Mh.Chalamila ujumbe uliopo kwenye huu Wimbo ni mnzuri sana na inafaa sana kwa kizazi cha leo wakaelewa maana ardhi imeisha kwa kuuza bila kujua wapi wauzaji wa ardhi hiyo tunakwenda zaidi tutakuwa watwana wa hao walionunua ardhi tuliyoachiwa na babu zetu
Yan nakulilia sana chalamila wangu hakika mweshimiwa Samia kwa kukutoa kwenye ukuu wa mkoa kafanya haraka sana utadhan alikiw na ugomvi na ww tafadhali rais umrudishe chalamila mkoa wowote Tanzania.
Ukiweza zunguka au tembea nchini kote, uelimishe jamii yako itakuinuwa tu, sauti yako bado ipo ndani ya jamii pia majambo na maono yako kwa watz yaendeleze, njia na nafasi bado unayo, wazo jepesi tu.
Chalamila omba musamaha kwa Mama atakusamehe. Najua unapenda utani sanaa ambao unachangamusha ila angalia maneno yakutamuka kwa watu. I nguluvi yinya lusungu.
Yes kuteleza siyo kuanguka bado ni kiongozi mchapakazi.Mama kumpeleka mwanza jiji ilikuwa ni Imani kubwa sana kwake.Soon atakuwa bungeni mbunge wa kuteuliwa
Kaka usivunjike moyo kwa hayo unayopitia yana sababu. Nahitaji namba yako ili tufanye kolabo moja hatarii ambayo itakuwa ya kumshukuru Mungu. Na kila atakaye isikia masikio yake yatawasha. Nadhani unaifahamu mundo band?mimi ndiye mwalimu wa hiyo band
Hongera Sana mtani wangu mungu atakulipa mema nimeuelewa Sana ujumbe wako kupitia huu wimbo wako kumbuka ya kwamba mungu ndio anajua liziki za waja wake
Bonge moja la ngoma kiukweli mh kakuonea tu kukutumbua binafsi sikuona kosa lako nilichukulia Kama utani tuliozoea kuusikia kwako all in all mungu atakulipa
chalamila nikiongozi Mzuri tatzo lake akilizake zinaingia nakutoka, zikitoka ndio pale huropoka upuuzi mbele zawatu.hongera mama kumteua tena atakua amejifunza sasa.
Ndgu zangu ya Mungu ni Mengi ,Mungu akitutoa mahali tunalaumu ni Mungu anampeleka viwango vingine tumuombee Ulinzi wa Mungu na Mapenzi ya Mungu yakatendeke juu yake
Shukuru kwa kila jambo unawezakung'ang'ana na nafasi kumbe sio riziki ukakutana na jambo zito zaidi kumbe sio riziki najua unatufaa sana baadhi ya watu ila hila za shetani ndo zimetawala ulimwengu
Nazipenda nyimbo zako. Umenikumbusha Igowole na Malangali baba yangu Mwalimu Kambanyuma alikofundisha enzi hizo. Mungu azidi kukutunza 🙏🏿
Kama umekuja kusikiliza njimbo baada ya kupata taarifa kuwa anajua pia kuimba tena vizuri.likes za kutosha
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Nyengule we wihosa nimeipenda hiyo🤣🤣🤣😋
Nice song zaidi ya mala 30 nasikilizi ujumbe huu tujitafafakaki Iringa
Yaani siku zote maisha ni kupambana ,Chalamila ametisha.
Hongera Chalamila
Mh.Chalamila ujumbe uliopo kwenye huu Wimbo ni mnzuri sana na inafaa sana kwa kizazi cha leo wakaelewa maana ardhi imeisha kwa kuuza bila kujua wapi wauzaji wa ardhi hiyo tunakwenda zaidi tutakuwa watwana wa hao walionunua ardhi tuliyoachiwa na babu zetu
🎉ulonzile myawe.
MH ALBART hongera sana kwa Uimbaji wako! Tunakukaribisha MBEYA SOKOINE tar 29/6/2024 Twende kwa Yesu! UBARIKIWE SANA!
And finally, umeteuliwa tena. Hongera.
Hongera sanaaaaa kamanda Chalamilaaa daaa wee ni mwamba
Chalamila umeachwa na mwanadam siyo mungu subiri mungu atakuinua kwenye viwango vingine
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Kukaye❤
Wimbo una maudhui. Chalamila ni filosofa mwalimu na mwanasosolojia. Mwalimu mzuri. Wengi hawakumuelewa. Nilimuelewa mimi tu.
Mcheza kwao Hutunzwa Watu wa Mufindi Tuko juu
Mh.Chalamila una akili sana huu wimbo una maana kubwa sana.. Big up Chalamila
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Kiukweli chalamila unatisha baba nyimbo zako nazikubari sana ne ndimwamalekela bwana
Hongera sana Mh. Chalamila kwa kazi nzuri na elimu inayo komboa jamii yetu
myawe twisukuru kweli kwa ujumbe huu
Mwalimu wangu Asante sana kwakunifundisha fom2nafom4 Tabata high School shkrani Sana Mungu AKUBARIKI SANA
Heee! Kumbe alikua Mwalimu
Kwe kwavi ngudi kuve wunyambe mstari pendwa huu
Mkuuu hongera sana una kipaji , labda Mungu aliruhusu yatokee hayo yote kwa kuondolewa nafasi yako, kuna nafasi Mungu amekuandalia
It is very very in fortune,muda wote Niko na chalamil mbeya sikujua kama tunashea fani ya music.NIMEMPENDA GHAFLA.
Mheshimiwa Chalamila Ndeeti.shukuru kila jambo.
Nyimbo nzuri sana' Hongera Chalamila
Ndio uzuri wa kuwa na vipaji vingi! Hongera!
Mama hawataki wenye akir
Huyu jamaa ni kiraka wa vipaji vingi!!!
Hongera sana!!! Unogage baba!!
Msanii halali njaa....
Another magufuli...
Duu jamaani kweli kamtowa uyu jaamaa mama machozi yamenitoka
Yan nakulilia sana chalamila wangu hakika mweshimiwa Samia kwa kukutoa kwenye ukuu wa mkoa kafanya haraka sana utadhan alikiw na ugomvi na ww tafadhali rais umrudishe chalamila mkoa wowote Tanzania.
Hongera baba vidio
Jitaidi utoe vidio huu ni mzuri sana mkuu
Jembe langu big up🤝🤝
Mkuu mungu akuinue sana huyo mama vipi??
Alikuwa kiongozi bora sana. Hasa mi binafsi namuombea asiachwe hivi hivi kuna mema aliyoyatenda
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Kabisa sema mama anpenda kusikiliza miluzi
Ulimi mwanadamu nikawaida kuteleza.
Hongera Kwa uteuzi wa kuwa RC Kagera
Hongera sana Mheshimiwa kumbe unaweza kuimba
Mtegemee Mungu mkuu utaxhinda cmxapoti kbxa mh Rais kukutumbua ww yani nakuelewa na cion koxa la ajabu kwako
Hahaha hahahah chalamila bhana ana mambo
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Hatariiiiiii sanaaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Duh kumbe wa nyumbani kabisa.Mungu akubariki popote ulipo kiongozi Kamwe usipungukiwe na chochote.
Mkuuu wa mkoa mpyaaa wa dar-saalam
Hongera Rc Mbeya kwa wimbo mzuri pia kwa kuisifia Mufindi yetu
Hongeraaa saaaaaanaaaa
Kamwene myawe ndipulikisa izimbo neke nofu be
Nimeipenda nyimbo mukwi Yu mukami de! 😂😂😂
Mungu hatokuacha lipo fungu lako mwamini Mungu ndiye mpango yote
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola
Uuuuiiii!!! Samia🤣🤣
Huyu jamaa nampenda sana,hili ni jembe kweli kweli
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
iringaa oyeeeeeee
Ukiweza zunguka au tembea nchini kote, uelimishe jamii yako itakuinuwa tu, sauti yako bado ipo ndani ya jamii pia majambo na maono yako kwa watz yaendeleze, njia na nafasi bado unayo, wazo jepesi tu.
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Mungu aendelee kukutunza akuagizie Malaika zake wakulinde
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉brother chalamila
Hongera broo,nakupongeza Sana,raha kuwa na vipaji vingi
Kumbe unaweza kuimba, Mungu akuinue uanze kumuimbia yeye
Big up, imekaa vizuri na ujumbe umefika
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Pongenzi mhshmiw chalamila mungu akuongozw ilikuwa kiongozi Bora
Safi sanaa chalamila the great ..bonge LA nyimboo .humyeeeeee ifideo ya ulyimbo uluu tuduveee twiyangasule
Kamwene abahehe Bose?
Mtani wangu weee upo vizuri sana mh chalamila mungu atakuinua katk kazi zako kama ipo. Ipo tu mtengemee mungu
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Yesu awe pamoja nawe utakapo na uingiapo asikuache
Sawa baba angu
,nyalukilo utuminiki numbula yangu meme ndimmyakumugagao nyongidze mtwa nutakuombea siku zote Askofu mkuu Ngoda
Wiimba lunofu be myawe
Saut yako ni ya kuimba nyimbo za injili anza kumuimbia Mungu utafika mbali sana
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Twishukuru kwa ujumbe wenye nguvu
Mimi wa kilolo ila nafrahi wote ni iringa na mbekuli kuna mibiki na malunguru😂
Chalamila omba musamaha kwa Mama atakusamehe. Najua unapenda utani sanaa ambao unachangamusha ila angalia maneno yakutamuka kwa watu. I nguluvi yinya lusungu.
Chal amila umetisha hongera
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Jamaa alilewa madaraka... Upumbavu mkubwa...
Yes kuteleza siyo kuanguka bado ni kiongozi mchapakazi.Mama kumpeleka mwanza jiji ilikuwa ni Imani kubwa sana kwake.Soon atakuwa bungeni mbunge wa kuteuliwa
Wimbo mrua. Tutaupiga tutakapochukua nchi chini ya Umoja Party
Mh Munguakubari kazi yamikono yako Nakupenda sana baba
Mungu yupo upande wako kazi nzuri sana
Kaka safii sana. Nimependa sana
Kaka usivunjike moyo kwa hayo unayopitia yana sababu. Nahitaji namba yako ili tufanye kolabo moja hatarii ambayo itakuwa ya kumshukuru Mungu. Na kila atakaye isikia masikio yake yatawasha. Nadhani unaifahamu mundo band?mimi ndiye mwalimu wa hiyo band
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
mmeona gharama ya kifo cha magu,huzuni yote hii imeletwa na kifo cha magu
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Safiiiii xn.
Daah na kumbuka 2013 ebon fm Edwinny bashili mtangazaj aliusifia sana wimbo
Kumbe alikuwa mtu mwenye talent ila aliharibiwa kwa kuiga sifa za mtawala
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Huyu jamaa yuko timamu kiakili
🦒🦒🦒🦒🦒
Hogera sana Babangu Chalamila
Hongera mh DC
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Hapo ndio watajua haukuwa na maana mbaya
Nakukubali sana fanikiwa kaka
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Chalamila - Mola Mola (official audio)
Nakubali Sana mheshimiwa lkn naipataje ile nyimbo yako ya hodi?
Yaan huo nampenda huyu jamaa Allha akujalie natamani nihamie mafinga tukachague ukawa mbuge bado binafsi yangu nakukubali mno🥰
ua-cam.com/video/t0c2fICi9bU/v-deo.html
Hongera Sana mtani wangu mungu atakulipa mema nimeuelewa Sana ujumbe wako kupitia huu wimbo wako kumbuka ya kwamba mungu ndio anajua liziki za waja wake
Bonge moja la ngoma kiukweli mh kakuonea tu kukutumbua binafsi sikuona kosa lako nilichukulia Kama utani tuliozoea kuusikia kwako all in all mungu atakulipa
Mama ange mpa mda jmn yupo vizr ktk kujenga uchumi but Mungu ni mwema vyeo ni dhamana tuu.
chalamila nikiongozi Mzuri tatzo lake akilizake zinaingia nakutoka, zikitoka ndio pale huropoka upuuzi mbele zawatu.hongera mama kumteua tena atakua amejifunza sasa.
Uko vizuri mwimbo
Mukwi se yudada mwanchalamila wimbite lunofu hilo.
Iko vzr ngoja tufanye Colabo
Hongera kwa ujumbe umefika hasa makabila ya mikoa ya kusini
Makasi Nyalukolo,kumutili Mufindi moja hiyo imibiki gyetu
Ili ing'ae dhahabu lazima ipite kwenye moto. Mlingane YESU atakuheshimisha mpaka washangae.
Ndgu zangu ya Mungu ni Mengi ,Mungu akitutoa mahali tunalaumu ni Mungu anampeleka viwango vingine tumuombee Ulinzi wa Mungu na Mapenzi ya Mungu yakatendeke juu yake
Kabisa! Mungu aliona anachelewa mafanikio yake!
amina
Safi😂😂😂
Ataimba safalii hii mpka tushangaee nakwambia
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Mwagito sikujua kama hizi nyimbo zako nitazipataje nyingine ninayo ile ya finyungu fanya nipate bana Mwagito.
Subscribe channel yetu zote tutaziweka hapa zipo tatu
Shukuru kwa kila jambo unawezakung'ang'ana na nafasi kumbe sio riziki ukakutana na jambo zito zaidi kumbe sio riziki najua unatufaa sana baadhi ya watu ila hila za shetani ndo zimetawala ulimwengu
Shukran kwa Maoni yako Subscribe channel yetu kwa mengi zaidi
Werwe mnyalukolo vip?
Kamwene chalamila
Heeee huyu ni RC chalamila wee?
Safi
Aliyeogelea hazami
Safi sn
Mwenye kipaji halali njaa
Ndi lumba ulwimbo lunofu hilo bele wimbite.
Haaa kumbe ndoo ameimba huyu duh hongera mkuu wa mkoa mbeya
Komaa kk maisha yanaendelea saf sana