Yani kunawatu hawataiona pepo kunamtu kamuzia baba yangu pikipiki ya wizi hadi kufikia kufungwa miaka 3 nawachukia sana wanaiba pikipiki na kuuza,,,,mungu akusimamie bro
Shukran ayo tv kwa kunifikishia ujue kwenye jamii Kwa wanaohitaj pikpik used wanaweza kunitafuta kupitia Instagram yangu naitwa @pikipikiusedtzcompany Au Facebook piki piki used tz company au whatsapp pia +255714917777
Hapana alivyoongea ni sawa lakini mbona kila siku zinaibiwa kaka hii mvua ya juzi kuamkia jumatano nimebiwa nilikua nmelowa kuingia ndani kubadili nguo natoka nje hamna pkpk na ufunguo ninao mm
Asante sana
Umesahau kumuuliza kadi original iko vp na feki iko vp
Yani kunawatu hawataiona pepo kunamtu kamuzia baba yangu pikipiki ya wizi hadi kufikia kufungwa miaka 3 nawachukia sana wanaiba pikipiki na kuuza,,,,mungu akusimamie bro
Pole sana boss changamoto hizo zimeshaumiza watu wengi sana Ndio maana nikalipeleka media wajue wasiojua
@@pikipikiusedtanzaniacoltd4596 Asante sana umetufikishia ujumbe kwa ss ambayo tumeathilika na vitu vya wizi ubarikiwe 🙏
Pole Sana dah
namkubali sana huyu jamaa ,kwasababu anafanya kitu poa sana, kwasababu hali ni ngumu sana hatuwezi kununua kipya kabisa
Mimi mumewangu kaibiwa pikipiki lake lipyaaa adi leo atujalipata na mwizi tumemjua lakini ufatiliaji mrefu kaamua kuachananalo
Shukran ayo tv kwa kunifikishia ujue kwenye jamii
Kwa wanaohitaj pikpik used wanaweza kunitafuta kupitia Instagram yangu naitwa @pikipikiusedtzcompany Au Facebook piki piki used tz company au whatsapp pia +255714917777
Naomba nipe namba zako ninayo kinglion toyo mpya.
Hapana alivyoongea ni sawa lakini mbona kila siku zinaibiwa kaka hii mvua ya juzi kuamkia jumatano nimebiwa nilikua nmelowa kuingia ndani kubadili nguo natoka nje hamna pkpk na ufunguo ninao mm
Aya ww ujui kitu kuusu pikipiki zq wizi
Je pikipiki zilizo kituoni zinazo uzwa kituoni ni haki ya mnunuzi kisheria?
Kwa njia ya mnada baada ya kukidhi vigezo vya kishria vya Kutaifisha
Huyu anashawishi watu kupata tamaa yakuiba pkpk na kumpelekea hebu mchunguzeni ananunua anabadilisha anauza kivipi utaibiwa unatafuta kumbe ilishabadilishwa na kuuzwa
Saf
ngoma unanunua haojue kadi inasoma T better
Kweli zinatokea sana boss
🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Kifo chake kimenifanya nirudi tena kusikiliza
Hata mimi
Duh. Alikufa na nini tena??
Dawa ni kwenda KWA songoma atakayeiba usiku inakuwa inamuita fulani nirudishe KWA baba mbona wataambizana kudadeki zao.
🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️
😂😂😂😂😂kweli kabisa
Nisaidie milad Ayo namba za huyo kaka nimuagizie pkpk nipo ifakara
wasenge hao wauza pikpik zawiz2
Naomba namba za uyo kk muuza pkpk ikiwezekana anitumie pkpk mkoa
Alishafariki eti
Weee innalillah wainnalillah rajiun jamani mbele yake nyuma yetu😭😭😭
namba ya cm