ucombe best sema upate kizazi chema mie nilikua nasema km ww nikambiwa km ivyo nilivyokwambia mn ucone pacha wako apo wanaongea saiv sio kazi rahic best wng mwanamke mwenzetu yaani mama kapambana sana haswaaa
Nlikua naangali huba nikawaza kama washafanyiwa interviews Hawa madada.. Kushika simu tu nakutana na hii interview. Big up sky nikama ulikua kichwani mwangu vile ukanipa chenye nilikisubiria kwa mda
Mungu ni mwema yaani hadi raha, ninamuomba Mungu anipe mapacha wawili wa kike.nawapenda sana Regina na Christina Mungu azidi kuwabariki na kiwalinda upendo wenu uzidi huku mkimtanguliza Mungu kwa kila jambo
Mapacha raha jaman... Mungu katujalia na ss tupo Pacha.... Kama unatamani pacha gonga like hapa twende pamoja
E Mwenyezi Mungu Nami naomba siku nikiolewa uje unijalie mapacha 🙏🙏
Ameen thumma Ameen
Ameeen
ucombe best sema upate kizazi chema mie nilikua nasema km ww nikambiwa km ivyo nilivyokwambia mn ucone pacha wako apo wanaongea saiv sio kazi rahic best wng mwanamke mwenzetu yaani mama kapambana sana haswaaa
Amen
Aamiin
Wamebarikiwa hekima,Busara na kujielewa..ustaharabu Kama woote..daah nataman niwe Kama hawa
Ma'am Lissa acha kutamani sas afu anza kuwa
Eeeeeh mwenyenz mungu Naomba unipe Twice jaman,,,Amen
Samaani nadhani kama ulimanisha twins 👯♀️ Apana twice right?
Kumbe ww ni kama mm jaman nawapenda hatari
Ameen nami pia nawatamani twins
Poleni kwakufiwa na mzazi wenu😭ivi angeona raha yenu ManshaAllah
Muko vzr mashaAllah ruki na rani naomba Allah anijaalie na mm mapacha hata wa3 na wafanane wana raha sanaa
Amiin yarabb amiin
Poleni sana kwa kufiwa na mama yenu mpendwa.R.I.P Mama yetu.
Mashaallah na mm pia namwomba Allah anijalie nije kupata mapacha wanaofanan
Amiin insha allah
Mungu azidi kuwabariki Sana.nimewapendeza jinsi mnavyoishi Kwa upendo,furaha na amani, nyie ni mfano kwa jamii
Eee mwenyezi mungu nijalie nami kizazi changu nipate mapacha wakike kama hawa yaraab
EE MWENYEZ MUNGU NAOMB UNIPATIE KIZAZI CHA MAPACHA AMEN
Hata mimi Mungu anibariki na mapacha wasichana kama nyinyi.
I love u guys. .natamani nami Mungu anibariki siku moja nipate twins maana napenda sana watoto mapacha
Watoto mapacha wanaraha yake km Mungu nijalie na mm nipate km hawa 🤲🙏 nimewapenda buree
Sana
Amen mi pia
Atujalie sote. I love twins so much.
ua-cam.com/channels/Iei0c0l73F8pmbT4IbrC-g.html
Binafsi huwa na enjoy Sana nkiwaona mapacha Mungu awaweke jaman,
Nawapenda sana, naomba Mungu nipate pacha kama nyie yani wanichanganye mpk nichanganyike
Kumbe kila mtu Ana watoto wa wili wa wili hongereni sana my twins
Aiseee ahsante sky sikuwah kujua kama kweli hawa ni mapacha siku zote nilikuwa nadhani mtu mmoja anacheza part mbili
Nawapenda sana hawa wadada twins mungu anijaalie namimi nipate twins kama wao😍😘😘🙏
Mungu awalinde jamani wazuri mno adiraha mungu ni jalie mapaca 🙏
Napenda kweli kiswahili chetu mawapenda sn❤❤❤😍❤❤
Nawapenda sana haswa kwa wa jina wangu
Jameni warembo nawapenda sana 💋♥️🇹🇿
Nawapenda sana jamani, mungu awape wepesi ktk kila hitaji la moyo wenu.
So beautiful
adi raha na wanakipaji cha kufanana ,wote mafundi na ngozi yawo ninzuri na hawana mambo mengi❤❤❤❤
Mapacha wazuri kama watoto wangu GRESY na Regina mungu awalinde wote
Nawapenda sana
Nawapenda sana ❤❤😘😘
Nikiwaona natamani ningekuwa na pacha wangu jaman . pumzika kwa amani my dotooo
Pole sana dear
Pole sana
Pole sana nwanaid
Pole sana wajina
pole sana dada
Nimeipenda ngozi zetu zinavutia kwa kweli hongereni
Beautiful gals!!! Black is Beautiful kwa kweli... Yani wakati naanza kuwaona kwenye Huba nilijuwa ni mtu mmoja...😅
Ata mm
Ata mim
@@asia9930 Na
😄😄😄mapacha
Hhhhh hata mm
Nawapenda bur 💗💗maa sha allah
Penda sana nyie twins Gina na Tina...mnatupa raha sana kwenye huba... 😘
Nawapenda sana jamani😍😍
Nlikua naangali huba nikawaza kama washafanyiwa interviews Hawa madada.. Kushika simu tu nakutana na hii interview. Big up sky nikama ulikua kichwani mwangu vile ukanipa chenye nilikisubiria kwa mda
Sky huwa hukosei napenda maswali yako sana Mungu akubariki sana
Most adorable identical twins , black beauty 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
I just love them😘😘
Nawapenda sanaa
Hongereni sn jmn Mungu azidi kuwatunza napenda sn scene zenu kwenye filam ya huba...nawapenda💖💖💖
Mungu azidi kuwatangulia jaman, nimewapenda bule mnavopendana, Regina na Tina
Dah nawapenda sana mungu awape maisha marefu
Ahsante pacha wangu
Hata mamangu walizaliwa watatu wakiwa pamoja huwezi jua yupi ni yupi
A trick: you can watch movies on Flixzone. Been using them for watching lots of of movies recently.
@Calvin Ruben Definitely, I have been using flixzone} for since december myself :D
@Calvin Ruben yup, I've been watching on Flixzone} for since november myself =)
Nawapenda mno jamani uwiiiii nyie niwarembo mno mpo vizuri sana
KWANINI ULIKUFA KWA HUBA JAMANI? HADI NIKAACHA KUWATCH HUBA. I LOVED THE BOTH OF YOU. MUCH LOVE FROM KENYA.
Kumbe nawe uliacha jm!! Yan imewakumba weng😒.pole
Mtangazaji bwana uko wa baridi sana
Pole sana Kwa kumpoteza mama yenu kipenzi Mungu baba awasaidie sana.
Poleni sana kwa kumpoteza mama duuh poleni sana
Nawapendaaaa😙
Ooh they are so cute 😁😁
Waoo mpaka raha eee mungu nami nikuzie wakwangu
Mtangazaji umepwaya sana. Hii angeipata Millard Ayo bwana!
Amepoa kichizi utafikiri gubu
umeona eeh.. et kaanza tu na kugonganisha magari.. hajaona vitu important vya kuanza navyo
Huyo Millard mwenyewe yuko inspired na sky
Miradi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pendeza saana mungu azidi kuwatunza
Wacheshi Sana muda wote wanafuraha ❤❤❤💕🌺🌺
So beautiful ❤️💕
Wadada wazuuuri Sana na wanafanana Sana.Hongereni
Daaah yaaan utofauti wao mdogo Sana but wamefanana sana wakiwa mbali mbali huwezi huwatofautisha mungu awape maisha marefu.
Nawapenda saaanaaa
Ila mii mapacha watu wazima kuvaa sare kila pahala hapana
😅😅
Kila mtu na maisha yake
Shinda mechi zako
ushaanza kwenda huko mshmba wewe
si umesha sema wewe kwanza akuna mwenye mda nawe
Nawapenda sana Mungu aendelee kuwalinda na kuwaongoza.
Nataman nizae mapacha 🙏
It's my prayer too, but mi husikia eti lazima iwe kwa familia yenu
Mimi nia pacha wangu namwomba mungu anijalie mume Bora na baba Bora then mungu ndipo aruhusu mapacha wa kufanana kila kitu
Poleni Sana kwa kufiwa na Mama mzazi RIP
Wow you are looking so beautiful nina pacha pia lakini sidhani kama tuko this copy right big love for both you from Kenya💝💝
jmn nyie warembo htr mnafanana balaa
Mungu naomba anijalie mapacha wengiii I love you twins❤️
Mungu awape umri vizazi vyenu viwaone mpendane
Sema kulwa kabonge kidogo
Dotto ndo bonge kidogo
Mungu awabariki muendelee kupendana mpaka mwisho wa maisha ye
Polen sana kwa kuondokewa na mama Mungu awapeni furaha.
Nawapenda
Ongeleni mungu mzuri Sana.amewaimba vizuri nawapenda San as a na😘😘
Mapacha wangu ❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥asanteni sns family
It's really exciting
Nawapenda sana Hawa wadada
Muko pow Sana, mwenyezimung awazidishieni upendo
Nawapenda nyie mapacha
Miss to you my sister zang
Mapacha warembo. Kweli
Mtangazaji mpk anavurugwa duuh anaishiwa maswali
sio mchezo kuwaerewa
Nawapenda sana hawa mapacha
Wow
Ongereni sana kwa kazi hiyo
Dah, wamekumbusha mbali kweli, nilikua na classmate wng wako mapacha wa 4 wamefanana vimo saut sura yaan ilikua ni shida kweli, mungu mkubwa jaman
Mungu awabariki napenda mapacha sana
Eee Mwenyezi Mungu naomba nijahalie nipate mapacha
Poleni kwa kufiwa na MAMA chacha Mm MAMA bocko
Nawapenda sana Ran na Ruki nataman sana kuwa na mapacha
Mungu ni mwema yaani hadi raha, ninamuomba Mungu anipe mapacha wawili wa kike.nawapenda sana Regina na Christina Mungu azidi kuwabariki na kiwalinda upendo wenu uzidi huku mkimtanguliza Mungu kwa kila jambo
Jamani napendaa sana nyie mapachaa naamini siku moja mungu atanipa coz napendaa sana twinc
Mungu nibariki nipate pacha kama hawa
Hpo Ni coconut and coconut milk
Wanamuchanganya Sky adi anakosa maswali yakuwahuliza😂😂😂nimewapenda
Wako sawa kabisa
Oho poleni kwakumpoteza mama nikayamungu mungu Amrehem
Yani sky anavyo waangalia yani nikma huamni kumbe it's real
Nawapenda sana Hawa wadada jamani
Mnapendeza
Mko vizuri mnapendeza sana
Wao safi Sana mungu anipe nami
Nawapenda na ninawakubali sana mapacha wenzangu
Raha sana maisha kwakweli na upendo wao walionao
Sky amechanganyikiwa aki.....there life is funny🤣🤣🤣🤣
Nawapenda sana mungu awalinde
Munafurahisha sanaa
Mnapendeza mapacha
Nawapenda sana mko vizuri