FEISAL AFUNGUKA MARA YA KWANZA KUMUOMBA MSAMAHA RAIS YANGA INJINIA HERSI WAKIWEKA HELA NARUDI YANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • FEISAL AFUNGUKA MARA YA KWANZA KUMUOMBA MSAMAHA RAIS YANGA INJINIA HERSI WAKIWEKA HELA NARUDI YANGA

КОМЕНТАРІ • 86

  • @BeatriceCharles-f8t
    @BeatriceCharles-f8t 4 місяці тому +2

    Jamani me fei namkubali sana Tena sana arudi yanga ingawaje ni mtaalam wa kukata mauno Napenda sana fei arudi jamani💚💚💚💚💯💯

  • @hafia.056
    @hafia.056 4 місяці тому +16

    Yanga Africans the biggest team in Tanzania and Africans. Haya wananchi eeempoo mie naaAmini tupo.yanga african oyeee oyeee hayaa Tena

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 4 місяці тому +3

    Fei well come,,,home

  • @BahatiIsangu
    @BahatiIsangu 4 місяці тому +2

    I love young Africans

  • @hafia.056
    @hafia.056 4 місяці тому +3

    Hapo hapo wananchi eeeYanga oyeee haya Twendeee kazi Youngs Africans

  • @hafia.056
    @hafia.056 4 місяці тому +2

    The Biggest club in Tanzania 🇹🇿 Youngs Africans oyeee oyeee hayaa wananchi

  • @HangiNgholo
    @HangiNgholo 4 місяці тому +2

    Tamaa tu za kutaka kuonekana kimataifa, aliitaman simba kwa vile ilikuwa inafanya vzr mda huo akaona apitie azam kama njia, saivi tena kaona yanga tuko poa anaanza kushoboka. Nenda simba tu sio nda watakuwa vzr nao pia acha kutangatanga ulishasema huna mapenzi na yanga una mapenzi na simba

  • @KisholiMj
    @KisholiMj 4 місяці тому +2

    Ila waandish 😂😂😂😂 ni noma💚💚💚💚💚💚

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 4 місяці тому +4

    Usijali yaliyosemwa nyuma Yako, ukipewa ofa nzuri na Yanga we njoo tu hapo ni home kwako Kwa mpira

  • @JakayaJakaya-l4t
    @JakayaJakaya-l4t 2 місяці тому

    Fei atarudi yanga kweli

  • @telectricallshop
    @telectricallshop 3 місяці тому

    Unakaribishwa nyumbani feisal

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 місяці тому +1

    Maestro😊

  • @josephfissoo9583
    @josephfissoo9583 4 місяці тому +1

    Karibu nyumbani Fei wetu

  • @salehsunday7076
    @salehsunday7076 4 місяці тому

    Aisee congratulations feisal

  • @azizamohd4203
    @azizamohd4203 4 місяці тому +2

    Yang hutuna shida na mjinga FEI, muda Wetu tunae na tunatamba nae

  • @ambonisyejames7129
    @ambonisyejames7129 4 місяці тому

    Anarud nyumbani huyo😂😂😂😂😂

  • @farajambaza
    @farajambaza 4 місяці тому +2

    ile mishe ilipangwa tu. haikua na uhalisia lengo kuivuruga yanga tu.

  • @Emanuelywilison
    @Emanuelywilison 2 місяці тому

    Hamnaga awali mbovu ww nakaujuwe nyumban ninyumbani 🎉

  • @cantonaiddy6042
    @cantonaiddy6042 4 місяці тому +2

    Pale Simba Mohamed Hussein kumtoa ufanye Kazi haswa 😂

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 4 місяці тому

    Safi sana kwakuondoa bifu tim yako ni yanga

  • @NASSORMSIGARA
    @NASSORMSIGARA 4 місяці тому

    Fei toto,toto ya injinia come yanga rudi yanga belated yanga weweee karibu.

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 4 місяці тому +2

    Huyu Ni sawa na Mwana mpotevu chinjeni ndama tufurahie leteni Pete tumvike amejua utoto nii hasara kubwa

    • @IsaacRuendeMbipa
      @IsaacRuendeMbipa 4 місяці тому

      Huyu Bado tunamupenda mana Bado yupo kwenye mfumo

  • @ambonisyejames7129
    @ambonisyejames7129 4 місяці тому

    Wachezaji ni km wanawake tu huwa wanadanganywa

  • @JulieMbeko-jw6iq
    @JulieMbeko-jw6iq 4 місяці тому

    Wasikupeleleze sana dogo,hao nimachawa.

  • @JUMANNESELEMANI-mg9ix
    @JUMANNESELEMANI-mg9ix 4 місяці тому

    Feisali ni msenge anafitina sana afu anagundu Toka aondoke yanga tunafanikiwa so aende Simba injinia please usimruhusu iyo mbwa muda tuko nae na tunatamba nae

  • @ZainabuBakari-q3d
    @ZainabuBakari-q3d 4 місяці тому

    Uyo dogoooo asamehewe tu arudi nyumbani

  • @ShamsiMbago-n2q
    @ShamsiMbago-n2q 4 місяці тому

    🔥💯

  • @Robust78
    @Robust78 4 місяці тому +5

    Kucheza mechi za kimataifa kwa mchezaji ndo mpango mzima kama anaitamani yanga ile aliyodai hana mapenzi nayo ni kwavile kaona huko aliko hatakuwa kwenye viwanja vya kimataifa. Abakie hukohuko anakopata mshahara mkubwa. Yanga wako fiti kikosi kimetimia kinatosha.

  • @NaySwai
    @NaySwai 4 місяці тому

    Aende simba kama huko azam kimenuka,,Yanga tumetimia

  • @cassianmkeko1514
    @cassianmkeko1514 4 місяці тому +2

    Feisuful kujua anajua makombee AAAAAAAAAH😅😅😅😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 4 місяці тому

    Vile sio viuno, ni zagala😂😂😂😂

  • @GodfreyHamadi
    @GodfreyHamadi 4 місяці тому

    uliondoka kwamasimango sana sioni sababu yaww kurudy uliona kama wew ndo star wayanga yang aitegemei mtu mmoja

  • @SwadakatYusuph
    @SwadakatYusuph 4 місяці тому

    Wewe hujui mikataba hata kidogo

  • @mwinyihijaramadhaniseif1100
    @mwinyihijaramadhaniseif1100 4 місяці тому

    Ww fara harakaharaka zimekuponza kwasupidi ulikuwanayo kwa time yayanga mpaka sasa ungekuwa kama maybe nipulofeshina wkutumaniwa tzd tuliyauwone mzize

  • @HadiaMmbaga
    @HadiaMmbaga 2 місяці тому

    Mwaisha

  • @emanuelsamwel999
    @emanuelsamwel999 4 місяці тому

    Rudi nyumbani kumenoga

  • @hafia.056
    @hafia.056 4 місяці тому

    Me naona tumchukuwe tu kijana.bwamdogo bado.wananhiiieee tumchukuwe

  • @musasekachu741
    @musasekachu741 4 місяці тому

    Abaki tu huko au atafute changamoto kwingine yanga kubwa kuliko yeye

  • @Samweli-n1r
    @Samweli-n1r 3 місяці тому

    Tunakukaribisha yumbani

  • @shabanisuleimani8686
    @shabanisuleimani8686 4 місяці тому

    Swali moja unauliza mara mbili mbili

  • @HafidhAlly-vf5dy
    @HafidhAlly-vf5dy 4 місяці тому

    Kijana arudi bado tunakazinae

  • @Bonifaskagoma
    @Bonifaskagoma 4 місяці тому

    Nataman angecheza simba kwanza

  • @AZIWANKULIKWA
    @AZIWANKULIKWA 4 місяці тому

    Kumbe sku iz kamekuwa akili bwana kidg kanajibu kikubwa

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 4 місяці тому

    Nyie mapaparazi nendeni shule kwanza hamjui hata maswali ya kumuuliza mtu mkasome kwanza

  • @GhaniaSaid-u5k
    @GhaniaSaid-u5k 4 місяці тому

    Tanzania hakuna mpira tft pesa mihemko wacha

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 4 місяці тому

    Fei nani bwana alale mbele huko

  • @mashabdulrahman1699
    @mashabdulrahman1699 4 місяці тому

    Tatizo sio msamaha, huyu dogo ana gundu akiingia tu kwenye timu yako mnaishia kuruka ruka tu japo yeye anaonekana, hana tofauti na Pogba

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 4 місяці тому

    Angekuwa mvumilivu hapa Yanga angekuwa nj'e ya nchi anakula mshahara mkubwa sana

  • @HamisiOmmy-e5z
    @HamisiOmmy-e5z 4 місяці тому

    Dogo kaona apige na culture ya yanga kabisa😂😂

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 4 місяці тому +2

    Yeye aende anapopajua Yanga asikanyage aende kwa mama yake, Sisi hatuangalii nyuma hatumtaki tena

    • @libandaonline5358
      @libandaonline5358 4 місяці тому +2

      Wewe kama nani Huna hata senti yako yanga ni.mshabiki tu maandazi kalale huko

    • @benjatweve4122
      @benjatweve4122 4 місяці тому

      Nini ww kama Morrison tulimpokea tutashindwaje kumpokea Fei

    • @sylvestermlwale8875
      @sylvestermlwale8875 4 місяці тому

      Pumba iyo humtaki wewe sio wote,Mimi nataka arudi hata Leo🤣

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 4 місяці тому

    Asante. Sana. Kama. Huyo. Kijana. Kaomba. Radhi. Arudishwe. Bado. Ni. Kijana. Wetu. Tunakuomba. President. Fanya. Mambo. Yawe. Mambo. Kijana. Bado. Anaipenda. YANGA. Ule. Ulikuwa. Utoto. Tu. Ameshakuwa. Sasa. Ametambua. Makosa. Yake. Haina. Budi. Kusamehewa Ili. Arudi. Kundini. Mwana. Mpotevu

    • @NailaMickey
      @NailaMickey 4 місяці тому

      Abaki huko labda akacheze Simba huko

  • @hafia.056
    @hafia.056 4 місяці тому

    That boy i mean feisal toto to me he wants to come back to he is the Biggest team in Africans the names of he is Dar Youngs Africans my people's you understand my meaning. Okay let's taking him back eeee yanga oyeee oyeee yanga oyeee let's saying oyeee hayaa

  • @JacksohnMpole65
    @JacksohnMpole65 4 місяці тому

    Huyu dogo arudi nyumbani

  • @grolyligola8959
    @grolyligola8959 4 місяці тому

    Kwa kitendo alicho kifanya fei Kwa yanga mwache tu asilud yanga jaman mi nilimpenda sana ila namchukua sana kasato

  • @AkramIbrahim-m6x
    @AkramIbrahim-m6x 4 місяці тому

    Asirudi Hatumtaki Aende Simba Au Akacheze Kwao Zanzibar Yanga Tunawachezaji Wazuri Kumzidi Yy Kwanza Anagundu Hatumtaki

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 місяці тому

    Huyu dogo kipaji cha ulaya

  • @boazmwakasala403
    @boazmwakasala403 4 місяці тому

    mwanetu tunakusubili huku

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 4 місяці тому

    Huyu dog Fei anaonekana ni Kiburi, ona alivyoulizwa kwamba ulisema kuwa utarudi Yanga endapo tu Raisi Eng. Hersi ataondoka huyu dogo hili swali akabaki kulichengachenga na kuliyeyusha hivyo anaonekana kweli alikuwa serous na hajutii kauli yake hiyo - hakika huyu hafai kabisa kurudi Yanga ana zaidi ya Kiburi na abaki hukohuko alikofuata fedha nyingi.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 4 місяці тому

    Fikiria ndugu RUDI YANGA.TULIKUKUBALI KWA KIWANGO KIKUBWA SANA

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 4 місяці тому

    Yaani maswali ya hawa waandishi uchwala...eti ulijikiaje kufunga!!..yaani ni sawa kuuliza eti baby unajisikiaje

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 4 місяці тому

    Huyo mpumbavu tu akauze ukwaju huko

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma 4 місяці тому

    Yanga nyumbani tunakupenda ila ww wachambuzi wabongo warikuharibu sasa kama umejiludi sawa hapo Azam timu ndogo huwezi kuonekana ludi nyumbani

  • @AndreaHaule-c1q
    @AndreaHaule-c1q 4 місяці тому

    Dogo yuko sawa Kwa anachokiongea Rudi yanga huna gundu lolote

  • @ShukuruLaurent
    @ShukuruLaurent 4 місяці тому

    Abaki hukohuko tu dogo anadhalau

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 4 місяці тому

    Msiwe mnakrupuka kuongea tnaomba usije mpaka bos aondoke mfyuuuu

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 4 місяці тому

    Hersi huyu asirudi hatumtaki tena mama Samia atusamehe. Akatafute timu nyingine Yanga asirudi

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d 4 місяці тому

    We msenge tu Baki kwa wajinga wenzio.

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 4 місяці тому

    Watangazaji wengine bwana interview honyo haina hata mvuto

  • @Festoffesto87
    @Festoffesto87 4 місяці тому

    Dogo ulikimbilia kichakani furaha ipo yanga we hupendi kucheza na wachezaji wakubwa jangwani??? Huko huwezi toka ki soka umri ukienda itabaki story.

  • @MichaelMlija
    @MichaelMlija 4 місяці тому

    Achaneni.na.fei.toto..hana.akiri.kumbuken.anatetewa.na.wakina.fatima.karume.leo.arudi.yanga.mmpokrre.a.wakati.alisema.anakula.ugari.na.sekari.leo.pamenoga.arudi.achaneni.nae

    • @sylvestermlwale8875
      @sylvestermlwale8875 4 місяці тому

      Pumba tafuta point ya msingi hata mke na mume wanagombana na wanapatana maisha yanaendelea sembuse fei na yanga,Acha chuki za kipumbavu huu ni mpira Tu usicomplicate Sana utajiumiza Tu sasa mfano fei akirudi yanga utajisikiaje? Kama sio kupata aibu🤣.😂

  • @JulieMbeko-jw6iq
    @JulieMbeko-jw6iq 4 місяці тому

    Urudi nyumban dogo ss tunakupenda bado

  • @Samweli-n1r
    @Samweli-n1r 3 місяці тому

    Tunakukaribisha yumbani