua turudiane
Dada pole sana hayo uliopitia hata mm nimepitia hayo hayo ila mm mwezako nilijikaza nikajiuliza kwaza nimezaa nje yandoa niwakwangu sikufich nimemlea mwanangu tangu miez 2 mpaka saiv nimwali tena na mtoto hamjui baba na mm nampa sumu namwambia mwanangu baba yako kakutupa hakutaki kwaiyo nakushaury mlee mwanao kwenyeshid kwenye raa ipo siku mungu atamlipia pole
Pole sana dada yng kwa hayo ulo pitia. M, mung ataksaidia in sha Allah. Wanaume ndivo walivyo dada, hata mm yamenikta hayo
Sameee naww wewe SI wakwanza uwezi jua mungu kwann amekuweka mbali nayeye uyo mume
Nambona tupo wengi single
Mother simama kwa mungu
Na umlee Mtto mungu ata
Shusha kudura zare😢😢😢
Rea mwanao huenda mungu kakuepushia
Pole dada ntakufata uje kenya uanze maisha mapya
Allah atakulipa dada usiedi kwamnganga wemuombe Allah tuh Atakusimamiya dada Sisi wote tumezalishwa Ila tupo tuh
Nyingi Wakati hamumtaki mungu yatawakuta mengi Tu. Imeumbwa ndowa Ndo kuzaa Lkn nyinyi mnazini mkazaa Ndo mkafunga ndowa Basi ata Bado hayajawakuta.
Pole Sana dada allah akufanyie wepes aza umpy mungu atakusaidia ❤
Sasa utapata faida gani ukiwaroga ati utawaharibia maisha yao, usijaribu mungu yuko tu.
Dada kachukue mtot wako achana naye. Yule sisi wanawake tunadhalilishw vby ila Mungu yup inshaallah tutahukumiw APA ap dunian
Pol sn Dada hayo nd maisha Ila Lea mwanao Kwan hakuna mtt mbay mungu atakulipia na huy mwanaume asikushuhulishe San mung atakusimamia na asimchukie na hilo chozi lina mlipo pole snw
pole sana Allah atakufanyia wepesi
Binti kigoma unayaweza ww mfukunyuku 😂😂😂 unajua kumchimba mtu wallah ila unaushauri mzuri
Mawifi mungu atawalipa kwa ubaya wenu
Pole sana Dada yang naona kimekukuta kilichonikuta mim Ila nikushahuli kama Dada yang ni hiki Wewe achana nao umuleye mwanao Maana Malipo nihapa Duniani usifanye kibaya kitakuludia wew tafuta maisha umuleye mwanako tu Na mzazi mwenzako usiache kumsemesha ili umuonyeshe kam amejikomoa
Pole mwaya
Wanawake nyie porojo tu bas
Wanaume ww unawajua vizr hata uanze nao sifuriii akiamua kaa mua
Naumia sana yani Mungu atusaidie sana wanawake
Pole sana mpendwa yalinitokea ila nikamuachia Mungu
Iko ivi ktk vitabu vyote vya mungu hakuna dalili inayosibitisha kwamba kunandoa ya mtu na mzinifu wake wala mzazi mwenzie ktk dini yetu ya kiislam mungu ktk surratl maida anasema msiowi wanawake mmeoishawaingilia wala kuwaweka kinyumba ktk sunna mtume wetu muhammad swallahu alay wasalama anasema la nnikah baada sifah yaan hakuna ndoa baada ya kumuingilia ama kuingiwa kwahiyo ww ndugu yangu subiri utaolewa na mzinifu mwenzako ila nayeye asikuingilii kwanza kabla ya ndoa nahiyo ndio itakua ndoa yako umeolewa na mzinifu mwenzako ndoa hii ndio iliokubaliwa na ukiolewa na huyo bwana wako sijui mzazi mwenzako nyinyi mtakua hamna ndoa ila humaa zaaniyani mujtamaa yani niwazinifu wawili ambao mmejikusanya kwa pamoja hadi mtakapo achana ama akafa mmoja kat yenu ndio zinaa yenu itakua imeisha hapo ila tu fanya ibada zako muombe mungu atakuletea mungine mwenye kheri na ww kuliko huyo mzinifu amin
Ushaur wangu mtunze mtoto wako ipo siku huyo mzazi mwenzio atakuja kukupigia cm anakuja hali ya mtoto. Mawifi pia inaonyesha Ndiy wamechangia kumsapoti kaka yao.
Jamani ndugu hawawezi kuwa upande wako wakamuacha ndugu yao
BINTI KIGOMA UNAVYOHONGEA UMETOKA KIJIJINI SANA MKOA UNAOTOKA BADO SHOMBO LA USHAMBA LAKIJIJINI ALIJAKUTOKA 😂UNAMIAKA MINGAPI DAR MADAM KIGOMA?????
Huyo mwanaume nafikiri ni maoko yanatoka kwa Huyo alie muoa.hiyo dio tabia ya vijana wa sasa. Hakuna kingine.
Pole my sister
KWANINI KATIKA UGOVI WA FAMILY UTAKUJA KUSIKIA KULAKULA TU NYUMA YA KUKU UBWABWA CHAKULA NDIO CHANYO KWANINI WAAFRICA WENGI BADO KULA NDIO TATIZO KUBWA????????😢😢😢😢
Naswali mzuri unayomuhoji
Stor ya uongo hii,wifi ulimsalimia akakujib kama mnashea kitu,so hakurud kumwambia kakake kivuruge yupo nje?disco limeingia mmasai😂😂sijapenda
Huyo mkaka simuigizaji kweny filamu ya shetan au ndoyale mashetani yamemvaa
Usiwahukumu kwa uchawi ila chozilako ni uchawi mtaingia kwenyevita yakishilikina kwan yametukuta wengi kama ww tukajipa moyokwavile hajanicha nakilema chochote halafu ww shukuru unawa zaziwako shukuru mungu tafuta biasharaufanye achakumfilia wanawake sikuhizi tunajiamin
Dada yangu muachie mungu uliwafanya chochote hiyo pesa ya kuwafanyia jambo lako bora upike ns mwanao mle hao ndio wanaume
Mwishoni ndio umeamka dada hakuna mwanaume ambaye ukijilegeza, unaamkia kwake. unampa vitu kabla ya ndoa huo ni umalaya tu. Mwanaume atakuwa anakuambia vitu vinavyokufanya uwe malaya wake mwingine kwa sababu wewe sio wa kwanza. Wanawake mngejifunza kusikiliza wazazi wenu, funga ndoa sawasawa ina baraka zake. Kujirahisisha ni umalaya, hautaenda mbali utarudishwa kuwasumbua wazazi wako tena.
huyo mwanaume nimuuaji mkubwa ila huyo dada ane olewa ajiandae kwasababu mwenzio akinyolewa tia maji nywele zako wewe achana na hilo limwanaume lisilo jua dhamani ya mwanamke nikweli inauma sana lakini kwasasa wewe pambana tu na maisha yako
Haaa ati amfanyie uchawi umgejifanyia mwenyewe kwanza ukatulia nafsi yako zinaa imekatazwa uzini halafu upangiwe nyumba mtoto atizamwe ungetulia ukapitisha maghfira Allah akakutaqabalia lakini inaonekana kwamba wewe mwenyewe hujatulia Allah akuhidi na jamii ya Waislam na wasiikuwa Waislam kweli inauma lakini ungerudi kwa MMungu wako kwanza mtoto wa nje ya ndowa ni wako sio wala huarusiwi kubeba jina la baba ake tusomeni dini jamani tupate kuepukana na ujinga kama huo
Angalia maisha yako dada mungu yupo unaweza fosi ndoa ukaja kujutia baadae mpambanie mwanao ww
Wanaume mavi tu
Ww hata ukitoa machozi hukuolewa uliku hawara tu iyo ndio faida yke ss
Ndio hapo
Subhanallah Allaah atustiri waja wake
Dada pole.Delete Pambana nawanao na Mungu atakupigania.uza maandazi chapati chochote cha riski anza biashara na Mungu atakupa mwenza sahihi
Huyo muachie tu mungu usende popote ataadhibiwa had arudi akuombe msamaha mwenyewe 😢
Umechemka sana penzi lilikuwa la upande mmoja mwanaume alikuwa anakutapeli tu
Watoto wetu muwe makini
Ukiamua kuzaa jipange lolote linaweza kutokea
Simama kwamiguu yako lea mtoto wako
Unachofanya ni ujinga watu wanaachwa na mimba
Hayo ndio uliyoyataka sasa pambana ulee mwanao hela usimalize kwa waganga
Huyo umekutana nae ukubwana sio ndugu yako
Kama umezaa Rais je unajuaje?
Unadhani kuzaa ndio kupendwa?
Huyo mtoto wa watu pia ana wazazi wake
Ndio ujinga huo ukakope uende kuloga na unasema mtoto anaumwa looooo
Usifnye kitu chochte kibaya dadaangu waachie mungu atkulipia wasamehe tuko wengi dada msamehe muachie mungu🙏🏻🙏🏻
Dad pole san wanaume wataendwa kuchomwa san
Mie nilitorokwa mtu akafunga ndoa na mwingine mtoto akiwa na miez 11 niligundua baada ya mwez mwanamme akanismbia sina shida na mtoto nina shida na pesa kumbe mwanamke alieolewa hana kizaz yan kilitolewaga nikasamehe leo mwanangu ni profesa ananitunza babaake anaona aibu tuuu
😂😂😂😂 hii KIBOKO haki nimetamani kufanya interview na wewe hata kwa njia ya sim pls 0620607628 Naomba unicheki
Kweli hayo ndio matokeo ya watoto wanaolelewa na mama zao huwa wanapata akili za ajabu huyu dada Mungu atamuinua na huyo mtoto wake
mlikuwa mnazini tu sio kakuowa uwe mpole utafute mtu akuowe uzae watoto wa halali kulingana na dini yako
Uyo sio Yule dada mwembamba na kichwa kidogo uyo kichwa kikubwa
Kweli kabisa waongo hao
Labda kasuka lasta jaman😂😂
huyu mnene bana😂😂😂
Wanaume khhha,jamani mapenzi tuwaachie wenyewe,hivyo vitu vimetutokea wengi tunafunga mkanda tunasonga mbele
Sheia ni Kuolewa kabla ya kuzaa
Kila kitu kinaenda na riziki mungu akikupangia subili mungu atakupa mume mwengine wakati wa mungu ni wakat sahihi
Mpende mwanaume ukiwa ndani ya ndoa na ukikaa na mwanaume bila ndoa jua siku yeyote anaoa mwanamke mwingine
Usujipe iman iyoo ayajakukuta mm ndoa na yamenikuta anasaminiwa awara anakuja adihome mm sijui kutwa ndani nikitika madras kumbe nilienda madras awara anakuja chumbani tena changu
@@NadhiraNa-vm5hs
Hee huyo mwanaume kakuchoka kwani magesti hakuna akuletee chumbani kwako wanga hao
Bint kingoma wemwenyewe siulimsikia yule mama mbwagizo anawabwagiza wanaume tu
Mh pole dada angu hayo niya dunia kwa sababu sio kila mwanaume atakupa hera upereke kwenu ni wachache dada ila jikaze achana na visasi
Angalia maishaa yako achana nao usije ukaenda kuloga ukalogwa na wewe uchawi wa kizazibar achana nao fata yako
DD yangu achana nao wemlee tu mtoto wako
Kwakweli dada binti kigoma pengine mdada hana simu kubwa tafadhal mpe simu na umfungulie hiz message asome meseji za watu akishaur na watanzania wenzake naona hapa kila mmoja anampa moyo asijidhalilishe mtoto mmoja hatashindwa kumlea mwanae ,ajipe moyo atamlea mwanae maon hapa wrngi usjaur mxur amuachie mungu kwa yote
Mama arusi ana tatizo yoyo dada usimfanyiye mwenzako ivyo ule ana tatizo lolote dada usifanyi ivyo
Mimi kila cku huwa naongea unaanzaje kumsikiliza mwanaume hajakuoa eti nizalie 😅😅 aise wadada tujitambuwe basi
Pole dadangu machozi yako hayajatoka bure dadangu 😢😢
Nyinyi wanawake inakuaje mnawapa Kuma wanaume hadi wanakuzalisheni bila kuolewa ndo mana mnaumizwa
Achana nae cha msingi pambanania maisha upate pesa ipo siku atakuja kukupigia magoti
Malipo ni hapa hapa dunian
My dear vyote hivyo na mimi ilitokea kama hivyo hivyo,na akaenda kuoa hivyohivyo wasamehe wapotezee fanya kama uwajui
Mm kama mwanamke cjampenda uyo dada alichomfanyie mwanaume wake cku ya ndoa, taratibu za kudai haki ya mtoto zipo nyingi ikishindikana angekubali tu kuwa single mother km tulivyo wanawake wengi tanzania lkn kufanya vulungu zile alikosea sana
Binti kigoma mapenz yanauma san dada jipe moyo machozi Yako hayaendi buree
Hee Tanzania kuna Ant age ??hahaha
Likuepukalo lina heri nawe tulia jambo limekuepuka
Sasa kuna haja gani ya kumfunika wakati tulisha muona siku ya tukio
Kwani we dada wewe ndio wakwanza kuachwa ukiwa na mtoto tena mtoto mwenyewe mmoja anakushinda kulea heti ukawaroge ukisha waroga unapata faida gani 😂😂😂 wengine tumeachwa tukiwa na watoto 3 mmoja miaka 3 mwingine 2 na wamwesho tuliachana ana miezi 3 na nilikubali matokeo watoto wangu nalea bila ya shilingi moja ya baba yao na yupo hai mpka leo watoto wamesha kua mabinti wakutosha emu pambana kutafuta kazi 😂😂😂 njoo oman 🇲🇬🇲🇬💸💸pesa ipo
Mhh uchawi wambali
Waroge tu washenzi sana wanamme anza na yule wif mdomo waz,,nenda kakopee
Laana zakuroga mtu zitakukosti milele
We muongo harusi uwalikwe uende namitunguu hiyo
Kama mnaona amefanya mazuri kwann afunike sura wakati mwingine tumwogope MUNGU
Kuroga achana nako
Dada
Malipo ni apa apa
Duniani
Hana lolote huyu mwanamke kakusudia kuvunja harusi ya halali kazini kazaa baada ya kujstiri anajifedhehesha Allah tustiri waja wako
kumbe huyo mama wa mtoto ni mchawi