Jackson Benty - Baba Yangu ( Official Music Video )

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 чер 2021

КОМЕНТАРІ • 320

  • @saraheayo4014
    @saraheayo4014 3 роки тому +69

    Hii nyimbo nimeisiliza tangu form one mpaka leo nimemaliza chuo bado inanibariki.

  • @muhsinirasuli2473
    @muhsinirasuli2473 Рік тому +6

    Sass hii nyimbo iwe umwfunga halafu usali sala ya usiku kuanzia saa nane halafu uisikilize hata kama unapitia aakati gani moyo unatulia unahisi uwepo wa Mungu ❤barikiwa sana mwimbaji

  • @brayanmaina6223
    @brayanmaina6223 Рік тому +17

    This song is so powerful, nimeurudia wimbo huu zaidi ya mara mia moja lakini kila wakati unakuwa na upako mpya. Hakika Mungu ni mkuu, na uwezo wake ni mkuu sana, haulinganishiki.

  • @estheryunusu7663
    @estheryunusu7663 2 роки тому +19

    Wimbo umejawa na nguvu sana ..kuzungumza na Mungu kwa upole kama BABA kwetu

  • @FrolentinaKajula
    @FrolentinaKajula 2 місяці тому +3

    Sikufaa kuitwa mwanao isipokuwa Kwa neema yako tuu....

  • @BarakaMakoye-rv8fd
    @BarakaMakoye-rv8fd 3 місяці тому +4

    Wimbo huu unanguvu zaroho mtakatifu ndani yake ubarikiwe sana mtumish

  • @glorycharles615
    @glorycharles615 2 роки тому +4

    Hii nyimbo inanibariki Sana,,,nakumbuka tangu nipo shule ya msingi nilikua nasikiliza nikiikuta kwenye tv huwa siitoi ,walikua wanapenda kuuweka eatv na agape television miaka ile ya 2010 kurudi nyuma !!sikujua Kama nitaukuta UA-cam ,Bwana akukumbuke kwenye ufalme wake mtu wa Mungu

  • @kashindijohn5145
    @kashindijohn5145 Рік тому +11

    Wow !!! Nakumbuka it was 2006 in africa in Tanzania Dar album hii ilinibariki sana, I went mad looking for it until I got it, be blessed my brother Jackson. Greetings from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @cleversalbaba-em4jf
    @cleversalbaba-em4jf 5 місяців тому +4

    Huu wimbo ulinifariji sana nikiwa chuo pale makumira Mungu akubariki sana mtumishi Jackson Benti.

  • @lightnesskweka4774
    @lightnesskweka4774 Рік тому +3

    Nineamka Leo huu wimbo unaimba moyon mwangu. Jaman 😢 tuombee nnchi . Nimekua na kujus nyimbo zake ktk matamasha safina ukumbini. Toka 2006 ad Leo. Wow barikiwa Sana Jackson 😢🙏🙏🙏🙏🙏

  • @peaceakyoo1530
    @peaceakyoo1530 4 місяці тому +5

    Wimbo kila siku umekuwa faraja kwenye maisha yangu baada ya kumpoteza mume😢

  • @WillyBanzi
    @WillyBanzi 19 днів тому +1

    In my condition of giving up I feel strengthened when i listen to this song.

  • @Sangolee1
    @Sangolee1 2 роки тому +8

    Aisee hii nyimbo imekuwa ikinibariki kila muda na wakati ,kazi nzr sanaa mtumishi

  • @RoseMadeha
    @RoseMadeha Місяць тому +1

    ❤❤❤ my lovely song barikiwa sana

  • @malkioripantaleo5293
    @malkioripantaleo5293 Рік тому +2

    Asanteeeeee sanaaaaa mtumishi wa Mungu unanibariki sana asanteeeeee sanaaaaa MUNGU

  • @hope30807
    @hope30807 Рік тому +2

    Wimbo ulinibariki sana nikiwa kidato cha tano nilikuwa nikisumbuliwa na vidonda vya tumbo nilikuwa nikijifungia chumbani kwangu naweka huu wimbo na nililia sana kwamba Mungu aniponye na nashukuru Mungu aliniponya nikawa sawa leo 2022/28/11 nimerudi kuusikiliza tena

  • @dianahchristiani8272
    @dianahchristiani8272 Рік тому +4

    wimbo wangu penda wa mwaka 2022 namaliza nao na naingia nao 2023 🙏🙏 powerful song tangu miaka iyo mpaka sasa 🙏

  • @angelmepesha8376
    @angelmepesha8376 2 роки тому +4

    Huu wimbo unanikumbusha my Aunt alikuwa anaumwa nikawa namwimbia kwa uchungu, bt Mungu akamchukua......R.I.P kipenzi changu

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 2 роки тому +5

    Yani wee baba...dooh I pray for double anointing to you..

  • @doreenmushi8731
    @doreenmushi8731 2 місяці тому +2

    Wimbo Unanibariki sana sana
    Sifa utukufu nakurudishia Mungu wangu

  • @philomenamushi5606
    @philomenamushi5606 5 місяців тому +1

    MATENDO YAKO MAKUU YESU MIMI NAYAONA🥹🙌🙌UWEZA WAKO NI WAAJABU YESU😭🙌🙏🙏ASANTEE MUNGU 2024

  • @salomemjema8242
    @salomemjema8242 Рік тому +3

    Nimebarikiwa sana na wimbo huu siku ya leo. Ninapitia kipindi kigumu kiasi, mashaka ni mengi, lakini Ninapona kwa Neno na Maombi. Barikiwa Sana Mtumishi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @isayamwalukosya9712
    @isayamwalukosya9712 2 роки тому +6

    Hakika MUNGU nimkuu ubarikiwe mtumishi kwa wimbo wenye ujumbe mzur

  • @MwaijaNdenga-bx9gi
    @MwaijaNdenga-bx9gi 8 днів тому +1

    Naupenda sana uu wimbo

  • @gracemukome9862
    @gracemukome9862 2 роки тому +4

    Baba yangu so amazing song ujumbe tosha kwa ukuu wa Mungu kwa maisha

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l 6 місяців тому

    Nakumbuka nilkua nimefunga likizo ya chuo ndo nimeokoka tu ile nguvu ya Mungu yakuombea Safari nilifanikiwa kupata usafir waliouweka huu wimbo ulinibariki sana

  • @irenekidada3327
    @irenekidada3327 Рік тому +2

    😭😭😭mungu usinipite huu wimbo una roho mtakatifu 😭🙏🏽2023 ndo nimeujua but really unabariki

  • @fatmasmohamedi5479
    @fatmasmohamedi5479 Рік тому +6

    Hii nyimbo imeniliza Leo! Mungu alichonifanyia❤️

  • @aileenlema2282
    @aileenlema2282 Рік тому +3

    😭😭 kwel bwana wewe ni mkuu 🙏🙏🙏

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 Рік тому +2

    Ameni!,Ameni!. Wimbo unagusa Sana na una nguvu za MUNGU ndani yake. Bwana Tawala maisha yetu. Wewe ni Mkuu kupita vyote.

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 3 роки тому +3

    BWANA aikumbuke kazi yako mtumishi wa Mungu, naamini unajipika, utafanya Mambo makuu kwa maana yeye BWANA amewakanyaga watesi wetu.......

  • @zamdasalumu9740
    @zamdasalumu9740 Рік тому +1

    Mungu akupe maisha marefu uzd kulitangaza jina lake

  • @lightnessnyanda1980
    @lightnessnyanda1980 2 роки тому +2

    Hakika Mungu ww ni mkuu.kila cku lazima nisikilize huu wimbo,hakika kaka wimbo wako umenigusa Santa,barikiwe mtumish wa Mungu kwa uimbaj.Mungu akuinue viwango vya juu Zaid,na kila asikiae nyimbo zako maisha yake yakabadilike🙏🙏

  • @user-bg3zz9cd4l
    @user-bg3zz9cd4l 2 місяці тому

    😭😭😭😭 yaani wimbo huu toka utoto wangu naufwata. nakila ninapo ufwata huwa machozi yana ni mwagika🤔🤔🤔

  • @estherkache3965
    @estherkache3965 2 роки тому +15

    I heard this song first when I was in form three ,I am not good at leading church choir but whenever I sing this song the congregation begins to pray . I have been blessed myself ,this was my turning point into Christian ministry and mystery. I have seen the wonders of God. Now am done with my degree and I worship and go into deeper intercessory prayers with this song sang repeatedly. My GOD WILL BLESS YOU BEYOND YOUR IMAGINATION.

  • @moniquezachariambilinyi1232
    @moniquezachariambilinyi1232 3 роки тому +5

    Barikiwa sana mtumishi!BWANA aikumbuke kaz iyako

  • @andrewmziray2233
    @andrewmziray2233 2 роки тому +2

    Maisha yangu n ushuhuda kea watu wengi sana Niliimba huu wimbo wakat ni mwanafunz . Leo n mtu mzima Mungu amenibariki sana hakika naiona ukuu wake kweny maishayangu. Nimetoa machozi maana mahali tunapita Mungu asingekuw nasi hata hapa nisingeweza kusema neno la ushuhuda

    • @invocavitmbise5296
      @invocavitmbise5296 2 роки тому +1

      Kaka Andrew umezungumza point..acha kabisa Mungu aitwe Mungu

  • @user-ry2si1sf6b
    @user-ry2si1sf6b 10 місяців тому +1

    Tangu Niko sekondari,chuo huu wimbo naupenda mnoo hadi Leo nabarkiwa nao sana naupenda.Ubarikiwe mtunzi

  • @nurukanju894
    @nurukanju894 2 роки тому +9

    Toching song kweli wewe Mungu ni Mkuu👏👏👏

  • @tumainiShao-yt3tm
    @tumainiShao-yt3tm Рік тому +1

    Let me dedicate this song to my brother Nelson Shao,,ulikuwa ni wimbo wako pendwa na ulipenda sana kuuimba..even me i love this song

  • @user-oi7ox3rp2h
    @user-oi7ox3rp2h 4 місяці тому +3

    Wimbo wenye upako

  • @agnesmushy1307
    @agnesmushy1307 Місяць тому +1

    Nimeanza kusikiza huu wimbo toka jackson alipofiwa na mke wake jamani ile picha ya yule mama hainiishi kichwani mwangu.Mungu azidi kukukupa nguvu kaka yangu

    • @jacksonbenty
      @jacksonbenty  Місяць тому +1

      Tunayaweza mambo yote ktk yeye atutiaye nguvu

  • @johnntongai98
    @johnntongai98 Рік тому +2

    kwa kweli ww ni mkuu receive all the honour and glory Jehovah jireh

  • @victorfrank2629
    @victorfrank2629 Місяць тому +1

    Still Blessed at 2024 June

  • @ireneabrahamu4436
    @ireneabrahamu4436 2 роки тому +5

    Waooooo mwana wa MUNGU

  • @HappysiaKisima-jd1vj
    @HappysiaKisima-jd1vj 21 день тому +1

    Huu wimbo tangu nimeujua kwangu haujawahi kunichosha, kunikinaisha wala kuuzoea... Kilasiku umekua mpya kwangu, hakika Mungu alikupa kibali cha kuutunga huu wimbo kwaajili yetu maana siku zote umekua wimbo wangu, mashairi yake ni yakipekee sana.. nashindwa hata kuelezea namna unavyo nifariji, nibariki, nisogeza katika uwepo wa Mungu.... Jackson Benty Mungu akutunze sana sana sana.

  • @grolykinde596
    @grolykinde596 Рік тому +3

    Nabarikiwa sana nahuu wimbo 🙋🙋🙏🙏

  • @elijehovaurassa4662
    @elijehovaurassa4662 Рік тому +3

    Matendo yako ni makuu bwana juu ya maisha yetu 🙏🙏🙏🙏

  • @marylucas5475
    @marylucas5475 2 місяці тому +1

    huu Unanibariki, mtunzi ubarikiwe

  • @EmmanuelMutakyahwa
    @EmmanuelMutakyahwa 10 місяців тому +5

    Oh to every time I listen this song, I feel the Holly Spirit feeling the room and i can't stop pray and crying. God bless you Jackson a man of God.

    • @jacksonbenty
      @jacksonbenty  10 місяців тому +2

      Amen,Glory to our Might God

    • @johnsonmushi4537
      @johnsonmushi4537 8 місяців тому

      Very true😢😢😢

    • @johnsonmushi4537
      @johnsonmushi4537 8 місяців тому +2

      ​@@jacksonbentyKaka Jackson katika nyimbo zako zote ukitoa album mpya pse huu wimbo anza nao, unashusha uwepo wa MUNGU kwa kasi ya ajabu toka jana kila muda naimba naabudu mpaka nikiwa njiani watu wananishangaa ninaabudu natokwa machozi nauona uwepo wa nguvu za MUNGU zinashuka,, sijui nikuelezeje unielewe natamani uwe na tamasha tuimbe huu wimbo uone watu watakavyoponywa na kufunguliwa kwa nguvu itayoshuka hapo, stay blessed my brother

    • @pandoemmanuel2051
      @pandoemmanuel2051 6 місяців тому

      Naunga mkono hoja.@@johnsonmushi4537

  • @devidNketa
    @devidNketa 2 місяці тому

    Huyu mtumishi Yuko Rohoni sana MUNGU aendelee kumuweka salama maana anatubaliki sana maana nikianza kuiskia hii nyimbo mwili mzima unaanza kusismka ubalikiwe sana mtumishi

  • @bishoperickgodfrey4290
    @bishoperickgodfrey4290 Рік тому +1

    good song forGod and god blees Jackson betul utukufu apewe mungu

  • @maryleonard9549
    @maryleonard9549 Рік тому +9

    Amaizing song the air of the holy Spirit is inside

  • @daniellaurent9225
    @daniellaurent9225 5 місяців тому +2

    Powerful song in my life,God bless you my brother

  • @gracemukome9862
    @gracemukome9862 2 роки тому +2

    Nabarikiwa Sana na nyimbo zako since I was a child.

  • @atuletyejohn9448
    @atuletyejohn9448 8 місяців тому

    ❤kwa kweli Bwana wewe ni Mkuu

  • @neemakessy2896
    @neemakessy2896 Рік тому +4

    This song still blesses on 2023

  • @neemamhina5064
    @neemamhina5064 Рік тому +5

    Wimbo unanibariki sana,Mungu ni Mkuu sana uweza wake ni wa Ajabu,Amen
    Barikiwa mtumishi wa Mungu Jackson

  • @AntonyMngoma
    @AntonyMngoma 2 місяці тому

    Kaka napata faraja kubwa Sana nisikiapo ujumbe huu

  • @angeltarimo4613
    @angeltarimo4613 11 місяців тому

    Nikwel bwana wew ni mkuu uweza wako ni waajabu❤❤❤

  • @gracekaniala8788
    @gracekaniala8788 11 місяців тому +1

    😭😭😭🙏Mungu akubarki sana kaka na azidi kukutumia zaidi

  • @joaquinaroderickmamuya950
    @joaquinaroderickmamuya950 2 місяці тому

    Huu wimbo unanibariki kila iitwapo leo, hautakaa uchuje kwangu, Asante mtumishi kwa kumtukuza Mungu kiasi hiki. Hakika Mungu ni MKUU.

  • @mwl.francisfrank.chanel2737
    @mwl.francisfrank.chanel2737 2 роки тому +2

    Uongezeke sana na Mungu.Neema juu ya neema.

  • @misswilliam9796
    @misswilliam9796 Рік тому +2

    Leo imeimbwa tena kwenye semina ya Mwalimu Mwakasege. It's a very powerful song ubarikiwe

  • @upendosanga3328
    @upendosanga3328 Рік тому +1

    Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana

  • @carolinaadolf6955
    @carolinaadolf6955 Рік тому +2

    Ni kweli bwana wewe ni mkuu🙏😔 ❤ matendo yako mimi nimeyaona🙏🙏🙏

  • @joaquinaroderickmamuya950
    @joaquinaroderickmamuya950 Рік тому +1

    Huu wimbo unatubariki Kila iitwapo Leo. HAUCHUJI

  • @mamasmartcollection7063
    @mamasmartcollection7063 2 роки тому +1

    Hakika Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu toka jana amesema sana kupitia hu wimbo

  • @judahliz6371
    @judahliz6371 3 місяці тому +1

    A very powerful song from.Nimeupenda huu wimbo kwa Miaka...
    Much love From Kenya

  • @boyochu1308
    @boyochu1308 Рік тому +1

    Kaka ubarikiwe sana sana tena sana zaidi ya sana.

  • @innocentjonh1732
    @innocentjonh1732 9 місяців тому +1

    Nyimbo yangu Bora,bado naipenda mpaka leo..Ahsante sana Jackson kwa hi zawadi

    • @jacksonbenty
      @jacksonbenty  8 місяців тому

      Amen,utukufu kwa Mungu atendaye kazi ndani ya watu wake

  • @JumanneKihunja
    @JumanneKihunja 3 місяці тому

    Wimbo ulinifariji sana kwenye msiba wa mjomba wangu Leonard Manimba @ Ngosha morogoro mjini mwaka 2022

  • @user-te7qe6ij6p
    @user-te7qe6ij6p 3 місяці тому +1

    Amina sana na uwepo huu ambao umejaa utukufu.

  • @eliasshukuru6316
    @eliasshukuru6316 3 місяці тому +1

    Ni wimbo mzuri hasa unapokuwa katika kumtafuta Mungu na kutafakari ukuu wa Mungu

  • @user-mn1tx5gb3w
    @user-mn1tx5gb3w 2 місяці тому

    Napataga faraja sana kila nikiimba vipande vya huu wimbo nakupenda sana

  • @kashindijohn5145
    @kashindijohn5145 Рік тому +2

    Jackson please kumbuka pia ku upload wimbo wako KIJITO CHA UTAKASO

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 2 роки тому +2

    Nimebalikiwa na huu wimbo nami nakuomba ee mungu uniponye unijalie mtoto 🙏🙏🙏

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Рік тому +1

    Nakumbuka ilipigwa kwenye gari kipindi natoroka kwetu hata nisijue pa kwenda hii nyimbo ilinibariki sana wakati ule nikiwa kwenye basi

  • @helminamsumule2497
    @helminamsumule2497 Рік тому +4

    Be blessed Jackson,may Almighty God grant you a better life and good health in order to became a best Singer in the world.🥰🙏🙏

  • @Johnjohnson-is6ob
    @Johnjohnson-is6ob Рік тому +1

    Utukufu kwa MUNGU ktk jina la Yesu...wimbo mzuri sana tangu 2009 nadhani nilikuwa nausikia kila wakati unanibariki mpaka leo hii unanibariki sanaa

  • @paulinamoti207
    @paulinamoti207 2 роки тому +9

    This song is 🔥🔥🔥🔥🙏

  • @ceciliachacha5494
    @ceciliachacha5494 3 роки тому +1

    Asante sana wimbo unanibariki sana hakika matendo makuu nayaona Mungu akuinue na kukuongeza ktk kumtumikia

  • @periskahindi6758
    @periskahindi6758 4 місяці тому +1

    thank you for this song really, be blessed!

  • @Itsyourgirl_glory
    @Itsyourgirl_glory 2 роки тому +1

    Nimeujua wimbo huu nikiwa darasa la 3 mpaka hivi sasa niko chuo kikuu, bado unanibariki 2009-2022. 🤩

  • @yunasiulisajaissah8998
    @yunasiulisajaissah8998 2 роки тому +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.

  • @jacqueveoliver918
    @jacqueveoliver918 4 місяці тому +1

    Mungu wangu ahsante sana kwa ajili ya yote

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l 6 місяців тому

    Ubarikiwe Sana mtumish wa Mungu

  • @catherinemark1339
    @catherinemark1339 2 роки тому +3

    Hakika Mungu ametenda mengi kwangu hayaelezeki😭

  • @mlawigalactico3855
    @mlawigalactico3855 2 роки тому +1

    Uweza wako ni wa ajabu,,,kwa kwel bwana wewe mkuu💪💪💪bonge la wimbo

  • @eliasshukuru6316
    @eliasshukuru6316 3 місяці тому +1

    Mungu akubariki

  • @RosemaryFausi-wt3ju
    @RosemaryFausi-wt3ju 11 місяців тому

    Nakupenda saaana hizi ndo nyimbo

  • @MeshackBenard
    @MeshackBenard Місяць тому +1

    Bent ubarikiwe sana kwa huduma nzuri Bwana Yesu aWe nawe

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 Рік тому +1

    Huu wimbo tngu nip form5&6 2007-2008 unanibarikig mno

  • @user-ml2rn7ls3m
    @user-ml2rn7ls3m 8 місяців тому

    Barikiwa sana mtumish na Mungu azid kukutumia kwa viwango vya juuu ameen🙏🙏🥳🥳😊

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 Місяць тому +1

    Wimbo mzuri Sana,wimbo unaonibariki mno.

  • @lovenessmjaka9754
    @lovenessmjaka9754 Рік тому

    Nilianz kuvisikia since nikiwa mtoto mpka now Ni nyimbo ambay inabariki mmno

  • @freddyphilly697
    @freddyphilly697 9 місяців тому +1

    Ni kweli Bwana wewe ni Mkuu... Glory to God

  • @user-vz2xt5do4y
    @user-vz2xt5do4y 5 місяців тому +1

    Kila siku huu wimbo unanitengeneza ,muimbaji alitulia na MUNGU

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge Рік тому +1

    Kaka Jackson huu wimbo uliimba kaka...ni kati ya nyimbo zinazonibariki maishani mwangu @Jackson Benty

  • @elifridayunde8269
    @elifridayunde8269 Рік тому

    Jmn napataje huu wimbo wapendwa nashindwa kudownload🥲