Hongera sana mama yangu MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSANI Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hakika mmependeza sana Hapo jukwani wote kwa pamoja na Umoja wenu, mwenyezi Mungu Mwenye Rehema Azidi kuwapa la HERI ktk kuliongoza Taifa hili teule na mwenyezi Mungu Tanzania!( Biblia, Kitabu cha ZABURI 105:14-15, ZABURI 133:1-3 na Yeremia 29:11)
Hongera sana mama yangu MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSANI Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hakika mmependeza sana Hapo jukwani wote kwa pamoja na Umoja wenu, mwenyezi Mungu Mwenye Rehema Azidi kuwapa la HERI ktk kuliongoza Taifa hili teule na mwenyezi Mungu Tanzania!( Biblia, Kitabu cha ZABURI 105:14-15, ZABURI 133:1-3 na Yeremia 29:11)