LIVE: AHMED ALLY ANAONGEA MUDA HUU | NI FEITOTO.? | HATMA YA AYOUB SIMBA SC | KUHUSU PRE SEASON..
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja
Wanasimba wote wenye mapenz na timu yet tusikose kuiombea timu yet jmn❤❤❤❤
Naipenda Simba daima
Mungu walinde simba yetu katika safari yao
Wasafir salama wachezaji wetu mungu awape wepesi
Mungu wabariki wachezaji wasimba wawe namuunganiko mzuri naipenda Simba daima milele
Mungu naomba watangulie Simba katika safari yao Wasari salama na warudi salama wote wakiwa na afyanjema
Munguu awatangulieee🙏🙏🙏
MUNGU IBARIKI CHAMALANGU AMBALO NAMBA 6 BARANI AFRICA ,SIMBA NGUVU MOJA
Amin mungu aibariki simba yenye mafanikio
Bora ange baki mgunda tu🏃🏃
Simba nguvu moja💪💪💪 semaji la dunia
Simba nguvu moja
✍️ Mabetu &Co
Nakukubar kaka
Munguibariki simba
mungu ibaliki simba yetuuuuuuu ❤❤❤❤
Vp kuhusu kramoo kaka
Dr nlopokaji kazini..
7 toa 2..pale pale
Simba yangu jaman, ligi ianze tu😊🔥🔥🔥
Ayoma kwa video hii 😢😢😢 hamna mlichofanya kabisa
Bwege wewe subir kazi
Simba nguvu moja
Naipenda Simba
God bless 🙏
Nawatakia maandaliz mazur
Aaaaah rama mbona unawahii😂😂😂
😂😂😂😂😂Rama ana haraka kama kimbunga hidaya🙌🙌
Sauti haieleweki kabisa inakata sana
Tajiri wetu Mo amsajiri FEI toto afu ndo aje atambulishwe Simba days na sio kwenye mtandao kama hivi iwe ni surprise kwetu
Shida hapo ni kuvunja mikataba ya kina jobe....Sasahivi tajiri anaprocess mkopo ndo muwape thenkyuu😂
❤ wewe unaongea utopor mshon mwa lig utazaa kuomba raziii
Simba ya msm ujao haitafungika itamaliza lig bila kufungwa
Hongereni viongozi wote na Boss Mohammed ...Ila muwape viapo wachezaji wasituletee malinji linji ,hatutaki kuumizwa tena kama mapenzi bhanaaa 😅😅😅😅😅 . Mufike salama
Kwa timu hii labda mvunje mikataba ya wachezaji wenu mliosajiri na msajiri tena ndo kidogo mtapunguza kuumia😂
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kwani yanga hamuogopi jamn 😂😂 ❤simba
Tunaogopa
@@salumualoyce5620 😂😂😂
❤❤❤❤
Isogezee hii kidgo nitailaa😅😅😅😅
Kero saauti
Safari njema
Kibu dens sijamuona
🎉🎉🎉🎉
Wala usidanganye kama mwalimu alishiriki kusajiri mlishasema mo ndo anasajiri na istoshe ligi ikianza tu basi tutajua nani kasajiri😅😅😅😅😅
Shida yako ni nini
Semaji la muungano ulituambia mmemuuza Inonga FAR Rabati hebu tudanganye mlimuuza sh..ngapi?😂
😂😂😂ila Ahmed ally
Anarecord gani huyo kocha.
Tu nashukuru chama usaliti wake umezaa matunda
kwani Chama ndo aliesajiri Hadi apewe shukrani?
Kuondoka kwake kumeboost
HUYO NI LAIGWANANI WA SIMBA
😂😂😂 ila ahmed wewe 😂😂😂😂
Muwe mna edit video kabla hamja Post
Channel kumbwa mnashindwa kuwa na mfumo wa uhakika wa sauti tena channel ya habari mnatoa aibu
Charles mpogolo😂😂
Sasa mnaupload video ina saunti mbovuuu….halaf seem muhim za semaji hazipo😢
Kramo vp au ndo mnataka kupoteza bahati jamani simba tusifanye ujinga kumuacha kramo
Kumbe hakuna cha fei toto wala mpanzu hapo
Lamek law Ni mchezaji wetu Halali Wa coastal union Na tuko njiani tunakija nae Dar kwajili ya michuano ya kagame twasemaje Hyo imeisha nyie endeleeni kuwadanganya wandishi Wa habar😂
Mic inakatakata
Mbona inakatakata?
Sauti inakata kata kunashida gan
Kw hvyo walio sajiliwa sio chaguo la mwalim bali ni nyiny mlimchagulia mwalim....
Hyo ni tabir mbaya mwalim ndio anafaa apendekeze kisha management itoe donge asijiliwe ..
Baadhi ya klabu umchagulia wachezaji wakt wa kusajili ama mwalim asajili wachezaji kisha klabu iseme huyu anafaa kucheza huyu hafai.
Yote kw yote watani wetu tunawaombea kila la kheir....
Hakuna hutani mzuri kama wa Comedian wa Caf Ahmad Ally na msemaji wa Caf Ally shaaban kamwe...
Wewe kundu kako
Mashine ya kusaga maji au.
NDIO HIVYO NIMASHINE YAKUBOWA MAHINDI
Vp kramo yupo kwenye kikosi au
Sawa semaji letum la fifa hunabaya
Hawa wakirudi ni kuwagonga goli zakutosha 😂😂😂😂
Achana na simba yetu ww
SIMBA YENU AU SIMBA YA MOO NA MANGUNGU
Anaitwa Debora bhana nac kusoma tunajua.
Kuna shida gani akiitwa Deborah,mbona yanga Kuna joice Lumalisa
@@muniramtoy8280 Umeangalia kikosi cha Yanga ukaona kuna Joice.Mwambieni ajiangalie watu watanyandua,watu hawawezi kukaa na ukwio muda mrefu kambini wakati kuna binti Debora🤣🤣🤣🤣🤣
Simba timu yetu naitakia mafanikio
Hv jaman nauliza kramo ameonekana hapo
Koshotoni kwa semaji Jamaa lenye kipara linainjioy Ahmed unapoongea
Umeona ee
Tunawasubri mukirud kichapo kipo paleple😂😂
Mike zenu mbovu au mnazingua
Litakufa jitu msimu huu😂
Vp kuhusu kramo
Fei vp????
Mpira hauna rongorongo, mpira ni mchezo wa wazi.
Wewe shangilia tuuu.
Mbona saut inakata
Ayoma mbona hamumulizi kuhusu kramo
Kramo ameachwa
Kpotezeni pesa yanga tam
Wakipoteza si za kwao wewe unateseka nini?
Elia mpanzu
Mnafikia tena kwenye yale madarasa mweeh😂
uyu mwaka hamzinduwi jezi au mtaavaaa kamwanya
Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja
Simba nguvu moja💪💪💪 semaji la dunia
Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja
Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja
Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja
Mungu ibariki simba wafike salama wote wajiandae vzr na waendelee kuwaa na afya njema warudi wafanye kazi yao ipasavyo simba nguvu moja