MAPYA WAZIRI JERRY SILAA AMALIZA MGOGORO WA MWAKA 74 TABORA, ATOA MSIMAMO "STYLE YA TEGESHA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 жов 2023

КОМЕНТАРІ • 15

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183 4 місяці тому

    Safi Sana waziri ,nakukubali kwa uchapa kazi wako,eneo la malabi wengi walivamia

  • @user-fv4zw5ki3x
    @user-fv4zw5ki3x 4 місяці тому

    Nakupendaga sana mungu akubariki

  • @user-eo4pv8zy2o
    @user-eo4pv8zy2o 4 місяці тому +1

    Huyu Mzee amekosa adabu
    Ujapata wapi ujasiri wa kuongea na Mhe: kienyeji namna hii!!!

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 4 місяці тому +1

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA ZA WATU

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 місяці тому

    Wazee wangine wanataka kukualibia waziri wachawi tu kazi mzuri kwako waziri

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 місяці тому

    Serikali ingekuwa inajenga mnara. Na kuonyesha eneo hilo ni la viwanda kuondoa migogoro.
    Serikali yenyewe inachangia kuongeza migogoro ya ardhi

  • @charlesbii6749
    @charlesbii6749 4 місяці тому

    Huyu mzee ni mwizi😅😂😂😂😂😂

  • @selemankimaro7616
    @selemankimaro7616 9 місяців тому

    Mmh' wazee wanao sumbua maofisini hao!!😅😅 Wanadanganya viongozi mno.

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 4 місяці тому

    mzee hana kosa kajieleza vizuri , maeneo mengi huachwa wazee wa zaman walikuwa wanajigawia maeneo watakavyo ndio maana anasema shamba

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower4499 4 місяці тому

    Tatizo serikari mnajisahau kupima machaka haiya wanavamia badae ndohayo yanajitokeza

  • @ericraphael9653
    @ericraphael9653 4 місяці тому

    Elimu jamani😂😂

  • @bubbyhafidh6415
    @bubbyhafidh6415 9 місяців тому

    Wazee wametusumbua sana hao hawaelewi kabisa yani

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 9 місяців тому

    Waziri njoo na Ndachi Dodoma ni hivyo hivyo

  • @johndangote5172
    @johndangote5172 4 місяці тому

    😂😂😂😂 daaah

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 4 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂