Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MKASA MAUZINDE BABA AFUNGUKA YA MOYONI MWANANGU PIA NI SHOGA INANIUMA SANA NISAIDIENI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 чер 2024
  • MKASA MAUZINDE BABA AFUNGUKA YA MOYONI MWANANGU PIA NI SHOGA INANIUMA SANA NISAIDIENI.

КОМЕНТАРІ • 170

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 місяці тому +16

    Nanimkafika chuo sasa.mauzinde we.mzee.umenunuliwa eheee mauzinde mzanzbar ww mmakonde.sijui msambaa alafu hata ujapatia kuact ujui hata umri wa mwanao hizi media hiz mshofeli

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 місяці тому +1

      Kapangwa huyu msambaa

    • @YussufPandu-es7ou
      @YussufPandu-es7ou 2 місяці тому

      Sasa huyu si babaake mauzinde ,,,,nyinyi media watu wa ajabu

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 2 місяці тому

      Kweli c bbke huyu

    • @user-ow9cj2mv8b
      @user-ow9cj2mv8b Місяць тому

      Sikilizeni vizuri huyu ni msambaa ila ameulizwa kunamtu amekawa masikio znz ndio akajibu auuuuuuu

    • @mwanaharusmohd3732
      @mwanaharusmohd3732 Місяць тому

      Mzee wa kisambaa umekosa kazi Nini, muongo mkubwa we Mzee, katafute kazi

  • @jacklinefussy5227
    @jacklinefussy5227 2 місяці тому +11

    Mungu alinde kizaz changu pia amsaidie uyo kijana😢

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 Місяць тому

      sio tamaa ya pesa ni trained behaviour inayofanywa na wazungu kwa siri tunatakiwa amka tupinge ushoga kwa nguvu zetu zote vinginevyo si mda tuanaangamia

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j 3 дні тому

    Hizi media za kibongo hazina habar za maana, utaskia diamond kajamba, sjui wema sepetu kaoga, alikiba kahara, yani mnashindwa kuwa hoji Wananchi wenye matatizo, kazi kubwa kutafuta viewers na pesa ya youtube

  • @MsJabalkiss
    @MsJabalkiss Місяць тому +2

    Hichi sio kiswahili cha kwetu zanzibar huyu wa mchongo wala mavazi hayo hatuvai kama jinga😂😂😂

  • @officialfadhilomar5249
    @officialfadhilomar5249 2 місяці тому +13

    😂😂😂mbona baba km msambaa
    Wanangu huyu baba mmemtengeneza.....bila D mbili huez elewa

  • @NahirSaid-wj6ux
    @NahirSaid-wj6ux 2 місяці тому +4

    Muongo sie baba mauzinde anao ndugu, halafu baba yake ni shekh.

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 Місяць тому

    Inshaalla Allah atakujaalia uwe namtto msenge kumanina zenu siunaomba basi utapata subiri kidogo tu Ila sio tusotaka Allah atunusuru kuwa na watto km hao

  • @RiamiAli-dv5cl
    @RiamiAli-dv5cl 2 місяці тому +3

    Bila D huwezi kuelwa kw baba wa mau 😂😂😂😂😂

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Місяць тому +2

    Hizo ndio Media za Tanganyika wakipewa pesa kidogo tu wanamchafua mtu yaani habari za maana hawana wao ni Ungese tu..

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 17 днів тому +1

    Jamani yeye hajasema baba yake mauzinde, yeye mtoto wake ni mwengne, sema waandishi ndo wameandka kuvuta watu

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg Місяць тому

    Baba zidisha maombia mungu atamuongoza usikatea tamaa mungu nimkubwa kweli yaumaa

  • @user-mk8ph8qc9k
    @user-mk8ph8qc9k 2 місяці тому +7

    Uyo sio baba ake mauzinde

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 2 місяці тому +1

      Ni kweli huyu si baba mauzinde hana lafudhi hata moja ya kinzanibar na mau mara ya mwisho kasema ana 30 na mau ana sister zake

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 2 місяці тому

      Yuko kama mzaramo au mmakonde sio babake 😅😅😅😅😂😂😂

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 2 місяці тому +4

    Umefanana nae mwanao lakini nyote ni mapapai

  • @pataniabdallah9578
    @pataniabdallah9578 2 місяці тому +2

    Mzee msambaaa wa mtae😂😂😂😂😂

  • @pataniabdallah9578
    @pataniabdallah9578 2 місяці тому +1

    Mgosi iweee💃💃💃😂😂😂😂

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 місяці тому +2

    Acheni upumbavu nyinyi kumbe nyinyi.midia wapuuzu kuputiliza hutu sio baba wala jamaa wa mauzinde na mau wapo watatu kwao baba mmoja mama mmoja au zaid

    • @HABARIJAMIIDIGITAL
      @HABARIJAMIIDIGITAL  2 місяці тому +1

      Sasa wewe aliyekuambia huyo ni baba wa mauzinde nani,tatizo hujasikiliza interview mpka mwisho unaanza kulalamika

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 місяці тому +1

    😂😂😂mzee anaongea aibu anaona yeye anataman kujicheka uwongo wake

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 місяці тому +2

    Huyo baba mwenyewe naona km hao anaowasema😂😂😂

  • @SalhasaidMsellem
    @SalhasaidMsellem 2 місяці тому +2

    KAMA MWANAO BONA UNACHEKA CHEKA MITIHANI TU HII Y M.MUNGU ATUHIFADHIE WATT WETU

  • @jasmintanga2474
    @jasmintanga2474 Місяць тому +4

    Mwanzo na mwisho leo kuangalia habari jamii hua hamjui tu kama mnajiharibia wenyew media zenu hivi leo ukituma uongo kama huu mtu akaona kabisa kwamba mnaongopa ili tu watu waangalie unafikiri siku nyingine mtu akiiona hii media ataangalia tena hata km habar za ukweli? Acheni tamaa postin vitu halisia kama rizki mtapata tu

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 22 дні тому

    Kwanza huyo mauzinde babaake kasema amefariki sasa wewe uetokea wapi tena? Na mauzinde kashawahi kuoa kamuacha wewe baba tuambie ukweli,karibuni tu alikua anagombea urithi wa babaake. Mpaka akafukuzwa na dadazake ndani ya nyumba.kah ww baba

  • @user-ib8vo3qb4c
    @user-ib8vo3qb4c Місяць тому +1

    Baba wa mchongo hata umri WA mtoto wake haujui vizuri heti ana miaka kama ishirinatano thelathini hivi na hata UCHUNGU Hana ana chekacheka mmmmm njaa kali

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 місяці тому +3

    Shemahonge wee msambaa bwana matamshi mkaza mwana

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 2 місяці тому +2

    we mtangazaji kuma sana, mm ni jirani wa babake mau zinde anaishi kianga unguja

    • @hatimmohamed4299
      @hatimmohamed4299 Місяць тому +1

      Kweli bwege sana huyu, sie baba yake huyu, halafu mauzinde hajazaliwa peke yake kwao, wacheni kutafuta viewers.
      Habari Jamii waongo

    • @yunushaji5327
      @yunushaji5327 Місяць тому

      Kweli yupo Kianga. Alikuwa anauza hapo sokoni Kwa Haji- Tumbo. Babake Mi class mate wangu. Anaitwa Hussein Abdalla. Na Babu yake alikuwa anakaanga Samaki.

    • @husseinshenkawa7484
      @husseinshenkawa7484 Місяць тому

      Ácha uongo babu mauzinde Anakaa raha leo

  • @KhamisMnemale
    @KhamisMnemale Місяць тому

    Ila hizi kiki nyengine hovyoo kabisa Mau Zinde si mpemba mbona huyu kama mnyasa🤣

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 2 місяці тому +2

    Liongo hili libaba😂

  • @KhalidAli-nk5qh
    @KhalidAli-nk5qh 2 місяці тому +3

    Huyu muongo mzandik

  • @jenipherelias4838
    @jenipherelias4838 2 місяці тому +4

    Acha uongo mzee sio mwanao njaa itakuua

    • @salhkasmm558
      @salhkasmm558 Місяць тому

      Yy anasemea mwanawe sio mauzinde

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Місяць тому +1

    Mtanganyika kashiba mihogo

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Місяць тому +1

    Si baba wa Mauzinde sie kabisa huyu ni mtu kutoka bara matamshi tu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 2 місяці тому

    Lisemwalo lipo hamjasikia mwkiembe uchunguz,wk,hd kapeleka Bungeni,n hk shuleni,huyo Mzee anaongea kweli,

  • @MwantumuJuma-sp5rk
    @MwantumuJuma-sp5rk Місяць тому

    Mungu amuepushie huy kijana

  • @salmakibwana3367
    @salmakibwana3367 Місяць тому

    Sio mwanao mauzinde acha kutafuta kiki 😂😂😂

  • @user-no7vx6vk4j
    @user-no7vx6vk4j 2 місяці тому +1

    Acheni ujinga huo
    Musichafue Media kwa habari za uongo.....vijana wa bongo acheni kuigiza ujinga

    • @salhkasmm558
      @salhkasmm558 Місяць тому

      Hamjamfahamu huyu baba anataka ushauri wamwanawe yupo kama mau.

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 2 місяці тому

    Msaada omba kwa ALLAH mjinga ww

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 2 місяці тому

    😂😂😂😂yan huyo baba daa nishida

  • @maxneemanngunda4911
    @maxneemanngunda4911 2 місяці тому +2

    Nilkuaga nime subscribe hii media lkn naomba niwablock, mana kila siku habar za kisengesenge ndo mnaona vya maana

    • @MTANGACOMEDYTZ
      @MTANGACOMEDYTZ 2 місяці тому

      We nae acha usenge wako hapa kama unataka taharifa za vifo si uende tbc huko

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Місяць тому

    Kwanza mtuzima haitwi muonga sna kitendo cha kusema ana mtoto moja tu ni uwongo mkubwa haon hata aibu ukimuangalia macho tu unaona huyu mzee sie😂😂😂😂

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 2 місяці тому +1

    Acheni huu ujinga'mnawafundisha nn watoto? Huyu mzee si mzanzibar 'mau ni mzanzibar. Acheni fakes news

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 місяці тому +1

    Hakuna ki2 km hicho,mxaxi mchongo,anakusaidia kwa kukuvua suruali,wewe mwenyewe umekaa kisengesenge.

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 2 місяці тому

    Dah

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 Місяць тому

    Huyu baba mwenyewe anaonekana mhusika mkuu wa kuharibika kwa kijana

  • @duskodalla7117
    @duskodalla7117 18 днів тому

    Sio baba yake mauzinde

  • @davidbandajr3444
    @davidbandajr3444 2 місяці тому +3

    Yesu Ndiye awezae kutuokoa

    • @MohamedIbrahim-bn1gz
      @MohamedIbrahim-bn1gz 2 місяці тому

      tunangojea

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 2 місяці тому

      ​@@MohamedIbrahim-bn1gz wee endelea kumngojea mtume YESU hakuhusu 😏😏😏

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga 2 місяці тому

      Hali ni mbaya huko Makabisani ogopa sana

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 2 місяці тому

      @@BrunoNamanga kwani kaongelea habali zaka nisa au YESU

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 18 днів тому

    Wala hainogi anaweza akawa baba yk sio hoja wamakonde Zanzibar wamejaa mpk kuzaa huko huko wamezaa mbona mpk wamekuwa wenyeji na wamachinga

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 місяці тому

    Mau ni MVP wa mashoga wa TZ

  • @GfgGgg-sc2uy
    @GfgGgg-sc2uy 2 місяці тому

    wewe Babu muongo huyu simwanao mtangazaji wewe mpuuzi mauzinde Hana mama huyu Babu ana cheke😂😂😂

  • @adievega1933
    @adievega1933 Місяць тому

    Huyu sio bab wa kutunga kweli

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Місяць тому

    Hizi media nyingne za kisenge sana baba mtu anaonge kinyamwezi huyo shoga anaedai mwanawe ni mzanzibar .achani kutumalizia bando zetu uwongo2 huyu mzee amepangwa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 місяці тому

    MZEE SUBILI MATUSI YA NGUONI NA KUPANGWA KUPEWA PESA KIDOGO UTAJUTA MATUSI UTAKAYOPOKEA 😂😂😂

  • @Sasasa-bl2qc
    @Sasasa-bl2qc Місяць тому

    Lakin na wewe hukuharibu watoto wa wenzio ktk ujana wako, hebu jitafakari,? Kwani malipo ni hapa hapaaaaa

  • @moseskillagane160
    @moseskillagane160 2 місяці тому +1

    Kwanini mnaleta masihala kwenye hii taaruma nyie acheni kuchezea taaruma za watu

  • @christinashaban7262
    @christinashaban7262 26 днів тому

    Zee jinga na anaekuhoji pia jinga kubwa

  • @aminasoud7797
    @aminasoud7797 2 місяці тому +1

    Acheni uongo sio baba ake

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS Місяць тому

    MAUZINDE NA MSAMBAA WAPI NA WAPI? HAMJUI HATA KUDANGANYA. HALAFU MZEE ANAONGEA HAWEZI HATA KUIGIZA HUZUNI😂😂😂😂😂

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida Місяць тому

    😂😂😂😂😂huy bba wamchngo

  • @khadijasaid4983
    @khadijasaid4983 Місяць тому +1

    Huyu sio baba yake mau wapuuzi nyie

  • @HaroubAbdallah
    @HaroubAbdallah 2 місяці тому

    Hahaha, huu mtihani kwanini sasa anafanya ivi nayeye mtu mzima

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 2 місяці тому +6

    Huyu si baba ni wajinga wachache tu wanaopangwa

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga 2 місяці тому +1

      Subiri yakukute tuulize sisi haya mambouyasikie tu

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga 2 місяці тому +1

      Nilizika mwanangu sintosahau miaka 27

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 2 місяці тому

      ​@@BrunoNamangaalipatwa na nini?

  • @mbaroukally8655
    @mbaroukally8655 2 місяці тому +1

    Huyo so baake,si ni mtwana mmemuokota wapi

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 місяці тому

    Hakuna mzazi mwenye akili timamu awezae kufanya huu ujinga kwa waandishi wa habari la sivyo nayeye anapakuliwa

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n Місяць тому

    Unataka kufirwa tu na wewe kumanina😂😂

  • @user-yc6ri5jz9r
    @user-yc6ri5jz9r Місяць тому

    Its pain

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju 22 дні тому

    Mm nataka akuchambe wewe mzee mpaka ukome.juzi alikua na dua ya babaake. Hanaelimu kubwa mauzinde, tena umuache mama wa watu, siomkeo.

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 Місяць тому

    Babake mtu wa heshma hawezi kutoka kwenye mitandio nyie waandishi wa media waongo

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 місяці тому +1

    Huyo mauzinde kafika chuo 😂

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 Місяць тому

    We mzee huoni vibaya kusema uwongo

  • @rastapeace9616
    @rastapeace9616 2 місяці тому

    Huyu baba yake wa mchongo na yeye naona Kama shoga mwenzake duuh anataka kiki

  • @user-wc3yh9ct3z
    @user-wc3yh9ct3z 2 місяці тому

    Sema nn ww mzee mm nakujua muuza kahawa tabata msimbazi wa huna mtoto acha njaa huu ni uongo

  • @LatifaTwaha-nm3tg
    @LatifaTwaha-nm3tg Місяць тому

    Mshmba sanaaaaa hata kuvaaa hajui

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 Місяць тому

    MBONA KM UNAONGEA HUNA UCHUNGU KM UNACHEKA BALADA YA KULIAA!!😢

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j 3 дні тому

    Huyu mtu wa mchongo, kama hamna cha kuandika acheni kutafuta viewers na pesa za youtube, huyu sio zanzibar, Nyinyi wasenge acheni kuandika habr za uongo na kutafuta pesa za youtube

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Місяць тому

    Hiyu sio baba yake mau jomon uongo mtupu

  • @ZuberSalum-mq4jy
    @ZuberSalum-mq4jy 2 місяці тому

    Wasenge wachen ujinga tunapotezana msaada akamfile mwenyewe au fila neni nyie wawili ili mjue nn kinampoteza

  • @MetodiDominiko
    @MetodiDominiko Місяць тому

    Wemuongo

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 місяці тому

    Sidhani kama ungekuwa mwanao kama ungeweza kuwa hapo dhahir

  • @tatoo0098
    @tatoo0098 2 місяці тому

    Huyu sio babaake mau bwana 😢niwaongo 😮

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 2 місяці тому +1

    Kijana Wako anataka matibabu

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o Місяць тому

    Kama umegundua ni BABA WA MCHONGO .WEKA LIKE TWENDE SAWA📌

  • @rahmarashid1670
    @rahmarashid1670 Місяць тому

    Waongo kabisa huyo sio babaake kabisa jamani mnachuma dhambi

  • @adamjonasi8078
    @adamjonasi8078 2 місяці тому

    Sijui mnapata faida gani kuleta content za uongo, tutaanza kuwaripoti sasa

  • @adievega1933
    @adievega1933 Місяць тому

    Mbona kama uongo 😂😂😂 kutia aibu kweli anatia ila sio baba wa ukweli

  • @stonetown578
    @stonetown578 2 місяці тому

    Mpumbavu wa maisha njaa itakuuwa.

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 2 місяці тому

    IYO TV YENU HAINA MAANA ATA KIDO YA KUFUNGIWA KABISA KUANZIA LEO TV SIIKUBALI TENA

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Місяць тому

    Sasa huyu nimzazi kweli am ni punguwan san jinga san wallah huyu ni mtuy wa unguja kweli hata ongea yake ya bara duuh

  • @selinakatega6691
    @selinakatega6691 2 місяці тому

    Bado nalijadili hilo koti la mmiliki wa magali Halafu huyu baba nae upinde

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Місяць тому

    Sie baba ake mauzinde ovyoooo

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 Місяць тому

    Mh pesa mbaya mpaka mtu mzima anakuwa msanii kama hivi taii. Koti tajiri msambaaaaa

  • @user-sp2fq5xu6v
    @user-sp2fq5xu6v 2 місяці тому

    Yaani usaidiwe na mwandishi

  • @jjjhhb4300
    @jjjhhb4300 Місяць тому

    Baba wa mchongo

  • @wanimzur5597
    @wanimzur5597 2 місяці тому

    huyu ni mtu mzima lakini kwa kwetu humwita mtu mzima ovyooooo

  • @user-rt7hr4ey2q
    @user-rt7hr4ey2q 2 місяці тому

    Acheni uongo nyinyi huyu masi kabisa ungoooo

  • @user-me5jv4fq4c
    @user-me5jv4fq4c Місяць тому

    Kitu kinacho sababisha ni utandawazi vitu vya kuleta hisia ni vingi na waziwazi watoto wanaona na kuiga

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 2 місяці тому

    Baba wa mchongo 😂😂😂

  • @AshfaynaAli
    @AshfaynaAli Місяць тому

    Haach Tena uyo ashanogewa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 місяці тому

    Huyu msambaa mbona kama amepagwa vile. Siyokweli kabisa kapangwa huyu. Histoli ya uwongo

  • @jimmyajmi8501
    @jimmyajmi8501 Місяць тому

    Mchome moto wa nataka bas

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 2 місяці тому

    ACHENI UJINGA UWO KWANZA MAUZINDE BABYAKE SIO
    MTANGANYIKA ICHO
    CHOMBO CHENU CHA HABARI KINASTAHIKI KUFUNGIWA

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 місяці тому

    Sio baba mauzinde ana ndugu wengi na dada anayo

    • @salhkasmm558
      @salhkasmm558 Місяць тому

      Mau ni mfano wa mwanawe anaombaushauri Mumbai mumsaidie amfanye nini

  • @Anuaryomary-su9cd
    @Anuaryomary-su9cd 2 місяці тому

    Acheni usenge huyo sio babaake mauzinde msambaaa uyo acheni propaganda