Maaashallah jmn nina mapacha wangu wakiume na wakike, wakike anaitwa shariffa na wakiume ni shariffu, namkubwa ni wakiume shariffu mdogo shariffa nawapenda sana mapacha wangu wallah😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Wow tumesoma nao Filbert...ni wanajua kudance Sanaa. Sijui kwanini wamekiacha icho kipaji Chao. Coz walikuwa wanajulikana kwa kudance kwao. Wangefika Sana mbali endapo wangeendelea. Love you
Mash'a'ALLAH.. Safia 😍 Ahhhhh Shareefah 😍 Daah Kwakweli Nimechanganyikiwa 😣 Ila utofouti niliouona Shareefah yuko na sura flani ya hasira hivi kwa mbaalii.. Safia yuko na tabasam wakati wote.. I noticed that thing..
sijui kwanini kurwa huwa hawavutiwi na kusoma kabisa lakni ni wabunifu kwny kutafuta hela hata mm ni pacha wa kike tena kwetu tumezaliwa mara mbili wa kiume na wakike alafu kurwa wenzetu shule hawavutiwi kabisaa ila ni wabunifu kwenye kutafuta so sishangai hilo ni kawaidaa tu
TIBA BORA KWA MWANAMKE MKOMBOZI KWA MWANAMKE: HII ni Tiba bora iliyo tengenezwa kwa teknolojia bora ulimwenguni kwa ajiri ya afya ya mwanamke. Afya ya wanawake daima inaingiliana na maisha ya kisasa wanawake wanakutana na aina nyingi za matatizo kwa kipindi kizima cha maisha yao, kwa mfano mzunguko wa hedhi usio was kawaida,maumivu wakati wa hedhi, kutokwa na uchafu mweupe,harufu mbaya,miwasho, maumivu wakati wa kukojoa, kutoka damu wakati wa tendo la ndoa. Ikiwa hizi dalili hazikutibiwa vyema na kwa muda maalumu, itasababisha matatizo makubwa sana ya kiafia. Kila mwaka takribani visa 490,000 vya saratani ya shingo ya kizazi vinaripotiwa.. watu 240,000 hufa kutokana na saratani ya kizazi. Hii ndio chaguo sahihi kwa magonjwa ya uke bidhaa yenye kuleta ulinzi kwa afya ya mwanamke na kumweka salama kabisa.Tiba inamchanganyiko wa aina nyingi ya madini na Vitamin kama (amino acid, trace element, multiple vitamin) Inasaidia kuweka afya bora ya uke na kuondoa matatizo yatakayo pelekea kuzorota kwa afya yao kwa ujumla.Nibidhaa ambayo hukinga na kutibu afya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke na pia kukupa faraja ahueni. 0657960657 KAZI NA FAIDA ZA KUTUMIA TIBA HII: √ huweka maeneo ya siri safi na salama. √ hutibu na kukinga maradhi ya maeneo ya sili. √ inaondoa maji maji machafu harufu na miwasho. √ Husaidia kutibu na kukinga dhidi ya maradhi ya njia ya mkojo UTI sugu. √ Hutengeneza sisima / lubricant asilia. √ huzuia kusinyaa kwa misuli ya uke. √ hurudisha uke katika ujana na kumfanya mume afurahie tendon la ndoa. √ Ni nzuri kwa matibabu ya PID √ inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywele hasa sehemu za siri. √ husaidia kusafisha na kuzibua mirija ya uzazi. √ kuua bacteria wanao sababisha STDs. √ huondoa kuwaka moto ukeni na inasaidia kutuliza joto kali pamoja na kuzuia bacteria,fungus na matatizo mengineyo. Tumia Siku 7 hadi 10 kwa matibabu. Viambata; Rejuvenating Minerals Natural essential oil from plant Multiple Vitamins Amino Acid Vegetable anti-oxidant Kwa mahitaji ya bidhaa hii naomba tuwasiliane kwa namba hizi; WhatsApp, Email karibu sana kwa wateja wa Daresalaam tuta kusogezea ulipo, mikoa mingine utasafirishiwa kwa busi utachangia usafiri Piga au WhatsApp 0657960657
Tulikuwa pamoja nahao mapacha ila la nibasitu,,please ningeomba unitumie namba zao ao dada zangu ili nikija uko tz nipate chakula nao,,naongeya ukweli naomba namba, naitwa juma Omar nipo apa USA
Moja mweupe sana afu mbona kulwa jamani anaongea kama chelehani yani wakina kulwa bwana ukubwa kachukia yeye kuongea aneongea yeye hampo nafasi dogo aonge😂😂
Jamaniii mimi pia ni kurwa .Nawapenda sanaa. Nipo dar Bunju nitawatafuta .ninaudada sanaa pia ilo ni tatizooo.ila pia hata mie sipendi esabu we unaigaa
kwa zanzibar anaejua kupika biriani ni mdogo wng asmourmakullat yaani huyu biriani akikupikia utakula dishi lote yaani anajua mn upishi ni mkono wako na asmourmakullat mkono kaajaliwa mn wa2 wengine wengi wana mikono wanapika lkn vyakula havina ladha
Maaashallah jmn nina mapacha wangu wakiume na wakike, wakike anaitwa shariffa na wakiume ni shariffu, namkubwa ni wakiume shariffu mdogo shariffa nawapenda sana mapacha wangu wallah😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Mashallah .mungu anijaalie na mm .mapach wa mfuko .mmoja. amiin
Mashallah nimewapenda Sana Allah anijaalie nmm mapacha nawapenda Sanaa, 😍😍😂😂😂😂
Jaman eh Leo liwalo na liwe nimewahi mwanzo bas naomb japo hzo like zenu😲
Nimewapenda hao mapacha.intelligence na honesty.
Sijawai kula biriani ntakapokuja dar ntafika apo mikocheni insha allah I’m fro 🇺🇸
Ila kulwa ni muongeaji sana mashaallah
Safia kapole sharifa kidogo muongeaji sema ni warembo sana
Wow tumesoma nao Filbert...ni wanajua kudance Sanaa. Sijui kwanini wamekiacha icho kipaji Chao. Coz walikuwa wanajulikana kwa kudance kwao. Wangefika Sana mbali endapo wangeendelea. Love you
Mash'a'ALLAH.. Safia 😍
Ahhhhh
Shareefah 😍
Daah
Kwakweli Nimechanganyikiwa 😣
Ila utofouti niliouona
Shareefah yuko na sura flani ya hasira hivi kwa mbaalii..
Safia yuko na tabasam wakati wote..
I noticed that thing..
🤔🤔 mm hata sioni tofauti naona kama wanasmile the same
Warembo sanaaaaaaa 💕👌
They are so pretty
So lovely,...nimewapenda❣️
They are beautiful MashaAllah
MashAllah ❤️ Na mm tumezaliwa pacha mm ni doto Ila kulwa amefariki😭nafurah Sana nikiona mapacha Allah anijaalie nipate pacha na mm InshaaAllah
Mashallah wangu wamepishana na dakika kumi
Wanapendeza wakiwa pamoja Mashallah
Kulwa anajiongeza rangi
Nmempenda doto often smiling
Pengine uliwazaa dia
Masha Allah safia anaonekana mpoleee
Mashaallah wajina😍
Mungu awajalie kwenye biashara yenu
Wangoni kama wangoni😘😘😘
Kama wewe Tim songea gonga like hapa🤞🤞🤞
Yes!!yaaa!!!!yeesyyy...yessyy hahaaaa...hongereni....
Nimempenda she seems to be very intelligent.
Wazur sana,,,nimewapenda
Utamu wa Biriani ni Chuzi lake,, nimeinote hiyo💪💪
Ndio tena upate na nyama iliyokuwa haijalala aaaaaa
@@hawa4968 Ahaaa sawasawa kabisa
Wallah ni kweli...ukiunguza kitunguu umekwenda na maji ....
Ok nimewapata vizuri wandugu zangu nikupambana tu Mungu nimwema
Kumbe kulwa hapendi kutoka toka out, safi sana
Mashaallah niwacheshii mpaka raha
wanatofauti bana dotto ni muweusi kulwa mweup
Umeonaee watofautiana
Safia bana , 😍.
Mashaallah
Hiyo BIRIANI ndo imenileta hapa ,,,,,😂😂😂😂
Kwa kweli hata mimi ila kilichoongelewa cheusiiiiii
🤣🤣🤣🤣
sijui kwanini kurwa huwa hawavutiwi na kusoma kabisa lakni ni wabunifu kwny kutafuta hela hata mm ni pacha wa kike tena kwetu tumezaliwa mara mbili wa kiume na wakike alafu kurwa wenzetu shule hawavutiwi kabisaa ila ni wabunifu kwenye kutafuta so sishangai hilo ni kawaidaa tu
Co wote mm pia ni pacha lakini kulwa wangu kasoma mpaka chuka kamalza mm doi niliona madaftar mazto hahahahahahaa
Mungu nipatie namimi mapacha
Hahahaaaa kweli yanafanana bwn mungu wng nijaalie name siku moja nikiwa na mke nipate mapacha wa kufanana inshallah
Njoo nkugawie mapachawangu
Doto si muongeaji sana,kulwa mmh! cherehani
Tofauti nirangi mmoja anang'aa Sana mmoja kidogo amefifia
Mambo ya lotion hayoooo
Hongereni
V. Money njoo uwaone wadogo zako huku.😍😍😍
Umeonaaeeeeeeeeeeee 😘😘😘😘😘
Yaaaniiiiiii wanamfanania hadi kuongea
Siyo kila kitu wanafanana bhana kuna vingine ni siri huwezi kuvijua.
Hawafanani snaaaaaaaaa kivile Hawa Ni rahisi kuwatofautisha
Ndio mmoja huwa anasura pana mwngne nyembamba halaf ndefuuu
Wazuri mashallaah
They are cutes adi rahaaa
Doto mwezangu punga
Nmemtaman mmoja wacha nitafute hela bebez jiandaeni ntawatafuna mmoja baada ya mwingine
😂😂😂😂
Barkiwa
Dashuu Saalim asante
Wanafanana Vanessa Mdee saana👁👁
Sanq
Dotto huwaga kihelehele na anaongea sana kuliko kulwa..... Sasa hawa sjui walikosea kujua yupi wakwanza na wapili.....
Kabisa m nanona hawa waliwachanganya safia atakuwa ndo kulwa halafu sharifa ni doto
Saut km Vanessa mdey kiasi km zinafanana 💕💕😂👌
Yeah yeah
TIBA BORA KWA MWANAMKE
MKOMBOZI KWA MWANAMKE:
HII ni Tiba bora iliyo tengenezwa kwa teknolojia bora ulimwenguni kwa ajiri ya afya ya mwanamke.
Afya ya wanawake daima inaingiliana na maisha ya kisasa wanawake wanakutana na aina nyingi za matatizo kwa kipindi kizima cha maisha yao, kwa mfano mzunguko wa hedhi usio was kawaida,maumivu wakati wa hedhi, kutokwa na uchafu mweupe,harufu mbaya,miwasho, maumivu wakati wa kukojoa, kutoka damu wakati wa tendo la ndoa. Ikiwa hizi dalili hazikutibiwa vyema na kwa muda maalumu, itasababisha matatizo makubwa sana ya kiafia.
Kila mwaka takribani visa 490,000 vya saratani ya shingo ya kizazi vinaripotiwa.. watu 240,000 hufa kutokana na saratani ya kizazi.
Hii ndio chaguo sahihi kwa magonjwa ya uke bidhaa yenye kuleta ulinzi kwa afya ya mwanamke na kumweka salama kabisa.Tiba inamchanganyiko wa aina nyingi ya madini na Vitamin kama (amino acid, trace element, multiple vitamin) Inasaidia kuweka afya bora ya uke na kuondoa matatizo yatakayo pelekea kuzorota kwa afya yao kwa ujumla.Nibidhaa ambayo hukinga na kutibu afya ya mfumo wa uzazi wa mwanamke na pia kukupa faraja ahueni. 0657960657
KAZI NA FAIDA ZA KUTUMIA TIBA HII:
√ huweka maeneo ya siri safi na salama.
√ hutibu na kukinga maradhi ya maeneo ya sili.
√ inaondoa maji maji machafu harufu na miwasho.
√ Husaidia kutibu na kukinga dhidi ya maradhi ya njia ya mkojo UTI sugu.
√ Hutengeneza sisima / lubricant asilia.
√ huzuia kusinyaa kwa misuli ya uke.
√ hurudisha uke katika ujana na kumfanya mume afurahie tendon la ndoa.
√ Ni nzuri kwa matibabu ya PID
√ inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywele hasa sehemu za siri.
√ husaidia kusafisha na kuzibua mirija ya uzazi.
√ kuua bacteria wanao sababisha STDs.
√ huondoa kuwaka moto ukeni na inasaidia kutuliza joto kali pamoja na kuzuia bacteria,fungus na matatizo mengineyo.
Tumia Siku 7 hadi 10 kwa matibabu.
Viambata;
Rejuvenating Minerals
Natural essential oil from plant
Multiple Vitamins
Amino Acid
Vegetable anti-oxidant
Kwa mahitaji ya bidhaa hii naomba tuwasiliane kwa namba hizi; WhatsApp, Email karibu sana kwa wateja wa Daresalaam tuta kusogezea ulipo, mikoa mingine utasafirishiwa kwa busi utachangia usafiri Piga au WhatsApp 0657960657
Wamefanana mashallah ♥ ila sisi wala hatujafana
Kulwa anaongea sana kuliko mwenzio
Wanakipajikikubwasanaa hao utangazaji na muziki
Jaman walinisumbua Hawa warembo walivyokuwa wanavaa kulikuwa na kiugomvi kidogo nikawambia nyie midoli tulieni
Ahahhahhahaha
Madaftari mazito hahahahahahahahhaha
Naomba no yenu ya simu
What are their Instagram names
mungu awabark
mashaallah wanafanana Sana🥰🇧🇮
SnS = Sharifa na Safia 😂😂😂
😃😃
😅😅😅🤣🤣
😅😅
big thinking😂😂😂😂
Aki we chizi nimecheka kwa sauti😂😂
Wangoni andeeee
Tulikuwa pamoja nahao mapacha ila la nibasitu,,please ningeomba unitumie namba zao ao dada zangu ili nikija uko tz nipate chakula nao,,naongeya ukweli naomba namba, naitwa juma Omar nipo apa USA
Big up
Moja mweupe sana afu mbona kulwa jamani anaongea kama chelehani yani wakina kulwa bwana ukubwa kachukia yeye kuongea aneongea yeye hampo nafasi dogo aonge😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣ndo tulivyo makurwa
@@angelazizi4831 anaongea sana jmm 😂😂😂
Mapacha warembo
Tofauti ni sharifa mcheshi sana safia mtu wa ngum sana 😂😂😂
Zak Yahya nakuona
@@rahmahassan7510 😂😂😂😂tunavo kutana sasa
Warembooooo
Ai wangoni hapana
Kulwa anaongea sana
SNS maana yake sharifa na safia
Hongereni kwa kupika biriani, nitakuja kula
Kulwa ni mcharuko kinoma
Safia uso wake mpana kidogo alafu hajachangamka kama Sharifa. Yaani ukitulia unaona hio tofuati
😘🥰🇨🇭
Amina unakaa wapy Swiss mm niko Bern
@@thisisuchi St.gallen
@@aminanamoyo83 vizuri
@@thisisuchi 👍
Oooh 😍 kurwaaa mipia saba lunch time
Wanafuraisha sana
Jmn nimewapenda c pia mapacha tunafanana km nyie
Wakunyumba wenzang....
😁😁raha san
Kweli kulwa anaongea
Sasa mm kulwa wangu mpore halfu msomi haahhaa
Kina kulwa hawanaga mwili🙄😄😝
Jamaniii mimi pia ni kurwa .Nawapenda sanaa. Nipo dar Bunju nitawatafuta .ninaudada sanaa pia ilo ni tatizooo.ila pia hata mie sipendi esabu we unaigaa
I like sofia soo intelligent na mpole a na hekma
Ila sharifa ni mpole huyu doto mjuaji
Ndo inavyokuaga madoto mapepe
We mwenyew wamekuchanganya😂😂
Hadi hapo wameshakuchanganya tayari, sharifa ndo huyo muongeaji sana😁😁😁
Eti lile chuzi zito😂😂😂
Hawa huku wengne ua-cam.com/video/zPODzVb-Myg/v-deo.html
kwa zanzibar anaejua kupika biriani ni mdogo wng asmourmakullat yaani huyu biriani akikupikia utakula dishi lote yaani anajua mn upishi ni mkono wako na asmourmakullat mkono kaajaliwa mn wa2 wengine wengi wana mikono wanapika lkn vyakula havina ladha
Matangazo ya biashara
Itakuwa hawajuw kupika ila chakula ukikiunga kinaungika na ladha tamu
@@ayshakayeko2043 hahahaha
Karibini mtwara kuna mapacha wamefanana sana hadi mama yao hawezi kiwatofautisha wanaitwa asia na arafa
@@mariamkasembe8559 mmm mbn wap wngi t sema t kil mt anamsifia MTU wak jarb kutmbea utaon
Tofauti Doto ni muongeaji Sana kuliko kulwa!
Clever Mngao kulwa ndo anaongea sana ni huy mwenye bluu
@@aminamohamedy8466 Kweli!
Live n kulwa
Kulwa ndo muongeaji hapa