I wish ungeliendeleza zile kaswida kama katika habari ya kutolewa roho,tutaiacha dunia,shida ya mwenye kutolewa roho.Naona ukiendeleza hivi utaingia wasafi.I have been following your kaswida tangu 2014.Tumuogope Allah na tubaki katika msingi ya dini.Dunia ni yenye mapito.Mziki ni Haram.
Huyu dada ako n'a sauti tamu sana, kanikumbusha Enzi za taarab île nyakati ya zamani, endelea ivo ivo Kiswahili yangu si nzuri vile Mimi natoa mke uswahilini🌹 Nakuskiza kutoka ufaransa mimi mkenya 🇨🇵🇪🇺🇰🇪
I was here again 28th of august.... i yell you this song keeps me awake day in day out....a kenyan by birth living in Amsterdam city....long live my Tanzania artists......hope the founder of this song will attend my wedding wen I get back into Africa♥️♥️♥️♥️👋
Dida ama khadija najua husomi maoni ya watu ila nakusahuri angalia Sana akhera yako kuliko kufurahisha wanaadamu... Hii unayofanya wewe Sasa ni toomuch... Uislamu haujatufundisha haya unayofanya j
I wish ungeliendeleza zile kaswida kama katika habari ya kutolewa roho,tutaiacha dunia,shida ya mwenye kutolewa roho.Naona ukiendeleza hivi utaingia wasafi.I have been following your kaswida tangu 2014.Tumuogope Allah na tubaki katika msingi ya dini.Dunia ni yenye mapito.Mziki ni Haram.
Sure, uko sahihi Sasa anapiga taarabu sannah hatar inakuja zaidi zinaporuka kwenye public
Mm harusi yangu nawalika
Machallah Ukhty Dida tunashukuru sana kwa ma kaswida zako, khasatan Mimi kuliko nisikilize niombo afadhali kaswida muendeleye
Hakika hizo ni nyimbo tu na miziki na allah ameharamisha
😮
Huyu dada ako n'a sauti tamu sana, kanikumbusha Enzi za taarab île nyakati ya zamani, endelea ivo ivo
Kiswahili yangu si nzuri vile
Mimi natoa mke uswahilini🌹
Nakuskiza kutoka ufaransa mimi mkenya 🇨🇵🇪🇺🇰🇪
Wallahi
Ukhty Didah NAKUPENDA buree.... nice nasheed🤩🤩🤩👌
Hii sio nasheed kipenz
Ukhty umetish mashallah mola akulinde❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Da dida siwez kujiung n chuo chen wallah nawapend mpk bas
She sings well tusimuonee wivu tumpongeze🥰🥰🥰🥰🥰
Pambe
Mashalah
MashaAllah 🤲🇰🇪💕💕💕
Ongera mwaya
Very good
Mashallah ukhty dida mtt usojua kununa wallah kazi zako huwa sichoki zitazama nakupenda mtt mzuri Allah akuondoshee husna za watu na majini
mashallah i always 💖💝 this qaswida congratulations ukty dida
Mmekuw kama siafuuu😂😂😂😂😂
Mashaallah ❤
Ma sha Allah Swadakta Mungu Akuwezeshee Zaidi Ukhty Dida
7a🙂
Yupo vzr uht dida mashaallah mng mzdshie mwenyewe
Weuweeeeee dyda hap umetisha kuliko zote mmh yan adi rahaa kitu pambeeee ataryyy
Mashaalaa...inapendeza sana😍😘🥰🥰🥰🥰
Dyda jamaniii wallah ww hatar na nusu ....mashallah. ...jicho la hasad lsikuonee......faaaa akeeeeee
💞🤝💃🏼
Amin thumma AMin
Mashaallah kaswaida imetulia sn nkpnd sn diyda ww kwel kiongoz wa mabanat hilo hkn wa kupingaa
Ukhaty dida pambeeee 2 haubahatishgi ww, nakupend my sis kaz nzur more bless keep it up
ouzouri wa zanzibar raha nana fasi hamou nyengui oulawa rohoni Marahaba wadjama watoukoufou wami bweni mariama wami oufourahi kabisa nahikiya saouti ndjema kasuida🤲🏻🤍 macha allah saouti yatarabou AAAA🤍🤍🎉🎉🤍🎉💓🤍💖💖🎉🎉💯💯💯🎉🎉🤩🥰🤩🤩💋💋💋🤩🤩💋👍🏾👍🏾💋
Dyda wandu mshuli nakupend atary I love u dyda Allah akuzidishie kipaji chako Ameen nakupenda mno Kwa kwl by ifa
Nakupenda piaaaa
From Somalia... Saa hii nina soma Kiswahili.. Nampenda this girl. Sauti yaku ni nzuri sana ❤
Y66ý
Ww unajua vizur kiswahili
⁸7this y5ou😢f😊
@@Cutiehelena ir
Penda sana!
Mashaallah ukthy dyder nakupenda sana na naikubali sanaaaaa kazi yako Allah akupe kheri na mwanga kwenye kazi zako🤲 wallah raha sana
Mashaallah ukthy dyder nakupeda Sana
@@shuwenahassan1970 hi
Mashallah ukthy dyder naipnda xna
Hi to
I was here again 28th of august.... i yell you this song keeps me awake day in day out....a kenyan by birth living in Amsterdam city....long live my Tanzania artists......hope the founder of this song will attend my wedding wen I get back into Africa♥️♥️♥️♥️👋
Unatisha xana dada akeee!!!!❤❤ Maashallah
❤❤❤❤❤❤❤ ovyo 🎉
Masha Allah kuolewa raha jaman 😘😘😘😍😍😍😍😍
Ukhty Dyda mashaallah nakupa sn hapa Dar nisalimie Fakky na juma wote AQaz
wallahi didah itabidi uniozeshe mwanafunzi wako mmoja mwenye sauti kinanda kama yako, nafarijika kuskiza qaswida zako
Wonderful song. Sisi waswahili toka Rwanda na DRC tunaburudika na Qaswida
Hongela dada nyimbo nzuli sana ❤❤❤❤
ahsante sana kwa wimbo mzuri sana kutoka Rwanda
apaa.didaa me rohoo yng kituu inapndaa nawaza harus yng.inshallah ukujeee sin shakaa habibty😊😊😊
Epitome of Taarab, uandishi 💯💯💯🔥🔥🔥, mashairi 🔥🔥🔥 I love this 😊
Mashallah nimependa wimbo sana wimbo wako Raha leo raha
Mashaallah ukhty dida pambeeeee
Mm nimekwama hapa kwa wanao subiri lift hawana element
😁😁😁😁😁
Mashaallah Mashaallah anaimba Hana pupaaa katuliaaa 👌👌❤️❤️
Mashaallahha mumy nakupenda sanaaa. ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie kipaji❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hakuna kaswida ktk Dini yetu .zote hizi namfan wahizi ni nyimbo tu .Allah awaongoze nass pia .
Great song, great tune and words 👍👍
Mashallah
Naipenda hiyo Ngoma.
Naipenda hiyo Ngoma.
Masha Allah nimeipendasana hii kaswida Asante sana dada yetu kipenzi dida
Nice kasida pambe tup👌mashallah 😘😘😍😍
Mashalha dida machekooo
Ooh my god 🤲🙏 niwamisi kinoma🫶🫶🫶🫶💓👌🇧🇮
Hongera sn Ukht Dyda qaswida njema sn, nisalimie sn Swahiba wng Juma fakky v Fakky mbarouk.
Very nice qaswida. Mashaallah.
Waooooo jaman love ukhty dida jamn pambeeee weuweeeeeee honger nuwaila
Kaza didaaa watajiju weuweee wanikoshaje naona hafsaaa pambeee wamedamsh ila did umetukwema kimacho naliaaa😭😭 cjaona tabasamuuu lk stejin
Dida💜💜💋
Dida upo juu mashallah Allh akubarik akupe riski za halli inshaallah
Ameen🤲
Ma shaallh nakupongeza nikiwa 🇰🇪
Hata me nampenda xn ukhuty d❤❤❤
يا سلام أغنية فوق الوصف ومنظر رآئع جدا
اي لغة هاذي الاغنية؟ وفي أي بلد؟ ، الأغنية رائعة
زيجبار من تنزانيا@@HindAli-fu5wx
Mashallah by ukhut swaumu anakupenda
Mashaallah mashaallah ukhty nakupenda sana allah akuzidishie
Mashaala ukhty dyad
aoq1q
@@athumanimunguakupewepesikw1708 Z. .......
❤❤❤ukhty Diyda ahallumtangana from khm shy
Dida we ndo kiboko yao ...Hudhaifa frm Kenya
l need more ❤
Kwel mungu azidi kukutia nguvu❤❤❤
Mashallah warembo kweli nawapenda sana ukhi Dida uko juu 👍
Mashaallah mungu akuweke daima dada dida
Hongera dida nimeangalia hii qaswida ina view 2.3M
Much love Ukhty 🥰🥰
Much love daa ukhty ❤❤❤
Asmaa from Kenya love 💕 so much congratulate
And you call yourself UKHTY?? Subhaanallah. Allah akuongoze dada etu mana uko unakoelekea kubaya wallah.
Duh kwakweli msiba lakin vichwa havisikii kitu shetwani kawakamata kisawasawa
Mashaallah nzur adi raha😘😘😘
MashaAllah Ukhty Dida Mungu akujazi kila la kheri
Mashallh jongera. Qaswida mashallh 👌👌👌👌👌👌👌😅
kuna mdada alievaa miwanii nampenda san km kun mty anamfaham anifamishe
I love you so much my sister yaan huna mbay dadaang
Mashaallah ukhity dida . Mim nakuhitaj ninaharc ya mtoto Wang naomba mawasilian yako nitakupataje
Piga no hii 0777868264 utapata unacho kihitaji
Mmependa San na pia mnaimba vizuri San ten san jmn
Mashaallah kazi nzuri
Mashaallah Dyda wallh unajua mpaka unakera nataka kuoa sasa nataka unitungie kitu kimoja kikali ila sijui nakupataje
Dyda wew ni mkali na nusuuu hakun kam wew nan kama dyda hakuna wew ndo jemedari la mabanati
From omán
Napenda qaswida zako dida
Nikekupaa chansy Yako offf 100 ni weww or unajaribuu jahazi latakaa kuenda wasubiriwa wew ukotayarii nifanye Sab fast
Mashallah god blessing you...I love you ma sister
Thanks a lot my dear...👍👍👍
Mashallah siz... Inshallah harusi yngu nakualika hku Kenya💖💕❤️
Dida ama khadija najua husomi maoni ya watu ila nakusahuri angalia Sana akhera yako kuliko kufurahisha wanaadamu... Hii unayofanya wewe Sasa ni toomuch... Uislamu haujatufundisha haya unayofanya j
Hongera dida
Mashallah dada dida Allah akuzidishie kipaji chko🥰🥰
Mashaallah thabarakallah dayda juu sana wallah
Ana pedeza sana huyu dada akicheza na sauti yake pia daa
From Oman with mapenzi ya dunia
Hapa Leo umnkosha ukhty dyda god akuzdshie saut mashallah nkpnd Burr bure
Faridah from Burundi love u so much Dida 😘
Mashaallah dada dida mungu azidi kukupa nguvu kati kazi zako
Dida ur so creative, even the way you use to mention the names of those Nuwaila's teachers is so poetric that i always keep on replaying the song
😊
MashaAllah utafika lini mombasa dada
Nakupenda sana dida na qaswida zako napenda kusikiliza sana allaha akuongoze inshaallaah ktk kipaj chako
Mashallah mola akujalie n moyo huohuo ...mob lov kwako dyida 🇰🇪
Mashallah umewezaa mpezi!! Mungu akuzidishie kipaji habibty.♥️💯💯💯♥️
Mashallah Ukty Dyda Am always proud of you
Good masalla
masha allah ya dyda mimi SHEIGH HAKIM COMOROS NAPENDA WEWE QASWIDA ZAKO PYA MASHA ALLAH HUSUDA BALI NAWE
MashaAllah na me mw/ mungu anijaalie nipate wa halali InshaAllaah
Maaashaallah
Qaswida Nzuri
Asanteni sana
From somalia napenda huyu mischana
qaswida nayo ni kiboko yako pambe Mashallah
Maishaallah nawapend sana
wamebak aty.atyy jmn didaaa 🙌🙌🙌🙌🙌😘😘😘
I'm here with love of my life #Leen💖💖
Mchetu anaimba vizuri
Mashallah mashallah Zanzibar tuna mambo yetu mashallah
Safi sana ukht dida nakupenda sana kwa kasda zako
mashallah dada napenda sana kaswida zakoo maana zina ujumbe mzur 🌷