🔴LIVE: MBOWE ANAZUNGUMZA LIVE NA WAANDISHI WA HABARI OFISI MPYA YA MAKAO MAKUU YA CHADEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 17

  • @Emmanuelsulle-hq4hx
    @Emmanuelsulle-hq4hx 3 місяці тому +1

    Tupase sauti tuko nyuma yenu

  • @petermarisha
    @petermarisha 4 місяці тому

    Sauti

  • @IsayaMsabila
    @IsayaMsabila 9 місяців тому

    Vizuri sana

  • @petermarisha
    @petermarisha 4 місяці тому

    Ssuti hatukusikiii

  • @DoricaOscarkamwera
    @DoricaOscarkamwera 9 місяців тому

    Saf sana

  • @rizikikyando3289
    @rizikikyando3289 8 місяців тому

    Kama huna positive coment kaa kimyaa umetumwa nini!

  • @malundaamani.gmai.
    @malundaamani.gmai. 9 місяців тому

    Nauli kaka zawatesa wananchi

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 8 місяців тому

    Sauti hakuna

  • @malundaamani.gmai.
    @malundaamani.gmai. 9 місяців тому

    Alishawai kukaa mstali wa mbele kinondoni umesahau

  • @jumannejuma7432
    @jumannejuma7432 9 місяців тому

    mume omba au mliamrsha serikali kufata mnayoyataka

  • @KhatibuMshana-wy9pf
    @KhatibuMshana-wy9pf 9 місяців тому

    Mbowe nakuomba hiyo tarehe uwe mstari wa mbele kuongoza

    • @IsayaMsabila
      @IsayaMsabila 9 місяців тому

      Wewe mjinga tena ni Bora ukakaa kimya...watu wanashughulika na Mambo ya kitaifa unaleta ujinga

    • @malundaamani.gmai.
      @malundaamani.gmai. 9 місяців тому

      wewe joga kaa nyumbani

  • @adamdango
    @adamdango 9 місяців тому

    Wa bunge hamkupata 2020, walioshinda wana haki ya kutunga sheria kwa namna wanayoona ni sawa, hukubaliani shinda uchaguzi. Walioshindwa hawawezi kuwapangia walioshinda hiyo itakua kinyume cha demokrasia.
    Kama ni maendeleo Tz imekua na inflation ndogo kuliko nchi nyingine zilizo kwenye top ten ya afrika.
    Tz nchi ya 9 kwa kuzalisha thamani.
    Kabla ya maandamano watuambie wana wananchama wangapi nchini, na wangapi wanataka hayo mabadiliko wanayotaka.
    Demokrasia ni uongozi wa wengi sio wachache, CDM ni wachache wanaotaka kujifanya ni wengi

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 9 місяців тому

      Unahitaji kupata hata elimu ya ngumbaru tu ili watu waweze kusoma sms zako. Wameikumbatia nchii hii na kunyea vinyesi vya familia sasa inanuka. Siyo nchi ya mama zao, tunataka mabadiliko- katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.