Sass hii nyimbo iwe umwfunga halafu usali sala ya usiku kuanzia saa nane halafu uisikilize hata kama unapitia aakati gani moyo unatulia unahisi uwepo wa Mungu ❤barikiwa sana mwimbaji
This song is so powerful, nimeurudia wimbo huu zaidi ya mara mia moja lakini kila wakati unakuwa na upako mpya. Hakika Mungu ni mkuu, na uwezo wake ni mkuu sana, haulinganishiki.
Hii nyimbo inanibariki Sana,,,nakumbuka tangu nipo shule ya msingi nilikua nasikiliza nikiikuta kwenye tv huwa siitoi ,walikua wanapenda kuuweka eatv na agape television miaka ile ya 2010 kurudi nyuma !!sikujua Kama nitaukuta UA-cam ,Bwana akukumbuke kwenye ufalme wake mtu wa Mungu
Wow !!! Nakumbuka it was 2006 in africa in Tanzania Dar album hii ilinibariki sana, I went mad looking for it until I got it, be blessed my brother Jackson. Greetings from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Nineamka Leo huu wimbo unaimba moyon mwangu. Jaman 😢 tuombee nnchi . Nimekua na kujus nyimbo zake ktk matamasha safina ukumbini. Toka 2006 ad Leo. Wow barikiwa Sana Jackson 😢🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo ulinibariki sana nikiwa kidato cha tano nilikuwa nikisumbuliwa na vidonda vya tumbo nilikuwa nikijifungia chumbani kwangu naweka huu wimbo na nililia sana kwamba Mungu aniponye na nashukuru Mungu aliniponya nikawa sawa leo 2022/28/11 nimerudi kuusikiliza tena
Nimebarikiwa sana na wimbo huu siku ya leo. Ninapitia kipindi kigumu kiasi, mashaka ni mengi, lakini Ninapona kwa Neno na Maombi. Barikiwa Sana Mtumishi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nakumbuka nilkua nimefunga likizo ya chuo ndo nimeokoka tu ile nguvu ya Mungu yakuombea Safari nilifanikiwa kupata usafir waliouweka huu wimbo ulinibariki sana
Hakika Mungu ww ni mkuu.kila cku lazima nisikilize huu wimbo,hakika kaka wimbo wako umenigusa Santa,barikiwe mtumish wa Mungu kwa uimbaj.Mungu akuinue viwango vya juu Zaid,na kila asikiae nyimbo zako maisha yake yakabadilike🙏🙏
I heard this song first when I was in form three ,I am not good at leading church choir but whenever I sing this song the congregation begins to pray . I have been blessed myself ,this was my turning point into Christian ministry and mystery. I have seen the wonders of God. Now am done with my degree and I worship and go into deeper intercessory prayers with this song sang repeatedly. My GOD WILL BLESS YOU BEYOND YOUR IMAGINATION.
Maisha yangu n ushuhuda kea watu wengi sana Niliimba huu wimbo wakat ni mwanafunz . Leo n mtu mzima Mungu amenibariki sana hakika naiona ukuu wake kweny maishayangu. Nimetoa machozi maana mahali tunapita Mungu asingekuw nasi hata hapa nisingeweza kusema neno la ushuhuda
Nimeanza kusikiza huu wimbo toka jackson alipofiwa na mke wake jamani ile picha ya yule mama hainiishi kichwani mwangu.Mungu azidi kukukupa nguvu kaka yangu
Huu wimbo tangu nimeujua kwangu haujawahi kunichosha, kunikinaisha wala kuuzoea... Kilasiku umekua mpya kwangu, hakika Mungu alikupa kibali cha kuutunga huu wimbo kwaajili yetu maana siku zote umekua wimbo wangu, mashairi yake ni yakipekee sana.. nashindwa hata kuelezea namna unavyo nifariji, nibariki, nisogeza katika uwepo wa Mungu.... Jackson Benty Mungu akutunze sana sana sana.
@@jacksonbentyKaka Jackson katika nyimbo zako zote ukitoa album mpya pse huu wimbo anza nao, unashusha uwepo wa MUNGU kwa kasi ya ajabu toka jana kila muda naimba naabudu mpaka nikiwa njiani watu wananishangaa ninaabudu natokwa machozi nauona uwepo wa nguvu za MUNGU zinashuka,, sijui nikuelezeje unielewe natamani uwe na tamasha tuimbe huu wimbo uone watu watakavyoponywa na kufunguliwa kwa nguvu itayoshuka hapo, stay blessed my brother
Huyu mtumishi Yuko Rohoni sana MUNGU aendelee kumuweka salama maana anatubaliki sana maana nikianza kuiskia hii nyimbo mwili mzima unaanza kusismka ubalikiwe sana mtumishi
Hii nyimbo nimeisiliza tangu form one mpaka leo nimemaliza chuo bado inanibariki.
Nikweli kabisa huu mwimbo unabariki sana
Hallelujah! Hakika wewe Mungu ni mkuu ! Uemweza wake ni wa maajabu sana.
Mungu ni wa ajabu
Hakika ni wimbo mzuri.
Sass hii nyimbo iwe umwfunga halafu usali sala ya usiku kuanzia saa nane halafu uisikilize hata kama unapitia aakati gani moyo unatulia unahisi uwepo wa Mungu ❤barikiwa sana mwimbaji
This song is so powerful, nimeurudia wimbo huu zaidi ya mara mia moja lakini kila wakati unakuwa na upako mpya. Hakika Mungu ni mkuu, na uwezo wake ni mkuu sana, haulinganishiki.
Wimbo umejawa na nguvu sana ..kuzungumza na Mungu kwa upole kama BABA kwetu
Sikufaa kuitwa mwanao isipokuwa Kwa neema yako tuu....
Wimbo huu unanguvu zaroho mtakatifu ndani yake ubarikiwe sana mtumish
Amen,utukufu kwa Yesu
Hii nyimbo inanibariki Sana,,,nakumbuka tangu nipo shule ya msingi nilikua nasikiliza nikiikuta kwenye tv huwa siitoi ,walikua wanapenda kuuweka eatv na agape television miaka ile ya 2010 kurudi nyuma !!sikujua Kama nitaukuta UA-cam ,Bwana akukumbuke kwenye ufalme wake mtu wa Mungu
Wow !!! Nakumbuka it was 2006 in africa in Tanzania Dar album hii ilinibariki sana, I went mad looking for it until I got it, be blessed my brother Jackson. Greetings from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Huu wimbo ulinifariji sana nikiwa chuo pale makumira Mungu akubariki sana mtumishi Jackson Benti.
Amen,utukufu kwa Bwana Yesu
Nineamka Leo huu wimbo unaimba moyon mwangu. Jaman 😢 tuombee nnchi . Nimekua na kujus nyimbo zake ktk matamasha safina ukumbini. Toka 2006 ad Leo. Wow barikiwa Sana Jackson 😢🙏🙏🙏🙏🙏
Wimbo kila siku umekuwa faraja kwenye maisha yangu baada ya kumpoteza mume😢
Polee jamani
Mungu akuponye
😢😢😢
In my condition of giving up I feel strengthened when i listen to this song.
Amen,Glory to Lord Jesus
Aisee hii nyimbo imekuwa ikinibariki kila muda na wakati ,kazi nzr sanaa mtumishi
❤❤❤ my lovely song barikiwa sana
Amen,asante sana
Asanteeeeee sanaaaaa mtumishi wa Mungu unanibariki sana asanteeeeee sanaaaaa MUNGU
Wimbo ulinibariki sana nikiwa kidato cha tano nilikuwa nikisumbuliwa na vidonda vya tumbo nilikuwa nikijifungia chumbani kwangu naweka huu wimbo na nililia sana kwamba Mungu aniponye na nashukuru Mungu aliniponya nikawa sawa leo 2022/28/11 nimerudi kuusikiliza tena
wimbo wangu penda wa mwaka 2022 namaliza nao na naingia nao 2023 🙏🙏 powerful song tangu miaka iyo mpaka sasa 🙏
Huu wimbo unanikumbusha my Aunt alikuwa anaumwa nikawa namwimbia kwa uchungu, bt Mungu akamchukua......R.I.P kipenzi changu
Yani wee baba...dooh I pray for double anointing to you..
Wimbo Unanibariki sana sana
Sifa utukufu nakurudishia Mungu wangu
Amen
MATENDO YAKO MAKUU YESU MIMI NAYAONA🥹🙌🙌UWEZA WAKO NI WAAJABU YESU😭🙌🙏🙏ASANTEE MUNGU 2024
Nimebarikiwa sana na wimbo huu siku ya leo. Ninapitia kipindi kigumu kiasi, mashaka ni mengi, lakini Ninapona kwa Neno na Maombi. Barikiwa Sana Mtumishi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hakika MUNGU nimkuu ubarikiwe mtumishi kwa wimbo wenye ujumbe mzur
Naupenda sana uu wimbo
Amen🙏
Baba yangu so amazing song ujumbe tosha kwa ukuu wa Mungu kwa maisha
Nakumbuka nilkua nimefunga likizo ya chuo ndo nimeokoka tu ile nguvu ya Mungu yakuombea Safari nilifanikiwa kupata usafir waliouweka huu wimbo ulinibariki sana
Amen,utukufu kwa Bwana Yesu
😭😭😭mungu usinipite huu wimbo una roho mtakatifu 😭🙏🏽2023 ndo nimeujua but really unabariki
Hii nyimbo imeniliza Leo! Mungu alichonifanyia❤️
Hallelujah hallelujah glory to God
😭😭 kwel bwana wewe ni mkuu 🙏🙏🙏
Ameni!,Ameni!. Wimbo unagusa Sana na una nguvu za MUNGU ndani yake. Bwana Tawala maisha yetu. Wewe ni Mkuu kupita vyote.
BWANA aikumbuke kazi yako mtumishi wa Mungu, naamini unajipika, utafanya Mambo makuu kwa maana yeye BWANA amewakanyaga watesi wetu.......
Mungu akupe maisha marefu uzd kulitangaza jina lake
Amen🙏
Hakika Mungu ww ni mkuu.kila cku lazima nisikilize huu wimbo,hakika kaka wimbo wako umenigusa Santa,barikiwe mtumish wa Mungu kwa uimbaj.Mungu akuinue viwango vya juu Zaid,na kila asikiae nyimbo zako maisha yake yakabadilike🙏🙏
😭😭😭😭 yaani wimbo huu toka utoto wangu naufwata. nakila ninapo ufwata huwa machozi yana ni mwagika🤔🤔🤔
I heard this song first when I was in form three ,I am not good at leading church choir but whenever I sing this song the congregation begins to pray . I have been blessed myself ,this was my turning point into Christian ministry and mystery. I have seen the wonders of God. Now am done with my degree and I worship and go into deeper intercessory prayers with this song sang repeatedly. My GOD WILL BLESS YOU BEYOND YOUR IMAGINATION.
Amen
Barikiwa sana mtumishi!BWANA aikumbuke kaz iyako
Maisha yangu n ushuhuda kea watu wengi sana Niliimba huu wimbo wakat ni mwanafunz . Leo n mtu mzima Mungu amenibariki sana hakika naiona ukuu wake kweny maishayangu. Nimetoa machozi maana mahali tunapita Mungu asingekuw nasi hata hapa nisingeweza kusema neno la ushuhuda
Kaka Andrew umezungumza point..acha kabisa Mungu aitwe Mungu
Tangu Niko sekondari,chuo huu wimbo naupenda mnoo hadi Leo nabarkiwa nao sana naupenda.Ubarikiwe mtunzi
Toching song kweli wewe Mungu ni Mkuu👏👏👏
nani amesikiliza huu wimbo 2022
Let me dedicate this song to my brother Nelson Shao,,ulikuwa ni wimbo wako pendwa na ulipenda sana kuuimba..even me i love this song
Wimbo wenye upako
Nimeanza kusikiza huu wimbo toka jackson alipofiwa na mke wake jamani ile picha ya yule mama hainiishi kichwani mwangu.Mungu azidi kukukupa nguvu kaka yangu
Tunayaweza mambo yote ktk yeye atutiaye nguvu
kwa kweli ww ni mkuu receive all the honour and glory Jehovah jireh
Still Blessed at 2024 June
Waooooo mwana wa MUNGU
Huu wimbo tangu nimeujua kwangu haujawahi kunichosha, kunikinaisha wala kuuzoea... Kilasiku umekua mpya kwangu, hakika Mungu alikupa kibali cha kuutunga huu wimbo kwaajili yetu maana siku zote umekua wimbo wangu, mashairi yake ni yakipekee sana.. nashindwa hata kuelezea namna unavyo nifariji, nibariki, nisogeza katika uwepo wa Mungu.... Jackson Benty Mungu akutunze sana sana sana.
Amen,utukufu kwa Bwana Yesu
Nabarikiwa sana nahuu wimbo 🙋🙋🙏🙏
Matendo yako ni makuu bwana juu ya maisha yetu 🙏🙏🙏🙏
huu Unanibariki, mtunzi ubarikiwe
Amen,asante sana
Oh to every time I listen this song, I feel the Holly Spirit feeling the room and i can't stop pray and crying. God bless you Jackson a man of God.
Amen,Glory to our Might God
Very true😢😢😢
@@jacksonbentyKaka Jackson katika nyimbo zako zote ukitoa album mpya pse huu wimbo anza nao, unashusha uwepo wa MUNGU kwa kasi ya ajabu toka jana kila muda naimba naabudu mpaka nikiwa njiani watu wananishangaa ninaabudu natokwa machozi nauona uwepo wa nguvu za MUNGU zinashuka,, sijui nikuelezeje unielewe natamani uwe na tamasha tuimbe huu wimbo uone watu watakavyoponywa na kufunguliwa kwa nguvu itayoshuka hapo, stay blessed my brother
Naunga mkono hoja.@@johnsonmushi4537
Huyu mtumishi Yuko Rohoni sana MUNGU aendelee kumuweka salama maana anatubaliki sana maana nikianza kuiskia hii nyimbo mwili mzima unaanza kusismka ubalikiwe sana mtumishi
good song forGod and god blees Jackson betul utukufu apewe mungu
Amaizing song the air of the holy Spirit is inside
Powerful song in my life,God bless you my brother
Amen
Ameen❤
Nabarikiwa Sana na nyimbo zako since I was a child.
❤kwa kweli Bwana wewe ni Mkuu
This song still blesses on 2023
Wimbo unanibariki sana,Mungu ni Mkuu sana uweza wake ni wa Ajabu,Amen
Barikiwa mtumishi wa Mungu Jackson
Kaka napata faraja kubwa Sana nisikiapo ujumbe huu
Nikwel bwana wew ni mkuu uweza wako ni waajabu❤❤❤
😭😭😭🙏Mungu akubarki sana kaka na azidi kukutumia zaidi
Amen,🙏
Huu wimbo unanibariki kila iitwapo leo, hautakaa uchuje kwangu, Asante mtumishi kwa kumtukuza Mungu kiasi hiki. Hakika Mungu ni MKUU.
Uongezeke sana na Mungu.Neema juu ya neema.
Leo imeimbwa tena kwenye semina ya Mwalimu Mwakasege. It's a very powerful song ubarikiwe
Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana
Amen
Ni kweli bwana wewe ni mkuu🙏😔 ❤ matendo yako mimi nimeyaona🙏🙏🙏
Huu wimbo unatubariki Kila iitwapo Leo. HAUCHUJI
Amen,amen
Hakika Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu toka jana amesema sana kupitia hu wimbo
A very powerful song from.Nimeupenda huu wimbo kwa Miaka...
Much love From Kenya
Amen,thanks
Kaka ubarikiwe sana sana tena sana zaidi ya sana.
Nyimbo yangu Bora,bado naipenda mpaka leo..Ahsante sana Jackson kwa hi zawadi
Amen,utukufu kwa Mungu atendaye kazi ndani ya watu wake
Wimbo ulinifariji sana kwenye msiba wa mjomba wangu Leonard Manimba @ Ngosha morogoro mjini mwaka 2022
Amina sana na uwepo huu ambao umejaa utukufu.
Ni wimbo mzuri hasa unapokuwa katika kumtafuta Mungu na kutafakari ukuu wa Mungu
Amen🙏
Napataga faraja sana kila nikiimba vipande vya huu wimbo nakupenda sana
Jackson please kumbuka pia ku upload wimbo wako KIJITO CHA UTAKASO
Nimebalikiwa na huu wimbo nami nakuomba ee mungu uniponye unijalie mtoto 🙏🙏🙏
Mungu Ni mwaminifu atakukumbuka
Nakumbuka ilipigwa kwenye gari kipindi natoroka kwetu hata nisijue pa kwenda hii nyimbo ilinibariki sana wakati ule nikiwa kwenye basi
Be blessed Jackson,may Almighty God grant you a better life and good health in order to became a best Singer in the world.🥰🙏🙏
Utukufu kwa MUNGU ktk jina la Yesu...wimbo mzuri sana tangu 2009 nadhani nilikuwa nausikia kila wakati unanibariki mpaka leo hii unanibariki sanaa
This song is 🔥🔥🔥🔥🙏
Asante sana wimbo unanibariki sana hakika matendo makuu nayaona Mungu akuinue na kukuongeza ktk kumtumikia
thank you for this song really, be blessed!
Amen
Nimeujua wimbo huu nikiwa darasa la 3 mpaka hivi sasa niko chuo kikuu, bado unanibariki 2009-2022. 🤩
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Mungu wangu ahsante sana kwa ajili ya yote
Ubarikiwe Sana mtumish wa Mungu
Amen
Hakika Mungu ametenda mengi kwangu hayaelezeki😭
Uweza wako ni wa ajabu,,,kwa kwel bwana wewe mkuu💪💪💪bonge la wimbo
Mungu akubariki
Amen
Nakupenda saaana hizi ndo nyimbo
Utukufu kwa Yesu
Bent ubarikiwe sana kwa huduma nzuri Bwana Yesu aWe nawe
Amen,asante sana
Huu wimbo tngu nip form5&6 2007-2008 unanibarikig mno
Amen,Mungu atukuzwe
Barikiwa sana mtumish na Mungu azid kukutumia kwa viwango vya juuu ameen🙏🙏🥳🥳😊
Wimbo mzuri Sana,wimbo unaonibariki mno.
Amen
Nilianz kuvisikia since nikiwa mtoto mpka now Ni nyimbo ambay inabariki mmno
Ni kweli Bwana wewe ni Mkuu... Glory to God
Amen
Kila siku huu wimbo unanitengeneza ,muimbaji alitulia na MUNGU
Amen
Kaka Jackson huu wimbo uliimba kaka...ni kati ya nyimbo zinazonibariki maishani mwangu @Jackson Benty
Amen,by God's grace
Jmn napataje huu wimbo wapendwa nashindwa kudownload🥲