Nchi zilizoendelea ambako treni za umeme zinapita hakuna hao ngedere. Wanyama wakikatiza, mfumo wa umeme umewekwa kwa namna ambayo utajikata Ili kutoleta madhara. Hivyo siyo tatizo la TRC hilo.
@@robertphilip385Wana kesi ya kuhujumu ya kuingia kutembea kwenye reli bila kibali (trespassing) hukumu yake kifungo miaka miwili jela kwa mujibu wa kanuni za sheria na kosa la kuhujumu uchumi (economic sabotage) kifungo miaka watapona kweli?
Shida moja tanzania uchawi mwingi ..na hurka ya mchawi apendi maendeleo...hakunaga kitu kizuri tanzania cha serikali kinacho dumu sijui kwanin....Mungu komboa tanzania
Ndiyo maana tunadumaa miakiliwa kuamini kila tukio baya.ni matokeo ya uchawi! Huwezi kujipa nafasi ya kitafiti chanzo cha tatizo unatumia shortcut ya uchawi kuwa kisababishi. Ni lini tutanipa uweo wa kutafakari mambo kimantiki? Hapa nilipo umeme umekarika mara mbili ndani ya dakika kumi, nao nu uchawi?
Kwa sisi Mafundi Tunakubali...changamoto kama hizi ni kawaida katika kazi...na tufahamu ndo kwanza kwa Treni kama hii kutumika Tanzania...Yatakaa sawa Tutakuwa wazoefu kadri siku zinavyokwenda...pole Wasafiri kwa changamoto hii.
Acha ujinga wewe, we need expert sisi tunataka mainjinia hapo hatutaki watu mlio ajiliwa kimichongo ili mje mjifunzie hapo KAZI uzoefu kachukue chuo ulkija hapo fanya kazi
@@JonasMathias-s6m, treni kama hizo ziko uchina , India , Uturuki nk nk nk je wanapata matatizo kama hayo?????! Au ndiyo kwetu tuuuuuiii !!!!!!!!’ KUNA VITU HAVIHITAJU UFUNDI KUVIJUA
Si kama kigamboni pantoni za Serikali mbovu za baharesa nzima ten oersent ssnhata Railway watapewa ten persent yabaki mabasi. Mwendokasi ataoewa muwekezaji akitoa ten persent yatabaki dala dala na mwendokasi. Barabara za mwendokasi Imegengwa bure reli zimejwngwa bure tren Itakuwa gest ya mjusi kafiri kenge.
Tanzania 🇹🇿 hakuna kukubali washamba wachache wasimamishe maendeleo. Kweli aliyetuloga waafrika keshakufa. Ni kuvunja laana uchawi, nguvu za giza husuda na kadhalika kwa damu ya yesu kristo. Waislamu ndugu pia ombeni sana kwa kumpitia Mtume Mohamed salalah wasalamu.
Matajir washaanza kulalamika mabas yao yanaenda matupu hayana abiria wakutosha kwaio wameshaanza vitimbi na hujuma watu warud kwenye mabas hakuna bundi wala ngere hapo nimpango kazi wa matajir flani hv 😅😅
Yaani! Na hata usafi tunaouona ni wa muda tu. Daladala zilianza hivi 1977, kulikuwa hakuna kusimama, mwendo kasi ilikuwa ya kwanza ya kistaarabu Afrika. Leo hii, daladala watu wanarundikwa, mwendo kasi watu kama samaki wabichi, kuambukizana magojwa, wanawake wajawazito wanabanwa. Watu wanagombania nani awe wa kwanza kupata kiti. Wazee na wagonjwa ni watu wa shida. Waziri wa usafirishaji bado hajiuzuru! Waziri wa akina mama na watoto bado upo? Zebra haziheshimiki tena, boda ndiyo usiseme kugonga watoto. Hivi sisi ni watu au fotokopi? Mbona Waganda na Kenya wamebadilika? Kwa nini kusiwe na vituo vya mafuta punguzo ili watu wawe kwenye level seats? Treni hii kwa ustarabu duni tulio nao tutegemee wajinga kuchafua soon!
Sio issue ya nchi bhana....Kama unadhani unaweza ku avoid all problems unajidanganya........ Labda uwe kaburini.... Unaweza kuwa serious na ukakumbwa dhahama vilevile.....
Hawakusema itaendelea hadi ifike kituoni, itaenda kama kilomita kadhaa tuu kisha umeme ukikawia itasimama. Jamani tuwe tunafatilia mambo vizuri. Lakini hata hivyo, hivi ni vitu vilivyotengenezwa na mwanadam, haviwezi kukosa itilafu. Ni jambo la kawaida tuu hilo tuwe waungwana kutosha.
Mtaomba radhi sanaaaa na bado mm ili niwapongeze baada ya mwaka C A G awakague aseme hakuna hasara ndo nitawapongeza sasa hv ngoja tuwaangalie tu niwaulize ile tren ya abiria isiyo ya umeme walipanda kina mond na pole pole iko wapiiiiii
Kwa hyo Mna mpango au mkakati gan wa utatuzi wa kudumu wa hili tatizo??? Au mtakua mnasubiri hao ngedere na Bundi wakisababisha short au wakinasa mkawatoe na kuwasha tena?????
Jaman ngedere usiku kweli hii hapana Trc acheni kufanya hujuma tunafaham wenye mabasi hawataicha train yetu bila ufumbufu lazima watashirikiana na wakati kuihujum train yetu.
Hapa inaonekana kuna upiga wa fedha za mafuta huwa wanaandikia mafuta hewa ya emergence kila siku endapo umeme utakata kama taarifa yao ya awali kuwa endapo umeme utakata mafuta yatatumika iliujue wamepiga kama kungekuwa na mafuta inakuwaje ikae saa mbili bila kwenda kama ni tatizo la umeme hawa huwa wanaandikia mafuta kila siku ila mungu kaamua kuwa umbua mapema kwa namna hiyo
Ili mradi mashirika ya serikali yatakuwa yanashindana na mashirika binafi, na mashirika hayo binafsi yanamilikiwa na viongozi wa serilali, basi kila wakati patakuwa na migogoro wa kimaslahi (conflicts of interests) mashirika ya kiserikali yataathirika tu.
Changamoto kama hizi ndo zitatukomaza kama nchi. Kwa mazingira yetu ya nchi na maeneo ambayo reli inapita ni vitu vya kutegemewa kuona wanyama au ndege wakigusa miungombinu ya umeme na kusababisha hitilifu kama iliyotokea. Lakini wahusika ni vizuri kufikiria jinsi ya kupunguza uwezekano wa wanyama hao kuingia au kufka kwenye miundombinu hiyo. Binafsi sioni sababu ya watu kupanic.
Mh isije ikawa kama Mv Kilindoni waliiuwa wakabaki na mitumbwi yao. Mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi Hivi wabongo tutaacha lini uchawi ili watu wakate tamaa warudi kwenye mabasi yao, wanaanza kamdome kamdome. 😂😂😂😂advertising hiyooo.
Tutakuwa sawa tujue ichi yetu ndogo tusifananishe na ichi zilizojipanga na wameendelea miaka 50.b4 cc wengine kuja duniani izime iwake cc tunayo mama piga kazi sema kumtoa jerry silaa umetupiga na ki2 kizito
Umeongea kizembe sana kama vyote umenunua kutoka nj'e basi kopy na mfumo wa ulinzi na uendeshaji kopy kila unachoona kitakusaidia ili uwe salama na si kujiona we bado sana huku unaharibu
Elewa ndugu hilo ni tatizo tofauti, nyaya ndizo zilizochezewa na hao wanyama kwa hiyo hata kama ingekuwaje treni isingeweza kwenda kwa sababu zinapita chini ya hizo nyaya. Nyaya zikiwa sawa hata kama umeme utakatika kwa muda flani treni inaweza kwenda lakini zinapopita ndipo palipoharibiwa sasa itawezaje kupita?!
Haipiti chini ya nyaya, inapita kwenye trein nyaya zipo juu, pia walisema inahifadhi umeme wa ziada, maana yake hitilafu kama hizo zikitokea ilitakiwa iendelee kuchapa mwendo kwa saa nzima, wewe unasema ingepita wapi kwani umeambiwa reli imebomoka? @@rayisadesigns2646
kwa tulio fanya kazi sgr kilosa na kidete tunajua wingi wa ngedere , ni wengi hatari alafu ngedere wana utani hadi wanakera😅, sasa c changamoto itatokea kila siku
Sio kwelli.....kabisa. haiwezikani UKA unda kituo Cha kupooza umeme. Lakini usi zingatie madhara ya ngedere na bundi. Hizi ni changamoto tu za awali tunazo pitia tukizoea MFUMO. Huu kama raia nge sema kuungana mkono na uwekezaji huu APA mkubwa, tupo pamoja na shirika hili. Na tunge nufaishwa zaidi na winginwa report kutoka watu binafsi namna VIPI, usafiri huu ume weza raisisha au kuezesha maisha.
ila mbona kama walisema hata umeme ukizima,treni zina auto system ambayo itajibadirisha na kutumia mfumo mwengine hapo hapo ili safari iendelee.... ila sawa ili tuone panapovuja ni lazima inyeshe kwanza.
Kwa tabia hii ya ngedere na bundi kuchezea nyaya za umene wa reli ya SGR, nawashauri TRC watenge fungu kwenye budget yao ya kutoa semina elekezi kwa ngedere na bundi kuhusu umuhimu wa kutunza na kuthamini miundo mbinu ya SGR na hatari ya kuchezea nyaya za umeme. Vinginevyo watashitakiwa kwa kosa la trespassing na economic sabotage! Poleni abiria kwa adha, kadhia na usumbufu mliokabiliana nao!
Tulihakikishiwa ifuatavyo😢 Tanesco ikiwa na tatizo yafuatayo yatanyika: 1. Treni Ina backup power ya kwenda Dak 20 2. Kuna generator zitawaka na kutoa umeme 3. Injini Zina diseli ya kuiendesha. Sasa Kwa massa mawili hakuna lililofanyika. Kadogosa sema ukweli
Ngedere na bundi kweli ina maana haobundi ndio wamekuja leo ? Umeme haukuepo kabla ya bundi au ni baada ya bundi kuwepo.... HIVI MNAONA WATANZANIA NI MAFALA
Mnaposema Ni ngedere,Nyani au bundi mnamaanisha Nini?,Kwa maana hiyo Bundi ngedere au Nyani ndiyo wataamua treni iende au isiende!?, njooni na sababu yenye mashiko!!
wew unae soma hii comment mungu akubariki saaana❤
Amen
Amen
@@rithadonatus8110Amen
Amen
Amen
Mola wetu tujalie mwisho mwema amin
Mbona Mapema Sana Sana Tena😮😮😮😮😮😮
Nchi zilizoendelea ambako treni za umeme zinapita hakuna hao ngedere. Wanyama wakikatiza, mfumo wa umeme umewekwa kwa namna ambayo utajikata Ili kutoleta madhara. Hivyo siyo tatizo la TRC hilo.
masikini ngedele wetu na bundi washasikiziwa kesi jamani akuna alie salama mpaka bund na ngedele munawapa kesi kweli selekali imechoka sana
Hao bundu na gedere wapelekwe mahakamani kwakosa lakuletea usumbu binadamu
😂😂😂😂😂
@@robertphilip385Wana kesi ya kuhujumu ya kuingia kutembea kwenye reli bila kibali (trespassing) hukumu yake kifungo miaka miwili jela kwa mujibu wa kanuni za sheria na kosa la kuhujumu uchumi (economic sabotage) kifungo miaka watapona kweli?
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂.... Yaani nimecheka kama bwege...😂😂😂😂
Tuliambiwa kuwa treni inauwezo wa kutunza umeme kwa muda wa lisaa limoja
Acha kukalili mzee itilafu ipo hata ww unagombana na mwezawako😂
@@djwinnertz sijakataa ila inamaana haina power backups
Shida moja tanzania uchawi mwingi ..na hurka ya mchawi apendi maendeleo...hakunaga kitu kizuri tanzania cha serikali kinacho dumu sijui kwanin....Mungu komboa tanzania
Akija mtu mzuri ataangamizwa kikija kitu kizuri kitazuiwa kisiende yani nchi ya ajabu mnoo mnoo
Uchawi + Ujuma = Haya Tunayoambiwa!
kube nyie ni wachawi😢😢
Ndiyo maana tunadumaa miakiliwa kuamini kila tukio baya.ni matokeo ya uchawi! Huwezi kujipa nafasi ya kitafiti chanzo cha tatizo unatumia shortcut ya uchawi kuwa kisababishi. Ni lini tutanipa uweo wa kutafakari mambo kimantiki? Hapa nilipo umeme umekarika mara mbili ndani ya dakika kumi, nao nu uchawi?
Uchawi ni imani tu,
Kwa sisi Mafundi Tunakubali...changamoto kama hizi ni kawaida katika kazi...na tufahamu ndo kwanza kwa Treni kama hii kutumika Tanzania...Yatakaa sawa Tutakuwa wazoefu kadri siku zinavyokwenda...pole Wasafiri kwa changamoto hii.
Acha ujinga wewe, we need expert sisi tunataka mainjinia hapo hatutaki watu mlio ajiliwa kimichongo ili mje mjifunzie hapo KAZI uzoefu kachukue chuo ulkija hapo fanya kazi
@@JonasMathias-s6m, treni kama hizo ziko uchina , India , Uturuki nk nk nk je wanapata matatizo kama hayo?????! Au ndiyo kwetu tuuuuuiii !!!!!!!!’ KUNA VITU HAVIHITAJU UFUNDI KUVIJUA
@@JonasMathias-s6mp
Umezungumza kitaalam sana mwamba
Safi Hussein
@@azizaj776hawanaga hizo ujinga mafundi wao wapogo job 24hrs kuhakikisha operation zinafanyika 24/7
kama kweli ngedele na bund wanapewa lawama we binaadam utatoka vp
Hahahahahahahahaaaa
Mambo ya tz bna, ikisha kuwa ni public transport mizengwe ni mingi mno
KWELI TENDA WEMA UWENDE ZAKO.NIKIONA TREIN HIYO,NAKUMBUKA JPM,ALIPAMBANA,ALAFU HUYOOOO....😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hao BUNDI na Ngedere wenyewe wangehojiwa uskute wamesingiziwa😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Kwakweli, kwani ngedere wenyewe wanasemaje
😂😂😂😂
Milard ayo tnataka ripoti toka kwa ngedere wenyewe😂😂
Si kama kigamboni pantoni za Serikali mbovu za baharesa nzima ten oersent ssnhata Railway watapewa ten persent yabaki mabasi. Mwendokasi ataoewa muwekezaji akitoa ten persent yatabaki dala dala na mwendokasi. Barabara za mwendokasi Imegengwa bure reli zimejwngwa bure tren Itakuwa gest ya mjusi kafiri kenge.
Tanzania 🇹🇿 hakuna kukubali washamba wachache wasimamishe maendeleo. Kweli aliyetuloga waafrika keshakufa. Ni kuvunja laana uchawi, nguvu za giza husuda na kadhalika kwa damu ya yesu kristo. Waislamu ndugu pia ombeni sana kwa kumpitia Mtume Mohamed salalah wasalamu.
Mh hao bundi kama hawana mwanasheria watakua wameshakufa kwa pressure 😂😂😂😂
😂😂😂
@@karibunyumbani3824 kamata hao bundi na ngedere sukuma ndani
Matajir washaanza kulalamika mabas yao yanaenda matupu hayana abiria wakutosha kwaio wameshaanza vitimbi na hujuma watu warud kwenye mabas hakuna bundi wala ngere hapo nimpango kazi wa matajir flani hv 😅😅
Kumekucha 😂😂
Huyo ngedere kafikaje kwenye hizo nyaya tena zenye umeme mkali wenye nguvu😊
WANAFIKA BILA SHAKA NAPIA WANAPIGWA SHOTI WANAKUFA HATA WANYAMA WANAMITIHANI YAO MUNGU AWALINDE
Yaani! Na hata usafi tunaouona ni wa muda tu. Daladala zilianza hivi 1977, kulikuwa hakuna kusimama, mwendo kasi ilikuwa ya kwanza ya kistaarabu Afrika. Leo hii, daladala watu wanarundikwa, mwendo kasi watu kama samaki wabichi, kuambukizana magojwa, wanawake wajawazito wanabanwa. Watu wanagombania nani awe wa kwanza kupata kiti. Wazee na wagonjwa ni watu wa shida. Waziri wa usafirishaji bado hajiuzuru! Waziri wa akina mama na watoto bado upo? Zebra haziheshimiki tena, boda ndiyo usiseme kugonga watoto. Hivi sisi ni watu au fotokopi? Mbona Waganda na Kenya wamebadilika? Kwa nini kusiwe na vituo vya mafuta punguzo ili watu wawe kwenye level seats? Treni hii kwa ustarabu duni tulio nao tutegemee wajinga kuchafua soon!
Asee umuongea pots
Hujuma zimeanza mapema hivi tutafika kweli
Duh! Inasikitishwa sana, ndugu zetu wamekwama, usiku huu, wamekwama, serekali iangalie hili jambo, ni aibu.
Kwani Ngedele na Bundi wenyewe wanasemaje! Mbona bado wapo kimya au mpaka waongee na mwanasheria wao ndo watoe tamko😀
Mmeanzaaa. Haya yalishasemwa.... Tembeeni na power bank.
Kwani hakuna backup 😅😅
Aliyetutangazia bundi na ngedere kuwa sababu ya tatizo yapaswa awe serious!
Tanzania ni ya Hovyo kabisa 😂 haya Leo kisingizio ngedere na bundi kesho utaskia kunguru kagusa nyaya😂
😂😂😂
Yaani Tanzania sijui ni lini tutakuwa serious na mambo yetu ya msingi. 🇹🇿
tutafika tu
@@muhan_de_coco3567kwani tunaend wap
Sio issue ya nchi bhana....Kama unadhani unaweza ku avoid all problems unajidanganya........ Labda uwe kaburini.... Unaweza kuwa serious na ukakumbwa dhahama vilevile.....
Eti kunguru kunguru ananguvu ya kupigisha shoti yakukata hadi waya wa wenye umeme kweli doo
Mbona hata ulaya zinazima
Si mlisema umeme ukizima itaendelea kuchapa mwendo, mbona mnatudanganya mno sisi watanzania jamani
😅😅😅😅
😂😂😂😂
Dah hapo sio wewe tu hata Mimi nmeshangaa
Hawakusema itaendelea hadi ifike kituoni, itaenda kama kilomita kadhaa tuu kisha umeme ukikawia itasimama. Jamani tuwe tunafatilia mambo vizuri. Lakini hata hivyo, hivi ni vitu vilivyotengenezwa na mwanadam, haviwezi kukosa itilafu. Ni jambo la kawaida tuu hilo tuwe waungwana kutosha.
Ngedele na bundi watakuwa wameshilikiana na Mzee magoma kuharibu miundombinu Komba wote sukuma ndani😅😅😅
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂acheni basi jamani tusicheke kupita kiasi..........
Mbona mnakinzana na maneno yenu wenyewe, what happens to umeme ukizima abiria hata jua sabb treni itaendelea na mwendo, Hii ndo tanzania
Poleni sana, mafundi na wasafiri, ni kawaida ya mwanzo wa kila jambo huwa kuna changamoto
Mtaomba radhi sanaaaa na bado mm ili niwapongeze baada ya mwaka C A G awakague aseme hakuna hasara ndo nitawapongeza sasa hv ngoja tuwaangalie tu niwaulize ile tren ya abiria isiyo ya umeme walipanda kina mond na pole pole iko wapiiiiii
Poor Quality Equipment that’s what we get, I knew this type of incidents would happen. Poor Tanzania 🇹🇿 poor us poor leaders
Mlituambia hicho kichwa kina Betri inayohifadhi charge dk 45 ?? Au ndio mmepigwa??
Wazee wa dili
Ayo ni maskrepa yaliyopakwa rangi mpya, ngedere gan anazurula usiku
Umakin mdogo juu ya miundo mbinu je ingekuwa ndege angan si ni kifo hicho😢😢
😢Visingizio vimeanza kama kwamba umeme sio wa Tanesco.
Lakini wataalamu hawa wako vizuri bhn🙌🙌🙌
Aya bana. Tuwachie wenyewe. Na Mungu mkuu ajuaye ukweli.
Kwa hyo Mna mpango au mkakati gan wa utatuzi wa kudumu wa hili tatizo???
Au mtakua mnasubiri hao ngedere na Bundi wakisababisha short au wakinasa mkawatoe na kuwasha tena?????
🤣
Mkakati soon utasikia kapewa Ubia Dubai.maana hakuna tunachoweza kusimamia Taifa hili😢
kwahiyo hizo injini hazitunzi umeme?
Jaman ngedere usiku kweli hii hapana Trc acheni kufanya hujuma tunafaham wenye mabasi hawataicha train yetu bila ufumbufu lazima watashirikiana na wakati kuihujum train yetu.
Ahsante sana wewe kwa taarifa
Mmeanza kuwasingizia Bundi wetu na ngedere bado hajasema nansababu zenu nyepesi hiyo motimba yenu mliyo tuletea imeanza kuwa mazombi!
Ila bongo🙌 mi nilijua tu hatutoboi😅 kikubwa hapo nashauri lipite sako la nyani tu😂😂😂😂😂
Nanunua machumachuma mabovu 😂😂😂nishawah yooote yangu
Mungu hawalinde wasafiri woote ngedere nae hatulii na huyo bundi wakee😂😂😂
😂😂😂😂 changamoto wanajua ni matawi ya miti
@@athumaniamiri880 🤣🤣🤣🤣hawajui kama hule umeme jamaniii 🤣🤣🤣🤣
Mhmh kwamba ata kwenye tran skuhz kunawachawi😂
Ajabu na kweli
Hapa inaonekana kuna upiga wa fedha za mafuta huwa wanaandikia mafuta hewa ya emergence kila siku endapo umeme utakata kama taarifa yao ya awali kuwa endapo umeme utakata mafuta yatatumika iliujue wamepiga kama kungekuwa na mafuta inakuwaje ikae saa mbili bila kwenda kama ni tatizo la umeme hawa huwa wanaandikia mafuta kila siku ila mungu kaamua kuwa umbua mapema kwa namna hiyo
SGR lazima ifuate nyayo za Vivuko vya Kigamboni, Mwendokasi, ATC, MV Bukoba etc. Hamuoni kwanini MaMa anatumbua kila kukicha!.
Lakini si tuliambiwa umeme ukikatika treni Hiyo Ina tunza umeme wa ziada ambao unaweza kutumika kwa umbali mrefu sana
Yaaan hili tumepigwa masaa mawili mpo porini
😂😂😂😂😂😂
@@barakarobert1029 kweli kabisa Tena waliosema inatumia umeme na mafuta Kiko wapi sasa
Ndio ineza songa kidogo lakini kwa sababu ya signals pia zime zima heri treni isimame iepushe ajali.
Hayo ni kawaida hata ulaya hitilafu zipo. Wabongo muelewe hilo 😅
Kweli ni vitu vya kawaida kutokea kwa wanao elewa
Kwenye upumbavu mnajilinganisha na Ulaya ikija kwenye mambo ya maana waliyofanya Ulaya mnajiita maskini, akili za hovyo sana!
Wabongo wanafikiri Ulaya hakuna changamoto. Zipo tena nyingi ila zingine hazitangazwi.
Yaliyo tabiliwa ndo yameanza, walisema inatunza chaji ht umeme ukikatika itaendelea kutembea Kiko wap, treni yenyewe yamkopo ila bado udalali uliofanyika nimkubwa San, machawa endeleeni kupungeza ht kungulu akikata umeme
Tuombe tuu Mungu huu mradi wa treni hizi usifitiniwe na walioathirika kwenye biashara zao za mabasi ukashangaa ziko juu ya mawe zooote
Hiyo ni kawaida. We are in Tanzania
Hivi hao bundi na ngedere hawajakamtwa tu... Vyombo vya usalama mko wapi?😂😂😂
😂😂😂🙌
😂😂😂
Mi wakwanza Leo naomba like zenu
Ili mradi mashirika ya serikali yatakuwa yanashindana na mashirika binafi, na mashirika hayo binafsi yanamilikiwa na viongozi wa serilali, basi kila wakati patakuwa na migogoro wa kimaslahi (conflicts of interests) mashirika ya kiserikali yataathirika tu.
Si tuliambiwa itakuwa na uwezo wa kuji_switch automatically kwenye matumizi ya Mafuta? Kumbe ilikuwa ni kuipamba tu hakuna ukweli
Changamoto kama hizi ndo zitatukomaza kama nchi. Kwa mazingira yetu ya nchi na maeneo ambayo reli inapita ni vitu vya kutegemewa kuona wanyama au ndege wakigusa miungombinu ya umeme na kusababisha hitilifu kama iliyotokea. Lakini wahusika ni vizuri kufikiria jinsi ya kupunguza uwezekano wa wanyama hao kuingia au kufka kwenye miundombinu hiyo. Binafsi sioni sababu ya watu kupanic.
Navojua mimi Mnyama au ndege anapogusa waya wa umeme anakufa hapo hapo nakunyauka sasa yan ,,,,,,Hatujiiiiiii hatuji tenaaaaa
Mh isije ikawa kama Mv Kilindoni waliiuwa wakabaki na mitumbwi yao. Mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi Hivi wabongo tutaacha lini uchawi ili watu wakate tamaa warudi kwenye mabasi yao, wanaanza kamdome kamdome. 😂😂😂😂advertising hiyooo.
Mm sijaelewa hao wadudu wamekataje umeme.....??
Jamani Tuko vizuri sana Nivitu vidogo tu
Waambie wajaze luku
Mlisema umeme ukizima kunakifaa maalum kinachaji safari zitaendelea kama kawaida
Maybe Low voltage na sio underground trip, maana muda wa masaa mawili ni makubwa zaidi kuliko fault appears
Kwa Tanzania bado sana kwa matumiz ya umeme ona sasa hadi ngedere anatak kuwamaliza ndgu zetu
Tutakuwa sawa tujue ichi yetu ndogo tusifananishe na ichi zilizojipanga na wameendelea miaka 50.b4 cc wengine kuja duniani izime iwake cc tunayo mama piga kazi sema kumtoa jerry silaa umetupiga na ki2 kizito
Umeongea kizembe sana kama vyote umenunua kutoka nj'e basi kopy na mfumo wa ulinzi na uendeshaji kopy kila unachoona kitakusaidia ili uwe salama na si kujiona we bado sana huku unaharibu
Bundi na ngedere China pia wapo lakini hatusikii wsla kuona jambo kama hili
😂😂😂😂😂kiwang cha kimataif imezimwa na bundi😂😂
Inchi inaendeshwa kama kikundi cha sacos😊
It is OK. Hapa mwanzoni lzm changamoto ziwepo
You were never ready for this
Kwakweli mama ameupiga mwingi kazi iendee IENDELEE kuzima kabisa
😢😢😢 kiukweli hilo ni tatizo hmmm?
Wabongo sasa wamepata cha kusema😂
😂😂😂😂
KWA SISI MAFUNDI TATIZO KWENYE MFUMO WA MTAMBO MPYA NI JAMBO LA KWAIDA ILA SASA KUSINGIZIA NGEDERE ENGINEERS MMEKOSEA
Ukiwa muongo usiwe mwepesi kusahau! Mlituambia Hata umeme ukikatika Ina uwezo wa kwenda zaidi ya kilometa mia nne.Hii imekuwaje tena😢
Elewa ndugu hilo ni tatizo tofauti, nyaya ndizo zilizochezewa na hao wanyama kwa hiyo hata kama ingekuwaje treni isingeweza kwenda kwa sababu zinapita chini ya hizo nyaya. Nyaya zikiwa sawa hata kama umeme utakatika kwa muda flani treni inaweza kwenda lakini zinapopita ndipo palipoharibiwa sasa itawezaje kupita?!
Wanaona waTz kama hawana Kumbukumbu vile.
Haipiti chini ya nyaya, inapita kwenye trein nyaya zipo juu, pia walisema inahifadhi umeme wa ziada, maana yake hitilafu kama hizo zikitokea ilitakiwa iendelee kuchapa mwendo kwa saa nzima, wewe unasema ingepita wapi kwani umeambiwa reli imebomoka? @@rayisadesigns2646
Leo na kesho!!!!!!!
Hao bundi waache ujinga tunawafahamu
kwa tulio fanya kazi sgr kilosa na kidete tunajua wingi wa ngedere , ni wengi hatari alafu ngedere wana utani hadi wanakera😅, sasa c changamoto itatokea kila siku
Hivi toka lini ngedele akatembea usiku ?
Au ndo yale mto mara ulichafuliwa na mikojo na vinyesi vya ngombe 😂😂
USHIRIKINA UMEANZA KUCHUKUA NAFAS YAN HUJUMA LAZIMA WAFANYE TU ATA KWA USHIRIKINA YAN BINADAM DUH
Sio kwelli.....kabisa. haiwezikani UKA unda kituo Cha kupooza umeme. Lakini usi zingatie madhara ya ngedere na bundi. Hizi ni changamoto tu za awali tunazo pitia tukizoea MFUMO. Huu kama raia nge sema kuungana mkono na uwekezaji huu APA mkubwa, tupo pamoja na shirika hili. Na tunge nufaishwa zaidi na winginwa report kutoka watu binafsi namna VIPI, usafiri huu ume weza raisisha au kuezesha maisha.
Mbona hizo tern Zimeshaonekana gerej😂❤❤❤
😂😂
ila mbona kama walisema hata umeme ukizima,treni zina auto system ambayo itajibadirisha na kutumia mfumo mwengine hapo hapo ili safari iendelee.... ila sawa ili tuone panapovuja ni lazima inyeshe kwanza.
Kwa tabia hii ya ngedere na bundi kuchezea nyaya za umene wa reli ya SGR, nawashauri TRC watenge fungu kwenye budget yao ya kutoa semina elekezi kwa ngedere na bundi kuhusu umuhimu wa kutunza na kuthamini miundo mbinu ya SGR na hatari ya kuchezea nyaya za umeme. Vinginevyo watashitakiwa kwa kosa la trespassing na economic sabotage! Poleni abiria kwa adha, kadhia na usumbufu mliokabiliana nao!
😂😂😂
Kama kawaida ya Mashirika ya Umma,
Uzembe unaanza mapema asubuhi.
Tulihakikishiwa ifuatavyo😢
Tanesco ikiwa na tatizo yafuatayo yatanyika:
1. Treni Ina backup power ya kwenda Dak 20
2. Kuna generator zitawaka na kutoa umeme
3. Injini Zina diseli ya kuiendesha.
Sasa Kwa massa mawili hakuna lililofanyika. Kadogosa sema ukweli
Viongozi waongo sana wanatuona wajinga
hawa ngedere watu na bundi watu 😂😂😂😂hawa
Mnaparamia msiyoyaweza,ili mradi mpige pesa.Fikiria mliua Uda,mkaja mwendo kasi,nako kama tanga ndugu,mnamalizia. Huruma hamna,aibu hamna,ccm mbele kwa mbele.Hiyo tren hamuiwezi mtauwa raia,biashra mnayoiweza labda kununua upinzani,akina Msigwa.
Ndugu!!! Wanawezaa,,,🤫🤫🤫🤫🤫🤫ila usiseme. Makonda Yuko wapiiii,,, mi naendaa 🚣🚣🚣
Wameanza kutafuta sababu ya kugawa treni yetu kwa Waarabu, HATUWEZI KUSIMAMIA!!😊
Ngedere na bundi kweli ina maana haobundi ndio wamekuja leo ? Umeme haukuepo kabla ya bundi au ni baada ya bundi kuwepo.... HIVI MNAONA WATANZANIA NI MAFALA
Maaajabu haya😂
Hakun kitu hicho hiyo ni mitambo ilizingua sio popo wala ngedere
Mbona niliambiws tren inahifadhi umeme?
Ngedere washenzi sana
Yani nime jikuta nacheka kama mazuli ila hii nchi ya hovyo sana😢😢😢😢😢😢
Duh
Umeme wenyewe unaakatika mda wote harafu treni asisimame ngoja tuzidi kuona vimbwanga
Mnaposema Ni ngedere,Nyani au bundi mnamaanisha Nini?,Kwa maana hiyo Bundi ngedere au Nyani ndiyo wataamua treni iende au isiende!?, njooni na sababu yenye mashiko!!
Mhhh vitu vya bongo jmn
Zitakufa tu mbona viongoz wenyewe niwafanyabiashara wamabasi nama roli.
Yani sijui aliewaza kuhusu hii tren alikuwa na maono gani