Serikali yaingilia kati mgogoro wa familia ya bilionea Msuya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameimngilia kati mgogoro unaofukuta kwenye familia ya mfanyabiashara Msuya aliyeuawa mwaka 2013 huku kukitajwa kuwepo mvutano unaohusiana na mgawanyo wa mali zilizoachwa na marehemu.

КОМЕНТАРІ • 61

  • @mohamedkongoroka4708
    @mohamedkongoroka4708 5 років тому +5

    kiuikweli hata Mimi nimeshangazwa sana kwanza mheshimiwa muro hongera sana kwa hilo ukiangalia hapo hao ndugu utagundua kitu angalia wanavyojikanyakanyaga mheshimiwa utagundua wazi kua hao ndugu hasi bibi na babu kuna wanalo lijua kutaka kuwazurumu watoto mali zao,,huyo bibi sio povu linamtoka hata hana aibu kwa mali sio yake kwanini asigombanie mari ya mme wake hao watoto wanaweza wawauwe nao ili wabaki na hizo mali,,,cha msingi mheshimiwa na sekikali yetu ya magufuli mpiga kazi jiwe,,mtoe amli hao watoto mmojawapo akizulika au kuuwawa wakamateni hao bibi na huyo babu weka ndani pumbaphuuuuuuu,,,,ikitokea mmoja kati watoto hao ikifa muwakate hao na ndio wanajua sili yote ya vifo vyo waliotangulia,,

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 2 місяці тому

    Wakwe na mafifi jamani ogopeni, Mungu,,PESA NI NINI ,MTAKUFA MTAZIACHA

  • @sajithaoman4633
    @sajithaoman4633 5 років тому +11

    Inaonyesha ata yureh muke wamarehmu hiyo kesi alibabikizwa kwa kutaka mari

    • @sorenlandon7165
      @sorenlandon7165 3 роки тому

      Pro trick : you can watch series on flixzone. Me and my gf have been using it for watching all kinds of movies recently.

    • @finnegandylan800
      @finnegandylan800 3 роки тому

      @Soren Landon Definitely, I've been using Flixzone} for years myself :D

    • @alexzandernathaniel4451
      @alexzandernathaniel4451 3 роки тому

      @Soren Landon yup, I have been watching on Flixzone} for since december myself :)

  • @fettykimaro3430
    @fettykimaro3430 5 років тому +1

    Jamani mama wawatu alioko magereza atolewe tu sio haki inavyoonyeshwa kesi itakuwa imetengenezwa

  • @SabinaMwanshinga
    @SabinaMwanshinga 7 місяців тому

    Kweli nimeamini .Hali ya mtu haipotei ila inacheleweshwa tu..watu wamevuta mpunga Bado wanangu"ang"ana na Mali za marehemu.Ama kweli utu umekwisha imebaki unyama.Hatimae hali imetendeka..ushauri wangu Familia wawekewe ulinzi.

  • @naimanurdin2846
    @naimanurdin2846 5 років тому +4

    Najua wazazi wapate urithi vipi hawa dada zao nao urithi unakujaje?jamani haki ifatwe hata kama watoto wana kazi zao wapewe haki ya baba zao

  • @mlasinyongolo3256
    @mlasinyongolo3256 5 років тому +2

    Baba wa Yatima , uzidi kuwatetea Wanyonge.

  • @Alicemsafiri
    @Alicemsafiri 7 місяців тому

    Yaan ningekuwa mimi msingepata ata shingi mia milioni mia 5 na kitu bado mnaidandama family na awo mashangazi wakatafute zao alfu waume zao. Wafe kama watatoa ulithi. Kwa wakwe

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 5 років тому +1

    Eeeeee hizo Mali hatari baba kauwawa Dada wa baba kauwawa hivi mtaenda nazo kaburini mbona hivyo aaa NCHI NA VYOTE VIUJAZAO ULIMWENGU NI MALI YA MUNGU baada ya mali kunamaisha mengine

  • @revolutionmovementchannel9957
    @revolutionmovementchannel9957 5 років тому +1

    Washenzi kweli hawa

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 5 років тому

    Yaaani Huyo Bibi,Babu na Mashangazi inaonyesha wanalo jambo Wahuni tuuu..

  • @frankmosha5854
    @frankmosha5854 5 років тому

    Mmmmmmm omba yasiikute familiar yako lakini pia namuona mama mzazi WA msuya Hana mshahuri mzuri awezekani kufuta uzao wako kwa sababu ya mali mama kumbuka mungu anakusikia nasijui utaenda wapi kutubu hio Dhambi Mali Kweli ipoteze uzao wako kanakwamba una maumivu yeyote juuu ya kifo cha mwanao muongope mungu

  • @farajalaizer4669
    @farajalaizer4669 5 років тому

    Damu ya yesu iwalinde

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 5 років тому

    Duh mama na wanawe awataki wakwe waguse pale Sasa kama wosia iliandikwa na marehemu na akasema na wazazi wapate basi inabidi wapate wanachositaili najua mke wake marehemu itakuwa apendi ao wazazi wapate mgao aya ni mambo ya kukaa chini na kuyamaliza Ila na nyie wazee mtulie ii mali sio yenu mate mnachositaili izo mali azitawafikisha popote mtakufa mtaacha

    • @sarahmselle8562
      @sarahmselle8562 6 місяців тому

      Mke wa marehem ata hakuwepo alikuwa jela,wakwe walivyoona hivyo ndo wakaanza mchakato wao,wakafunga nyumban hiyo unayoiyona na mali zingine kama mashamba...

  • @monicamandai3875
    @monicamandai3875 7 місяців тому +1

    Ila uyu firstborn Mungu Amtumze Wasije muua

  • @gitu4me
    @gitu4me 5 років тому +1

    Intelligensia chunguzeni huyu baba msuya na mama msuya mawasiliano Yao toka mwaka mwezi WA pili mwaka 2012
    Tena huyu mama anaonekana ni muuaji na katili
    Kweli wajukuu zako Hawa a thamani wewe unatizama pesa mbele. Huenda mkahusika kumuua mtoto wenu msuya ili mpate mali

  • @yunusabdulwallace3801
    @yunusabdulwallace3801 5 років тому +1

    Nyie wazee katafuteni nanyie Mali zenu acheni kuwadhulumu watoto.kwanin hamridhiki na hicho mlichopewa? Pumbavu sana Mimi ningekua huyo kijana tungefikishana mbali na msingepata senti mojaa

  • @jeremiahmollel5583
    @jeremiahmollel5583 4 роки тому

    Yaani huyu mama utadhani hajazaa kweli nidhambi sana kuwadhulumu yatima Ee Mungu fanya njia kwa hawa watoto na mama yao Ee baba wa mbingu na nchi

  • @sarahmselle8562
    @sarahmselle8562 6 місяців тому

    Huyu mama n kabila gan maana 😂😂😂 yuko vizuri ataki mchezo

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 5 років тому +1

    Chikamoo arachuga linapofikia swala la coins

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 5 років тому

    Wewe bibi mzee pumbavu nawe utakufa tu waachie watt mali yao huna akili ww na mzee mwenzio yaani mungu awalaani kabisa" Jerry naomba uamue

  • @zuhurambonde7599
    @zuhurambonde7599 5 років тому

    Mzazi akifariki hasa mwanaume familia zinagombea Mali kama ajaacha watoto bora ufe maskini maana Mali inaleta shida

  • @abellmainge1023
    @abellmainge1023 5 років тому +3

    Kwakwel rais magufuli usinyamaze kwa hili, watoto yatima wananyanyasika na wewe upo.?????

  • @emanuelmushi6878
    @emanuelmushi6878 5 років тому

    Sjawaisikia eti Mali za kaka zigawiwa familia nzima!labda kama mhusika alishaekekeza ivo kabla'alaf uyo bibi anataka kusimamia Mali za wajukuu kwa nguvu kwani mama atakaa magereza milele?

  • @stn4873
    @stn4873 2 роки тому

    Kifo cha Maskini huwezi kuona haya.

  • @amnaalshabani2777
    @amnaalshabani2777 5 років тому

    Kazaneni vijana mrithi haki zenu baba shangazi wabaya sana kwa mali

  • @yunusabdulwallace3801
    @yunusabdulwallace3801 5 років тому

    Hata aibu hawana.laana ya ndugu yao itawatafuna maisha yao yote

  • @cyrilkimaro4728
    @cyrilkimaro4728 5 років тому

    Wapewe kipaumbele watoto au walikuwa wanaomba hicho kifo ili wawanyase watoto? .

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 7 місяців тому

    Dah ndoa na vifo mitihani

  • @ladysalimkabora9952
    @ladysalimkabora9952 5 років тому

    Na bado hawatosheki

  • @katalayshemndolwa3146
    @katalayshemndolwa3146 5 років тому +1

    inawezekana chanzo chamalihizo ni za zulma ndomaana dulma huwenda kwa zulma

  • @andrewaneriko3103
    @andrewaneriko3103 5 років тому

    Hivi hao ndugu wanamatatizo gani siwatafte zakwao.alitafta kwa manufaa ya watoto wake jamani nini hii sasa jamani

  • @geraldpallangyo7726
    @geraldpallangyo7726 5 років тому

    Watu na mali za marehemu

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 5 років тому

    Wachaga shikamooo vinawatoa roho mali za watt mwenyewe alitafuta kwaajir ya watt wake sasa bib babu madada vimekuwa vyenu mnawasahau watt loooh achen tamaa nanyi mtaziacha kama alivyoziacha marehemu erasto msuya

    • @rodasanga1312
      @rodasanga1312 5 років тому

      miss moona hawa ni wapare wachaga wana akili

  • @allydisi3656
    @allydisi3656 5 років тому

    Laana ya sharifu inawatafuna hawa wajinqa ubaya wa dhulma ni hapa hapa duniani wanamalizana wawo kwa waw ASANTE MUNGU

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 роки тому

    Mishangazi mibayaaa

  • @lameckchunda5763
    @lameckchunda5763 5 років тому

    Ņguvu ya baba ni thawabu ya watoto ci wazazi kivip watake

  • @agnestemba8079
    @agnestemba8079 5 років тому +1

    Ni muda wa kuwafundisha watoto kazi na kujitegemea, na kuwapa elimu basi

    • @Gemjvisualmedia
      @Gemjvisualmedia 5 років тому +5

      unafikiri hao watoto hawana elimu na hawajitegemei? Ni kwamba haki ya mtu ipo pale pale kama urithi wao wapewe

    • @safiamasoud1328
      @safiamasoud1328 5 років тому +4

      Mali ya baba yao ni haki yao hata km wanamiliki mamilion na wanakazi

  • @nshomamayungu2326
    @nshomamayungu2326 5 років тому

    Nimelia machozi

  • @joseygaudence1886
    @joseygaudence1886 5 років тому

    Hao ndugu wazulumati kwanin wasitafute vyao

  • @maidahassani1377
    @maidahassani1377 5 років тому

    Mungu nisaidie nipate pesa ya kula tu hata watoto watajitafutia zakwao loh

  • @philipoelias4262
    @philipoelias4262 5 років тому +1

    HUYU DOGO (MTOTO)WA BILLIONAIRE MSUYA AMESHACHOMWA NA JUA, NDIYO MAANA ANAWEZA KUJIEELEZEA BILA HATA KUOGOPA MBELE YA SERIKALI

  • @neemabakari7061
    @neemabakari7061 5 років тому

    Jamani daaah!!!

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 5 років тому +1

    Mali zinawatoa Roho

  • @alikhamis4055
    @alikhamis4055 5 років тому +1

    Mali ya baba inatutowa roho bora nikae pembeniiiiiii

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 5 років тому

    Ndugu wana sehemu gani katika urithi?
    Maana kwa uelewa wangu urithi ni kwa mke, watoto na wengine endapo marehemu atakuwa aliwapendekeza !
    Sasa hapo babu na bibi washakula 200 M kila mmoja, na hao wadada 75 M kila mmoja, lakini bado wanataka vingine, mweee !!

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 років тому +1

    kutafuta atafute mwingne,,nyie mfalakane,,,,,,,, ndugu mnaboa sana ,,,,,ndugu acheni kuingilia family ,pambanen Na Hali zeni,,,et kaka hooo mwanang

  • @aishajumaa3430
    @aishajumaa3430 5 років тому

    at a haibu hawana loo

  • @allyomari680
    @allyomari680 5 років тому +1

    huyu dogo mjinga nakama hamuamini mtakujaona baadae huyu nimjinga anasema bibi na Babu watuache na familia yetu alivyokua mjinga hajui kama familia yao ni ya bibi na Babu yake yaani angekua naakili angeegemea upande wabibi na babu

    • @sarafinasinkonde9651
      @sarafinasinkonde9651 5 років тому

      Aegamie kivipi wakati hao bibi zake ndo chanzo cha mama yao kufugwa na pia Bibi aliwatamkia kuwa kawatoa kwenye kitovu chake sio ndugu zake,kwani mama na Bibi yupi bora ni hari sana tu kumsimamia mama ake nani kama mama jaman

    • @Alicemsafiri
      @Alicemsafiri 7 місяців тому

      Sara kweli unaona mama yako anadhuriwa Mari. Uengemee upandea wa bibi. Na bibi na babu wangekuwa wanahakili. Wasingewaujum wajukuu. Na kujari mathirai. Yao