"KARIAKOO KUNA SIASA, NILITUMA TIMU KWA SIRI" RAIS SAMIA AFICHUA YA KARIAKOO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 116

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz 3 дні тому +12

    "Nenda"Mama Hongera Kazi iendelee.. Maendelea Daima,utaratibu ukifuatwa mambo yataenda Vizuri..Kariakooo❤❤❤❤❤

  • @JafariHamisi-gu4ef
    @JafariHamisi-gu4ef 2 дні тому +4

    Hongera sana raisi wetu samia

  • @mussamsakamali3930
    @mussamsakamali3930 2 дні тому +5

    Mama komaa hivyo hivyo.

  • @RaT8493
    @RaT8493 2 дні тому +4

    We love you Mama 🎉, yani I wonder how can't you perform unapokuwa na boss mzuri kama hivi, au ndo mipango tuu ya watu kusabotage , Mama hongera na kaza buti 2025 tupo na weeewe , Mama kasema kweupe kabisa Kuhusu Wachina waouza kama sisi wazawa

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 дні тому +3

    Hongera sana Raisi wetu

  • @SelemanAlly-lz4sb
    @SelemanAlly-lz4sb 2 дні тому +3

    Hongera mama 2025 ni wwe

  • @OmallyMkinde
    @OmallyMkinde 21 годину тому

    Kwa tuliokuelewa mama❤ kazi iendelee💯

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 2 дні тому

    Ahsante sana mama,hongera sana sasa tutukuwa n uhuru tulikuwa kama tumefungwa.jela

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 2 дні тому

    Ahsante sana Mheshimiwa rais hili nilishauri muda mrefu kuhusu wamachinga kuuza bidhaa za wenye maduka makubwa ili kukwepa kodi!

  • @lilangasayi1689
    @lilangasayi1689 3 дні тому +3

    Hao watu uliowateua wakusaidie ndiyo hao wanaofanya wananchi wakuchukie wewe kutokana na utendaji wao mbovu,weka sahihi

  • @MickyMgeri
    @MickyMgeri 2 дні тому +1

    Kkoo kuna biashara hakuna siasa nyoosha maelezo,chukua hatua za msingi sio bla bla.

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 2 дні тому +3

    Sasa simfunguke na ninyi wafanya biashara kumweleza mh rais ukweli kinachowahangaisha kama ni kodi si mseme tu kweli ili watumbuliwe viongozi wanaoendesha kuliko gomagoma hiyo itawasaidia nini

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 2 дні тому

      SIKUHIZI HAWATUMBULIWE BALI WANAHAMISHWA,VIVA JPM JEMBE LA ULIMWENGU

  • @BartonMwakyejo
    @BartonMwakyejo 2 дні тому +5

    Madai yao mbona yalikuwa waz siasa ipo wapi

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 2 дні тому

      @@BartonMwakyejo cheif b yeye ndio anatuletea siasa

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому +1

      @@BartonMwakyejo kwani ww hujui kua kariakoo hawatoi risit Sawa wanaandika bei ndogo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 дні тому +2

    Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, then assign to your team. Review PERFORMANCE- this needs to be in the field like she is saying and also in the books. You have to be extremely SERIOUS Jafo. Kariako na kwengine kote malalamishi ni yakweli..hao wakisema hawajui wamegomea nn mie sina uhakika. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 дні тому

      Woga bwana, wajuzi wa mambo siku zote, ni kuzama kwenye mzizi. Mgomo wa kariokkoo kabla ya huu. Mfanyabiashara alisema kwa TRA wanajua pesa hawajui hesabu. Kiini cha kelele unazosikia Ziko hapo. Kwa mzani ambao ni hesabu haviko sawa. Kwa Maana nyingine ni kama unatumia nguvu kuchukua kingi. Ambacho kinasabisha watu kukiuka matumizi ya risiti. Tukisemazana kama wadau kodi zitafurika. Shida ni pale upande mmoja kumiliki maarifa ya biashara huku hata genge hajawai kufanya. Sisi tuna nidhamu ya uoga. Mwl Nyerere aliomba msamaha kwamba kama ni Yeye alifanya watanzania kuwa waoga. Katika mazingira ya migomo raia wako haraka kusema hakuna shida kwa kuhofu.

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 2 дні тому +1

    Shikamoo afande wangu shikamoo Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani naomba umma wa Tanzania mtuombee sana Dua zenu nyingi zinahitajika sana enyi halaiki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamani ndugu zangu jamani.

  • @RamadhaniMachenje
    @RamadhaniMachenje 17 годин тому

    Safi sana mama yetu wa taifa

  • @nickson3473
    @nickson3473 2 дні тому +5

    GEN Z WAKIAMKA UTAKOMA , OLD BRAINS CAN NOT MATCH NEW IDEAS AND CAN NOT CHALLENGE YOUNG BRAINS

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 2 дні тому

      Hakuna kwetu gen z

    • @DewGroupTech
      @DewGroupTech 2 дні тому

      K​@@alzawahirabdallah2299

    • @HASASON
      @HASASON 2 дні тому

      Unaongea pumba tu, kafanye kazi pumbavu wewe unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni? Hao vijana wanaojituma na kufanikiwa huko mitaani walipewa pesa na nani?

  • @user13375
    @user13375 2 дні тому

    Umeelewa kuwa wanaume ndo wanauwezo eeee😮

  • @imallya6513
    @imallya6513 3 дні тому +2

    Hapo nimekukubali mama swala la wageni kurusiwa kufany biashara kama mwenyeji sio sawa maduka kila kona za mikoa wahindi haswaa warudishwe wote kariakoo

    • @Worldunite
      @Worldunite 2 дні тому

      Siku hizi watching,wadosi walishapitwa na wakati

  • @saeedally268
    @saeedally268 2 дні тому +2

    Sio mzanzibar tatizo watendaji wake na yeye sio mkali mbona magufuli alipokuwepo alikuwa moto tatizo kila kitu hapo ndo mnafeli tatizo mama kawarejesha mafisadi ambao magufuli aliwatowa tuje kwa mama mbona vyakula juu tatizo mb juu mbona viongozi ambao walikuwa wanawasaidiya wananchi mfano uenezi makonda katolewa tatizo kuwasaidiya wananchi nyie hamujui ccm hawataki wanyonge wasaidiwe wanataka watu kama akina nape makamba makala ambao sio watendaji wazuri hawajali pili wakati wa magufuli uliona kila kitu sawa kuanzia vyakula mb watu wanasikilizwa lazima kwa samia wataleta tafrani sio mnamsifu mtu wakati kila kitu juu hawajali wananchi hawasikilizwi kwa sasa hivi watu wakisema mnasema kwa sababu mzanzibar tatizo utendaji mfano samia angekuwa rais wa zanzibar wangesema hatufai kama ilivyokuwa kwa karume shein mwinyi angalieni samia na magufuli yupi vitu vilikuwa rahisi yupi alikuwa anasikiliza anatatuwa kero toka magufuli afariki umeme umekuwa shida vyakula shida mb shida wananchi hawasikilizwi hilo ndilo tatizo lazima mujue hivyo juzi nilikuwa zanzibar ndo kwetu lakini kuna watu bado kwa samia hawazioni shida kueni na akili wakati wa magufuli vyakula mpka zenji bei rahisi ebu msikilize yule mama wa donge alivyokuwa anamwambia mkuu wa mkowa ayoub mbona wakati wa magufuli vyakula vilikuwa rahisi mwisho

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 дні тому +1

      Kweli kabisa tatizo Mama kazungukwa na mafisadi na wanasema wao ndio watampitisha kwenye kamati kuu chama kwahiyo atashinda tu uchaguzi ujao ndio maana hasikilizi wananchi. Kwahiyo sasa wanataka kuzuwia wamachinga ili tuwe tunakabwa mitaani. Magufuri alikuwa kiongozi hawa wapo kwa kuchuma Mali. Hata nakubali wakati wa Magufuri upande wa nzanzibar na bara kote maisha yalikuwa Afadhali ndio maana tuliona hata nzanzibar wananchi walilia sana kifo cha Magufuri.

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 2 дні тому +2

    Kufanya kazi na wageni ni lazima uwepo wao ndo unasababisha watu kusafiri kutoka nchi jiran kuja kufunga mizigo kariakoo teyari kuna mtandao mkubwa biashara ndani ya kariakoo kitu ambacho kinaifanya kariakoo iwe busy sasa mkijichanganya kisa mnataka kuwafurahisha watu hayo majengo yenu yatabaki matupu na abiria wa kutoka nchi jirani watapungua na isistoshe wanaolala mijin wengi ndo hao wageni j'e kod za majengo mtazikusanya kwa nani asiengiza pesa

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому

      Elewa anachoongea ndio otoe comment, hajakataza wageni kariakoo

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya3231 2 дні тому

    Kweli mama machinga alipi.kodi afu wanazuiya walipa kodi kufanya kazi wakijengewa machinga complex akakai.sasa wakionekana kariakoo ata mikowani wamejazana barabarani ushuru awalipi wengine wanalipa ushuru halmashauri ikayazingatiye piya mama❤

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 2 дні тому +1

    Sawa kama kuna siasa wewe endelea na hao TRA kufanya operation zao ipo siku utajua,mimi niko huku keko ambako wakongo,wazambia ,wamalawi na kila wageni wanafikia huku tukipiga nao story wanasema kwamba wansumbuliwa.
    Ukienda bandarin magazine ya watu wanaibiwa vitu vya ndani vyote.
    Sasa kama utatuma watu wako wa siri alafu wanakupa majibu kama hayo ujue wanakudanya.
    Mama nakuomba kama unatuma watu wako ebu waambie waje petrol station ya oilcom ya hapa VETA alafu utajionea

  • @russia1253
    @russia1253 3 дні тому +1

    😮 mama tuma watu wakanunue vitu usikie kama awaja kamatwa na Tra nakuwaambia risiti azitoshi 😢 kenge hao

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 3 дні тому +11

    Hakuna siasa mama kwani ukweli ukowazii

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому

      Ukweli gani wote tupo kariakoo hamna duka linalo toa risiti full ukinunua mzigo wa mil 5 risit inaandikwa mil 1 au laki nane, ww nitajie Nani anaandika bei yote kwenye rist kama sio kukwepa kodi ni nini?

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 дні тому +2

      ​@@ShesheJahshlazima wafanye hivo bcz ya utitiri wa Kodi,wewe simfanya biashara hivo hujui vingi

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому

      @@bahatielias6443 Sawa vizur kama unakiri hawatoi risiti Sawa ila hiyo sio suluhisho la kupunguza utitiri wa kodi, wote sis tupo kariakoo Kuna mpak rist ya kuonyesha njiani na ya kuacha transport ile ya njiani unardisha dukani

    • @birianination7097
      @birianination7097 2 дні тому

      ​@@bahatielias6443 Utitiri gani, uwizi tuu

    • @BarakerZeonlist
      @BarakerZeonlist 2 дні тому

      @@ShesheJahsh HII YOTE INATOKANA NA KUWA KODI KUWA NYINGI KODI HAIANGALII FAIDA INAANGALIA MAUZO

  • @user-df7xo5nu9z
    @user-df7xo5nu9z 3 дні тому +2

    Kwakwel jafo yuko vizr sbb utendaj wake ukoje tunaamini hili ni jembe na atamaliza mzozo

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 дні тому +1

      Binafsi namkubali hanaga sifa sifa za kijinga au mihemko

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 2 дні тому

    Huyu mtu Urais sio saizi yake kabisa 😮😮

  • @MohammedGabaye
    @MohammedGabaye 3 дні тому +1

    Machinga kazi munayo mamae

  • @khamishemedi8517
    @khamishemedi8517 2 дні тому +1

    MAMA Allah akulinde
    unajitahidi kuweka sawa but wachache wenye kuelewa unachokusudia kwenye taifa letu

    • @abednego3876
      @abednego3876 2 дні тому

      Kwa lipi hasa!

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 21 годину тому +1

      Muna mchukia kwa xababu ni mzanzbar ndugu zenu kila miaka mitano wanatuletea wanajeshi wana tua zanzbr mama ss wazanzibar tuna taka mzanzbar mpya Zanzibar moja mamlaka kamili tuna kuangalia watoto wko wa kizanzibar mama yetu hii ni nafas alio kuletea mungu kutufanya wazanzibar tuwe na mamlaka kamili mama yetu mpendwa ​@@abednego3876

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 2 дні тому

    Bishara ya transporter nayo ni vurugu tupu kariakoo na mtaa wa amana ilala

  • @Nijuzetzdigital
    @Nijuzetzdigital 21 годину тому

    hakuna mfanyabiashara anaegoma akiwa hajui kitu kwann anagoma

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 2 дні тому

    Mama uyo wazili wako anaetumia karolaiti ndo anazingua;

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 2 дні тому

    😂😂😂watanzania hamnaga umoja masikini yooooh wenzenu wame wauza😂

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 дні тому

    Kwaio kariakoo watu wanagoma hawajui wanagoma nini ?? Mungu wangu 😅😅😅

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 2 дні тому

    Sasa bibie Rais Samia Suluhu Hassan kwani hujui kuwa siasa iko kila sehemu ya maisha ya mwanadamu? Na ukumbuke tu serikali yako ikileta siasa tu kwenye maisha ya watu, basi ujue na wewe utapigwa vitasa vya siasa mpaka ukome!

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 дні тому

    SASA MAMA NAKUELEWA KUNA WAHUNI WANATAFUTA PA KUTOKEA, , MIMI KADI YANGU NAITUNZA

  • @FerickKazori-rt5cw
    @FerickKazori-rt5cw 2 дні тому

    Vizuri ila msing ushaanza bomolewa

  • @RamadhaniMadanga-ne7jk
    @RamadhaniMadanga-ne7jk 2 дні тому

    Nimetuma mashushu kwasiri Kwa viwanabiashara😢😢😢😢

  • @J4Mnokote
    @J4Mnokote 2 дні тому

    Usipokua makini wafanya buashara watatumia sana udhaifu wako , Kumbuka kila mwamba ngoma huvutia kwake😂

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 дні тому

    Jamni jamani huyu mama duh

  • @onespour7189
    @onespour7189 2 дні тому

    Hivi siasa ina nini,,,mpaka wanasiasa hawaikubali

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 2 дні тому

    Hao uliowatuma nao watumie watu kwa siri wawachunguze

  • @elijahfresh5985
    @elijahfresh5985 Годину тому

    Mama hajawahi kufanya biashara kwa hy haelewi watu wanazungumzia nn. Lakini kiukweli sera, taratinu na sheria hazilengi kumsaidia mfanyabiashara afanye kazi katika mazingira mazuri. Yani kila mtu iwe TRA, halmashauri, Fire, Polisi, Nemc, Osha na taasisi lundo zote zinategemea kula kwenye hizihizi biashara. Rushwa imekua kubwa na siku hizi kama polisi wanaiomba kwa mtutu wa bunduki na hakuna mtu anawakemea. Sasa kwa namna hii biashara inakua na changamoto nyingi.

  • @user-kk6gj7cw3h
    @user-kk6gj7cw3h 2 дні тому

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 2 дні тому +1

    Huo muungano sio

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 3 дні тому

    Kwahili nakupongeza❤

  • @salumchema5098
    @salumchema5098 2 дні тому

    Safiiii

  • @user-et8wy1us9t
    @user-et8wy1us9t 2 дні тому

    Mama sio kweli machinations wananunua kwa hao hao?wachina wengi,wahindi,ndio balaa??mama mabos wankimbia kodi

  • @feisalkhamis9445
    @feisalkhamis9445 3 дні тому +6

    Sio kweli hakuna siasa mnazingua

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому +2

      Wote tupo kariakoo risiti hakuna anaye andika Sawa mzigo mteja anatoa mil 5 rist inaandikwa 1-5 huo ndio ukweli

    • @user-qg3nu1kv2n
      @user-qg3nu1kv2n 2 дні тому

      ​@@ShesheJahsh ina maana we pia ni miongoni mwa wanaoiibia serikali yetu 😂😂😂

    • @feisalkhamis9445
      @feisalkhamis9445 2 дні тому

      @@user-qg3nu1kv2n bro mm ni mzanzibar lkn bimkubwa anazingua kijinga yni

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому

      @@user-qg3nu1kv2n huo ndio ukweli

    • @HASASON
      @HASASON 2 дні тому

      Wezi ninyi wafanyabishara cha ajabu mnajifanya mmeshika dini majizi makwepa kodi

  • @MohamedSaidnassor
    @MohamedSaidnassor 2 дні тому

    Humu mbeya siasa zipi zinafuatwa jamani

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 3 дні тому

    Simuelewi mama

  • @gilbertmchai2490
    @gilbertmchai2490 2 дні тому

    Kwanza huyo mkuu wa mkoa hatumuelewi. Biashara Tanzania imeanguka kwa asilimia kubwa sana wageni sasa hivi hamna. Ni maumivu matupu

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 2 дні тому

    Wanakudanganya watu wako hakuna siasa bari ni rushwa za TRA

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 дні тому

    Wee Jafo usituangushe..angalia kwa jicho la hali ya juu..w/biashara pia wanamwazo chana,,washirikishe muweke mikutano WASKIE. tembelea mikoani pia jmni

  • @mfaumeally4476
    @mfaumeally4476 2 дні тому

    Wadanganyika mpoo?

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 2 дні тому

    Rais hapo umepatia jafu k koo ataiweza mkuu wa mkoa na yy ana siasa yg

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 2 дні тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 дні тому

    Mh. Rais naona unamwamini sana Waziri wako wa fedha, lakini nae ni tatizo! Tena bomu kwelikweli! Hawezi kufikiri kwa kina namna ya kuiendesha nchi kiuchumi, na hivyo hawezi pia kukushauri wewe na baraza zima la Mawaziri ipasavyo. Ninajua na kuamini pia kuwa hii migogoro nae ni moja ya sababu.

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 дні тому +4

    Uliowatuma huenda walikudanganya ila ukweli upo wazi

  • @mohammededy7086
    @mohammededy7086 3 дні тому

    mama Simama ivo cc wa mtaan tunajua Kwann wanafanya ivo kwnn shda matusi ubaya hauishi kwako mama una maduwi wing sana ila MUNGU akusimamie

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 2 дні тому

    WAKO HURU SANAA WACHINA ALAFU MAKWAO WANAUMIZA WAGENI HASWA WATU WEUSI

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 дні тому

      Hatuwez kubadilisha ukweli ni ngum kufanya biashara wazawa peke yake kule China wabongo wamejaa wanafanya hivyo hivyo biashara ndogo nasi China tu Dunia yote ndivyo ilivyo na kufanya kwao biashara kuna effect nyingi kama kulipa kod ya majengo ya kulala na ya biashara pamoja na kununua vyakula hiyo inachangia mzunguko kuwa mkubwa

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 2 дні тому +2

    Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢

  • @febby8308
    @febby8308 21 годину тому

    Mwiguru punguza makodi mai nimagumu kupituliza

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 3 дні тому +1

    Kweli mama Samia nakukubal kisa mzanzibari wanataka wakuzinguwee

  • @Nijuzetzdigital
    @Nijuzetzdigital 21 годину тому

    Utendaji mbovu na kodi kubwa hujui???? Unajua hakuna mtu ambae hakodolewi na hakosei, hoja za wafanyabiashara toka yalipofanyika maazimio ya nyuma kupunguza baadhi ya kodi hayakufanyiwa kazi.

  • @iddysonyo1356
    @iddysonyo1356 3 дні тому

    kumbe hata viongozi wasiasa hawaiyamini siasa

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 3 дні тому

    Usimueke mtu kwenye?kazi ambayo wamjua haiwezi atakuangusha weka pembeni watu wapo na ambao hawatakuangusha

  • @GivenMgani
    @GivenMgani 2 дні тому

    Mmh

  • @GreezyMaker
    @GreezyMaker 2 дні тому

    Mitano tena

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 2 дні тому

    Mtu katolewa kafara

  • @HASASON
    @HASASON 2 дні тому

    Malamiko mengi ya wafanyabishara ni ya kipumbavu hawataki kulipa kodi halali na tukienda kununua bidhaa risiti wanazotupa ni za uongo na wizi, msiwasikilize wabaneni vizuri walipe kodi inavyotakiwa

    • @dulasele-ud8cw
      @dulasele-ud8cw 2 дні тому

      We boya unazingua simu umenunuliwa na baasha wako ndo unaleta zalau kavae eleni;

  • @lovemusicnoreen9185
    @lovemusicnoreen9185 2 дні тому +4

    TRA
    HAKUNA SIASA TRA NI KWELI WANASUMBUA

    • @ShesheJahsh
      @ShesheJahsh 2 дні тому

      @@lovemusicnoreen9185 ukiuza hasa ww andika risit Sawa na ela unayo pokea Kwa mteja uone kama utasumbuliwa

    • @nin6324
      @nin6324 2 дні тому

      TRA hawajawahi kusumbua mtu ila nyie msiotaka kulipa kodi ndio mnasumbua kazi kurubuni maofisa tuu. Lipeni kodi halali muone kama kuna mtu atawasumbua.
      Mfanyabiashara ananunua gari la milioni 200 halafu kwa TRA anasema huo mwaka amepata hasara au mnadhani maafisa hawatumii akili???
      Kwa TRA unasema hujauza bidhaa wakikuambia tuoneshe bidhaa ulizoingiza zimeisha... kumbe zote umewapa machinga na hawajaota EFD. Maofisa TRA wana akili kama mchwa na kwa taarifa yako wanajua mbinu zote za ukwepaji kodi

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 2 дні тому

    Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 2 дні тому

      Nchi yoyote duniani lazma ilipe kodi, kwanza unaweza kuta una lalamika na huna hata biashara

    • @wilsonandlea8614
      @wilsonandlea8614 2 дні тому

      Hujui unachokizungumuza ila tetea ugar wako

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 2 дні тому

      @@wilsonandlea8614 malalamiko hayawez kukutoa ulipo kikubwa nku pambana, mbona wafanya biashara wengine hawa lalamik

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 дні тому +2

      ​@@mosesnyelo1380Tatizo sio kulipa kodi hizo kodi zinafanya nini? Ilikuwa raha kulipa kodi wakati wa Magufuri kwa sababu tuliona mafanikio yake.