TRENI YA UMEME YAZIMA GHAFLA USIKU, BUNDI NA NGEDERE WATAJWA “IMEZIMA MASAA 2”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 414

  • @ben2themusic
    @ben2themusic Місяць тому +121

    wew unae soma hii comment mungu akubariki saaana❤

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 Місяць тому +23

    Mola wetu tujalie mwisho mwema amin

  • @shkubabawarsh5628
    @shkubabawarsh5628 Місяць тому +23

    Mbona Mapema Sana Sana Tena😮😮😮😮😮😮

    • @jamesmsalilwa8733
      @jamesmsalilwa8733 Місяць тому

      Nchi zilizoendelea ambako treni za umeme zinapita hakuna hao ngedere. Wanyama wakikatiza, mfumo wa umeme umewekwa kwa namna ambayo utajikata Ili kutoleta madhara. Hivyo siyo tatizo la TRC hilo.

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 Місяць тому +26

    masikini ngedele wetu na bundi washasikiziwa kesi jamani akuna alie salama mpaka bund na ngedele munawapa kesi kweli selekali imechoka sana

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Місяць тому +2

      Hao bundu na gedere wapelekwe mahakamani kwakosa lakuletea usumbu binadamu

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 Місяць тому

      😂😂😂😂😂

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Місяць тому

      ​​@@robertphilip385Wana kesi ya kuhujumu ya kuingia kutembea kwenye reli bila kibali (trespassing) hukumu yake kifungo miaka miwili jela kwa mujibu wa kanuni za sheria na kosa la kuhujumu uchumi (economic sabotage) kifungo miaka watapona kweli?

    • @florahozza7414
      @florahozza7414 Місяць тому

      😂😂😂😂😂

    • @renatuskweyamba6460
      @renatuskweyamba6460 Місяць тому +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂.... Yaani nimecheka kama bwege...😂😂😂😂

  • @yusuphsalum1486
    @yusuphsalum1486 Місяць тому +20

    Tuliambiwa kuwa treni inauwezo wa kutunza umeme kwa muda wa lisaa limoja

    • @djwinnertz
      @djwinnertz Місяць тому +1

      Acha kukalili mzee itilafu ipo hata ww unagombana na mwezawako😂

    • @yusuphsalum1486
      @yusuphsalum1486 Місяць тому

      @@djwinnertz sijakataa ila inamaana haina power backups

  • @MillenMlay
    @MillenMlay Місяць тому +23

    Shida moja tanzania uchawi mwingi ..na hurka ya mchawi apendi maendeleo...hakunaga kitu kizuri tanzania cha serikali kinacho dumu sijui kwanin....Mungu komboa tanzania

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Місяць тому +6

      Akija mtu mzuri ataangamizwa kikija kitu kizuri kitazuiwa kisiende yani nchi ya ajabu mnoo mnoo

    • @nelsonkazaura5713
      @nelsonkazaura5713 Місяць тому

      Uchawi + Ujuma = Haya Tunayoambiwa!

    • @wilsonthuo9639
      @wilsonthuo9639 Місяць тому

      kube nyie ni wachawi😢😢

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Місяць тому +3

      Ndiyo maana tunadumaa miakiliwa kuamini kila tukio baya.ni matokeo ya uchawi! Huwezi kujipa nafasi ya kitafiti chanzo cha tatizo unatumia shortcut ya uchawi kuwa kisababishi. Ni lini tutanipa uweo wa kutafakari mambo kimantiki? Hapa nilipo umeme umekarika mara mbili ndani ya dakika kumi, nao nu uchawi?

    • @arnold9406
      @arnold9406 Місяць тому

      Uchawi ni imani tu,

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Місяць тому +40

    Kwa sisi Mafundi Tunakubali...changamoto kama hizi ni kawaida katika kazi...na tufahamu ndo kwanza kwa Treni kama hii kutumika Tanzania...Yatakaa sawa Tutakuwa wazoefu kadri siku zinavyokwenda...pole Wasafiri kwa changamoto hii.

    • @JonasMathias-s6m
      @JonasMathias-s6m Місяць тому +4

      Acha ujinga wewe, we need expert sisi tunataka mainjinia hapo hatutaki watu mlio ajiliwa kimichongo ili mje mjifunzie hapo KAZI uzoefu kachukue chuo ulkija hapo fanya kazi

    • @azizaj776
      @azizaj776 Місяць тому +2

      @@JonasMathias-s6m, treni kama hizo ziko uchina , India , Uturuki nk nk nk je wanapata matatizo kama hayo?????! Au ndiyo kwetu tuuuuuiii !!!!!!!!’ KUNA VITU HAVIHITAJU UFUNDI KUVIJUA

    • @user-yj7yg8uz9b
      @user-yj7yg8uz9b Місяць тому

      ​@@JonasMathias-s6mp

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Місяць тому +1

      Umezungumza kitaalam sana mwamba
      Safi Hussein

    • @johnmlay4759
      @johnmlay4759 Місяць тому

      ​@@azizaj776hawanaga hizo ujinga mafundi wao wapogo job 24hrs kuhakikisha operation zinafanyika 24/7

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 Місяць тому +11

    kama kweli ngedele na bund wanapewa lawama we binaadam utatoka vp

  • @techsavvyswahili
    @techsavvyswahili Місяць тому +4

    Mambo ya tz bna, ikisha kuwa ni public transport mizengwe ni mingi mno

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Місяць тому +2

    KWELI TENDA WEMA UWENDE ZAKO.NIKIONA TREIN HIYO,NAKUMBUKA JPM,ALIPAMBANA,ALAFU HUYOOOO....😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @modomfupi9972
    @modomfupi9972 Місяць тому +9

    Hao BUNDI na Ngedere wenyewe wangehojiwa uskute wamesingiziwa😂😂😂😂

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 Місяць тому +6

    Si kama kigamboni pantoni za Serikali mbovu za baharesa nzima ten oersent ssnhata Railway watapewa ten persent yabaki mabasi. Mwendokasi ataoewa muwekezaji akitoa ten persent yatabaki dala dala na mwendokasi. Barabara za mwendokasi Imegengwa bure reli zimejwngwa bure tren Itakuwa gest ya mjusi kafiri kenge.

    • @joycelinelyimo-fenske8745
      @joycelinelyimo-fenske8745 Місяць тому

      Tanzania 🇹🇿 hakuna kukubali washamba wachache wasimamishe maendeleo. Kweli aliyetuloga waafrika keshakufa. Ni kuvunja laana uchawi, nguvu za giza husuda na kadhalika kwa damu ya yesu kristo. Waislamu ndugu pia ombeni sana kwa kumpitia Mtume Mohamed salalah wasalamu.

  • @karibunyumbani3824
    @karibunyumbani3824 Місяць тому +6

    Mh hao bundi kama hawana mwanasheria watakua wameshakufa kwa pressure 😂😂😂😂

    • @Gersah
      @Gersah Місяць тому

      😂😂😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Місяць тому

      @@karibunyumbani3824 kamata hao bundi na ngedere sukuma ndani

  • @khamisamoss4641
    @khamisamoss4641 Місяць тому +5

    Matajir washaanza kulalamika mabas yao yanaenda matupu hayana abiria wakutosha kwaio wameshaanza vitimbi na hujuma watu warud kwenye mabas hakuna bundi wala ngere hapo nimpango kazi wa matajir flani hv 😅😅

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt Місяць тому +3

    Huyo ngedere kafikaje kwenye hizo nyaya tena zenye umeme mkali wenye nguvu😊

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Місяць тому

      WANAFIKA BILA SHAKA NAPIA WANAPIGWA SHOTI WANAKUFA HATA WANYAMA WANAMITIHANI YAO MUNGU AWALINDE

  • @adambago
    @adambago Місяць тому +4

    Yaani! Na hata usafi tunaouona ni wa muda tu. Daladala zilianza hivi 1977, kulikuwa hakuna kusimama, mwendo kasi ilikuwa ya kwanza ya kistaarabu Afrika. Leo hii, daladala watu wanarundikwa, mwendo kasi watu kama samaki wabichi, kuambukizana magojwa, wanawake wajawazito wanabanwa. Watu wanagombania nani awe wa kwanza kupata kiti. Wazee na wagonjwa ni watu wa shida. Waziri wa usafirishaji bado hajiuzuru! Waziri wa akina mama na watoto bado upo? Zebra haziheshimiki tena, boda ndiyo usiseme kugonga watoto. Hivi sisi ni watu au fotokopi? Mbona Waganda na Kenya wamebadilika? Kwa nini kusiwe na vituo vya mafuta punguzo ili watu wawe kwenye level seats? Treni hii kwa ustarabu duni tulio nao tutegemee wajinga kuchafua soon!

  • @johnjilala415
    @johnjilala415 Місяць тому +8

    Hujuma zimeanza mapema hivi tutafika kweli

  • @eliadlema7421
    @eliadlema7421 Місяць тому

    Duh! Inasikitishwa sana, ndugu zetu wamekwama, usiku huu, wamekwama, serekali iangalie hili jambo, ni aibu.

  • @BabuallyAbdul
    @BabuallyAbdul Місяць тому +1

    Kwani Ngedele na Bundi wenyewe wanasemaje! Mbona bado wapo kimya au mpaka waongee na mwanasheria wao ndo watoe tamko😀

  • @Fatma-up9qs
    @Fatma-up9qs Місяць тому +1

    Mmeanzaaa. Haya yalishasemwa.... Tembeeni na power bank.

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 Місяць тому +1

    Aliyetutangazia bundi na ngedere kuwa sababu ya tatizo yapaswa awe serious!

  • @saluuhans
    @saluuhans Місяць тому +6

    Tanzania ni ya Hovyo kabisa 😂 haya Leo kisingizio ngedere na bundi kesho utaskia kunguru kagusa nyaya😂

  • @shaabanyusufu2997
    @shaabanyusufu2997 Місяць тому +14

    Yaani Tanzania sijui ni lini tutakuwa serious na mambo yetu ya msingi. 🇹🇿

    • @muhan_de_coco3567
      @muhan_de_coco3567 Місяць тому

      tutafika tu

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 Місяць тому

      ​​@@muhan_de_coco3567kwani tunaend wap

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087 Місяць тому

      Sio issue ya nchi bhana....Kama unadhani unaweza ku avoid all problems unajidanganya........ Labda uwe kaburini.... Unaweza kuwa serious na ukakumbwa dhahama vilevile.....

    • @efatauroki867
      @efatauroki867 Місяць тому

      Eti kunguru kunguru ananguvu ya kupigisha shoti yakukata hadi waya wa wenye umeme kweli doo

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale Місяць тому +1

      Mbona hata ulaya zinazima

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Місяць тому +16

    Si mlisema umeme ukizima itaendelea kuchapa mwendo, mbona mnatudanganya mno sisi watanzania jamani

    • @ankotemba7369
      @ankotemba7369 Місяць тому

      😅😅😅😅

    • @athumaniamiri880
      @athumaniamiri880 Місяць тому

      😂😂😂😂

    • @masoudkatiba1484
      @masoudkatiba1484 Місяць тому

      Dah hapo sio wewe tu hata Mimi nmeshangaa

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 Місяць тому +2

      Hawakusema itaendelea hadi ifike kituoni, itaenda kama kilomita kadhaa tuu kisha umeme ukikawia itasimama. Jamani tuwe tunafatilia mambo vizuri. Lakini hata hivyo, hivi ni vitu vilivyotengenezwa na mwanadam, haviwezi kukosa itilafu. Ni jambo la kawaida tuu hilo tuwe waungwana kutosha.

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES Місяць тому +4

    Ngedele na bundi watakuwa wameshilikiana na Mzee magoma kuharibu miundombinu Komba wote sukuma ndani😅😅😅

  • @elifarajajackson9573
    @elifarajajackson9573 Місяць тому +4

    Mbona mnakinzana na maneno yenu wenyewe, what happens to umeme ukizima abiria hata jua sabb treni itaendelea na mwendo, Hii ndo tanzania

  • @gracesuguta
    @gracesuguta Місяць тому

    Poleni sana, mafundi na wasafiri, ni kawaida ya mwanzo wa kila jambo huwa kuna changamoto

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Місяць тому +1

    Mtaomba radhi sanaaaa na bado mm ili niwapongeze baada ya mwaka C A G awakague aseme hakuna hasara ndo nitawapongeza sasa hv ngoja tuwaangalie tu niwaulize ile tren ya abiria isiyo ya umeme walipanda kina mond na pole pole iko wapiiiiii

  • @htx1873
    @htx1873 Місяць тому

    Poor Quality Equipment that’s what we get, I knew this type of incidents would happen. Poor Tanzania 🇹🇿 poor us poor leaders

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Місяць тому +2

    Mlituambia hicho kichwa kina Betri inayohifadhi charge dk 45 ?? Au ndio mmepigwa??

  • @hallin9561
    @hallin9561 Місяць тому

    Ayo ni maskrepa yaliyopakwa rangi mpya, ngedere gan anazurula usiku

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Місяць тому

    Umakin mdogo juu ya miundo mbinu je ingekuwa ndege angan si ni kifo hicho😢😢

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 Місяць тому +1

    😢Visingizio vimeanza kama kwamba umeme sio wa Tanesco.

  • @allymwijarubi8932
    @allymwijarubi8932 Місяць тому

    Lakini wataalamu hawa wako vizuri bhn🙌🙌🙌

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika Місяць тому

    Aya bana. Tuwachie wenyewe. Na Mungu mkuu ajuaye ukweli.

  • @gastonhamaro8877
    @gastonhamaro8877 Місяць тому +4

    Kwa hyo Mna mpango au mkakati gan wa utatuzi wa kudumu wa hili tatizo???
    Au mtakua mnasubiri hao ngedere na Bundi wakisababisha short au wakinasa mkawatoe na kuwasha tena?????

    • @salumuselemani-km2ee
      @salumuselemani-km2ee Місяць тому

      🤣

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Місяць тому

      Mkakati soon utasikia kapewa Ubia Dubai.maana hakuna tunachoweza kusimamia Taifa hili😢

  • @JactonKai
    @JactonKai Місяць тому +4

    kwahiyo hizo injini hazitunzi umeme?

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 Місяць тому

    Jaman ngedere usiku kweli hii hapana Trc acheni kufanya hujuma tunafaham wenye mabasi hawataicha train yetu bila ufumbufu lazima watashirikiana na wakati kuihujum train yetu.

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Місяць тому

    Ahsante sana wewe kwa taarifa

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Місяць тому +2

    Mmeanza kuwasingizia Bundi wetu na ngedere bado hajasema nansababu zenu nyepesi hiyo motimba yenu mliyo tuletea imeanza kuwa mazombi!

  • @rickiusrockius7980
    @rickiusrockius7980 Місяць тому +1

    Ila bongo🙌 mi nilijua tu hatutoboi😅 kikubwa hapo nashauri lipite sako la nyani tu😂😂😂😂😂

  • @MirajiMahamudu
    @MirajiMahamudu Місяць тому

    Nanunua machumachuma mabovu 😂😂😂nishawah yooote yangu

  • @Shadia544
    @Shadia544 Місяць тому +2

    Mungu hawalinde wasafiri woote ngedere nae hatulii na huyo bundi wakee😂😂😂

    • @athumaniamiri880
      @athumaniamiri880 Місяць тому

      😂😂😂😂 changamoto wanajua ni matawi ya miti

    • @Shadia544
      @Shadia544 Місяць тому

      @@athumaniamiri880 🤣🤣🤣🤣hawajui kama hule umeme jamaniii 🤣🤣🤣🤣

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs Місяць тому +6

    Mhmh kwamba ata kwenye tran skuhz kunawachawi😂

  • @methuselamisana4115
    @methuselamisana4115 Місяць тому

    Hapa inaonekana kuna upiga wa fedha za mafuta huwa wanaandikia mafuta hewa ya emergence kila siku endapo umeme utakata kama taarifa yao ya awali kuwa endapo umeme utakata mafuta yatatumika iliujue wamepiga kama kungekuwa na mafuta inakuwaje ikae saa mbili bila kwenda kama ni tatizo la umeme hawa huwa wanaandikia mafuta kila siku ila mungu kaamua kuwa umbua mapema kwa namna hiyo

  • @user-cz5oy1od5d
    @user-cz5oy1od5d Місяць тому

    SGR lazima ifuate nyayo za Vivuko vya Kigamboni, Mwendokasi, ATC, MV Bukoba etc. Hamuoni kwanini MaMa anatumbua kila kukicha!.

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 Місяць тому +3

    Lakini si tuliambiwa umeme ukikatika treni Hiyo Ina tunza umeme wa ziada ambao unaweza kutumika kwa umbali mrefu sana

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 Місяць тому

      Yaaan hili tumepigwa masaa mawili mpo porini

    • @lukoyamedia5765
      @lukoyamedia5765 Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @raphaelnambombi3709
      @raphaelnambombi3709 Місяць тому

      @@barakarobert1029 kweli kabisa Tena waliosema inatumia umeme na mafuta Kiko wapi sasa

    • @waluohopaulo2116
      @waluohopaulo2116 Місяць тому

      Ndio ineza songa kidogo lakini kwa sababu ya signals pia zime zima heri treni isimame iepushe ajali.

  • @elizabethsjoberg5734
    @elizabethsjoberg5734 Місяць тому +3

    Hayo ni kawaida hata ulaya hitilafu zipo. Wabongo muelewe hilo 😅

    • @mohammedalishamis9405
      @mohammedalishamis9405 Місяць тому +1

      Kweli ni vitu vya kawaida kutokea kwa wanao elewa

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Місяць тому +3

      Kwenye upumbavu mnajilinganisha na Ulaya ikija kwenye mambo ya maana waliyofanya Ulaya mnajiita maskini, akili za hovyo sana!

    • @user-dm6bv1ho5r
      @user-dm6bv1ho5r Місяць тому

      Wabongo wanafikiri Ulaya hakuna changamoto. Zipo tena nyingi ila zingine hazitangazwi.

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye Місяць тому

    Yaliyo tabiliwa ndo yameanza, walisema inatunza chaji ht umeme ukikatika itaendelea kutembea Kiko wap, treni yenyewe yamkopo ila bado udalali uliofanyika nimkubwa San, machawa endeleeni kupungeza ht kungulu akikata umeme

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 Місяць тому

    Tuombe tuu Mungu huu mradi wa treni hizi usifitiniwe na walioathirika kwenye biashara zao za mabasi ukashangaa ziko juu ya mawe zooote

  • @rwelamira
    @rwelamira Місяць тому

    Hiyo ni kawaida. We are in Tanzania

  • @paschalmanumbu572
    @paschalmanumbu572 Місяць тому +2

    Hivi hao bundi na ngedere hawajakamtwa tu... Vyombo vya usalama mko wapi?😂😂😂

  • @davidonelinetv4576
    @davidonelinetv4576 Місяць тому +12

    Mi wakwanza Leo naomba like zenu

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 Місяць тому

    Ili mradi mashirika ya serikali yatakuwa yanashindana na mashirika binafi, na mashirika hayo binafsi yanamilikiwa na viongozi wa serilali, basi kila wakati patakuwa na migogoro wa kimaslahi (conflicts of interests) mashirika ya kiserikali yataathirika tu.

  • @jemketakene6558
    @jemketakene6558 Місяць тому

    Si tuliambiwa itakuwa na uwezo wa kuji_switch automatically kwenye matumizi ya Mafuta? Kumbe ilikuwa ni kuipamba tu hakuna ukweli

  • @MG-wx8yx
    @MG-wx8yx Місяць тому

    Changamoto kama hizi ndo zitatukomaza kama nchi. Kwa mazingira yetu ya nchi na maeneo ambayo reli inapita ni vitu vya kutegemewa kuona wanyama au ndege wakigusa miungombinu ya umeme na kusababisha hitilifu kama iliyotokea. Lakini wahusika ni vizuri kufikiria jinsi ya kupunguza uwezekano wa wanyama hao kuingia au kufka kwenye miundombinu hiyo. Binafsi sioni sababu ya watu kupanic.

  • @jamescyprian-jz7ft
    @jamescyprian-jz7ft Місяць тому

    Navojua mimi Mnyama au ndege anapogusa waya wa umeme anakufa hapo hapo nakunyauka sasa yan ,,,,,,Hatujiiiiiii hatuji tenaaaaa

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 Місяць тому +1

    Mh isije ikawa kama Mv Kilindoni waliiuwa wakabaki na mitumbwi yao. Mzowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi Hivi wabongo tutaacha lini uchawi ili watu wakate tamaa warudi kwenye mabasi yao, wanaanza kamdome kamdome. 😂😂😂😂advertising hiyooo.

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Місяць тому

    Mm sijaelewa hao wadudu wamekataje umeme.....??

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Місяць тому +7

    Jamani Tuko vizuri sana Nivitu vidogo tu

    • @chamyDee
      @chamyDee Місяць тому +1

      Waambie wajaze luku

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky Місяць тому

    Mlisema umeme ukizima kunakifaa maalum kinachaji safari zitaendelea kama kawaida

  • @jamesbilafumba6902
    @jamesbilafumba6902 Місяць тому

    Maybe Low voltage na sio underground trip, maana muda wa masaa mawili ni makubwa zaidi kuliko fault appears

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 Місяць тому

    Kwa Tanzania bado sana kwa matumiz ya umeme ona sasa hadi ngedere anatak kuwamaliza ndgu zetu

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Місяць тому

    Tutakuwa sawa tujue ichi yetu ndogo tusifananishe na ichi zilizojipanga na wameendelea miaka 50.b4 cc wengine kuja duniani izime iwake cc tunayo mama piga kazi sema kumtoa jerry silaa umetupiga na ki2 kizito

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Місяць тому +1

      Umeongea kizembe sana kama vyote umenunua kutoka nj'e basi kopy na mfumo wa ulinzi na uendeshaji kopy kila unachoona kitakusaidia ili uwe salama na si kujiona we bado sana huku unaharibu

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu Місяць тому

    Bundi na ngedere China pia wapo lakini hatusikii wsla kuona jambo kama hili

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Місяць тому

    😂😂😂😂😂kiwang cha kimataif imezimwa na bundi😂😂

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Місяць тому

    Inchi inaendeshwa kama kikundi cha sacos😊

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 Місяць тому

    It is OK. Hapa mwanzoni lzm changamoto ziwepo

  • @cashbilly23
    @cashbilly23 Місяць тому

    You were never ready for this

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Місяць тому +3

    Kwakweli mama ameupiga mwingi kazi iendee IENDELEE kuzima kabisa

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer Місяць тому

    😢😢😢 kiukweli hilo ni tatizo hmmm?

  • @yusuphmarijan3704
    @yusuphmarijan3704 Місяць тому +2

    Wabongo sasa wamepata cha kusema😂

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Місяць тому

    KWA SISI MAFUNDI TATIZO KWENYE MFUMO WA MTAMBO MPYA NI JAMBO LA KWAIDA ILA SASA KUSINGIZIA NGEDERE ENGINEERS MMEKOSEA

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Місяць тому +1

    Ukiwa muongo usiwe mwepesi kusahau! Mlituambia Hata umeme ukikatika Ina uwezo wa kwenda zaidi ya kilometa mia nne.Hii imekuwaje tena😢

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Місяць тому

      Elewa ndugu hilo ni tatizo tofauti, nyaya ndizo zilizochezewa na hao wanyama kwa hiyo hata kama ingekuwaje treni isingeweza kwenda kwa sababu zinapita chini ya hizo nyaya. Nyaya zikiwa sawa hata kama umeme utakatika kwa muda flani treni inaweza kwenda lakini zinapopita ndipo palipoharibiwa sasa itawezaje kupita?!

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 Місяць тому

      Wanaona waTz kama hawana Kumbukumbu vile.

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 Місяць тому

      Haipiti chini ya nyaya, inapita kwenye trein nyaya zipo juu, pia walisema inahifadhi umeme wa ziada, maana yake hitilafu kama hizo zikitokea ilitakiwa iendelee kuchapa mwendo kwa saa nzima, wewe unasema ingepita wapi kwani umeambiwa reli imebomoka? ​@@rayisadesigns2646

  • @ChukiMjinga-jw2ql
    @ChukiMjinga-jw2ql Місяць тому

    Leo na kesho!!!!!!!

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Місяць тому

    Hao bundi waache ujinga tunawafahamu

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 Місяць тому

    kwa tulio fanya kazi sgr kilosa na kidete tunajua wingi wa ngedere , ni wengi hatari alafu ngedere wana utani hadi wanakera😅, sasa c changamoto itatokea kila siku

  • @danielsamwel3628
    @danielsamwel3628 Місяць тому

    Hivi toka lini ngedele akatembea usiku ?
    Au ndo yale mto mara ulichafuliwa na mikojo na vinyesi vya ngombe 😂😂

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Місяць тому

    USHIRIKINA UMEANZA KUCHUKUA NAFAS YAN HUJUMA LAZIMA WAFANYE TU ATA KWA USHIRIKINA YAN BINADAM DUH

  • @DeanWallace-lm1pi
    @DeanWallace-lm1pi Місяць тому

    Sio kwelli.....kabisa. haiwezikani UKA unda kituo Cha kupooza umeme. Lakini usi zingatie madhara ya ngedere na bundi. Hizi ni changamoto tu za awali tunazo pitia tukizoea MFUMO. Huu kama raia nge sema kuungana mkono na uwekezaji huu APA mkubwa, tupo pamoja na shirika hili. Na tunge nufaishwa zaidi na winginwa report kutoka watu binafsi namna VIPI, usafiri huu ume weza raisisha au kuezesha maisha.

  • @hafsasaif8004
    @hafsasaif8004 Місяць тому

    Mbona hizo tern Zimeshaonekana gerej😂❤❤❤

  • @businessngoni5334
    @businessngoni5334 Місяць тому

    ila mbona kama walisema hata umeme ukizima,treni zina auto system ambayo itajibadirisha na kutumia mfumo mwengine hapo hapo ili safari iendelee.... ila sawa ili tuone panapovuja ni lazima inyeshe kwanza.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Місяць тому

    Kwa tabia hii ya ngedere na bundi kuchezea nyaya za umene wa reli ya SGR, nawashauri TRC watenge fungu kwenye budget yao ya kutoa semina elekezi kwa ngedere na bundi kuhusu umuhimu wa kutunza na kuthamini miundo mbinu ya SGR na hatari ya kuchezea nyaya za umeme. Vinginevyo watashitakiwa kwa kosa la trespassing na economic sabotage! Poleni abiria kwa adha, kadhia na usumbufu mliokabiliana nao!

    • @Gersah
      @Gersah Місяць тому

      😂😂😂

  • @ahmed-shakirmwamba4992
    @ahmed-shakirmwamba4992 Місяць тому

    Kama kawaida ya Mashirika ya Umma,
    Uzembe unaanza mapema asubuhi.

  • @leonardkarumuna4905
    @leonardkarumuna4905 Місяць тому

    Tulihakikishiwa ifuatavyo😢
    Tanesco ikiwa na tatizo yafuatayo yatanyika:
    1. Treni Ina backup power ya kwenda Dak 20
    2. Kuna generator zitawaka na kutoa umeme
    3. Injini Zina diseli ya kuiendesha.
    Sasa Kwa massa mawili hakuna lililofanyika. Kadogosa sema ukweli

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 Місяць тому

      Viongozi waongo sana wanatuona wajinga

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony Місяць тому

    hawa ngedere watu na bundi watu 😂😂😂😂hawa

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Місяць тому

    Mnaparamia msiyoyaweza,ili mradi mpige pesa.Fikiria mliua Uda,mkaja mwendo kasi,nako kama tanga ndugu,mnamalizia. Huruma hamna,aibu hamna,ccm mbele kwa mbele.Hiyo tren hamuiwezi mtauwa raia,biashra mnayoiweza labda kununua upinzani,akina Msigwa.

    • @rafiurashid1021
      @rafiurashid1021 Місяць тому +1

      Ndugu!!! Wanawezaa,,,🤫🤫🤫🤫🤫🤫ila usiseme. Makonda Yuko wapiiii,,, mi naendaa 🚣🚣🚣

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Місяць тому

    Wameanza kutafuta sababu ya kugawa treni yetu kwa Waarabu, HATUWEZI KUSIMAMIA!!😊

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Місяць тому

    Ngedere na bundi kweli ina maana haobundi ndio wamekuja leo ? Umeme haukuepo kabla ya bundi au ni baada ya bundi kuwepo.... HIVI MNAONA WATANZANIA NI MAFALA

  • @amankamba8090
    @amankamba8090 Місяць тому +3

    Maaajabu haya😂

  • @mosesmpesa9
    @mosesmpesa9 Місяць тому +3

    Hakun kitu hicho hiyo ni mitambo ilizingua sio popo wala ngedere

  • @user-kv4zd2mz7y
    @user-kv4zd2mz7y Місяць тому

    Mbona niliambiws tren inahifadhi umeme?

  • @Algo.delaif
    @Algo.delaif Місяць тому

    Ngedere washenzi sana

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf Місяць тому

    Yani nime jikuta nacheka kama mazuli ila hii nchi ya hovyo sana😢😢😢😢😢😢

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Місяць тому

    Duh

  • @gaudencemhagama7216
    @gaudencemhagama7216 Місяць тому

    Umeme wenyewe unaakatika mda wote harafu treni asisimame ngoja tuzidi kuona vimbwanga

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Місяць тому

    Mnaposema Ni ngedere,Nyani au bundi mnamaanisha Nini?,Kwa maana hiyo Bundi ngedere au Nyani ndiyo wataamua treni iende au isiende!?, njooni na sababu yenye mashiko!!

  • @danielkabambi4199
    @danielkabambi4199 Місяць тому

    Mhhh vitu vya bongo jmn

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Місяць тому

    Zitakufa tu mbona viongoz wenyewe niwafanyabiashara wamabasi nama roli.

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 Місяць тому

    Yani sijui aliewaza kuhusu hii tren alikuwa na maono gani