Kucheza mechi za kimataifa kwa mchezaji ndo mpango mzima kama anaitamani yanga ile aliyodai hana mapenzi nayo ni kwavile kaona huko aliko hatakuwa kwenye viwanja vya kimataifa. Abakie hukohuko anakopata mshahara mkubwa. Yanga wako fiti kikosi kimetimia kinatosha.
That boy i mean feisal toto to me he wants to come back to he is the Biggest team in Africans the names of he is Dar Youngs Africans my people's you understand my meaning. Okay let's taking him back eeee yanga oyeee oyeee yanga oyeee let's saying oyeee hayaa
Huyu dog Fei anaonekana ni Kiburi, ona alivyoulizwa kwamba ulisema kuwa utarudi Yanga endapo tu Raisi Eng. Hersi ataondoka huyu dogo hili swali akabaki kulichengachenga na kuliyeyusha hivyo anaonekana kweli alikuwa serous na hajutii kauli yake hiyo - hakika huyu hafai kabisa kurudi Yanga ana zaidi ya Kiburi na abaki hukohuko alikofuata fedha nyingi.
Yanga Africans the biggest team in Tanzania and Africans. Haya wananchi eeempoo mie naaAmini tupo.yanga african oyeee oyeee hayaa Tena
Mtoto wetu
The Biggest club in Tanzania 🇹🇿 Youngs Africans oyeee oyeee hayaa wananchi
Hapo hapo wananchi eeeYanga oyeee haya Twendeee kazi Youngs Africans
Usijali yaliyosemwa nyuma Yako, ukipewa ofa nzuri na Yanga we njoo tu hapo ni home kwako Kwa mpira
Maestro😊
ile mishe ilipangwa tu. haikua na uhalisia lengo kuivuruga yanga tu.
Karibu nyumbani Fei wetu
Safi sana kwakuondoa bifu tim yako ni yanga
Aisee congratulations feisal
Angekuwa mvumilivu hapa Yanga angekuwa nj'e ya nchi anakula mshahara mkubwa sana
Yang hutuna shida na mjinga FEI, muda Wetu tunae na tunatamba nae
Asirudi Hatumtaki Aende Simba Au Akacheze Kwao Zanzibar Yanga Tunawachezaji Wazuri Kumzidi Yy Kwanza Anagundu Hatumtaki
uliondoka kwamasimango sana sioni sababu yaww kurudy uliona kama wew ndo star wayanga yang aitegemei mtu mmoja
Kucheza mechi za kimataifa kwa mchezaji ndo mpango mzima kama anaitamani yanga ile aliyodai hana mapenzi nayo ni kwavile kaona huko aliko hatakuwa kwenye viwanja vya kimataifa. Abakie hukohuko anakopata mshahara mkubwa. Yanga wako fiti kikosi kimetimia kinatosha.
Ila waandish 😂😂😂😂 ni noma💚💚💚💚💚💚
Huyu Ni sawa na Mwana mpotevu chinjeni ndama tufurahie leteni Pete tumvike amejua utoto nii hasara kubwa
🔥💯
Wasikupeleleze sana dogo,hao nimachawa.
Feisuful kujua anajua makombee AAAAAAAAAH😅😅😅😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
Rudi nyumbani kumenoga
Kwa kitendo alicho kifanya fei Kwa yanga mwache tu asilud yanga jaman mi nilimpenda sana ila namchukua sana kasato
Swali moja unauliza mara mbili mbili
Fei nani bwana alale mbele huko
Abaki tu huko au atafute changamoto kwingine yanga kubwa kuliko yeye
Kakakaka😂😂😂😂
Kumbe sku iz kamekuwa akili bwana kidg kanajibu kikubwa
Tatizo sio msamaha, huyu dogo ana gundu akiingia tu kwenye timu yako mnaishia kuruka ruka tu japo yeye anaonekana, hana tofauti na Pogba
That boy i mean feisal toto to me he wants to come back to he is the Biggest team in Africans the names of he is Dar Youngs Africans my people's you understand my meaning. Okay let's taking him back eeee yanga oyeee oyeee yanga oyeee let's saying oyeee hayaa
Huyu dog Fei anaonekana ni Kiburi, ona alivyoulizwa kwamba ulisema kuwa utarudi Yanga endapo tu Raisi Eng. Hersi ataondoka huyu dogo hili swali akabaki kulichengachenga na kuliyeyusha hivyo anaonekana kweli alikuwa serous na hajutii kauli yake hiyo - hakika huyu hafai kabisa kurudi Yanga ana zaidi ya Kiburi na abaki hukohuko alikofuata fedha nyingi.
Me naona tumchukuwe tu kijana.bwamdogo bado.wananhiiieee tumchukuwe
Wewe hujui mikataba hata kidogo
Hersi huyu asirudi hatumtaki tena mama Samia atusamehe. Akatafute timu nyingine Yanga asirudi
Wew kama naniii mbwa weweee
Tanzania hakuna mpira tft pesa mihemko wacha
Ww fara harakaharaka zimekuponza kwasupidi ulikuwanayo kwa time yayanga mpaka sasa ungekuwa kama maybe nipulofeshina wkutumaniwa tzd tuliyauwone mzize
Huyu dogo arudi nyumbani
Pale Simba Mohamed Hussein kumtoa ufanye Kazi haswa 😂
Nataman angecheza simba kwanza
Nyie mapaparazi nendeni shule kwanza hamjui hata maswali ya kumuuliza mtu mkasome kwanza
Yeye aende anapopajua Yanga asikanyage aende kwa mama yake, Sisi hatuangalii nyuma hatumtaki tena
Wewe kama nani Huna hata senti yako yanga ni.mshabiki tu maandazi kalale huko
Nini ww kama Morrison tulimpokea tutashindwaje kumpokea Fei
Kijana arudi bado tunakazinae
Huyo mpumbavu tu akauze ukwaju huko
Huyu dogo kipaji cha ulaya
Dogo yuko sawa Kwa anachokiongea Rudi yanga huna gundu lolote
Abaki hukohuko tu dogo anadhalau
Asante. Sana. Kama. Huyo. Kijana. Kaomba. Radhi. Arudishwe. Bado. Ni. Kijana. Wetu. Tunakuomba. President. Fanya. Mambo. Yawe. Mambo. Kijana. Bado. Anaipenda. YANGA. Ule. Ulikuwa. Utoto. Tu. Ameshakuwa. Sasa. Ametambua. Makosa. Yake. Haina. Budi. Kusamehewa Ili. Arudi. Kundini. Mwana. Mpotevu
Abaki huko labda akacheze Simba huko
Yaani maswali ya hawa waandishi uchwala...eti ulijikiaje kufunga!!..yaani ni sawa kuuliza eti baby unajisikiaje
We msenge tu Baki kwa wajinga wenzio.
Msiwe mnakrupuka kuongea tnaomba usije mpaka bos aondoke mfyuuuu
Fikiria ndugu RUDI YANGA.TULIKUKUBALI KWA KIWANGO KIKUBWA SANA
Yanga nyumbani tunakupenda ila ww wachambuzi wabongo warikuharibu sasa kama umejiludi sawa hapo Azam timu ndogo huwezi kuonekana ludi nyumbani
Urudi nyumban dogo ss tunakupenda bado
Watangazaji wengine bwana interview honyo haina hata mvuto
Dogo ulikimbilia kichakani furaha ipo yanga we hupendi kucheza na wachezaji wakubwa jangwani??? Huko huwezi toka ki soka umri ukienda itabaki story.