Pt7_Nilimuona live shetani ndani ya hospital Dsm Tz,daktari alisema lazima nife|USHUHUDA WA Aps.Zizi
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Utukuzwe Bwana Yesu Kristo kwa ukuu wako Baba yetu ulie juu ya yetee maana mukono wako sio muzito kwa kutusaidia ila sisi ndio wenye kukuasi wewe Baba yetu Utusame zambi zetu Baba yetu😢😢
Pole sana Mtumishi wa MUNGU
Hakika Yesu Kristo Anaokoa Amen
Jamani ushuhuda mzito sanaaaa Mungu awabariki tunaomba mwendelezo
Hakiki kwa ushuhuda utujenge kwa Iman ya bwana wetu yesu kristo
Amen blessd kaka Audax n promover tv ❤
Powerful testimony. May the Lord bless His servant and enlarge her territory
Mungu wetu ni mwenye rehema
Yesu ni muweza yote
Mhh hakika Yesu kuna watu amewatoa mahali wanastahili kushuhudia ili kututia nguvu wengine
Yesu Kristo ndio BWANA
Imagine muhubiri anatoa neno pembeni ya hospital na Anapona mtu mwingine kabisaa
Amina amina amina
Amen
Barikiwe sana Ila mnatowa vipande vifupi sana
Huu ushuhuda ni mzuri Sana ila unachikua muda mrefu Sana kurushwa hewani sasa ni part 7 mpaka kesho ndio part 8 mbona hivi?
Kweli kabisa watoe mapema jamani Yesu yupo na anatenda mpaka ss.Jaamani tuache dhambi tumrudie Yesu.
Sawa tutajitahidi kuleta sehemu nyingi kwa siku
Mimi naona mko sawa kwa sababu kazi ni nyingi tena hata hizi shuhuda ni kazi kweli kuzileta,sio rahisi vile wengine wanafikiria
Kweli kufungwa kupo, ila pia kuna na ka ujinga kidoogo kwa mama mtumishi (msimuliaji)
Hakikanhakyna kile hakiezekani kwa Baba yetu..ukimuamini anakutendea
Kabla ya yote msaidieni huyu dd ajue maandiko. Askofu na mtume aangalie mfano WA Yesu Kristo alivyoteuwa mitume hakuweka mwanamke. Na Askofu ni mume WA mke mmoja. Hilo ndio biblia
Hivi wanawake hawafai kutumiwa na Mungu ama kutumika ama kuMtumikia Mungu ama wamaanisha nini?
Nimelia ati mtoto alianza kukemea roho ya mauti ishindwe
Promover mnasoma comments zetu
Ndiyo tunazisoma
Au mtumishi vingne unatudanganya yani daktar aseme huyu ni wa kufa tu kwa dharula au ni miaka ya zaman knowledge ya madr ilikua bado chini, kwa case yako hamna ktu kama hicho labda huyo Dr alikua kweli agent wa kuzimu
Wote walikuwa kitu kimoja hiyo kumpigia Baba yake na kumkana ni zuga tu,hata huyo Zaina wote wanajuana,ata hilo tukio wote walijua kitatokea
Yani shetani alitaka ufie huku na sio muhimbili nadhani team nzima ya waganga na wachawi wa Tanga walikua hapo
Naomba Namba ya Nabii Azizi
Christo apewe sifa
Sasa ndo unanunua nguo kny duka la wachawi 😢
Lusheni KAZI hewani watu waangalie
Yani Huyo Dr ningekua mimi nikipona namrudia nikampige nimue
Kama ni agent wao huwezi kumkuta tena pale
Yesu ndiye anayelipiza kizazi
Nwendelezo wapendwa
Unakuja
Mtangazaji punguza maelezo mengi ninafkiri tunaelewa kiswhili vizuri
Sisi watanzania unatunyima usikivu
Naomba huyo mama asaidiwe aachane na kujita askofu Mkuu na mtume, atoe ushuhuda uwaokowe wengine kanisa achilie kanisa wanaume wachunhge
Ukweli kabisa pastor
Kwani hilo la kujiita hivyo kuna tatizo gani? Mbona kuna mwehu mmoja Arusha Anajiita Nabii Mkuu kuna Mungu chini yajua Mfalme Zumaridi wakati ni lidemu lisilo jitambu Kuna Yesu huko Kenya kuna Yohana sasa hata huyu we muache tu huwezi kuwabadilisha wafuasi wake wasimuite hivyo na wanamuamini?
Kweli kabisa
@@AgnessMpanduka-l5gshetani siyo wa kuchezea, kuna wakati hujigeuza kuwa malaika wa Nuru. Shetani ana uwezo mkubwa wa kudanganya, kwamba, unamuona mtumishi wake kuwa ndiye wa Mungu; na Mtumishi wa kweli wa Mungu anaonekana ndiye anamtumikia shetani. Ni hatari.
Lakini tuna kipimo, mosi, ongozwa na Roho Mtakatifu, pili, chunguza matendo (hata kama mtu anatoa ushuhuda wenye kusisimua kiasi gani)
@@pirminmatumizi5464MUNGU aliye hai atusaidie sana