Mimi ilikua inanisumbua sana nilipo achana na pacha wangu muda mwingi nilikua mpweke sikujua kama naweza kupata kampan nyingine kama my pacha bt nampenda sana my twin
Ni kweli kutengana na pacha wako ni kama hofu au ugonjwa, Mie na pacha wangu tulikuwa ni mwendo wa kupendana na hakuna kutengana lkn Mungu kampendeza sana RIP Joyce wangu
Jamaa ana bahati kapata "BUY ONE GET ONE FREE " siku unaipata ktk cm ukisha kuijua tarehe yako tu . sasa huyo Asha na Aisha majina yalikwisha hata wakaitwa jina 1 ?
@@azizahamisi7349 Aisha ni Asha km hamad Ahmad ni watu kubeza midomo na kupotoa majina . Asili yake ni jina la kiarab Aisha ndio linavyotamkwa . Sasa utasema fatma na Fatima ni tofauti? Ni spelling mistake .
🤣😂😭😭Diamond platnumz ka lia sanaa leoo! usha waii ku muona aki lia? Ebu jionee kilicho mlizaa simba 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻😭🙄🧐 ua-cam.com/video/XTUsVzD7xKY/v-deo.html
Mungu nijalie namie nizae mapacha jomon wawooo wacheshi wenyewe
Usijali Amina, mwani Mungu tyu atakutimizia ombirako
🤣🤣😂😂
Ciuwe nacho hicho kizazi kwanza maanake umeanza kutoa mimba toka1952 😁😁🤣🤣🤣 unajua pacha ni cikendo
Utapata mungu mwema
@@janethkihombo3073 kabisa
Mapacha waliozaliwa mfuko mmoja wanakuwa wana problem ki sociological, na kuchangia mume mmoja ni curse na sio vizuri, Mungu awaepushe kwa hiyo idea!!
Iyo sio sawa et kuolewa na mwanaume mmoja
Kenya 🇰🇪 mob love
Wee mtangazaji vp ukosawa sualigani hilo kama ni watt wako kuolewa mtu mmoja unakubali
Wao,nyc one
We io dini gan na umesoma wap...kina rebecca waliolewa na mtumwa wao dada na mdogo ake wanawezakuolewa na mume mmoja ila KWA wakat tofaut tofaut
Mimi ilikua inanisumbua sana nilipo achana na pacha wangu muda mwingi nilikua mpweke sikujua kama naweza kupata kampan nyingine kama my pacha bt nampenda sana my twin
Ni kweli kutengana na pacha wako ni kama hofu au ugonjwa,
Mie na pacha wangu tulikuwa ni mwendo wa kupendana na hakuna kutengana lkn Mungu kampendeza sana RIP Joyce wangu
Mmmh
Pole sans
@@bintykigan9285 asante
@@janemsamati6700 Pole kipenzi
Pole sana.
nice
Asha jina lingine, na Aisha jina lingina.
Daaah wanafanana hadi raha
Haya wa mfuko mmoja huwa wanapishana muda mchache saaaaana
Jamaa ana bahati kapata "BUY ONE GET ONE FREE " siku unaipata ktk cm ukisha kuijua tarehe yako tu .
sasa huyo Asha na Aisha majina yalikwisha hata wakaitwa jina 1 ?
Wenzetu kwa jina wamefanana
Mie ni Jane &Joyce nafurahi kuzaliwa twins
Kuna asha na .aisha mm najua ni mwanaisha ayako sawa
@@azizahamisi7349 Aisha ni Asha km hamad Ahmad ni watu kubeza midomo na kupotoa majina . Asili yake ni jina la kiarab Aisha ndio linavyotamkwa . Sasa utasema fatma na Fatima ni tofauti? Ni spelling mistake .
Wacha huyo mtangazaji hao nduguze Asha na Aisha awape mume 1 .
Sasa hawo wamefanana 😏😏😏😏
Kenya tuna wivu, hakuna vile vijana wawili wanaeza oa demu mmoja 🤔🤔hicho kitendo Cha Congo
Bongo raha
Ni sawa
Mirahaba
Nawapongeza saana hao mapacha hao kwa jambo la: kila mmoja wao na mwanamume wake. No sharing on a single man.
Wajilinde wasitoe tigo.
Wewe mtangazaji vipi, unarukosea sana mapacha, fanya hayo kwa wadogo zako Aisha na Asha uone kama itapendeza
Wew kwan pacha pia
@@credo7837 ndio ni pacha mimi Doto,
(Jane) & kulwa (Joyce )
@@janemsamati6700 oooh kumbe
Ameuliza swali na watu ujifunza kupitia itaview ajamanisha ifanyike niman ata wadogo zake wakiona watajua si poa
Achakutuchafulia jinaww mtangazaji ati juzi sijui kenya kua nauhakika ndouropokwe ww
Babu vp
Wanagubu mmh huyo mume anakazii
Not kenya Congo
Mbona hawa mapatcha wame vaya bote kama Dar kuna baridi hhhhhh putin a Tanzanie il a des stars lol
Hiyo midomo ilivyomikubwa ni kielelezo tosha kuwa mnafanana kweli
Mpaka sauti
😂😂😂🤣
Eti asha na aisha🤣🤣
Huyu ni chiz mtangazajiiiii
K mziwada yiupo wapi
🤣😂😭😭Diamond platnumz ka lia sanaa leoo! usha waii ku muona aki lia? Ebu jionee kilicho mlizaa simba
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻😭🙄🧐
ua-cam.com/video/XTUsVzD7xKY/v-deo.html
&
Mh hatar sana