Pt2_USHUHUDA WA NABII MKE WA CONGO MARIAM KINYAMARURA "ALIJUA KWAMBA ATAUAWA KWA KUCHINJWA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 28

  • @EspoirMlondani-w9c
    @EspoirMlondani-w9c 4 місяці тому +3

    Amin nimependa ushuuda huu Mungu anatupenda

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 4 місяці тому +3

    Mungu apewe sifa milele.

  • @samjosh12
    @samjosh12 4 місяці тому +1

    Ningependa sana ndugu mtangazaji, mtumishi wa Mungu afundishe somo la ndoa.

  • @CherieDeDieu
    @CherieDeDieu 4 місяці тому +2

    Baba Mtumishi ameeleza ushuhuda vizuri. Abarikiwe sana na sifa zote zimrudie Mwenyezi Mungu Mtakatifu na mwenye neema na rehema.

  • @collinslisievi1596
    @collinslisievi1596 4 місяці тому

    Amen

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 4 місяці тому +2

    Barikiwa

  • @urithiardhimedia
    @urithiardhimedia 4 місяці тому

    Matendo ya Mungu ni ya ajabu sana

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 4 місяці тому +1

    Ameeeeeeen Utukufu kwa Yesu Yesu ni mweza wa yote. Promover Barikiweni sana. Mtumishi endelea kufanya kazi ya Mungu

  • @frolianhulubano6358
    @frolianhulubano6358 4 місяці тому +2

    Utukufu Utukufu Utukufu ❤

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk 2 місяці тому

    Mmmmm

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk 2 місяці тому

    Mimi ninashangaa mwanadamu kupewa nafas na kutukuzwa kuliko Mungu. .
    Mungu aturehemu

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 4 місяці тому +1

    Ameeeeeen

  • @xcaliber8300
    @xcaliber8300 4 місяці тому +1

    Asante sana kwa mafundisho.

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 4 місяці тому +1

    MUNGU nimkuu sana

  • @joeblessbu
    @joeblessbu 9 днів тому

    Abela pazuli san

  • @Misigaro8246
    @Misigaro8246 4 місяці тому

    Naomba muulize huyu baba marium alikiwa na valiaje nahitaji nivae kitakatifu

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 4 місяці тому +1

    Kitabu tunakipataje

  • @moraarebecca3627
    @moraarebecca3627 4 місяці тому +2

    MUNGU ATUKUSWE .WANANDOA AMBAPO MAHAHARI HIJAIPWA NI VIPI? NAOMBA MCHUNGAJI ANGEGUSIA TAFADHALI!

  • @RivonaNtanyinya
    @RivonaNtanyinya 4 місяці тому

    Amen Ameen, naomba nisaidie namba zake

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 4 місяці тому

    YAAANI HAPO KWA NDOA ANAFUDISHA VILE PASTOR EZEKIEL WA NEW LIFE CHURCH MAVUENI MOMBASA KENYA 🇰🇪 KENYA TUJIFUNIE KUWA NA EZEKIEL

    • @ElizabethMuia-ro9yh
      @ElizabethMuia-ro9yh 4 місяці тому

      PASTOR EZEKIEL ANAFUDISHAGA EXATRY KAMA HUYO, MIRIAM HAPO KWA NDOA KENYA 🇰🇪 TUJIFUNIE KUWA NA EZEKIEL KWA MAFUDISHO YAKE

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 4 місяці тому +2

      ​@@ElizabethMuia-ro9yhWewe achana na mambo ya Ezekiel. Ni nabii wa Shetani huyo. Inaweza kuwa anasema ukweli mara mingi ila si mtu wa Mungu.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 4 місяці тому +1

    Ameni na MUNGU ATUSAIDIE MBINGUNI NI MBALI ILA TUJITIE MOYO

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 4 місяці тому +1

      mbinguni si mbali . ndo karibu kuliko sehemu yeyoteile. huhitaji nauli unajiandaa tu, siku moja kufumba na kufumbua unajikuta umefika

  • @roidayoab9918
    @roidayoab9918 4 місяці тому

    Tunaomba namba yake ubarikiwe ntumishi

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 4 місяці тому

      manabii wa hivo anaweza akawa hata sim hana

    • @mwaminimwangaza
      @mwaminimwangaza 4 місяці тому

      Ule Mariamu alikufaka zamani huyu Baba anasimulia tu alioyaona na kushuhudia vile Mungu alikuwa anamtumia Mariamu

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 4 місяці тому

      natamani kujua alikufaje, akiwa na miaka mingapi , mwaka upi