Familia ya Nyerere Yatoa Wito kwa Steve: Kuacha kutumia Jina la Baba wa Taifa.
Вставка
- Опубліковано 12 жов 2024
- Madaraka Nyerere, mtoto wa sita wa Mwalimu, amesisitiza umuhimu wa wasanii kutumia majina yao halisi ili kuepusha mkanganyiko kuhusu familia yao. Anatoa mfano wa Steve Mengele, maarufu kama Steve Nyerere, akieleza kwamba matumizi ya jina hilo yanaweza kuleta kuchanganya kati ya wasanii na wanachama wa familia halisi.
Aidha, familia hiyo inaelezea kutoridhishwa na tabia ya viongozi na watu wengine wanaotembelea Butiama kwa ajili ya kumuenzi Baba wa Taifa, lakini kisha kukosekana mawasiliano baada ya kutimiza malengo yao. Madaraka anasisitiza umuhimu wa kudumisha mawasiliano na familia hiyo ili kuonyesha heshima na kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa dhati.
Yaani ameongea point nzuri sana! Waandishi wetu bado hawajielewi, huo ndio ukweli.
Sawa sawa, chawa hafai.
Family ataki uchawa ndomaana awataki ajiite jina lao Kama mumemsikiliza vizuri umesikia kusifia sifia selikali ,
Ni kweli kabisa. Maana inaonyesha naye analitumia kama jina la ukoo wake. Ni wengi inatukera. Afadhali aambiwe aliache.
Hilo ni kweli steve atumie jina lake
Huyu ni Steve Nyerere siyo Steve Julie's Kambarage Nyerere
Uko sahihi kabisa
Kweli mzeeee kasema ukweli mtu amezidisha uchawa mpk anatumia jina la baba wa TAIFA 😂😂😂😂 kweli baba Mzee haikuw chawa yeye 🤝🤝
Safi kabisa Huyu stv anaharibu sifa ya mwl.
Ni kweli atumie jina Lake badala ya kujibrand kwa jina la watu wengine.
Mtoto wa Nyerere ana haki kuzuia kwa mtu yeyote mwenye nia mbaya na chochote kinachoohusu familia yao .Mfano huyo Steve,siyo kijana muungwana,siyo mfano Hata wa kuigwa na wenzie ( Chawa) Mdudu mchafu.
😂😂😂😂😂😂
Kwani we stivu chawa huna wazazi wako
Safi Sana nimekuelewa point kabisa 🙏🙏🙏
Chawa mkuu na chawa mashuhuri wamekataliwa na familia ya nyerere kutumia jina la baba yao.
Roho mbayaa
Mukiambiwa ukweli munasema roho mbaya
@@shafee9128 nyerere wapo tele jia si lolote lishakufa huko jina silake tena wsitake sifa kwani nani bwanaa
Kama yako
Hpn kijana anapaswa kupongezwa na sio kuvunjwa moyo kuitwa jina la steve nyerere hakuwez kuongeza chochote zaidi ya jambo jema mwache kijana anufaike na kipaji chake isije ikaonekana km ni roho mbaya au chuki binafs
ana vigezoo msenge msenge baba wataifaa akua msenge msengee wewe boy chawa 2 ajiitee juna kubwaa kama ilooo wewe
Wenye jina Lao wamekataa
@@RomanMwinyi hizo ni choyo na roho mbaya yeye ameitwa Nyerere kwa kuigiza sauti ya Nyerere kuna shida gn kuna watu Wanaitw God yanga kwaajili ya ushabiki wengine wakina simba nk tatizo sisi wa Tanzania tunaroho chafu tukiona mwenzetu anafanikiwa kwann sijui
@@Zuwenamachela kuigiza na sio ndio baba yake kwelii co ajiiite jina la baba yake alafu atafasilii nikama naigiza kama nyelele nyelele ana mtoto mugizaji balii WA toto wanyelele wasomi Wana jitambua sio walopokaji lopokaji ovyooo
@@ZAMANI-2n kipaji kipi, taja muvi moja ya uyo steve, anakipaji cha kulamba matako tu
Hana sifa za Mwl J.K Nyerere, aache kutumia jina la hayati baba wa taifa.
Kwani jina hilo lina hatimiliki?
Kwani huyo nyerere jina alinunua?
Sizani kama alinunua ni chawa flani tu
Anaitwa STIVEN CHAWA😮😮😮
Shida co kutumia shida ni kutumia jina kipumbavu saiz amekua chawa sana.anaharibu jina la baba wa Taifa
@@ShamsiKasoma-fn4cl kweli kabisa asee
Yaani ni chawa mkubwa . Ni mnafiki na chawa mkubwa.
Huyu Stivin inatakiwa ashtakiwe kwa kujineemesha na kilipa fidia kwanza kwanza anatumia vibaya jina la familia ya watu chawa mkubwa wa ccm
Mwakani nikipata mtoto wa kiume nampa jina Nyerere 🎉🎉🎉😂😂😂
Hilo halina shida lkn je? Huyu stivin babake siyo Nyerere Tena hiyo familia inaroho nzuri ingekua familia nyingine wangemshtaki Ili alipe fidia Kwa kujinufaisha na jina la familia ya watu
Kwani lazima atumie Ubin wa watu? Wenyewe hawataki mlevi na mropokaji una wachafulia haya naajiite steve lbilisi kama atatokea mtu wa kumuuliza.
Haaa haaaa asee 😂😂😂😂😂 Sina mbavu
Mzee yupo sawa kwnn usaliti jina lako utumie jina la mtu
Safi sana jamani aliekaribu na Steve Nyerere. Feki atufikishie ujumbe huo kuwa familia hawataki ajipendekeze kwao Kwan Hana wazazi akatumia jina lao ?
😂😂😂😂😂 nakweli asee
Saawa kabisaa jina la mzee kubwaa
Ila anatumia jina vibaya aache. Hlo ni jina la muasisi wa hili taifa . Afanye sanaa na sio kutumia jina la Nyerere kama ni baba ake au ametoka huo ukoo.
Acheni kijana aendelee kutumia hili jina mtaonekana kama mna chuki mzuie leo wakati kaanza kulitumia miaka kibao sio vzr
Mwalimu nyerere hakuwahi kuwa chawa
Duh kumbe siyo ndugu ni chawa tu.jamani acheni kutumia majina ya watu bila idhini ya familia
😂😂😂😂😂 umenichekesha asee huyu stivn ni chawa tu wa ccm Wala hanaundugu Wala ukoo wanyerere kwanza alitakiwa ashtakiwe Kwa kujineemesha na jina la watu wengine pumbavu kabisa
Mi ninavyoona hili ni jina kama yalivyo majina mengine kuna watu wanaitwa
MANYERERE
NA KUNA WATU WANAITWA HILO JINA LA NYERERE
JE? HAYO MAJINA WAYAONDOE
MADARAKA AMECHEMKA
HATA ENZI ZA UHAI WA NYERERE MBONA HAKUGOMBA KUTUMIKA JINA HILO
AU MFANO JINA LAKE LA MADARAKA
NI LAKE PEKE YAKEEEE
AU MTU AKITUMIA JINA LA MADARAKA AMELENGWA YEYE
Unaongea mambo mengi na hakuna hoja yeyote .
Jina tlimpa sisi wananchi kama nyerere mwenyewe hakumkataza wewe nani haswa tmeshamzoe ivyo na litakywa ivyo 😂😂😂 pole kwa maumivu
Huyu chawa aliibuka wakati Nyerere ameshafariki
Hajakatazwa, alichoshauri Madaraka ni kuwa kijana Steve jina lake liandikwe Steve Nyerere ajulikanaye pia kama Steve Nyerere (i.e A.K.A)
Itakuwa siyo rahisi kama usemavyo Madaraka ukweli ni kwamba Watanzania wanamjua kabisa kama huyo siyo mtoto wa Nyerere hilo ni jina la usanii tu kama aluvyoigiza jina la huyo baba yenu kwa kuiga hiyo sauti yake muache tu usimkatishe ndoto zake za uigizaji mpendeni tu familia
Anandoto Gani chawa tu
No comment 😂😂😂😂😂😂😂
Kwanza tabia yake ni mbaya,
Kwanza chawa wa Wala rushwa hafai kulitumia
POLENI FAMILIA KWA HILO
Steve waachie jina lao lenye laana 😂 tumia jina la babako labda mama atakuona
Jina halina tatzo Steve atumie jina Lake.Hana sababu ya kutumia jina la baba wa taifa.Kwanza unapochukuwa jina la mtu hata personality yako basi ifanane na ya nyerere unakuta mtu hata nyerere hafanani nae hata elimu hawafanani.Atumie jina la babaake sawa sawa madaraka
@@MrA24G Basi hata msimamo
Sioni hoja hapo kwani amejiita mwenyewe,watu wanajiita majina tofauti mpaka yameua majina yao ya asili kila kitu kinasababu,kwani hili la Nyerere liko peke yake
Mzee Madaraka ukumbukwe baba yako alikuwa baba wa Taifa la Tanzania, kila mtu anahaki ya kutumia jina la baba wa Taifa kwa nia njema
Sasa je huyu Stivin anatumia hiyo jina vizuri? Maana amekua chawa tu wakutetea majizi
Steve Mengele upo ?
Stive Nyerere atiwe moyo, kuna shida gani? Au umaarufu wa Stiven Nyerere unamtesa Madaraka?
Kweli mzee madaraka yaani mpaka kero utafikiri mtumwa aibu kweli
Haina shida jina ni jina tu wakina Nyerere wapo wengi sana mtaani, umaarufu wake labda ndo tatizo na haizuii kulitumia. Mtu akiamua hata kuitwa Kisiki au kinginecho ni sawa, mmh watu watie juhudi si kutegemea majina ya wazee wenu kuwainua bana 😂😂.
Watu anaitwa majina ya mitume na hakuna mkanganyiko kina Ibrahim baba wa walimwengu
@@Ajijji12 Ni kweli kabisa, hao mitume tunasoma maisha yao. Mwl Nyerere ni wa hivi kitambo watu wanajua aiba yake ilikuwaje. Ndio maana hata hao wanaweza kuiga sauti yake. Kimsingi unavyotaka aiba yako kuifinyanga iwe kama ya Mtu kama Mwl Nyerere inahitaji uangalifu wa hali ya juu sana.mfano wa huyu kijana zinapoibuka hoja za kitaifa, ujitokeza kutoa hoja na mawazo yake kwa Aiba ya ki Mwl Nyerere. Basi tatizo huanzia hapo. Fikra na matinki za maneno na maono yake huyu Kijana. Hayafanyi Mwl Nyerere halisi kuishi katika nyoyo Zetu. Mwl Nyerere alikuwa mtu wa hoja sio vioja vya Steve. Ni sawa aache atumie ya kwake majina.
Kama ni baba wa taifa munavosema so kila mtanzania ana haki ya kujiita ivo c ndio baba wetu wa taifa na vile vile stive Nyerere tulimuita sisi hajajiita yeye kwanza .,au family na serekali acheneni kumuita baba wa taifa
@@djfunk255 point...
M nadhan Steve hakujiita ila watu walimuita
Kwani jina ni ukabila au unataka ukatambike😢😢😢😂
Nilidhani ukiwa mtu mzima unakuwa na busara kumbe hapana,mzee hilo jina la Steve Nyerere hakujiita yeye,amepewa na watu kama ilivyo desturi yetu wa Tanzania kupeana majina kutokana na haiba yako,pili hakuna asiejua kuwa Steve ana baba yake na sio Mwalim Nyerere,lakin ni kama umekusudia kumuaibisha na kuonyesha kama hilo jina la Nyerere ni very special.Mimi nilidhani Steve ametumia jina hilo kutapeli watu kumbe analitumia kwenye sanaa yake ambayo ndio inampa rizki,Busara itumike,MUOMBE RADHI NA UWAOMBE RADHI WATANZANIA.
Wenyewe awataki sasa atumie jina la mamake
Mzee kuna jambo analisema bila kwenda direct.
Atumie jina lake, mana wakati mwingine anaongea vitu vya kuudhi watu , atumie lakeeee.
@@pendongowi3508 kwanza mimi nilifikiri ni mtoto wa nyerere kikweli kumbe kenge kama mimi kumbe alikuwa chawa wa family ya nyerere
Mmmh
Uchawa
Wazeee wa TZ mikun😂😂😂😂😂😂😂duu
Huyu naye. Jina imekuwa nongwa? ANA KAUMIMI NDANI YAKE
roho kubwa
Jina halina mwenyewe
AJIITE IDDI AMINI
Ni jina la kazi hilo. Asikatishwe tamaa. Baba wa Taifa nyerere alifanya mengi mazuri lazima aenziwe. Steve nyerere ni kitukuu kinachotukumbusha Sauti za nyerere. Ingawa wewe ni mtoto lakini bado hutukumbushi hata sauti ya baba yako ilikuwaje.
Michael Jackson alikufa lakini wapo wanaoitwa marina ya michael Jackson kutokana na kazi wanazozifanya zakumwenzi Michael Jackson.
Mzee uwe na point. Hii uliyosema ni point less
MIMI NAONA HUYU ANAONA WIVU TUU NI ROHO MBAYA TUU
Kwahiyo unataka aenziwe na huyo chawa?
Kama,hi yo,ndivyo,,stiv,,tumia,jina,,la,baba,yako,,wameona,mmefanana,saut,hamja,fanana,tabia,,maana,nyerere,,kwel,hajaiba,pesa,za,lambi,lambi
Hata mimi naunga mkono jina la Nyerere liheshimiwa hasa ukizingatia mwalimu alivyotutumikia wa Tz na wa Afrika kwa ujumla.