Ulikosea sana mama kumukaribisha uyo asie taka kujali watu wake pamoja na nchi yake Yaan uyo basi tu mungu anamuona uyo fisi anataka kuiyaribu nchi yetu ya tanzania
Ni kweli mama unaongea ukweli waking lissu wanalete ufunjivu wa amani na vili vile uwaribifu wa nchi yetu isio fanana na nchi zingine Ila usijali mama maan mungu yupo Ila mama ikiona unazidiw tafuta njia mubala
Lissu,Lema na Mbowe ndio viongozi wa funjo,kwa vi I e wanalipwa Wametumwa tuka huko ughaibuni.Lissi na Lema ndio hao .Wakati wanaishi nchi mbili Ubeljiji na Kanada😢
Wale wanaojifanya hawaogopi serikali hebu na wajaribu kuvunja sheria zilizowekwa halafu wasiseme wameonewa, Ndugu mtanzania mwenzangu usikubali ushabiki wa viongozi wa vyama vya upinzani unaweza kupoteza maisha au ukatiwa kilema cha maisha tulia nyumbani ulee watoto wako, ukija kupata matatizo hakuna kiongozi wowote atakaekuja kukufariji na kukupa matumizi ya watoto wako.
Mama nakuombea kwa mungu akujaalie uongozi wako Bora Mimi kama Mimi nakuomba kama wewe amri jeshi wa jamuhuri ya Tanzania kaza Buti heahima iwepo Tanzania Asante mama mpendwa
Ulikosea sana mama kumukaribisha uyo asie taka kujali watu wake pamoja na nchi yake Yaan uyo basi tu mungu anamuona uyo fisi anataka kuiyaribu nchi yetu ya tanzania
Ni kweli mama unaongea ukweli waking lissu wanalete ufunjivu wa amani na vili vile uwaribifu wa nchi yetu isio fanana na nchi zingine Ila usijali mama maan mungu yupo Ila mama ikiona unazidiw tafuta njia mubala
Hongera mama kanyaga mwendo, inchi Iko imara
Mungu mpe miaka rais wetu ana hekima na maarifa mapana najivunia Tanzania yangu
Wewe chizi kweli kwa raisi gani
Pole sana mama
Mungu akutie nguvu
Lissu na Lema waache kutuchafua😢
Lissu,Lema na Mbowe ndio viongozi wa funjo,kwa vi I e wanalipwa Wametumwa tuka huko ughaibuni.Lissi na Lema ndio hao .Wakati wanaishi nchi mbili Ubeljiji na Kanada😢
mh rais nakuombea kwa mungu hekima amani itaware wewe nimama wataifa retu mungu akupe hekima
Ndiooooo.buruza wotee hao warudi walikotoka.mungu akuweke.mitano Tena Mama mi baba kabisa haina mana
Mama yangi❤❤❤
Sisi Watanzania hatutaki umwagaji damu ndani ya nchi yetu,kwa namna na maelezo yoyote,tunataka Kuona tunaishi kwa amani,usalama,haki na huduma bora
Siasa maridhiano uliyoyataka mdo hayo c ulimwona maguful mjnga? ss pambana km una2maliza 2malize
AMANI GANI NA WATU WANAKUVA
Samia utasikia joto la jiwe mwaka huu
Mama usipo wazibiti wajinga lissu basi nchi yetu itaribiwa na hao watu wanaongozwa na mabeberu
Jivunie masikali nadola kuwa watu hatawezekana
Hao mafezuli kila mwisho wa uchunguzi huaanza porojo lao twanga risasi.
Hv una akil ww?
Viongozi tum cheni mungu Dunia tuna pita
😢😢😢
Uku kwetu marecani ni kawaida hiyo
Wale wanaojifanya hawaogopi serikali hebu na wajaribu kuvunja sheria zilizowekwa halafu wasiseme wameonewa, Ndugu mtanzania mwenzangu usikubali ushabiki wa viongozi wa vyama vya upinzani unaweza kupoteza maisha au ukatiwa kilema cha maisha tulia nyumbani ulee watoto wako, ukija kupata matatizo hakuna kiongozi wowote atakaekuja kukufariji na kukupa matumizi ya watoto wako.
saws
Iiiiiiiiiiiiiiiii kuna shida
tikwa
Sema mama
Jpm alishukufundisha ..wanyoshe
Acha kumtaja Babaetu ww
Duu ngulelo
Mama usipo wazibiti wajinga lissu basi nchi yetu itaribiwa na hao watu wanaongozwa na mabeberu
Mungu akutie nguvu mama yetu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
mwenyeezi mungu atakusimamiaulinzi wake. na hifadhi yake
C ulimsaliti jpm? Mwenzio alishawajua kuwa wale ni wafuluktabu wewe ukawaona ni wema swali ww na jpm nani alipatia? Juyahao wfluktab?
Mama nakuombea kwa mungu akujaalie uongozi wako Bora Mimi kama Mimi nakuomba kama wewe amri jeshi wa jamuhuri ya Tanzania kaza Buti heahima iwepo Tanzania Asante mama mpendwa
Heko mama usitishwe na yeyote na wala wasi kutoe kwenye leli kwamatusi yao kazi iendelee
HAO HAWANA CHA KUFANYA WAMEMUUWA ALLI KIBAO ILI WAPAISHE CHAMA CHAO TUMEWAGUNDUA
Hongera rais kwa kulinda aman yetu tusiwe kama ilivowapata ribya kwa ushamba wao
Amrijeshi😢😢😢😢utazilipa dam zawatanganyika tena kwa liba kubwa,na wapiga makofi wenzio.
Samia unawachekea sana quga risasi hao
Mama eeeh fnya kazi yko mitano tena inakuhs❤
Mambo yenu yakuweka makilpu ya samià mkome
Mama achananaoo awo piga kazi mama
Mauongo atutaki mauongo hapa samahani
Uko sawa mama
🇹🇿
Kwa sababu wewe ni mwanamke wa Zanzibar.ndio maana wanakunyanyasa ubaguzi na udini upo.mbona enzi za kikwetu magu na mkapa walikuwa hawana ufedhuli
Acha uwongo ety anachukiw kisa yy mzanzibari marehemu mwinyi hakutawala??? Zanzibari ndo nini sasa si kama mji mwengine tu
Wafinye hao nyumbu
Safi sana mama❤