MKE wa PROF JAY AELEZA HALI ya MUMEWE, KUHUSU KUPELEKWA HOSPITALI NJE YA NCHI, UKWELI NI HUU...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • MKE wa PROF JAY AELEZA HALI ya MUMEWE, KUHUSU KUPELEKWA HOSPITALI NJE YA NCHI, UKWELI NI HUU...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 102

  • @johnsonmsuya1495
    @johnsonmsuya1495 3 роки тому +22

    Meamin mungu humpa mtu mwenye busara mke mwenye busara pia

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 3 роки тому +11

    Daah Polen sn Familia nzima ya Professor J ....Mm kwa Imani yangu ya Kikristo naendelea kumuombea 🙏🙏🙏🙏🙏 naamini atapona...hakika Mwenyezi Mungu atamponya

  • @kalaitapetro8293
    @kalaitapetro8293 2 роки тому +2

    Mungu amsaidie sana ndugu yangu Professor J

  • @umimikungun6389
    @umimikungun6389 3 роки тому +10

    Allah Atazid Kumughaf Inshaallah Kuugua Sio Kufa Ni Ibada Kutoka Kwa Allah👏

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 3 роки тому +13

    Km anaendelea vizur Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏

  • @liliankemuma9475
    @liliankemuma9475 3 роки тому +12

    Quick recovery healing is his portion in Jesus name, Amen love you Tanzanians following you from Kenya.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @dianamkita6571
      @dianamkita6571 3 роки тому +1

      Ahsante Lilian kwa Upendo toka Kenya.

  • @mrtallentsgp2623
    @mrtallentsgp2623 3 роки тому +12

    Mungu aliye juu hakika atamuashaa tenaa

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 3 роки тому +10

    Nampenda uyu baba. Mungu. Amsimamie apone mapema InshaAllah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 3 роки тому +15

    Mungu awasamehe wote ,na nyinyi familia sameheni wote walioamua kuingilia maisha binafsi ya mtu,Tunamwombea profesa J uponyaji ,mkono wa bwana usimpungukie

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 роки тому +1

      Ukitaka kuwajuwa wema wako na wabaya wako upate shida/matatizo.

  • @AdilAli-qw2ml
    @AdilAli-qw2ml 2 роки тому

    Professor Jay inshaallah allah akujalie shifa ya haraka ameen🇰🇪🇰🇪🇰🇪 from kenya

  • @fatiyaally7510
    @fatiyaally7510 3 роки тому +1

    Mung amfanyie wepes kiumbe wake profesa aamin

  • @jumakidunda78
    @jumakidunda78 2 роки тому

    Pole sn mwamba, Mwenyez Mungu akupe wepesi upone haraka

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 3 роки тому +7

    Quick recovery ❤️‍🩹 may God heal you professor. J God loves you is not yet your time 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 loves you

  • @ajickyeitonian5418
    @ajickyeitonian5418 3 роки тому +4

    Let devine healing be ur portion in the mighty name of our Lord,we love you and pray for speedy recovery here in Kenya

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 роки тому +5

    utapona brother mungu yupo

  • @tobosha3236
    @tobosha3236 3 роки тому +1

    Quick recovery 🙏 legendary 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nawakubali sana wa 🇹🇿 ukifikia wakati wa shida hawajali km ww n tajiri ama maskini wanashirikiana kukusaidia

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 3 роки тому +2

    Mungu ni mwema atakuwa sawa kwa rehema zake

  • @adventheraldministries
    @adventheraldministries 3 роки тому +4

    God is every sing, you will be okay soon. unaukumu ni wewe mwenyezi mungu naomba unilinde, it just like among of your song ves ft diamond,

  • @mussaomary5068
    @mussaomary5068 3 роки тому +2

    Pole sana hon Jay Quick recovery

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 3 роки тому

    Nawapenda sana Watanzania wakijivunia Kiswahili.Imeleta Umoja wa dhati Tanzania.Heko Rais Baba Wa Taifa Nyerere.

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 роки тому +1

    Inshallah mwenyezimungu atakufanyia wepesi atapona inshallah 🙏

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 роки тому +2

    Inshaallah kwa uwezo wa Mungu Mola Muumba atapata nafuu na wale wanaosambaza taarifa za uwongo Mungu Mola Muumba anawaona na anawasikia hivyo watambuwe Ugonjwa/maradhi hayana mmoja.
    Dunia ni mapito na starehe za muda.

  • @allanramsy2182
    @allanramsy2182 2 роки тому

    Namshukuru Jalali kukulindia afya yako hadi wakati huu wa ugonjwa wako, wakati ule tulisheherekea kwa pamoja na pia wakati huu mgumu, nipo nawe mjomba, nakuombea kwa Jalali tabibu zaidi yao matabibu akuponye! James Spanner Mapwani#kenya

  • @dekamotionpictures2132
    @dekamotionpictures2132 3 роки тому +1

    Quick recovery legend ❤️❤️

  • @johnkyara2016
    @johnkyara2016 3 роки тому +3

    Mungu ponye prof j tunapenda Mungu. Mponye

    • @magrethmsuya5542
      @magrethmsuya5542 2 роки тому

      mungu wa mbinguni anaweza mm naomba mungu akuponye kaka yangu

  • @minaeli5989
    @minaeli5989 3 роки тому

    Mungu akufanyie wepesi kamanda

  • @rahmaqasim5143
    @rahmaqasim5143 2 роки тому

    Mungu ampe afueni ya haraka inshallah

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 роки тому +4

    Get well soon ❤️🙏

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 3 роки тому +1

    Speed recovery 🙏 💪 💯

  • @erastogwakisamwakilembe57
    @erastogwakisamwakilembe57 3 роки тому +1

    Pole Sana bro

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 роки тому

    Poleni sana Familia kwa kuuguza

  • @samuellukumay5337
    @samuellukumay5337 3 роки тому +4

    Jamani msijali atapona 2 kwajina la yesu kikubwa tumuamini 2 mungu kuwa anawesa

  • @judytabby2777
    @judytabby2777 3 роки тому +9

    Anauguwa nini professor J wetu wakenya twampenda

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 3 роки тому

    Mungu ampe wepesi apone

  • @umimikungun6389
    @umimikungun6389 3 роки тому +7

    Wa Kwanza Leo Naombeni Like Zenu💪

  • @ericniyonkuru6841
    @ericniyonkuru6841 3 роки тому +3

    Professa ni mtu wa watu Mungu yuko nae na naamini atapona nabaki kumuombea.

  • @shanawilliam1050
    @shanawilliam1050 3 роки тому +8

    Faida ya kuwa na mke anayejielewa,sasa wewe pambana kuoa makalio badala ya kichwa

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 3 роки тому +2

    Najiuliza huyo ni Pr Jay maarufu wale wenzangu na mm inakuaje.? GET WELL SOON PROFESA

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 роки тому

    Mungu amponeshe haraka.Amen.Huyu bro kijana mdogo lakini anaongea kihekima sana.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому +2

    Hello.Tuseme na tuambiwe ukweli.Kidney failure haiwezi kupona Kwa dialysis peke yake.inabidi apewe Figo jipya Vinginevyo NI feki na michango itaishia kwa urithi wa familia Kidney failure can never be treated by prayers only A new kidney is needed not moneys only Tuchangie Figo

  • @laislukumay4038
    @laislukumay4038 2 роки тому

    Mungu ata mponya ila watu wengine wazushi sana kwanini

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 3 роки тому +6

    mtangazaji basi uwe unauliza maswali mhusika awe anaelezea hatua kwa hatua kiundani mfano hapo aliposema yule mzee alimwmbia mama yake vipi suala la kafara basi ungemuuliza je aliwasikiaje wakiongea hayo mamboa au ilikuaje hadi akawa anawasikia hayo mazungumzo yao

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 роки тому +2

    Pro Jey tunakuombea upone na ukiludi home kaendelee na dawa kunywa usiache kutumia.

  • @franciscojorgejorge6166
    @franciscojorgejorge6166 2 роки тому

    pole

  • @zainabubakari4156
    @zainabubakari4156 3 роки тому

    Miii Namuombea Duwa Apone🤲.Lakn Mambo Ya Kuchangia Kuweni Na Huruma Pesa Za Ustafu Ubunge Kazipeleka Wapi?Afu Utakuta Mlalahoi Nayy Anachangia.

  • @sioniamohammed6522
    @sioniamohammed6522 2 роки тому

    Mm Mkenya nlishindwa Tz imefikia wapi kumtangaza mtu kinyume na anavyougua

  • @alantonio855
    @alantonio855 3 роки тому +4

    Kwa nini inchi zetu za Afrika hakuna uwazi wakujua ni pesa ngapi inaendelea kuchangwa

    • @thebosslady9001
      @thebosslady9001 3 роки тому

      Hata me nashangaa mbona hawasemi bei gan wanataka au kunatakiwa vitu hivi na hivi then km anaendelea vizur michango yanini

    • @virendavictoria5174
      @virendavictoria5174 3 роки тому

      sababu hawajataka michango ila wameona wasiwazuie wenye mapenzi mema kuchangia. so changia kwa moyo unataka takwimu subiri Malisa atawapa feedback

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому +1

    Nimi ninajua Sana a kidney donation is more important.Moneys are for his family and not for him any more

  • @GWAMAKA1987
    @GWAMAKA1987 3 роки тому

    🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @franciscojorgejorge6166
    @franciscojorgejorge6166 2 роки тому

    🇲🇿 pole

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 3 роки тому +2

    Kama India apelekwe usione so siku zimesonga xaxa

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 3 роки тому +1

    Kwani anaumwa nini hasa tatizo ni corona au?

  • @haurahawari5828
    @haurahawari5828 2 роки тому

    Ivi huyu mke wa profesa j. Ndo yule wa tamthilia ya huba anaitwa samia anamtaka fabrizo au ni macho yangu tuu..!!???

  • @johnsonmsuya1495
    @johnsonmsuya1495 3 роки тому +1

    Get well soon regend

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому

    Professor inahitaji Figo jipya

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 3 роки тому +1

    No mchango ameupiga mwingi sn nn tatizo tz yetu

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 3 роки тому +4

    Kama nyie ni watu wa kuchangiwa,vipi mlalahoi ambaye hajawahi kuishi maisha kama yenu?

    • @amanikatembo8197
      @amanikatembo8197 2 роки тому

      Kwani uliwackia wakiomba msaada??.....c umeckia apo Kuna watu wamewafata wanataka kutoa wenyewe

  • @mohamedimwijuma1882
    @mohamedimwijuma1882 3 роки тому +5

    Kama mm minimziki wake tuu hayo ya vyama mnajua wenyewe I'm hip-hop for life get well soon the m vp profesa j aka niga j

  • @akim_tz
    @akim_tz 3 роки тому

    Prof.J anaumwa nini??

  • @GWAMAKA1987
    @GWAMAKA1987 3 роки тому

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹💝💝💝💝💝

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 3 роки тому +1

    Afueni ya haraka J,tunakupenda na tunakutakia afya yako irudi

  • @yustambuya7453
    @yustambuya7453 3 роки тому

    Mtangazaji mbona unaficha uso?

  • @shosemanjira9015
    @shosemanjira9015 3 роки тому

    Apone jmn

  • @hotnews2637
    @hotnews2637 3 роки тому +2

    Anaumwa nn jmn

  • @nasorosaid3227
    @nasorosaid3227 3 роки тому

    Kwani anaumwa Nini mbona hamliulizii hilo

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 3 роки тому

    We mwehu unanguvu ata kujieleza mume yuko hoi

  • @naomicharles6002
    @naomicharles6002 3 роки тому

    Anahakiri saana huyu mm

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 3 роки тому

    mke mwenye akili kama huyu ni tunu

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 3 роки тому

    Hawa wasanii kumbe huwa hawana hela....

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 3 роки тому

    Ugua pole sn the Heavyweight Mc

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @bongonews6542
    @bongonews6542 2 роки тому

    Hv huyu mwanamke kabila gan

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 роки тому +1

    utaniambiya nini

  • @AdilAli-qw2ml
    @AdilAli-qw2ml 2 роки тому

    WA tanzania muna Umbea Sana kwani amukuwi akili kila leo kwa midia Umbea huyu hivi yule vile duh wacheni Umbea kila moja angalie mambo yake na maisha ya endele mbele

  • @gabrielymatembo8770
    @gabrielymatembo8770 3 роки тому

    Mbona amsemi nini anaumwa

  • @mackmtata8277
    @mackmtata8277 3 роки тому +2

    Point ya msingi ya sisi mashabiki tupo tayali kwa kumchagia PR J. Ila itakua vizur mukituambia kama mashabik anacho sumbuliwa msani wetu

    • @fettysankaabdullah5353
      @fettysankaabdullah5353 3 роки тому +5

      Kwann muambiwe hyo ni siri ya mgonjwa kwann mtangaziwe kisa kusaidia. Kaaa na buku yako bro. Serikal ishaamua kumtibu Sasa ww paka uchangie ujue maradhi

    • @wardadanda6322
      @wardadanda6322 3 роки тому

      @@fettysankaabdullah5353 nashangaa ukiamua kutoa wew toa ujue swala la anaumwa nin ni la mgonjwa na Dr maradhi ya mtu wew ya nin

    • @kingkuntajr6283
      @kingkuntajr6283 3 роки тому

      ua-cam.com/video/9rK399duqKM/v-deo.html 😊

    • @nuraansuhail2578
      @nuraansuhail2578 3 роки тому +1

      Ugonjwa wa MTU ni confidential kati ya mgonjwa na Daktar au watu baadhi atakao taka wajue ugonjwa wake..Wewe Mack Ukiumwa GONO au NGOMA ukasikia mtu kwa mfano anasema nahis utakua confortable

    • @mackmtata8277
      @mackmtata8277 3 роки тому

      Ugonjwa sio siri na ndio maana kuna msemo unasema mficha maradhi kifo umuumbua. Sawaa anaumwa je? wengekaa kimyaaa bila kutangaza munavyozan PR J. Angeshindwa kujiudunia. Pale MTU anapo tangaza ugonjwa razima MTU akujaji anaumwa nini? Sio kosa kujua ugongwa anaoumwa. Kama wao waliweza kututangazia kama anaumwa kwa nini na sisi tusiulize anachoumwa.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 роки тому

    We really need a new kidney not only moneys in Money s gonna go to the family not for him

  • @BishopSamuelBundala
    @BishopSamuelBundala 3 роки тому

    Bible inasemaje khusu Njiti
    ua-cam.com/video/SGDsxRGXeW8/v-deo.html

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 роки тому +1

    kamili gado

  • @charitysambagi4463
    @charitysambagi4463 3 роки тому

    Nyinyi wajingq kweli hamna msaada mnakazi kuwahojiii tyu

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 3 роки тому

    Mungu akufanyie wepesi