Serikali yaingilia kati mgogoro wa familia ya bilionea Msuya
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameimngilia kati mgogoro unaofukuta kwenye familia ya mfanyabiashara Msuya aliyeuawa mwaka 2013 huku kukitajwa kuwepo mvutano unaohusiana na mgawanyo wa mali zilizoachwa na marehemu.
kiuikweli hata Mimi nimeshangazwa sana kwanza mheshimiwa muro hongera sana kwa hilo ukiangalia hapo hao ndugu utagundua kitu angalia wanavyojikanyakanyaga mheshimiwa utagundua wazi kua hao ndugu hasi bibi na babu kuna wanalo lijua kutaka kuwazurumu watoto mali zao,,huyo bibi sio povu linamtoka hata hana aibu kwa mali sio yake kwanini asigombanie mari ya mme wake hao watoto wanaweza wawauwe nao ili wabaki na hizo mali,,,cha msingi mheshimiwa na sekikali yetu ya magufuli mpiga kazi jiwe,,mtoe amli hao watoto mmojawapo akizulika au kuuwawa wakamateni hao bibi na huyo babu weka ndani pumbaphuuuuuuu,,,,ikitokea mmoja kati watoto hao ikifa muwakate hao na ndio wanajua sili yote ya vifo vyo waliotangulia,,
Wakwe na mafifi jamani ogopeni, Mungu,,PESA NI NINI ,MTAKUFA MTAZIACHA
Inaonyesha ata yureh muke wamarehmu hiyo kesi alibabikizwa kwa kutaka mari
Pro trick : you can watch series on flixzone. Me and my gf have been using it for watching all kinds of movies recently.
@Soren Landon Definitely, I've been using Flixzone} for years myself :D
@Soren Landon yup, I have been watching on Flixzone} for since december myself :)
Jamani mama wawatu alioko magereza atolewe tu sio haki inavyoonyeshwa kesi itakuwa imetengenezwa
Kweli nimeamini .Hali ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu..watu wamevuta mpunga Bado wanangu"ang"ana na Mali za marehemu.Ama kweli utu umekwisha imebaki unyama.Hatimae hali imetendeka..ushauri wangu Familia wawekewe ulinzi.
Najua wazazi wapate urithi vipi hawa dada zao nao urithi unakujaje?jamani haki ifatwe hata kama watoto wana kazi zao wapewe haki ya baba zao
Baba wa Yatima , uzidi kuwatetea Wanyonge.
Yaan ningekuwa mimi msingepata ata shingi mia milioni mia 5 na kitu bado mnaidandama family na awo mashangazi wakatafute zao alfu waume zao. Wafe kama watatoa ulithi. Kwa wakwe
Eeeeee hizo Mali hatari baba kauwawa Dada wa baba kauwawa hivi mtaenda nazo kaburini mbona hivyo aaa NCHI NA VYOTE VIUJAZAO ULIMWENGU NI MALI YA MUNGU baada ya mali kunamaisha mengine
Washenzi kweli hawa
Yaaani Huyo Bibi,Babu na Mashangazi inaonyesha wanalo jambo Wahuni tuuu..
Mmmmmmm omba yasiikute familiar yako lakini pia namuona mama mzazi WA msuya Hana mshahuri mzuri awezekani kufuta uzao wako kwa sababu ya mali mama kumbuka mungu anakusikia nasijui utaenda wapi kutubu hio Dhambi Mali Kweli ipoteze uzao wako kanakwamba una maumivu yeyote juuu ya kifo cha mwanao muongope mungu
Damu ya yesu iwalinde
Duh mama na wanawe awataki wakwe waguse pale Sasa kama wosia iliandikwa na marehemu na akasema na wazazi wapate basi inabidi wapate wanachositaili najua mke wake marehemu itakuwa apendi ao wazazi wapate mgao aya ni mambo ya kukaa chini na kuyamaliza Ila na nyie wazee mtulie ii mali sio yenu mate mnachositaili izo mali azitawafikisha popote mtakufa mtaacha
Mke wa marehem ata hakuwepo alikuwa jela,wakwe walivyoona hivyo ndo wakaanza mchakato wao,wakafunga nyumban hiyo unayoiyona na mali zingine kama mashamba...
Ila uyu firstborn Mungu Amtumze Wasije muua
Intelligensia chunguzeni huyu baba msuya na mama msuya mawasiliano Yao toka mwaka mwezi WA pili mwaka 2012
Tena huyu mama anaonekana ni muuaji na katili
Kweli wajukuu zako Hawa a thamani wewe unatizama pesa mbele. Huenda mkahusika kumuua mtoto wenu msuya ili mpate mali
Nyie wazee katafuteni nanyie Mali zenu acheni kuwadhulumu watoto.kwanin hamridhiki na hicho mlichopewa? Pumbavu sana Mimi ningekua huyo kijana tungefikishana mbali na msingepata senti mojaa
Yaani huyu mama utadhani hajazaa kweli nidhambi sana kuwadhulumu yatima Ee Mungu fanya njia kwa hawa watoto na mama yao Ee baba wa mbingu na nchi
Huyu mama n kabila gan maana 😂😂😂 yuko vizuri ataki mchezo
Chikamoo arachuga linapofikia swala la coins
Wewe bibi mzee pumbavu nawe utakufa tu waachie watt mali yao huna akili ww na mzee mwenzio yaani mungu awalaani kabisa" Jerry naomba uamue
Mzazi akifariki hasa mwanaume familia zinagombea Mali kama ajaacha watoto bora ufe maskini maana Mali inaleta shida
Kwakwel rais magufuli usinyamaze kwa hili, watoto yatima wananyanyasika na wewe upo.?????
Sjawaisikia eti Mali za kaka zigawiwa familia nzima!labda kama mhusika alishaekekeza ivo kabla'alaf uyo bibi anataka kusimamia Mali za wajukuu kwa nguvu kwani mama atakaa magereza milele?
Kifo cha Maskini huwezi kuona haya.
Kazaneni vijana mrithi haki zenu baba shangazi wabaya sana kwa mali
Hata aibu hawana.laana ya ndugu yao itawatafuna maisha yao yote
Wapewe kipaumbele watoto au walikuwa wanaomba hicho kifo ili wawanyase watoto? .
Dah ndoa na vifo mitihani
Na bado hawatosheki
inawezekana chanzo chamalihizo ni za zulma ndomaana dulma huwenda kwa zulma
Hapana si dhuruma marehem alikuwa mchimba madin
Hivi hao ndugu wanamatatizo gani siwatafte zakwao.alitafta kwa manufaa ya watoto wake jamani nini hii sasa jamani
Watu na mali za marehemu
Wachaga shikamooo vinawatoa roho mali za watt mwenyewe alitafuta kwaajir ya watt wake sasa bib babu madada vimekuwa vyenu mnawasahau watt loooh achen tamaa nanyi mtaziacha kama alivyoziacha marehemu erasto msuya
miss moona hawa ni wapare wachaga wana akili
Laana ya sharifu inawatafuna hawa wajinqa ubaya wa dhulma ni hapa hapa duniani wanamalizana wawo kwa waw ASANTE MUNGU
Ally Disi mmmh
Mishangazi mibayaaa
Ņguvu ya baba ni thawabu ya watoto ci wazazi kivip watake
Ni muda wa kuwafundisha watoto kazi na kujitegemea, na kuwapa elimu basi
unafikiri hao watoto hawana elimu na hawajitegemei? Ni kwamba haki ya mtu ipo pale pale kama urithi wao wapewe
Mali ya baba yao ni haki yao hata km wanamiliki mamilion na wanakazi
Nimelia machozi
Hao ndugu wazulumati kwanin wasitafute vyao
Mungu nisaidie nipate pesa ya kula tu hata watoto watajitafutia zakwao loh
HUYU DOGO (MTOTO)WA BILLIONAIRE MSUYA AMESHACHOMWA NA JUA, NDIYO MAANA ANAWEZA KUJIEELEZEA BILA HATA KUOGOPA MBELE YA SERIKALI
Jamani daaah!!!
Mali zinawatoa Roho
Mali ya baba inatutowa roho bora nikae pembeniiiiiii
Umeona
Ndugu wana sehemu gani katika urithi?
Maana kwa uelewa wangu urithi ni kwa mke, watoto na wengine endapo marehemu atakuwa aliwapendekeza !
Sasa hapo babu na bibi washakula 200 M kila mmoja, na hao wadada 75 M kila mmoja, lakini bado wanataka vingine, mweee !!
kutafuta atafute mwingne,,nyie mfalakane,,,,,,,, ndugu mnaboa sana ,,,,,ndugu acheni kuingilia family ,pambanen Na Hali zeni,,,et kaka hooo mwanang
at a haibu hawana loo
huyu dogo mjinga nakama hamuamini mtakujaona baadae huyu nimjinga anasema bibi na Babu watuache na familia yetu alivyokua mjinga hajui kama familia yao ni ya bibi na Babu yake yaani angekua naakili angeegemea upande wabibi na babu
Aegamie kivipi wakati hao bibi zake ndo chanzo cha mama yao kufugwa na pia Bibi aliwatamkia kuwa kawatoa kwenye kitovu chake sio ndugu zake,kwani mama na Bibi yupi bora ni hari sana tu kumsimamia mama ake nani kama mama jaman
Sara kweli unaona mama yako anadhuriwa Mari. Uengemee upandea wa bibi. Na bibi na babu wangekuwa wanahakili. Wasingewaujum wajukuu. Na kujari mathirai. Yao