Kawaida saana mzuri asaa haweki makeup wala makope bandia......yy aseme tuu kila binaadam ni bora mbele ya Muumba....mzuri hajisifu...mzuri husifiwa....
Uyu katumwa na fahyma binti gani wa akili timamu atasema mi ni cute kuliko paula We dada enda pole pole la sivyo watu wengi watakuchikia ji seme wewe nakazi zako uache ku endelea kupandia kajala na paula
Wanaosema wanawake hawapendani huwa hawasemi uwongo utasema wamekosa kazi kucukiana tu ndo kazi Yao Sasa wewe Maisha ya mtu Na uzuri wake una kuusu nini kama sio kutamani kuwa yeye ujinga tu
Acheni kushindaniana uzur binadamu wote ni sawa, mwambie Mumbai asante kwa jinsi ulivyo, sbb kuna watu wapi dunian tokea wamezaliwa hawajui dunia ikoje yaan hawaon, kuna watu hawajah kutembea wanatamani Watembee, kuna watu hawasikii wanatamani kusikia, hivyo acheni upuuz wa kusema huyu mzur huyu mbaya hii ni kukosa hofu ya Mungu😒😒😏
Kuna standard za Dunia hii kwa sasa natoka kitambo,rangi nyeupe ,pua ndogo,lips na macho,nywele zenye afya,shape na kimo hivyo tuu ni uzuri wa muonekano ndio maana mpishi mmoja kipimo kile kile ila bado utachagua andazi zuri. Ila uzuri wandani wa kujiamni na kujipenda neno la Mungu linatufundisha vyema ikawa asubuhi mchana siku ya SITA😉
Kwani uzuri wenyewe unasemaje!? Make kwanza nicheke. Harafu huyu demu usikute anatumika nahao wanaume kuliko katoto kawatu paula. Na nnachompendea paula hajawahi kumsemea fayma vibaya
Wewe uwezi lingana uzuri na Paul bado sana Paul ni mzuri Sana na Tena bado ni mdogo siyo kama Wewe pia uzuri unatakiwa uambiwe siyo Wewe useme ni mzuri
Nimekupenda confidence kama zote na unayo malengo safi kabisa na ndoto nzuri mno,lkn hapo pa kumponda Paula!! umeonesha wivu na chuki,sio poa au ndio kiki?ujanja kupata,yeye ndio keshaupata ustar kimteremko kupitia wazazi wake, na babe,aliandikiwa hivo na Mungu,kama wewe umeupata ustar kwa shida,ni wewe,hizo ni shida zako, sio za paula.heahima kitu cha bure mama
Mwambie!!! asijifananishe na paula paula ni levol nyngn yy hajawah hata kudet hata hamrapa unajifananisha na paula, mama yake paula anahongwa marangeeeee mawili mawili baba yake ni njia ya wasanii paula kafika dubai na kasoma uturuki ww hata kenya hupajui tulia ww kwanza hatukujui wngn ndo tunakuona leo mxiuuuuu
Mwambie ukweli Kisha asimwone Simba kanyeshewa akadhani ni paka .. Paula hapendi mazoea kabisa utajuta kumtaja na mama yake chunga wasikugeukie utajutia kama fyma
Weeee uliwai muona paula live ni mrembo uzuri wake wa kawaida sana ila huyu dada na Fayhama ni wazuri na wacuteee ... yan hapa ndo ukweli no uteam hapa ila paula ni mzuri wa kawaida sana so many times namuona St. Peter na mama ake
@@anicyaedward5605 mimi sina timu hata kidogo . huyu mtoto kuna mahali pengi nimemcrush . usifikili tunamuona inster tu . ni mrembo na atabaki kuwa mrembo .
Kwanza nicheke maana watu wanajisifia wazur wanamakope ya bandia manywele ya bandia makeup kma zote nywele madawa wanawake wazur hsa wamasai maana hta wanja hawajipaki na wala manywele bandia wanauzuri wa asili ndio uzuri si hawa wanaopiga mapicha wanaoeditiwa kila kitu.
Hahaha kabisa 💯 jamani Paula amewakimoa wengi mno huyu akiwa moja wao hamfikii chochote Paula watazidi kuchanganyikiea looh Paula kiboko Yao wote wanyooshe
Kiukweli wewe dada Ni wakawaida sana ila usijilinganishe na mtu yeyote kabisaa ukajiinua tafuta kiki nyingne utatoka tu dar kubwa ukifanya kazi kwa bidii utatoboa tu lakini usiseme ooh kajala mara paula hapana
@@ibrahdedonny4073 kwakweli yaan huyu kaona afanye hvyo ili atafutwe azidi kujulikana lkn kiukweli wakaida tena sana kama ye mzur atoe wigi atoe mekap abaki neutral tuone uzuri wake 😏😏😏
She think that she's beautiful not anajisifu ujinga sqna anataka kushindana na Paula she's too young. Wewe unechezewa na wanaume kibao then akaja Rayvanny. Paula sio wa kugombana nae unatakiwa Ugombane na Mwanamme wako
@@ashuraomar4935 Kabisa Yani, Amekaa Kitako Kujiproud Kama Yee Ndio Queen Of Africa, Atuachie Binti Yetu Paula Wenyee Tunampenda Tuu Na Tunamuona Sweetheart & Queen Baby Girl🤣🤣🤣
Wabongo mna mambo jamani.... Hadi mtu akiwa compared na mwingine asijiamini ? Abeg dolly kasema ni mrembo kushinda Paula na ni ukweli. Paula pia akisema ni mrembo kushinda dolly pia ni ukweli. Hakuna any standard measure for beauty ..... Acheni dolly ashine, it's her time bana.
kwanza ncheke kwan Paulla katoka wapi au umepangwa mdada weeeee wapi Agnes Masogange na trakoooo lake na unoooo mbona kama huna maaajavu kivileeee achana na jukuuu la mzee Masanja ni balaaaa. Ana minyotaaaa yule bint hataroii
Kiukweri mini fahma namupenda sana na Paula namupenda sana lakini mudoli simupendi anajuona hata ajafika mahari popote akifilia levo ya fahma au Paula atakuwaje atajiona malayika simupendi huo mudada kweri mudoli
Alafu huu dada anajiamini sana and she’s smart and intelligence…anyways much love to you wana sns all the way from USA 🇺🇸
Daaah paula ningazi eee haya pandeni mfike mnapo taka kufika lakini msiitipe ngazi mnayo pandia PAULA BG UP
Kawaida saana mzuri asaa haweki makeup wala makope bandia......yy aseme tuu kila binaadam ni bora mbele ya Muumba....mzuri hajisifu...mzuri husifiwa....
Umeongea point.
Kweli kabisa 🙏
Kabisaaa 100%
Kwel tena
I love interview but If you say I’m so beautiful Namkumbuka ma sogange She was Beautiful 💕💕💕🔥leohi yikowapi Last in peace😭💕
Mm nadharau mtu anaongelea mwenzake vibaya nakujiona yeye ndo yeye ety paula sio mzuri mm nimrembo kumliko mmh asubir kwanza asifiwe....
Hata sisi wote tutareast in peace alietuumba uzuri ndio yeye atauchukua
@@njmahn3262 kabisaa bora usifiwe ila sio ujisifie
Very true Fahyma is a good vibe n kudos if you got inspired by her. She is a brilliant and hard working lady too
Very good . Being independent gives you liberty. No one owns you. Alhamdululai.... Great vibes
The true speaking she is beautiful and attractive .. sema hasiwe anasema oooh am cute than cjui nn ... ila fayhma pia ni mzuri wanafanana kweli
kafanana na Fayma kweli kweli.Beuthfull and cleaver young Lady
Tena ana confidenty kama fayma yani nimejikuta nimempenda
Paula mzuri Sana...kakuzidi kila kitu
Ana tako lakini?
ww dada kma umepta ustaa kwa nguvu hutakiw kumponda paula kwanza sio age paula ni mzuri hta kma asingekuwa na wazaz mastaa achen roho za kwann
Weeee Paula pc Kali kama mnamabifu yenu sio kwa ili namkubali Paula ilove u😋😋😋😋
Uyu katumwa na fahyma binti gani wa akili timamu atasema mi ni cute kuliko paula
We dada enda pole pole la sivyo watu wengi watakuchikia ji seme wewe nakazi zako uache ku endelea kupandia kajala na paula
Wee ni mzuri sana,jiamini usiangalie wengine kaza buti Dolly,
Wanaosema wanawake hawapendani huwa hawasemi uwongo utasema wamekosa kazi kucukiana tu ndo kazi Yao Sasa wewe Maisha ya mtu Na uzuri wake una kuusu nini kama sio kutamani kuwa yeye ujinga tu
Hana akili uyo achana nae!!! Kwanza nani anamjua akafuse mbele uko
Anajifananisha na mtoto hana hata miaka20 alf bint hana muda na mtu
Kabisa,na sana wivu ,wanawake wana wivu sana sana sana
Anaboa uyu kma kwel anajiamin asingejibu ilo swali la Paula ivyo aache wivu tu
Anatafuta kujulikana kupitia Paula na mama yake
Paula mzuri.sana..kuliko wewe.unatafta ustaa kupitia paula..😛😛😛
Memo mabaya kama fahyma mwenyewe paula she’s beautiful natural wachakuwaongelea wenzio we dada
Nikweli kwasababu akicheka hapendezi,nandomaana uzuni unazidiana
Acheni kushindaniana uzur binadamu wote ni sawa, mwambie Mumbai asante kwa jinsi ulivyo, sbb kuna watu wapi dunian tokea wamezaliwa hawajui dunia ikoje yaan hawaon, kuna watu hawajah kutembea wanatamani Watembee, kuna watu hawasikii wanatamani kusikia, hivyo acheni upuuz wa kusema huyu mzur huyu mbaya hii ni kukosa hofu ya Mungu😒😒😏
Kafanana na Fayvani💚
Beauty is not outside looks alone. Bit inside beauty is key n she has it all
I love her confidence but about paula umedanganya she's beutiful...
Beauty lies in eyes of the beholder, Ni urembo wa sura unayeyuka,
I love her focus n discipline
Kila m2 NI mzuri, na kila binadamu yupo Kama alivyo kwa sababu
hongera sana umeongea point my friend
Hapo umenena sio kujipandsha mzur kwa kipi ulichozdi wengine kila mtu mzur kwakweli
Kuna standard za Dunia hii kwa sasa natoka kitambo,rangi nyeupe ,pua ndogo,lips na macho,nywele zenye afya,shape na kimo hivyo tuu ni uzuri wa muonekano ndio maana mpishi mmoja kipimo kile kile ila bado utachagua andazi zuri.
Ila uzuri wandani wa kujiamni na kujipenda neno la Mungu linatufundisha vyema ikawa asubuhi mchana siku ya SITA😉
Mtu mzuri ni yule amchaye MUNGU ,watuacje kwanza tupumue
@@fridasky1019 hilo nalo neno
Kwani uzuri wenyewe unasemaje!? Make kwanza nicheke. Harafu huyu demu usikute anatumika nahao wanaume kuliko katoto kawatu paula. Na nnachompendea paula hajawahi kumsemea fayma vibaya
Anatumika sana
@@elizaboster9479 ana tako?
Congratulations to youu dolly,i appreciate you big ups❤️❤️
No wonder I like her vibes. She's so mature
Wewe uwezi lingana uzuri na Paul bado sana Paul ni mzuri Sana na Tena bado ni mdogo siyo kama Wewe pia uzuri unatakiwa uambiwe siyo Wewe useme ni mzuri
Kwa kweli hasa Domo lake. Hakushindi kwa lolote. We mzuri bhana. Nakupenda. Big up.
Wewe unakamilika? Biti mdogo anawasumbuwa sana
Paula anaubaya gan wa mdomo paula mzur bila hata hayo makope na mekap
@@vickydan2869 mimi nawachangaka sana wanao sema pau si mzuri ,pau anauzuli wake tangu utotoni wawe wanatizama picha zake zautoto kabra ya kumchafuwa
Beautiful queens focused,intelligence,independent 😘keep up girl
Nimekupenda confidence kama zote na unayo malengo safi kabisa na ndoto nzuri mno,lkn hapo pa kumponda Paula!! umeonesha wivu na chuki,sio poa au ndio kiki?ujanja kupata,yeye ndio keshaupata ustar kimteremko kupitia wazazi wake, na babe,aliandikiwa hivo na Mungu,kama wewe umeupata ustar kwa shida,ni wewe,hizo ni shida zako, sio za paula.heahima kitu cha bure mama
Mwambie!!! asijifananishe na paula paula ni levol nyngn yy hajawah hata kudet hata hamrapa unajifananisha na paula, mama yake paula anahongwa marangeeeee mawili mawili baba yake ni njia ya wasanii paula kafika dubai na kasoma uturuki ww hata kenya hupajui tulia ww kwanza hatukujui wngn ndo tunakuona leo mxiuuuuu
Mwambie ukweli Kisha asimwone Simba kanyeshewa akadhani ni paka .. Paula hapendi mazoea kabisa utajuta kumtaja na mama yake chunga wasikugeukie utajutia kama fyma
@@vickydan2869 Dar yenyewe kaingia juzi, kuku mgeni hakosi kamba miguuni
Achen ujinga
Kwakweli ni mzuri sana ila sijapenda anapomkandia Paula binafs sijapenda. Jifunze kujisemea wewe na ajifunze kuwa na akiba ya maneno.
Wewe dada acha kumesema Paula ivi unajuwa wewe nimbaya sana huwezi lingana na huyo mtoto Fanya yako ndiyo maana huna maadiri
Naona kaamua kutoka kwa kutumia jina la paila kama sio asinge tumia jina la mtu yeyote nimetumia kwenye dasty been
Achen ujinga paula ni nguruwe anabebwa na ryvan
Congratuation to you dolls, God blessing u ma dear
As long as kila mutu atakufaa sina chakuringia hapa Duniani🙌🙌
Hakika
Hawana kaz hawa...wala hawajui wanataka nini??
Nimependa ulivyo na unavyojiami na unavyojitambua super girl, keep it up.
She's smart anajitambua Sana
I think is not good to comparing the beauties among ladies themselfs ❤💃
Yeees
True and well done for being honest ♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Uzuri wa mwanamke anaujua mwamaume
Her discipline is awesome
Paula mzuri sana tena tumemuona akikua yy kudate Rayvanny inawauma wadada wengi poleni sana wanuka shombo
Hovyooo hunahata akili kumbe
@@زيتونتنزانيا anazo bana
Shyllah Nekesa jamani mna vituko humu😂😂😂😂😂😂
Kwel kabisa sweet
Ukweli wasishana wengi inawauma
Wadada kama Hawa hawanagahakili Ivo hujiulizi kuwa mungu ameumba MTU Kwa uzuri wake watu wote nimazuri duniani
Nimekupenda sana ww dada wote wanyumbani
Good my dear is very important ur good point ✌️
Paula she's beautiful mashaallah
Kamfanana Fahyma sana uyo dada❤❤
Kweli unafanana na fayvan lakini uaijidanganye mtoto wa kajala hujamfikia . wewe umejionaje au bf kakudanganya?
Atakua aliambiwa anafanana na fayma ndo maan anajikopea na paula paula ni mzur bila hata vipodozi
Weeee uliwai muona paula live ni mrembo uzuri wake wa kawaida sana ila huyu dada na Fayhama ni wazuri na wacuteee ... yan hapa ndo ukweli no uteam hapa ila paula ni mzuri wa kawaida sana so many times namuona St. Peter na mama ake
@@anicyaedward5605 kwa kweli mbali na uteam fayma ana urembo wa asilia
@@anicyaedward5605 mimi sina timu hata kidogo . huyu mtoto kuna mahali pengi nimemcrush . usifikili tunamuona inster tu . ni mrembo na atabaki kuwa mrembo .
Kwanza nicheke maana watu wanajisifia wazur wanamakope ya bandia manywele ya bandia makeup kma zote nywele madawa wanawake wazur hsa wamasai maana hta wanja hawajipaki na wala manywele bandia wanauzuri wa asili ndio uzuri si hawa wanaopiga mapicha wanaoeditiwa kila kitu.
Wewe so mzuri kakuzidi Paula wewe unaonekana kwasababu ya rangi Ila Paula mzuri
Achana na Paula muzuli sana hujamufikia sana
Msichana mrembo sana 🇰🇪🇰🇪
Ila pau kawashumbuwa wengi uo anatafuta umaalufu
Umeonaee niule msemi mtu kama anatamani maisha yako uzuri wako Na haupati atatafuta mbinu zote ku kutafutia fitina na kujenga chuki juu yako
Hahaha kabisa 💯 jamani Paula amewakimoa wengi mno huyu akiwa moja wao hamfikii chochote Paula watazidi kuchanganyikiea looh Paula kiboko Yao wote wanyooshe
Kwakwel mtoto mdogo anawapa presha
Yan tunamkuba sana Paula sio mwanamke wakujisifu kila seemu 😅😅
Beautiful girl
We na ww n mpuuz asa unashindana na Paula wakat n mdgo tyuu kaa kwenye nafasi yako ww life la saiv haliko hivyo take your time Dr!
Kwa muonekano Paula haoni ndani kwa hii kitu iliyoumbwa ikaumbika. Anavutia kwakweli.
Atoe makope na asipake mecup tuone uzur wake
Weee paula tunamuona tangu utoto wake
Paula mzuri buanaa huyu n make up tuu
Natambua paula
Very true Dolly 💗💗
Basi binti kama huyu anaesema yy mzuri. Ndio hawa wakivua nguo kama panya kafa.uzuri wakati mmevaa minu.... ya paka kichwani
Khaaa 🤣🤣
hhhhhhh
Kwaa sura kweli mzuri. Ila Simama kwanza ndo niseme neno.
Mwenzangu akisimama ndonitamkubali🤣🤣🤣💕ilamaconitu bado sijaonauzuli namenoyake bado 🤣🔥🔥💃🏻
Mm naona mtu tuu kawaida....
Kweli wahuni sio watu poa, asimame ndo aseme neno 🤭🤭😂
😄😄😄😄
Mi nimemuona kwenye vidio ya beka amfikii Paula msambanda🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Ila Paula yupo vizuli Sana anaga maneno na Wala ajisifii na Wala sijawai kuona kamjibu mtu vibaya,,ndo ninacho mpendea Paula,,
Dah! Kweli
Joyce Peter nkweli kabsa
She is equally beautiful princess. I’m kind impressed by her presentation
We n mzuri ila Paula ni mtu zaidi yako achana nae unakijiti nuksi dada
The girl ana maono. Na kweli ataenda mbali . Anajielewa sana
Smart girl and focused!🔥
Karembo kweli, anafurahisha.
She is very smart upstairs. That is what matters
Good interview❤❤❤❤❤
ila ww dada bila Paula tusingekujua mshukuru Paula kuwa star nawe kakufanya uwe star
Kudos Dolly Nyau, jina la zamani Dodoma👏👏
Haaaa majina mapya Ni yap
@@happydavid3960 nyau ni jina la utani nilikuwa namuita
Unajisifu mrembo na umepaka mekaup kaoge hiyo mekaup tuone uzuri wako🤒
Kabisaa
Kaziri kakweli na mtafutaji woow hii age wajifunze wasichana
Paula ni mzuri . Umfikii hata robo yake. Unajidanganya.
Khaai 😂 ww haujui kuangaliaa bana
Jiongeleee acha kuingilia ndani saana kuusu mwenzako
This girl impressed me
Jaman paula n mzur xanaaaa we dadaa kazaliwe tena lbd ndo utampita uzur 😅😅
Go Girl We Love Yuh ❤️
Jmniii we kubali tu Paula n mzuri kukuzidi bc ndo maana umeongea alafu ye Hana muda na ww
Kiukweli wewe dada Ni wakawaida sana ila usijilinganishe na mtu yeyote kabisaa ukajiinua tafuta kiki nyingne utatoka tu dar kubwa ukifanya kazi kwa bidii utatoboa tu lakini usiseme ooh kajala mara paula hapana
Kabxa, huyu demu ni wakawaida xana,alaf anakipini cha pua, na wadada wenye vipini hawana jipya mjini
@@ibrahdedonny4073 kwakweli yaan huyu kaona afanye hvyo ili atafutwe azidi kujulikana lkn kiukweli wakaida tena sana kama ye mzur atoe wigi atoe mekap abaki neutral tuone uzuri wake 😏😏😏
Nimekupenda bure Dada
Mashallah ni mzr anafanan na Fahyma
Ana tako?
Paula ni mzuri sana, Dolly usijifananiche na paula hata kidogo
So inspirering thanks allot
Very true. Umejinganganishia. Umejijenga mwenyewe kumtegemea mwenyezi Mungu
Dada mrembo. Yuafanana sana na Fayhma
Kiharaka mwenyewe nlijua fahma
Sasa Binti Huoni Kama Paula Ni Under Twenty, Jitahidi Kushindanishana Na Age mate Wenzio Co Paula
She think that she's beautiful not anajisifu ujinga sqna anataka kushindana na Paula she's too young. Wewe unechezewa na wanaume kibao then akaja Rayvanny. Paula sio wa kugombana nae unatakiwa Ugombane na Mwanamme wako
@@ashuraomar4935 Kabisa Yani, Amekaa Kitako Kujiproud Kama Yee Ndio Queen Of Africa, Atuachie Binti Yetu Paula Wenyee Tunampenda Tuu Na Tunamuona Sweetheart & Queen Baby Girl🤣🤣🤣
Paula gani under 20 mtu mzima yule
@@ashuraomar4935 kwani ww unazani huyu ni nani hadi unasema akaja Rayvan??huyu sio fayma ndugu yangu
#SHOANA 🇪🇹🌍❣️🇯🇲❣️#LOVE HYPE 🏹
PS. PLZ Pleaz Caribbean ENG ‼️ SUBTITLES PLZ🆙🙏
Good girl go go Dollyrest ❤❤
Ni kweli wewe ndio mzuri Paula sijaona
Wewe mdada unapoint, God bless you
aaaah!... wakawaida tyu haumfikii hata robo paula ww
Twenty some thing 😀😀😀 mbona ww mdogo sana hofu ya nini kusema miaka yako🤔 Kafanana na Fayvanny
Wabongo mna mambo jamani.... Hadi mtu akiwa compared na mwingine asijiamini ? Abeg dolly kasema ni mrembo kushinda Paula na ni ukweli. Paula pia akisema ni mrembo kushinda dolly pia ni ukweli. Hakuna any standard measure for beauty ..... Acheni dolly ashine, it's her time bana.
Vert true! Paula ni mrembo siyo mzuri!
Hajui kutofautisha mzuri na mrembo 😅😅😅🙌🙌
kwanza ncheke kwan Paulla katoka wapi au umepangwa mdada weeeee wapi Agnes Masogange na trakoooo lake na unoooo mbona kama huna maaajavu kivileeee achana na jukuuu la mzee Masanja ni balaaaa. Ana minyotaaaa yule bint hataroii
Hongera Sana kwa msimamo wako ulio nao
Paula nimuzuri wewe kakupita mbali kwauzuri, tena nimudogo kwako, menoyako imebebanaaaa unauzuri wowote kabisa, paula muzuri sana
Mh jamani au machoyangu hayaoni vizur
Paula humfikiii hata kidogo mbaga wewe
Kweli bwNa anafanana na fyma kwa mana hiyo paula haana jipya anatembelea sustaa usio wake
Dem wakawaida sana wez pis kali zipo zime tuliantu🙌
Kabisa tena hazijisifii zinasifiwa
@@terrymuso894 yeye anazunguka kutangaza uzuri wake kwenye media 😁
Dah. Kweli wewe ni wa kwetu. Kama una damu chembe chembe za Msandawe. Mwonekano wako naukubali. Karibu Kwa Mtoro.
Hahaha eti Kwa mtoro atakua wa msera huyo au farukwa
@@salmaharoub1111 babaake wa farkwa mamaake wa Soya mrangi
The fact is_the beautiful ones are not yet born!
So madam,go slow with your interview,please.
Study your words carefully!
😎
Kiukweri mini fahma namupenda sana na Paula namupenda sana lakini mudoli simupendi anajuona hata ajafika mahari popote akifilia levo ya fahma au Paula atakuwaje atajiona malayika simupendi huo mudada kweri mudoli
So pretty 👄
Kusema ukwel Paula sio mzurii ata kidogo Ila anamuonekano
wazuri hawatumiti mekapu na wazuri hawajisiffii Bali husifiwa but binadam wote ni wazuri mbele ya mwenyez mungu,mpoooo nyonyo
Mzuri bwana acha wivu
@@idayamataifakey7813 Kwa kipi meno kama yangu😅
Tutakuona wew ndio mnavyosemag mwanzoni
Uzuri wa nini ukute huna kis...Mi
😄🤣😂😆
Hakuna aliyewakataza wazazi wao kuwa ma star kwendraaaa kwani lazima ujilinganishe na Paula ??Paula n anakua na hana dada wala kaka muache
Jamani mpumzisheni mtoto wa watu Paula mnamuonea Tu kwakua hasemi