Pt2_USHUHUDA WA NABII MKE WA CONGO MARIAM KINYAMARURA "ALIJUA KWAMBA ATAUAWA KWA KUCHINJWA"
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Amin nimependa ushuuda huu Mungu anatupenda
Mungu apewe sifa milele.
Ningependa sana ndugu mtangazaji, mtumishi wa Mungu afundishe somo la ndoa.
Baba Mtumishi ameeleza ushuhuda vizuri. Abarikiwe sana na sifa zote zimrudie Mwenyezi Mungu Mtakatifu na mwenye neema na rehema.
Amen
Barikiwa
Matendo ya Mungu ni ya ajabu sana
Ameeeeeeen Utukufu kwa Yesu Yesu ni mweza wa yote. Promover Barikiweni sana. Mtumishi endelea kufanya kazi ya Mungu
Utukufu Utukufu Utukufu ❤
Mmmmm
Mimi ninashangaa mwanadamu kupewa nafas na kutukuzwa kuliko Mungu. .
Mungu aturehemu
Ameeeeeen
Asante sana kwa mafundisho.
MUNGU nimkuu sana
Abela pazuli san
Naomba muulize huyu baba marium alikiwa na valiaje nahitaji nivae kitakatifu
Kitabu tunakipataje
MUNGU ATUKUSWE .WANANDOA AMBAPO MAHAHARI HIJAIPWA NI VIPI? NAOMBA MCHUNGAJI ANGEGUSIA TAFADHALI!
Amen Ameen, naomba nisaidie namba zake
YAAANI HAPO KWA NDOA ANAFUDISHA VILE PASTOR EZEKIEL WA NEW LIFE CHURCH MAVUENI MOMBASA KENYA 🇰🇪 KENYA TUJIFUNIE KUWA NA EZEKIEL
PASTOR EZEKIEL ANAFUDISHAGA EXATRY KAMA HUYO, MIRIAM HAPO KWA NDOA KENYA 🇰🇪 TUJIFUNIE KUWA NA EZEKIEL KWA MAFUDISHO YAKE
@@ElizabethMuia-ro9yhWewe achana na mambo ya Ezekiel. Ni nabii wa Shetani huyo. Inaweza kuwa anasema ukweli mara mingi ila si mtu wa Mungu.
Ameni na MUNGU ATUSAIDIE MBINGUNI NI MBALI ILA TUJITIE MOYO
mbinguni si mbali . ndo karibu kuliko sehemu yeyoteile. huhitaji nauli unajiandaa tu, siku moja kufumba na kufumbua unajikuta umefika
Tunaomba namba yake ubarikiwe ntumishi
manabii wa hivo anaweza akawa hata sim hana
Ule Mariamu alikufaka zamani huyu Baba anasimulia tu alioyaona na kushuhudia vile Mungu alikuwa anamtumia Mariamu
natamani kujua alikufaje, akiwa na miaka mingapi , mwaka upi